UJIO - Called To Serve Ministries - Official Music Video
Vložit
- čas přidán 14. 12. 2023
- Ni kweli mara nyingi umesikia habari za UJIO: Nasi tunaungana pamoja kukuhimiza juu ya UJIO wa Bwana wetu YESU Kristo mara ya pili.
Je, uko tayari?
Be blessed,
Please SUBSCRIBE, LIKE, SHARE, COMMENT, and FOLLOW us on this channel and our social media pages for more updates:
#calledtoserveministries #bongotrend #gospel #gospelmusic #music #müzik #adventistchurch #sda
Hongereni mmeimba vizuri na wimbo unaujumbe mzuri ili jamani mnatuangusha sis ni wasabato wakwenda mbinguni laki hayo mavazi yenu dah mnatuangusha
Wimbo mzuri sana ndioo tunasubiri kubadilishwa hila kabla ya kubadilishwa dada zangu nanyie mbadilishe mavazi kidogo tuwe kama wasabato hila nawapenda😂😂😂❤❤❤❤❤
Wimbo una ujumbe mzuli tume balikiwa ila tuta balikiwa vizuli zaidi mki badili mavazi yenu hasa wanawake
Amina
Nice song indeed
Nyimbo nzuri ila tengenezeni mavazi na nywele muwe wasabato mnaomsubiri yesu fanyeni matengenezo
kabisa wabadilike kimuonekano
hawa nawafananisha na wale wauza miili yao yaan (wafanyabiashara za ngono)ni aibu kubwa kuitiza mbele za watoto unsogopa watoto wasije kuiga iyo rahana
Kwa kweli mavazi wabadili
4:00 4:00
hii ingewafata inbox ingeleta afya sana kuliko hapa ni kama mnaleta vita wakati hamkuitwa kuwa wahukumu asee… hata kazi nzuri ya uimbaji pia kwenu imekuwa bureeee 🤦♂️! katika karatasi kubwa jeupe mmeona kuzungumzia kialama kidogo cheusi kilichewekwa kwa kalamu ndio la msingi kuliko uzuri wa weupe wa karatasi? Nadhani mnaweza kuwafikia mkawapa hayo maoni naomba kuwasilisha 🙏
Je vous encourage et félicitations ! Mais autres ont suggéré le mauvais coiffure et gestion vestimentaire, moi aussi j'interviens juste pour donner un exemple au Burundi , dans des églises locales rurales , portant les meches , tu ne peux pas tenir devant pour chanter, ou bien avec les minu jupes!! Impossible
Veillez compléter tous spirituellement, le bon Seigneur bénira vos Actes ❤
Nataman kuimba kwenye kikund hichi sjui kipo wap anyway hongera mnajua kuimba ✊🙏
USA
🌸
Sauti zenu nzuri zimetulia hongereni mmependeza...
Nabarikiwa Sana Kwa nyimbo zenu. Kazi nzuri. Songeni mbele daima. Mungu awabariki mno wanangu.
Amen asanteni sana tunawapenda🙏🏽🙏🏽
Amen! Wote tutabadilishwa 4:09
Tufanane na Yesu😊🙌🏽
Choit of stars, Mungu mbele
Blessings
🙏🏽🙏🏽
May God bless the composser of this song
Amen amen 🙏🏽
❤
Safii
Praise the lord for sound music and sound messages.
Amen thank you so much for your continued support 🙏🏽
Wanatuchanganya kwakweli ,yani kama Yakobo alivyomchanganya Isaka,Maneno ni ya Mungu lakini mwonekano wao hao wadada ni WA kishetani,,,,
This is too harsh a comment...Biblia inasema Hamna ata Moja aliye msafi...Don't judge ..this is for God to do...let the name of the Lord be praised....mavazi na kadhalika haitupeleki binguni...
@@sibuormanganga8339soma vizuli biblia ndo uje ukoment
Amen nice one @ bro Naboth and siz Phoebe, blessings
Blessings 🙏🏽
Nice song team, may God bless you for always praising him with inspiring songs
Amen be blessed
Ninangoja na ninasubiri, ujio wake Mkombozi. Ahadi yake Ni hakika. Si mbali itatimia🙏
Amen 🙏🏽
Lovely song😘
Mbarikiwe Sana. Wimbo mzuri, sauti nzuri!
Amen asante sana🙏🏽
I’m loving this tune. Great voices ❤
Amen be blessed 🙏🏽
Amen ...kaz nzr...songeni mbele popote mlipo pigen kaz vjn wa Yesu
Waaw....wonderful song...Let the name of the lord be glorified
Mziki mzuri
Barikiwa 🙏🏽
The matching at 1:52-1:54 👌
This song is awesome
Be blessed 🙏🏽
Amen
🙏🏽
Sio tu nywele hata mavazi hayo sio mavazi yakisabato badrisheni mavazi yenu
Blessed My bro John Mabwai
Amen 🙏🏽
Kazi nzuri sana,. Be blessed madebele brother.
Amen🙏🏽🙏🏽
Straight from TikTok.
Be blessed
Amen and Amen again..a nice piece 😊
🙏🏽🙏🏽
Na mm nawaombea wapendwa bwana azidi kuwatumia mnamfanya vizuri.
Wooooow❤❤❤❤❤❤
❤❤
Huu wimbo jmn umenibarikii
Sanaa
Mbarikiwee sanaa
Ubarikiwe zaidi
I'm blessed
To God be the glory🙏🏽
"habari za ushindi kweli" i love this song and its people. mbarikiwe
Great talents here my people.
Mungub awabariki sana
Amen amen barikiwa zaidi 🙏🏽
My class well represented, Glory to God.
❤️❤️❤️❤️❤️Amina sana
Video nzuri, wimbo mzuri...... sema kunae mdada kavaa miwani kama welder😂😂😂😂😂 jus kiddn
Teacher Eria Bwana awe nanyi
Mbarikiwe na Bwana Ila acheni kunesa imbeni kisabato
Eh! Ngoja nikipata mda nirudi niangalie vizuri😢😢
Amen. Sauti nyororo kumsifu Mungu. 🎉🎉
Clean stuff kip it up!
Appreciate it🙏🏽
muziki makinifu. aminaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa mbarikiwe zidi na zaidi
🔥🙏
goodjob guys❤❤❤
🙏🏽🙏🏽thank you
Duuuuu!!!!! ❤
Huu mzuri
Asante sana🙏🏽
Naeza wajoin🤭
kazi nzuri...hongerenii..
Weisiko🗣️🗣️🗣️
Dah😂hii comment imeandikwa kwa utulivu kabisa🙌🏽Asante Weisiko🥰♥️
yangu naweka chini ya tajiri yangu Weisiko
What a master piece ❤🔥
@@tumaininguto4957ngutoo zote zimepokelewa kwa utulivu sana
Asante sana 🙏🏽
When I come to USA,I gonna join you guys
Mnaimba vizuri hadi natamani nije kuimba
Hii nyimbo nzuri
eeeeiiii nice one
Sauti zimekaa vizuri
🙏🏽🙏🏽
👌🎧 👍 soyez béni
Be blessed
Amen you too 🙏🏽
Asante, nimebarikiwa kwa wimbo
Merci, Je suis béni par la chanson
Hongereni sana mbarikiwe🙏🙏
Kaeno kama hio injili ya yesi
Safiiiiiiiiiii❤
Ninasubiri ujio wake
Amina!
am amazed at the blessings of the Lord towards you may you be blessed more and more...
Amen amen
Amen be blessed
Ameeeeeen may God bless you
❤❤❤
Mbarikiwe sana
Amen 🙏🏽
Amen nabarikiwa
Mlihama Light bearers?
Fantastic
Blessed lovely voices ❤
You guys in found in which State?
Nice song
I love it
🙏🏽🙏🏽
Awesome,but what happened to audio?
Beautiful
🙏🏽
Nice melody ☺️
Thanks for listening 🙏🏽
Who program your songs???
Mnaimbaa ,ila wadada wenu wambienii wapunguzenii mitindo ya kimionekano
Thank you for watching
Mnaimba vizurii lakin punguza kunesa😢😢
AMEN
Hawa wako U.S.A sio Tz😂😂😂
Ila n wa Tz na Kenyans
God bless you by the way I want number za eliya ngus
Amina
❤❤
Fantastic