LIVE: DKT MPANGO AIBUKIA IKULU, AWAJIBU WALIOMZUSHIA KIFO "NAWAOMBEA MSAMAHA KWA MUNGU AWASAMEHE"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 12. 2023

Komentáře • 817

  • @misanamaige490
    @misanamaige490 Před 7 měsíci +23

    Jina la Bwana wetu Yesu Kristo lipewe sifa. Asante Mungu kwa kuonekana kwa Makamu wa Rais Dr Isdory Mpango. Barikiwa sana baba. Tunakuombea heri daima.

  • @cmoshi7014
    @cmoshi7014 Před 7 měsíci +17

    Uinuliwe BWANA wa mabwana....Uinuliwe umetenda mema...Tunakuinua BWANA tunakuinua YESU 🎉🎉🎉🎉

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan7346 Před 7 měsíci +13

    Mungu akupe umri mrefu na afya njema makamu wetu tunakupenda baba❤

  • @Abdul-jj6lq
    @Abdul-jj6lq Před 7 měsíci +8

    Ashukuriwe Mungu kwa neema zake juu ya amani na usalama wa taifa letu hongera Rais wetu na pole makamu wetu kwa majukumu yako ya nchi yetu pamoja na jembe letu kassim majaliwa mungu ibariki Tanzania

  • @AnnaChungu-dm8xj
    @AnnaChungu-dm8xj Před 7 měsíci +13

    Mungu aendelee kukuweka mikononi mwake akupe afya nnjema siku zote za maisha yako🙏... Baba mwenye hekima ya mungu... Nakupenda ❤

  • @user-ht6pf9he1t
    @user-ht6pf9he1t Před 7 měsíci +15

    Amina Baba Mungu akutunze na kukulinda uwe na maisha marefu sana.

  • @AliKakombe-mn8jp
    @AliKakombe-mn8jp Před 7 měsíci +7

    Mungu walinde viongozi wetu wote ktk Taifa let la Tanzania, mungu ibariki nchi yetu ya Tanzania.

  • @JuliethMganga
    @JuliethMganga Před 7 měsíci +8

    Baba hautakufa bali utaishi maisha marefu sana tunakuombea Amen

  • @juliethsanga6151
    @juliethsanga6151 Před 7 měsíci +5

    Haleluya sifa kwa Bwana Wetu Yesu Kristo ainuliwe Mtumishi wa Mungu Asante saaaana Yesu Damu ya Yesu ikufunike na kukuzingira kwa wigo wa moto . YESU AKUPE MAISHA MARUFU ZAIDI KAMA ULIVYO KILI KUWA HUJAMALIZA KAZI YA BWANA IWE KAMA ULIVYO TAMKA.

  • @gjmedia5031
    @gjmedia5031 Před 7 měsíci +1

    Asante sana Baba. Mimi binafsi nimefarijika sana kukuona tena maana niliposikia maneno magumu yaliyoumiza moyo wangu kukuhusu wewe niliumia sana, na nilikataa kuyaamini.

  • @farusaimon3490
    @farusaimon3490 Před 7 měsíci +9

    🙏🙏🙏 Asante sana Mwenyezi Mungu muumba wetu kwa kutuonesha Kiongozi wetu! Walikuwa wameanza kutupandishia BP. KAZI IENDELEE!!!!!

  • @BrunoMakweta-dm5sb
    @BrunoMakweta-dm5sb Před 7 měsíci +3

    Tunakupenda baba watanzania tumefurah kukuona watoto wa wanyonge tulikua hatuna aman ulvyo kua umeadmika mngu akulinde baba yetu na viongoz wetu wote mama samia 100% nch yetu ipo mkono salama

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Před 7 měsíci +8

    Oooh my GOD! Mungu ni PENDO apenda watu, Mungu ni PENDO atupenda! Sikilizeni furaha yetu, Mungu ni PENDO atupenda! AMEEN.

  • @norahfrank
    @norahfrank Před 7 měsíci +8

    Amen. Mungu ni Mwema sana.Asante kwa kuturejeshea kamanda wetu,tukamwona live nje ya maneno mengi toka kona zote za nchi.

  • @user-de2rg9kk7u
    @user-de2rg9kk7u Před 7 měsíci +2

    SAFII SANAAA Mama UMEONGEA VIZURI SANA.. Good Presentation Good Speech, Umetoa Presentation nzuuri sana kama kiongozi wa NCHI, Safiii sana my mama SAMIA SULUHU HASSAN

  • @naimarishedy1523
    @naimarishedy1523 Před 7 měsíci +1

    God bless you 🙏 more. Ni upendo watu wanakupenda kwa utendaji kazi wako yaani tulinyongonyea ahsante mungu.polesana

  • @robertevarist1595
    @robertevarist1595 Před 7 měsíci +1

    Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema tunamuomba azidi kukutunza na kukupa maisha marefu Mh. Mpango.

  • @user-qo1xg1xg4g
    @user-qo1xg1xg4g Před 7 měsíci +2

    Asante Mungu kwaajili ya hili na mungu aendelee kuwajaalia afya njema viongozi wetu, inshaaaalah 🙏

  • @AbdulmalikFedrick-ct7nb
    @AbdulmalikFedrick-ct7nb Před 7 měsíci +2

    I love you Tanzania 💓
    I love you makamo walais
    I love you laisi wangu Samia ,💖
    Wameumbuka wapotoshaji

  • @mercyrehani2470
    @mercyrehani2470 Před 7 měsíci +1

    Asante Bwana Yesu, hakika nilianza kupata shaka, sasa nimefurahi kutoka moyoni kwa kukuona ukiongea. Mungu akuzidishie uhai na afya njema

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur Před 7 měsíci +14

    Huyu ndugu Amesimama sana na Mungu na Hana makuu na mtu yoyote Watanzania wenye mapenzi mema wamuombeye huyu ndugu Mungu aendeleye kumlinda

  • @marthajohn4911
    @marthajohn4911 Před 7 měsíci +7

    asant mungu nimekuon babangu moyo umeridhika 🎉

  • @rosekalimsenga2884
    @rosekalimsenga2884 Před 7 měsíci +4

    Hallelujah.. Mungu wa Mbinguni ahidimiwe. .. MUNGU AKUTUNZE DAIMA BABA

  • @user-tl1se8mx5d
    @user-tl1se8mx5d Před 7 měsíci +9

    Asante Yesu maana tuliomba na umetusikia. Tunakurudishia eh Baba Muumba sifa na utukufu kusikia hata sauti yake Makamu. Moyo ulikuwa na majonzi.

  • @annadua9083
    @annadua9083 Před 7 měsíci +2

    WOW baba mpango Mungu akuongezee umri na afya njema daima❤

  • @namelockmaasailady8002
    @namelockmaasailady8002 Před 7 měsíci +7

    Mungu akupe miaka mingi baba , mheshimiwa makamu wa raisi👏👏🌹

  • @pendomushi6351
    @pendomushi6351 Před 7 měsíci +20

    Baba huyoo! Waooh tumefurahi Sana watanzania kukuona na kuongea tukakusikia tutazidi kukuombea Dua na Ibada kwaajili Yako kiongozi wetu ❤❤❤

    • @AbdallaJuma-tx5ck
      @AbdallaJuma-tx5ck Před 7 měsíci

      Wewe na mpango ni watanganyika kama ni koloni la wazanzibar TU.utake usitake ndio Hilo.

  • @user-dj8ot7tz4o
    @user-dj8ot7tz4o Před 7 měsíci +2

    Asante Mungu! Maneno yote yaliyozuliwa kwako sisi wa nyumbani kwako huamini ukizuliwa hayo huwa ishara njema ya wewe kuishi maisha marefu na iwe hivyo baba!

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan7346 Před 7 měsíci +4

    tunakupenda mama yetu unafanya kazi vizuru pole pia kwa kikohoz mungu akuponye ni hali ya hewa ya bardi mom❤

  • @user-qg7gj5om4e
    @user-qg7gj5om4e Před 7 měsíci +1

    Asante Bw Yesu
    Hakika wewe waweza
    Mungu akubariki,
    Mungu ibariki Tanzania
    Mungu ibariki Africa

  • @bishopfrederickchingwaba5337
    @bishopfrederickchingwaba5337 Před 7 měsíci +2

    Mungu Ibariki nchi yetu pendwa Tanzania! Mungu wabariki viongozi wetu wote

  • @mujukishe8823
    @mujukishe8823 Před 7 měsíci +2

    Uwa sina shida na mwanamke unajua Watanzania walishazoea wanaume lakini akina mama ni viongozi wazuri sana.
    Ukienda ulaya wa mama wanaongoza vizuri tena kwa heshim.

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Před 7 měsíci +2

    Shukuru Mungu peke yake, waliokusemea mabaya mwachie Mungu,na zaidi sana tunakupa pole na wewe waambie Rais na watanzania asanteni, fedha ni zetu sio za Samia na mponyaji ni Mungu mpe yeye tu sifa na utukufu ni kwake, Amina

  • @PeterMkedege-jy3ff
    @PeterMkedege-jy3ff Před 7 měsíci

    Thanks.presdent.for.hosptality god bless you

  • @user-ty6ef7oo6k
    @user-ty6ef7oo6k Před 7 měsíci +1

    Ninamshukuru Mungu nimwema, Asante Sana viongozi wetu kwakazi nzuri, asanteni Sana

  • @mirajintandu9787
    @mirajintandu9787 Před 7 měsíci +1

    M/Mungu ni mwema kila wakati, asante mpango kwa kurejea nchini, hongera sana rais samia.. Mama shupavu sana Mungu azidi kukuhifadhi.

  • @NicholausNkumira-ue8fe
    @NicholausNkumira-ue8fe Před 7 měsíci +1

    Mungu ni Mwema sana...Aendelee kumtunza Dr. Mpango. Hakika tunamshukuru sana Mungu Dr. anaendelea kuchapa kazi.

  • @user-de2rg9kk7u
    @user-de2rg9kk7u Před 7 měsíci +2

    SAMIA SULUHU HASSAN MAMA ANGU KIPENZI 🥰🥰🥰 mama ni mama TU aisee! We love you mama We are proud of you 🥰🥰🇹🇿🇹🇿💪💪💪

  • @suzanalucasemanuel7006
    @suzanalucasemanuel7006 Před 7 měsíci +3

    Tuna kupenda sana baba mungu akupe maisha malefu 🙏🙏🙏

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt Před 7 měsíci +1

    Nimefurahi sana kukuona Baba Mungu awalinde viongozi wote, hofu sasa imekwisha Mungu wa Rehema na aturehemu

  • @gaspermassae5914
    @gaspermassae5914 Před 7 měsíci +1

    Mungu akulinde Baba, kazi iendelee...!

  • @gracekunambi7438
    @gracekunambi7438 Před 7 měsíci +2

    Mungu akulinde Mh Mpango.. Kwa maana ndani yako yupo Mungu wa kweli.

  • @pendomushi6351
    @pendomushi6351 Před 7 měsíci +9

    Nimefurahi mnoo zaidi ya sana kukuona Mzee wetu Mungu aendelee kukupigania na kukulinda !❤ Uone ni jinsi Gani wananchi wako Wana kujali na kukupenda una hekima ya mungu ndani Yako na mungu wa mbinguni aendelee kukulinda

    • @williamsenkoro2210
      @williamsenkoro2210 Před 7 měsíci

      Mzee yupo kama hayupo. Anapokea tuu mshahara lakini Hana say..

  • @mariachannel2047
    @mariachannel2047 Před 7 měsíci +2

    Kwa kweli Mitandao ni mizuri lkn inaweza kukupa heart attack . Baba Mungu azidi kukulinda baba. Tunakupenda mno mno .Tutaendelea kukuombea baba .Mungu umlinde Raisi na makamu na mawaziri na viongozi wote .Mungu ibariki Tanzania .Sasa nina amani ya moyo

  • @SimonMkindi-de3wx
    @SimonMkindi-de3wx Před 7 měsíci +2

    Poleni Sana Familia Za Wafiwa
    Huko Hanang
    Mwenyezi Mungu Zilaze Roho za
    Marehemu Mahali Pema Peponi Amen.

  • @user-vb4jk9jm3g
    @user-vb4jk9jm3g Před 7 měsíci +2

    Hongera Rais wetu ķazi yako ni njema sana kwa watanzania

  • @JuliethMganga
    @JuliethMganga Před 7 měsíci +1

    Sante mzee Mpango tunamshukuru Mungu kwa kukuona uko salaama tuliumia sana kwa tulichokisikia Ungu akulinde Ameen

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika
    @uwezawamungumkuu.amaniafrika Před 7 měsíci +1

    AMEN AMEN AMEN. KARIBU SANA MZEE WETU. KRISTO YESU KRISTO MWOKOZI AKUIFADHI HAI . AMEN AMEN. POLENI SANA NDUGU ZETU WOTE WALIYO PATWA NA MAJANGA. MUNGU MKUU ATUREHEMU SOTE NA TAIFA NA AFRIKA NCHI YANGU. AMEN.

  • @Juddy1017
    @Juddy1017 Před 7 měsíci +16

    Nice to hear from you, nice man, God protect you always 😊🎉

    • @paulswai7535
      @paulswai7535 Před 7 měsíci

      HELLOW JUDDY. YOUR IN WHICH country

  • @user-wo9ip7yu1x
    @user-wo9ip7yu1x Před 7 měsíci +8

    DUA Mungu aendelee kukulinda makam wetu🙏

  • @bolingodominic
    @bolingodominic Před 7 měsíci +1

    Kwa kumuona Dr mipango akiwa hai na afya Bora, Kuna kitu nimejifunza, na Kwa hili hakuna atakayeweza kunipoteza Tena. Mungu akupe afya njema na uchape kazi kwa ajili ya watanzania wenzako.

  • @chrispinchrisant1540
    @chrispinchrisant1540 Před 7 měsíci +1

    Mungu ni mwema mnoo.aliye na atakaye kunenea mabaya,yamrudie kwa Jina la Yesu Kristo,Amen

  • @jumamaulid9462
    @jumamaulid9462 Před 7 měsíci +1

    Allaah akupeni afya zaidi viongozi wetu.
    Kuna watu wameumbuka sanaaaa na roho zinawauma sanaaaaaa.

  • @kelvinissaya3537
    @kelvinissaya3537 Před 7 měsíci +2

    Huyu Mzee alifaa kuwa askofu kabisa, namna anavyoongea hadi raha yaani.

  • @JenithaRobert
    @JenithaRobert Před 7 měsíci +2

    Tumelizika kukuona mungu akuzidishiea afya njema

  • @rehemavickie6521
    @rehemavickie6521 Před 7 měsíci +1

    Mungu akulinde Baba, mnyenyekevu mno😊

  • @ndalusanzekassim5902
    @ndalusanzekassim5902 Před 7 měsíci +1

    Mwenyezimungu akujalie uhai mrefu, afya njema na mwisho mwema ameen.❤❤❤

  • @AmonA.Simbabhaje
    @AmonA.Simbabhaje Před 7 měsíci

    ❤mungu akupe umri mrefu brow

  • @christinakomba689
    @christinakomba689 Před 7 měsíci +2

    Dr mpango mm nakupenda sana,una hekima ya Mungu sanaaa

  • @lilyrose7983
    @lilyrose7983 Před 7 měsíci +1

    Mungu akutunze baba yangu.Hutakatika bali utaishi Ili uyashuhudie matendo ya Mungu 🙏

  • @user-vx7jp5mo6l
    @user-vx7jp5mo6l Před 7 měsíci +4

    Tulijawa na simanzi hakika Mungu umesikia kilio cha watanzania hatimae umetufariji tumefarijika

  • @user-fl2bt8ww1p
    @user-fl2bt8ww1p Před 7 měsíci +4

    Mungu mwema,tuwe na Iman na viongoz wetu

  • @user-rs6jg6tx2t
    @user-rs6jg6tx2t Před 7 měsíci

    Mzee una heshima na hekima sana mungu akujalie afya njema kila uendako maneno yapo tu dunian uwez yaepuka swala ni kuwaombea kwa mungu

  • @mamukaelo
    @mamukaelo Před 7 měsíci +8

    Mwenyezi Mungu akupe umri mrefu zaidi makamu wetu Inshallah kila anaekunenea mabaya yakuepuke kabisaa tunakupenda sanaa❤❤❤

    • @EGONLEONCE
      @EGONLEONCE Před 7 měsíci

      Hello makamwa imi. Bishop Egon. Israel nimefurahi kurudi kwako. Sarama piga kazi iendelee na the ,raid wetusamia usijali makelele yao

  • @thehajjzantourssafaricampa8756

    CCM oyeeee hongera mama samia kwa uwongozi wako mzuru sana CCM juu juu juu kabisa

  • @SimonMkindi-de3wx
    @SimonMkindi-de3wx Před 7 měsíci +1

    MHESHIMIWA Rais
    Vijana Wa JKT WANASAIDIA
    KUJENGA NYUMBA MSOMERA
    MH RAIS WALE VIJANA
    WATIZAMENI KWA JICHO LA HURUMA,.....

  • @dadamuebrania1539
    @dadamuebrania1539 Před 7 měsíci +1

    Bwana Yesu asifiwe.Ulindwe zaidi Mzee Mpango

  • @nashphatyprince7282
    @nashphatyprince7282 Před 7 měsíci +3

    For Real mzee bado anaumwa naomba tumuombee jaman iyo sauti apana mim sitaki kulia tena🙏✍️

  • @user-xs7ex2vh1n
    @user-xs7ex2vh1n Před 7 měsíci

    Mungu aendelee kukulinda kiongoz wetu hongeren sana kwa kazi nzur mnazo fanya

  • @femidayahaya4882
    @femidayahaya4882 Před 7 měsíci +2

    Alhamdulillah Baba tumemuona Tena..Tunakuombea afya njema Daima..mungu akutangulie

  • @amanlenatus9067
    @amanlenatus9067 Před 7 měsíci +3

    Duh aliyetuchanganya apa ni mtu mmoja anaelazimisha umaarufu na akigundulika kamateni mtangazeni then nd mchulieni hatua maana ametufanya tuishi kwa wasi wasi na hofu......mungu aendelee kukuweka mheshimiwa makamu wetu na viongozi wengine mnaolitumikia taifa pigeni kazi.....

  • @user-iw4vm7oc9c
    @user-iw4vm7oc9c Před 7 měsíci +3

    Amina, ninakuombea kila lililojema. Mungu akutunze

  • @yahayahussein-fh2tq
    @yahayahussein-fh2tq Před 7 měsíci +1

    Mungu ibariki tanzania mungu ibarika afrika mungu m,bariki mama yetu raisi wetu inshaallah

  • @joycemshana4028
    @joycemshana4028 Před 7 měsíci +1

    Mungu akujalie maisha marefu...na afya njema sana!!!!

  • @user-sp4jr4vw6t
    @user-sp4jr4vw6t Před 7 měsíci +1

    Ahsante Baba kumlinda ndg yetu mpendwa wetu mpole mnyenyekevu tunakupenda Eeh Mollah wetu tunakuomba endelea kumpa baba yetu afya njema

  • @rogerslwitiko3915
    @rogerslwitiko3915 Před 7 měsíci +1

    Hongera Bi.Mkubwa umeupiga mwingi Mungu aendelee kukuongezea hekima na busara

  • @annaamadeo-ge2dd
    @annaamadeo-ge2dd Před 7 měsíci

    Ahsante Mungu mwaminifu endelea kumtunza Phillipo. Mfunike kwa damu yako

  • @mariajerome2881
    @mariajerome2881 Před 7 měsíci +1

    Mungu aendelee kumpa Afya na maisha Marefu Dr. Mpango

  • @shungumwaisanila7193
    @shungumwaisanila7193 Před 7 měsíci +1

    Pole sana Baba etu watanzania bado tunakuhitaji Mungu akulinde Amen

  • @rev.musabalalarogersmusabalala
    @rev.musabalalarogersmusabalala Před 7 měsíci +3

    Ahsante kwa Yesu sifa kwa Yesu, Makamu umesema vyema kweli mitandao tuitumie vyema na tupendane Watanzania, Tumpende Rais wetu Samia ni muhimu kuzingatia Hilo, kuwapenda viongozi wetu na kuwaombea, Tupendane

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 Před 7 měsíci +1

    Mh Rais je unakumbuka mama ?Jonh pombe Magufuli alikuwa akiwapiga stop? Lakini kuna kauli mama ulisema kuwa ,on line Tv zilifungiwa zifunguliwe mara moja maana simba wa Yuda aliwaparua ,sasa Mungu ameamua kukuonyesha kuwa kuna wabaya sana na huzusha mabaya 😢
    JPM alikuwa sahihi kabisa

  • @user-zg1gd7rr5w
    @user-zg1gd7rr5w Před 7 měsíci +1

    Mungu ampe maisha marefu Makamu wa Raisi wanadamu tujifunze kulinda ndimi zetu

  • @saidabdus9014
    @saidabdus9014 Před 7 měsíci

    Ahsante mama kwa kutuelimisha Allah akuweke ktk kheri na akukinge na shari za mashetan.

  • @johnpesambili4806
    @johnpesambili4806 Před 7 měsíci +1

    Mungu ni mwema utaishi na utayasimulia matendo ya mungu. Maadui ni wengi lakini hawawezi kuzishinda siraha za mungu.

  • @jutimen604
    @jutimen604 Před 7 měsíci +2

    Mungu awalinde viongozi wetu rais wetu samia pole na hongera sana maana mmm yamesemwa mengi

  • @amiriadam9730
    @amiriadam9730 Před 7 měsíci

    ❤❤❤ Mama Samia,Dr Mpango &Pm Majaliwa.
    Kwa Utulivu wenu Upendo na Heshima yenu kwa Wananchi

  • @solomondanny-1507
    @solomondanny-1507 Před 7 měsíci

    You are very humble our vice president.

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 Před 7 měsíci

    Asante Sana Mungu Wangu kwa kuendelea kuipigania Nchi yangu ya Tanzania

  • @user-ts5ce9ps7q
    @user-ts5ce9ps7q Před 7 měsíci +1

    Mungu akubaroki baba zab 118-17
    Zab 35 Mungu pigana na wanaopigana na Mtumishi wako Flipo mpango

  • @florakweyunga4490
    @florakweyunga4490 Před 7 měsíci

    OMUKAMA ASIMWE......JEEEWEEEEE,JEEWEEEE.....ULAKOZE IMANA YANJE.🙏🙏🙏🙏🙏.TUNAWAPENDA VIONGOZI WETU.LAKINI HIZO NAURI ZILIVYO PANDA TUNAUMIA WANANCHI.

  • @abdulhmanmdee8707
    @abdulhmanmdee8707 Před 7 měsíci +3

    Mungu ni mwema

  • @fahadomar5809
    @fahadomar5809 Před 7 měsíci

    Roho zetu kidogo zipo sawa nakuombea na mungu akubariki dokta Philip Isdori mpango tunakupenda Watanzania na wanzanzibari mm ni fahad kutoka mkoa wa Magharibi Zanzibar 🇹🇿

  • @bonysulemani
    @bonysulemani Před 7 měsíci +1

    Mungu akupe maisha marefu mheshimiwa tunakupenda sana na tunakuombea sana ulijenge taifa letu baba pamoja na mama.

  • @jaymadeleka4670
    @jaymadeleka4670 Před 7 měsíci +9

    God bless you more and more 🙏🏿

    • @VeronikaRichard-hs5rf
      @VeronikaRichard-hs5rf Před 7 měsíci

      Asante bwana ulimjuwa kiongizi wetu tangu akingalitumboni mwa mama take ulinde MPE maisha marefu

  • @stewartdyamvunye-wz6rn
    @stewartdyamvunye-wz6rn Před 7 měsíci +32

    Ni kweli kabisa braza Philipo, kutokuwepo kwako nchini kwa takribani mwezi mmoja ilizaa taharuki. Mi nilipata hadi simu toka kwa ndgu yangu mmoja kijijini kwamba hivi we uko mjini, unajua/una fununu braza yupo wapi? Katika yote tunashukuru Mungu umerudi salama na taharuki imepoa. Ila naona bado kuna jambo linahitaji angaa maelelezo ya ziada kwa kile kilichokupeleka ugaibuni. Ama la minong'ono itaendelea. Si kawaida kwa Makamu wa Rais wa nchi yoyote ile kutumwa nje ya nchi kikazi kwa takribani mwezi mzima! Naweza sema Tanzania tumekuwa wa kwanza kufanya hivyo. Ni kazi gani? Au ni kazi ya kijasusi ambayo aghalabu hutangazwa (haitakiwi kutangazwa)! Nchi gani ulikwenda? Matokeo ya ziara yako ni yapi? Kumbuka "ulikwenda kukazi" kama ulivosema kwa naiba ya umma na kwa kugharimiwa na hela ya umma! Umma una haki ya kujua umetuletea nini toka safari yako! Amina na uendelee kuwa wa afya.

    • @bekabakari7394
      @bekabakari7394 Před 7 měsíci +2

      Big up bro
      Usiri mwingi
      Mbele giza
      Serikali iwe na uwazi
      Kwa wa tanzania

    • @user-cn5ft9ss6x
      @user-cn5ft9ss6x Před 7 měsíci +1

      We umamacho ya Rohoni au auna ??? Mimi siamini cha mtu ila kwa kuzungumza kwa mtu unaona alikuwa mgonjwa ajatengamaa...vizuri.

    • @huldamichael4445
      @huldamichael4445 Před 7 měsíci +1

      😂😂😂😂umenifurahisha

    • @huldamichael4445
      @huldamichael4445 Před 7 měsíci +2

      😂sterwat narudia tena una akili kubwa

    • @user-ku2sr9se2z
      @user-ku2sr9se2z Před 7 měsíci +1

      Mungu ni mwema karibu mh mpango

  • @elibarikmafie7490
    @elibarikmafie7490 Před 7 měsíci +1

    Mungu atakupa maisha marefu sana baba mpk watashangaa.

  • @user-rt6em4yb6g
    @user-rt6em4yb6g Před 7 měsíci +5

    Mungu awasamehe wale wooote wanaokunenea mabaya.

    • @josephdogani3419
      @josephdogani3419 Před 7 měsíci

      Usimhusishe mungu na upumbavu.jiulize kwanza kwa mini watu wazushe au wawe na maneno maneno.hawa watu no wajinga?hawampendi makamu? Tatizo ninini? Chanzo cha uzushi wore ni Nani ? Hembu tumia akili japo kidogo kabla hujamshirikisha mungu,kwa mini azushiwe makamu na simwingine?
      Huyu mtu ni mgonjwa na kunauwezekano kabusa alikuwa kwenye matibabu na gsli haikuwa nzuri ila mungu ksmnusuru amepona amerudi nzima ..
      Hembu tumia akili tu kidogo kufikili kabla hujamuhusisha .mungu, kwa mini hatujaona akipokelewa airport,kaibukia kanisani,tu?kwa mini hatumuona kwenye mitandao hump alipokuwa kukaz.yani hats picha ya video ,
      HV watu hawamuoni kiongoz wait Bila maelezo ya kutosha waache kujulliza na kuwa na mawazo tofauti?hao watch watakuwa watu au misukule?
      Chanzo cha yote haya no serikali kujaribu kuficha ukweli?

  • @magidalenarauya4286
    @magidalenarauya4286 Před 7 měsíci +1

    Mungu akulinde baba Yetu mpango,wewe ni mtu WA mungu

  • @EsterNdwanga-yb7zu
    @EsterNdwanga-yb7zu Před 7 měsíci +1

    Thanks GOD baba karejea mungu Akupe Afyaaa njema

  • @user-bs2nr7gz5p
    @user-bs2nr7gz5p Před 7 měsíci +1

    Mwenyezi mungu atakufanyia wepesi kiongozi watu inshaalah