Jina la Bwana wetu Yesu Kristo lipewe sifa. Asante Mungu kwa kuonekana kwa Makamu wa Rais Dr Isdory Mpango. Barikiwa sana baba. Tunakuombea heri daima.
Ashukuriwe Mungu kwa neema zake juu ya amani na usalama wa taifa letu hongera Rais wetu na pole makamu wetu kwa majukumu yako ya nchi yetu pamoja na jembe letu kassim majaliwa mungu ibariki Tanzania
Haleluya sifa kwa Bwana Wetu Yesu Kristo ainuliwe Mtumishi wa Mungu Asante saaaana Yesu Damu ya Yesu ikufunike na kukuzingira kwa wigo wa moto . YESU AKUPE MAISHA MARUFU ZAIDI KAMA ULIVYO KILI KUWA HUJAMALIZA KAZI YA BWANA IWE KAMA ULIVYO TAMKA.
Asante sana Baba. Mimi binafsi nimefarijika sana kukuona tena maana niliposikia maneno magumu yaliyoumiza moyo wangu kukuhusu wewe niliumia sana, na nilikataa kuyaamini.
Tunakupenda baba watanzania tumefurah kukuona watoto wa wanyonge tulikua hatuna aman ulvyo kua umeadmika mngu akulinde baba yetu na viongoz wetu wote mama samia 100% nch yetu ipo mkono salama
SAFII SANAAA Mama UMEONGEA VIZURI SANA.. Good Presentation Good Speech, Umetoa Presentation nzuuri sana kama kiongozi wa NCHI, Safiii sana my mama SAMIA SULUHU HASSAN
Asante Mungu! Maneno yote yaliyozuliwa kwako sisi wa nyumbani kwako huamini ukizuliwa hayo huwa ishara njema ya wewe kuishi maisha marefu na iwe hivyo baba!
Uwa sina shida na mwanamke unajua Watanzania walishazoea wanaume lakini akina mama ni viongozi wazuri sana. Ukienda ulaya wa mama wanaongoza vizuri tena kwa heshim.
Shukuru Mungu peke yake, waliokusemea mabaya mwachie Mungu,na zaidi sana tunakupa pole na wewe waambie Rais na watanzania asanteni, fedha ni zetu sio za Samia na mponyaji ni Mungu mpe yeye tu sifa na utukufu ni kwake, Amina
Nimefurahi mnoo zaidi ya sana kukuona Mzee wetu Mungu aendelee kukupigania na kukulinda !❤ Uone ni jinsi Gani wananchi wako Wana kujali na kukupenda una hekima ya mungu ndani Yako na mungu wa mbinguni aendelee kukulinda
Kwa kweli Mitandao ni mizuri lkn inaweza kukupa heart attack . Baba Mungu azidi kukulinda baba. Tunakupenda mno mno .Tutaendelea kukuombea baba .Mungu umlinde Raisi na makamu na mawaziri na viongozi wote .Mungu ibariki Tanzania .Sasa nina amani ya moyo
AMEN AMEN AMEN. KARIBU SANA MZEE WETU. KRISTO YESU KRISTO MWOKOZI AKUIFADHI HAI . AMEN AMEN. POLENI SANA NDUGU ZETU WOTE WALIYO PATWA NA MAJANGA. MUNGU MKUU ATUREHEMU SOTE NA TAIFA NA AFRIKA NCHI YANGU. AMEN.
Kwa kumuona Dr mipango akiwa hai na afya Bora, Kuna kitu nimejifunza, na Kwa hili hakuna atakayeweza kunipoteza Tena. Mungu akupe afya njema na uchape kazi kwa ajili ya watanzania wenzako.
Duh aliyetuchanganya apa ni mtu mmoja anaelazimisha umaarufu na akigundulika kamateni mtangazeni then nd mchulieni hatua maana ametufanya tuishi kwa wasi wasi na hofu......mungu aendelee kukuweka mheshimiwa makamu wetu na viongozi wengine mnaolitumikia taifa pigeni kazi.....
Ahsante kwa Yesu sifa kwa Yesu, Makamu umesema vyema kweli mitandao tuitumie vyema na tupendane Watanzania, Tumpende Rais wetu Samia ni muhimu kuzingatia Hilo, kuwapenda viongozi wetu na kuwaombea, Tupendane
Mh Rais je unakumbuka mama ?Jonh pombe Magufuli alikuwa akiwapiga stop? Lakini kuna kauli mama ulisema kuwa ,on line Tv zilifungiwa zifunguliwe mara moja maana simba wa Yuda aliwaparua ,sasa Mungu ameamua kukuonyesha kuwa kuna wabaya sana na huzusha mabaya 😢 JPM alikuwa sahihi kabisa
Roho zetu kidogo zipo sawa nakuombea na mungu akubariki dokta Philip Isdori mpango tunakupenda Watanzania na wanzanzibari mm ni fahad kutoka mkoa wa Magharibi Zanzibar 🇹🇿
Ni kweli kabisa braza Philipo, kutokuwepo kwako nchini kwa takribani mwezi mmoja ilizaa taharuki. Mi nilipata hadi simu toka kwa ndgu yangu mmoja kijijini kwamba hivi we uko mjini, unajua/una fununu braza yupo wapi? Katika yote tunashukuru Mungu umerudi salama na taharuki imepoa. Ila naona bado kuna jambo linahitaji angaa maelelezo ya ziada kwa kile kilichokupeleka ugaibuni. Ama la minong'ono itaendelea. Si kawaida kwa Makamu wa Rais wa nchi yoyote ile kutumwa nje ya nchi kikazi kwa takribani mwezi mzima! Naweza sema Tanzania tumekuwa wa kwanza kufanya hivyo. Ni kazi gani? Au ni kazi ya kijasusi ambayo aghalabu hutangazwa (haitakiwi kutangazwa)! Nchi gani ulikwenda? Matokeo ya ziara yako ni yapi? Kumbuka "ulikwenda kukazi" kama ulivosema kwa naiba ya umma na kwa kugharimiwa na hela ya umma! Umma una haki ya kujua umetuletea nini toka safari yako! Amina na uendelee kuwa wa afya.
Usimhusishe mungu na upumbavu.jiulize kwanza kwa mini watu wazushe au wawe na maneno maneno.hawa watu no wajinga?hawampendi makamu? Tatizo ninini? Chanzo cha uzushi wore ni Nani ? Hembu tumia akili japo kidogo kabla hujamshirikisha mungu,kwa mini azushiwe makamu na simwingine? Huyu mtu ni mgonjwa na kunauwezekano kabusa alikuwa kwenye matibabu na gsli haikuwa nzuri ila mungu ksmnusuru amepona amerudi nzima .. Hembu tumia akili tu kidogo kufikili kabla hujamuhusisha .mungu, kwa mini hatujaona akipokelewa airport,kaibukia kanisani,tu?kwa mini hatumuona kwenye mitandao hump alipokuwa kukaz.yani hats picha ya video , HV watu hawamuoni kiongoz wait Bila maelezo ya kutosha waache kujulliza na kuwa na mawazo tofauti?hao watch watakuwa watu au misukule? Chanzo cha yote haya no serikali kujaribu kuficha ukweli?
Jina la Bwana wetu Yesu Kristo lipewe sifa. Asante Mungu kwa kuonekana kwa Makamu wa Rais Dr Isdory Mpango. Barikiwa sana baba. Tunakuombea heri daima.
Uinuliwe BWANA wa mabwana....Uinuliwe umetenda mema...Tunakuinua BWANA tunakuinua YESU 🎉🎉🎉🎉
Mungu akupe umri mrefu na afya njema makamu wetu tunakupenda baba❤
Ashukuriwe Mungu kwa neema zake juu ya amani na usalama wa taifa letu hongera Rais wetu na pole makamu wetu kwa majukumu yako ya nchi yetu pamoja na jembe letu kassim majaliwa mungu ibariki Tanzania
Mungu aendelee kukuweka mikononi mwake akupe afya nnjema siku zote za maisha yako🙏... Baba mwenye hekima ya mungu... Nakupenda ❤
Amina Baba Mungu akutunze na kukulinda uwe na maisha marefu sana.
Mungu walinde viongozi wetu wote ktk Taifa let la Tanzania, mungu ibariki nchi yetu ya Tanzania.
Baba hautakufa bali utaishi maisha marefu sana tunakuombea Amen
Haleluya sifa kwa Bwana Wetu Yesu Kristo ainuliwe Mtumishi wa Mungu Asante saaaana Yesu Damu ya Yesu ikufunike na kukuzingira kwa wigo wa moto . YESU AKUPE MAISHA MARUFU ZAIDI KAMA ULIVYO KILI KUWA HUJAMALIZA KAZI YA BWANA IWE KAMA ULIVYO TAMKA.
Asante sana Baba. Mimi binafsi nimefarijika sana kukuona tena maana niliposikia maneno magumu yaliyoumiza moyo wangu kukuhusu wewe niliumia sana, na nilikataa kuyaamini.
🙏🙏🙏 Asante sana Mwenyezi Mungu muumba wetu kwa kutuonesha Kiongozi wetu! Walikuwa wameanza kutupandishia BP. KAZI IENDELEE!!!!!
Tunakupenda baba watanzania tumefurah kukuona watoto wa wanyonge tulikua hatuna aman ulvyo kua umeadmika mngu akulinde baba yetu na viongoz wetu wote mama samia 100% nch yetu ipo mkono salama
Oooh my GOD! Mungu ni PENDO apenda watu, Mungu ni PENDO atupenda! Sikilizeni furaha yetu, Mungu ni PENDO atupenda! AMEEN.
Amen. Mungu ni Mwema sana.Asante kwa kuturejeshea kamanda wetu,tukamwona live nje ya maneno mengi toka kona zote za nchi.
SAFII SANAAA Mama UMEONGEA VIZURI SANA.. Good Presentation Good Speech, Umetoa Presentation nzuuri sana kama kiongozi wa NCHI, Safiii sana my mama SAMIA SULUHU HASSAN
God bless you 🙏 more. Ni upendo watu wanakupenda kwa utendaji kazi wako yaani tulinyongonyea ahsante mungu.polesana
Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema tunamuomba azidi kukutunza na kukupa maisha marefu Mh. Mpango.
Asante Mungu kwaajili ya hili na mungu aendelee kuwajaalia afya njema viongozi wetu, inshaaaalah 🙏
I love you Tanzania 💓
I love you makamo walais
I love you laisi wangu Samia ,💖
Wameumbuka wapotoshaji
Asante Bwana Yesu, hakika nilianza kupata shaka, sasa nimefurahi kutoka moyoni kwa kukuona ukiongea. Mungu akuzidishie uhai na afya njema
Huyu ndugu Amesimama sana na Mungu na Hana makuu na mtu yoyote Watanzania wenye mapenzi mema wamuombeye huyu ndugu Mungu aendeleye kumlinda
asant mungu nimekuon babangu moyo umeridhika 🎉
Hallelujah.. Mungu wa Mbinguni ahidimiwe. .. MUNGU AKUTUNZE DAIMA BABA
Asante Yesu maana tuliomba na umetusikia. Tunakurudishia eh Baba Muumba sifa na utukufu kusikia hata sauti yake Makamu. Moyo ulikuwa na majonzi.
Mungu Akupe maisha marefu.. 🙏 🙏
WOW baba mpango Mungu akuongezee umri na afya njema daima❤
Mungu akupe miaka mingi baba , mheshimiwa makamu wa raisi👏👏🌹
HAKIKA MUNGU NI MWEMA MKUUU WETU WA NCHI CHAPA KAZI .
Baba huyoo! Waooh tumefurahi Sana watanzania kukuona na kuongea tukakusikia tutazidi kukuombea Dua na Ibada kwaajili Yako kiongozi wetu ❤❤❤
Wewe na mpango ni watanganyika kama ni koloni la wazanzibar TU.utake usitake ndio Hilo.
Asante Mungu! Maneno yote yaliyozuliwa kwako sisi wa nyumbani kwako huamini ukizuliwa hayo huwa ishara njema ya wewe kuishi maisha marefu na iwe hivyo baba!
tunakupenda mama yetu unafanya kazi vizuru pole pia kwa kikohoz mungu akuponye ni hali ya hewa ya bardi mom❤
Asante Bw Yesu
Hakika wewe waweza
Mungu akubariki,
Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki Africa
Mungu Ibariki nchi yetu pendwa Tanzania! Mungu wabariki viongozi wetu wote
Uwa sina shida na mwanamke unajua Watanzania walishazoea wanaume lakini akina mama ni viongozi wazuri sana.
Ukienda ulaya wa mama wanaongoza vizuri tena kwa heshim.
Shukuru Mungu peke yake, waliokusemea mabaya mwachie Mungu,na zaidi sana tunakupa pole na wewe waambie Rais na watanzania asanteni, fedha ni zetu sio za Samia na mponyaji ni Mungu mpe yeye tu sifa na utukufu ni kwake, Amina
Thanks.presdent.for.hosptality god bless you
Ninamshukuru Mungu nimwema, Asante Sana viongozi wetu kwakazi nzuri, asanteni Sana
M/Mungu ni mwema kila wakati, asante mpango kwa kurejea nchini, hongera sana rais samia.. Mama shupavu sana Mungu azidi kukuhifadhi.
Mungu ni Mwema sana...Aendelee kumtunza Dr. Mpango. Hakika tunamshukuru sana Mungu Dr. anaendelea kuchapa kazi.
SAMIA SULUHU HASSAN MAMA ANGU KIPENZI 🥰🥰🥰 mama ni mama TU aisee! We love you mama We are proud of you 🥰🥰🇹🇿🇹🇿💪💪💪
Tuna kupenda sana baba mungu akupe maisha malefu 🙏🙏🙏
Nimefurahi sana kukuona Baba Mungu awalinde viongozi wote, hofu sasa imekwisha Mungu wa Rehema na aturehemu
Mungu akulinde Baba, kazi iendelee...!
Mungu akulinde Mh Mpango.. Kwa maana ndani yako yupo Mungu wa kweli.
Nimefurahi mnoo zaidi ya sana kukuona Mzee wetu Mungu aendelee kukupigania na kukulinda !❤ Uone ni jinsi Gani wananchi wako Wana kujali na kukupenda una hekima ya mungu ndani Yako na mungu wa mbinguni aendelee kukulinda
Mzee yupo kama hayupo. Anapokea tuu mshahara lakini Hana say..
Kwa kweli Mitandao ni mizuri lkn inaweza kukupa heart attack . Baba Mungu azidi kukulinda baba. Tunakupenda mno mno .Tutaendelea kukuombea baba .Mungu umlinde Raisi na makamu na mawaziri na viongozi wote .Mungu ibariki Tanzania .Sasa nina amani ya moyo
Poleni Sana Familia Za Wafiwa
Huko Hanang
Mwenyezi Mungu Zilaze Roho za
Marehemu Mahali Pema Peponi Amen.
Hongera Rais wetu ķazi yako ni njema sana kwa watanzania
Sante mzee Mpango tunamshukuru Mungu kwa kukuona uko salaama tuliumia sana kwa tulichokisikia Ungu akulinde Ameen
AMEN AMEN AMEN. KARIBU SANA MZEE WETU. KRISTO YESU KRISTO MWOKOZI AKUIFADHI HAI . AMEN AMEN. POLENI SANA NDUGU ZETU WOTE WALIYO PATWA NA MAJANGA. MUNGU MKUU ATUREHEMU SOTE NA TAIFA NA AFRIKA NCHI YANGU. AMEN.
Nice to hear from you, nice man, God protect you always 😊🎉
HELLOW JUDDY. YOUR IN WHICH country
DUA Mungu aendelee kukulinda makam wetu🙏
Kwa kumuona Dr mipango akiwa hai na afya Bora, Kuna kitu nimejifunza, na Kwa hili hakuna atakayeweza kunipoteza Tena. Mungu akupe afya njema na uchape kazi kwa ajili ya watanzania wenzako.
Mungu ni mwema mnoo.aliye na atakaye kunenea mabaya,yamrudie kwa Jina la Yesu Kristo,Amen
Allaah akupeni afya zaidi viongozi wetu.
Kuna watu wameumbuka sanaaaa na roho zinawauma sanaaaaaa.
Huyu Mzee alifaa kuwa askofu kabisa, namna anavyoongea hadi raha yaani.
Tumelizika kukuona mungu akuzidishiea afya njema
Mungu akulinde Baba, mnyenyekevu mno😊
Mwenyezimungu akujalie uhai mrefu, afya njema na mwisho mwema ameen.❤❤❤
❤mungu akupe umri mrefu brow
Dr mpango mm nakupenda sana,una hekima ya Mungu sanaaa
Jambo jema
Mungu akutunze baba yangu.Hutakatika bali utaishi Ili uyashuhudie matendo ya Mungu 🙏
Tulijawa na simanzi hakika Mungu umesikia kilio cha watanzania hatimae umetufariji tumefarijika
Mungu mwema,tuwe na Iman na viongoz wetu
Mzee una heshima na hekima sana mungu akujalie afya njema kila uendako maneno yapo tu dunian uwez yaepuka swala ni kuwaombea kwa mungu
Mwenyezi Mungu akupe umri mrefu zaidi makamu wetu Inshallah kila anaekunenea mabaya yakuepuke kabisaa tunakupenda sanaa❤❤❤
Hello makamwa imi. Bishop Egon. Israel nimefurahi kurudi kwako. Sarama piga kazi iendelee na the ,raid wetusamia usijali makelele yao
CCM oyeeee hongera mama samia kwa uwongozi wako mzuru sana CCM juu juu juu kabisa
MHESHIMIWA Rais
Vijana Wa JKT WANASAIDIA
KUJENGA NYUMBA MSOMERA
MH RAIS WALE VIJANA
WATIZAMENI KWA JICHO LA HURUMA,.....
Bwana Yesu asifiwe.Ulindwe zaidi Mzee Mpango
For Real mzee bado anaumwa naomba tumuombee jaman iyo sauti apana mim sitaki kulia tena🙏✍️
Mungu aendelee kukulinda kiongoz wetu hongeren sana kwa kazi nzur mnazo fanya
Alhamdulillah Baba tumemuona Tena..Tunakuombea afya njema Daima..mungu akutangulie
Duh aliyetuchanganya apa ni mtu mmoja anaelazimisha umaarufu na akigundulika kamateni mtangazeni then nd mchulieni hatua maana ametufanya tuishi kwa wasi wasi na hofu......mungu aendelee kukuweka mheshimiwa makamu wetu na viongozi wengine mnaolitumikia taifa pigeni kazi.....
Amina, ninakuombea kila lililojema. Mungu akutunze
Mungu ibariki tanzania mungu ibarika afrika mungu m,bariki mama yetu raisi wetu inshaallah
Mungu akujalie maisha marefu...na afya njema sana!!!!
Ahsante Baba kumlinda ndg yetu mpendwa wetu mpole mnyenyekevu tunakupenda Eeh Mollah wetu tunakuomba endelea kumpa baba yetu afya njema
Hongera Bi.Mkubwa umeupiga mwingi Mungu aendelee kukuongezea hekima na busara
Ahsante Mungu mwaminifu endelea kumtunza Phillipo. Mfunike kwa damu yako
Mungu aendelee kumpa Afya na maisha Marefu Dr. Mpango
Pole sana Baba etu watanzania bado tunakuhitaji Mungu akulinde Amen
Ahsante kwa Yesu sifa kwa Yesu, Makamu umesema vyema kweli mitandao tuitumie vyema na tupendane Watanzania, Tumpende Rais wetu Samia ni muhimu kuzingatia Hilo, kuwapenda viongozi wetu na kuwaombea, Tupendane
Mh Rais je unakumbuka mama ?Jonh pombe Magufuli alikuwa akiwapiga stop? Lakini kuna kauli mama ulisema kuwa ,on line Tv zilifungiwa zifunguliwe mara moja maana simba wa Yuda aliwaparua ,sasa Mungu ameamua kukuonyesha kuwa kuna wabaya sana na huzusha mabaya 😢
JPM alikuwa sahihi kabisa
Mungu ampe maisha marefu Makamu wa Raisi wanadamu tujifunze kulinda ndimi zetu
Ahsante mama kwa kutuelimisha Allah akuweke ktk kheri na akukinge na shari za mashetan.
Mungu ni mwema utaishi na utayasimulia matendo ya mungu. Maadui ni wengi lakini hawawezi kuzishinda siraha za mungu.
Mungu awalinde viongozi wetu rais wetu samia pole na hongera sana maana mmm yamesemwa mengi
❤❤❤ Mama Samia,Dr Mpango &Pm Majaliwa.
Kwa Utulivu wenu Upendo na Heshima yenu kwa Wananchi
You are very humble our vice president.
Asante Sana Mungu Wangu kwa kuendelea kuipigania Nchi yangu ya Tanzania
Mungu akubaroki baba zab 118-17
Zab 35 Mungu pigana na wanaopigana na Mtumishi wako Flipo mpango
OMUKAMA ASIMWE......JEEEWEEEEE,JEEWEEEE.....ULAKOZE IMANA YANJE.🙏🙏🙏🙏🙏.TUNAWAPENDA VIONGOZI WETU.LAKINI HIZO NAURI ZILIVYO PANDA TUNAUMIA WANANCHI.
Mungu ni mwema
Roho zetu kidogo zipo sawa nakuombea na mungu akubariki dokta Philip Isdori mpango tunakupenda Watanzania na wanzanzibari mm ni fahad kutoka mkoa wa Magharibi Zanzibar 🇹🇿
Mungu akupe maisha marefu mheshimiwa tunakupenda sana na tunakuombea sana ulijenge taifa letu baba pamoja na mama.
God bless you more and more 🙏🏿
Asante bwana ulimjuwa kiongizi wetu tangu akingalitumboni mwa mama take ulinde MPE maisha marefu
Ni kweli kabisa braza Philipo, kutokuwepo kwako nchini kwa takribani mwezi mmoja ilizaa taharuki. Mi nilipata hadi simu toka kwa ndgu yangu mmoja kijijini kwamba hivi we uko mjini, unajua/una fununu braza yupo wapi? Katika yote tunashukuru Mungu umerudi salama na taharuki imepoa. Ila naona bado kuna jambo linahitaji angaa maelelezo ya ziada kwa kile kilichokupeleka ugaibuni. Ama la minong'ono itaendelea. Si kawaida kwa Makamu wa Rais wa nchi yoyote ile kutumwa nje ya nchi kikazi kwa takribani mwezi mzima! Naweza sema Tanzania tumekuwa wa kwanza kufanya hivyo. Ni kazi gani? Au ni kazi ya kijasusi ambayo aghalabu hutangazwa (haitakiwi kutangazwa)! Nchi gani ulikwenda? Matokeo ya ziara yako ni yapi? Kumbuka "ulikwenda kukazi" kama ulivosema kwa naiba ya umma na kwa kugharimiwa na hela ya umma! Umma una haki ya kujua umetuletea nini toka safari yako! Amina na uendelee kuwa wa afya.
Big up bro
Usiri mwingi
Mbele giza
Serikali iwe na uwazi
Kwa wa tanzania
We umamacho ya Rohoni au auna ??? Mimi siamini cha mtu ila kwa kuzungumza kwa mtu unaona alikuwa mgonjwa ajatengamaa...vizuri.
😂😂😂😂umenifurahisha
😂sterwat narudia tena una akili kubwa
Mungu ni mwema karibu mh mpango
Mungu atakupa maisha marefu sana baba mpk watashangaa.
Mungu awasamehe wale wooote wanaokunenea mabaya.
Usimhusishe mungu na upumbavu.jiulize kwanza kwa mini watu wazushe au wawe na maneno maneno.hawa watu no wajinga?hawampendi makamu? Tatizo ninini? Chanzo cha uzushi wore ni Nani ? Hembu tumia akili japo kidogo kabla hujamshirikisha mungu,kwa mini azushiwe makamu na simwingine?
Huyu mtu ni mgonjwa na kunauwezekano kabusa alikuwa kwenye matibabu na gsli haikuwa nzuri ila mungu ksmnusuru amepona amerudi nzima ..
Hembu tumia akili tu kidogo kufikili kabla hujamuhusisha .mungu, kwa mini hatujaona akipokelewa airport,kaibukia kanisani,tu?kwa mini hatumuona kwenye mitandao hump alipokuwa kukaz.yani hats picha ya video ,
HV watu hawamuoni kiongoz wait Bila maelezo ya kutosha waache kujulliza na kuwa na mawazo tofauti?hao watch watakuwa watu au misukule?
Chanzo cha yote haya no serikali kujaribu kuficha ukweli?
Mungu akulinde baba Yetu mpango,wewe ni mtu WA mungu
Thanks GOD baba karejea mungu Akupe Afyaaa njema
Mwenyezi mungu atakufanyia wepesi kiongozi watu inshaalah