Tazama IBRAAH Apigiwa SIMU Na HARMONIZE Katikakati Ya INTERVIEW Na KUAMBIWA Maneno HAYA/ Dayo ACHEKA
Vložit
- čas přidán 13. 09. 2024
- Msanii IBRAAH Akiwa Na DAYOO Waemfunguka Mengi Kuhusiana Na Muziki Wao 🎥
SUBSCRIBE Sasa Kama Bado Hauja SUBSCRIBE Ili Uwe Wakwanza Kupata Habari Zote Za Burudani Na Michezo Ambazo Tutakuwa Tukikusogezea Kila Siku Inayoitwa Leo :)
Dah ibraaah nakupenda sana ila leo ume niboa leo nisku ya Dayoo unge waambia waandishi ivyo kasababu ni interview yake
Anamtania bhn mshkaji wake
Kwani ujui mitani bana skiza interview 😂😂😂😂
Amekuwa mbinafsi niko sure watu wanataka kumskiza dayoo
Wanataniana tu.
Ndio bongo@@amosethantheking8815
Huyu jamaa yuko smart sana Ibraah ana akili sana kwenye interview
Manyoka wadogo ila wote awaniwesi kuadika mistari
Mbona washa fanana❤
Yani ibra anamperekea moto raivany❤❤❤❤❤
Babu wa Ibra kwa msiomjua ni Diamond 😅😅😅😅
Huyu dayoo kaleta usela sana kakutna na msela chinga lengo dayo aonekanike mkali kuliko ibra kumbe dayooo badooo after all ibraa n mkali na that boi de best🎉
Nakubal sana ibrah nakukubal sana
Nimependa sana iii
Ibraah Ni wonder
BRO UNAONGEA VZR SANA ILA KUNA NDUGU ZANGU PALE WAMENIIMBIA SIJI HUKU VERSE IMEKUJA NYINGINE KABISA SAUTI YAANI SHIDA ALOOOH 😇😇😇😇😇😇😇
Braz ibraah umemkilly san mbal sn uyo dayoo bado mwana san kwak kak
IBra unaleta habari za otile kmmmkeeee yaan nilikuwa fan but 😮😮
Ila kweli mwandishi anauliza maswali ya kuchonganisha sana ila ibra anajibu powa sanaaa🎉🎉🎉🎉
Ibrah anajibu vizuri sana
Baga ap ibrah mwaka huu wako 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Ka Ibra kazuriii😂
Dayoo jifunze kuongea kwenye interview cheki ibra alivyo kukalisha kwenye interview kaongea vizuri sn ibra kwasasa upo vizuri sn na umekuwa kimziki na kiakili kwasasa huna ushamba wa boss wako
Nmependa pale aliposema NAMHESHIMU NA NNAM'RESPECT😂😂😂😂😂😂
@@azizakarim7532 😂😂🙌
Chinga yuko vizuri sana
Ibra Ana heshima sanaa
Konde worldwide 4ever
Ila dgo ibraah kamfunika dayoo
🎉🎉
Ibra tz❤
😌😌😌
Ibrah ni nyokoooo ❤
Ibra iko vzr mnoo
ibraa umeoga vinzur🔥🔥🔥
Dayo bro napenda Saudi yako ibra nimjuwaji kama boss wake harmonize umewazidi sana
Mmmmmh
Ibra nirofa ngoma dayo ft rayvany nita mu sana Ila sauti yadayo tunamsikiliza sana
Ibraa
🔥🔥🔥🔥
Mwandishi kenge kweli
Dayooo ni kama anamuiga ibrah😂😂😂
Pia we umeona kumbe😂
Sio kumuiga bali anamzingua na yeye Inabidi azingue pia wanazinguana 😂😂
😮😮
Uyo dogo ana zarau sana shida
Unaongeya vizul kk ibrah
Yaaani interview mzima nyinyi wana habari all the time kwa ibraah dayo kawa kama body guard
Ibra kauwa kwenye nyimbo
Kweli ibra kaua
Ibra umekuwa
Lakin bado umeuwa sana 😮
Yani hawa ni kama ndugu waliofatana😂😂
Ibraah tz
miamba waawili wakikutana kweny debate ,debate haijawai ishaaaaa😂😂😂🙃
Babu kazeeka
Ila Ibra anachoongea anajiamin na ni ukwel mtupuu
Dayoo atali sana
Nomaaa sana
Ila Dayoo kayatimba Kwa chinga😂😂
Kajibu maswali kiakili sana
Ibra mi nataka kolabo na ww
Diamond na harmonize wanann apo tena
Dayoo jaman jifunze
Uliza mambo ya msingi.
Dayo unazngua unapenda kujisifia sana
Marooo Jaivaa na huyu dayoo wanafanana
Kweli nami nimeona
Kweli alafu
Uw UNAO leta dayooo niukimangu acha ushamba
Zarhau ni nyimbo kubwa kuliko umwaka.
ila waandishi bwana mandezi sana
Chinga mntu wangu
Dayoo🫡🫡
Uyo jamaa mbona ajui anacho kifany
😂awa waandishi?ao maharagi ivi half interview nikuusu diamond
Huyu jama dayoo ahana akili anataka kushindana na watu wa kubwa
😅😮😮😂😮😅😅😅😮😮😮😅
Watangazaji mnakuwa kama mabwabwa wasanii 2 mnakazania kudeal na msanii mmoja tu
Mbona mwandishi anauliza maswali ya kiwaki ..unalazimisha
😂😂😂
Maswali yakichokozi
Mbona simu ya konde cjaiskia
Waandishi maku sana😂
PTV nimachoko sana awa hoja yake ni daimond platinum na konde tu PTV awafai kabisa kuoji wasani
So Mondi amekua babu
Watanagazaji wapumbavu sana ni maswali gani hayo
Waandish wasenge..... maswal out of interview
PTV NIMACHOKO SANA SANA MASWALI GANI SASA YEYE NI DAIMOND PLATINUM NA HAMONARZ CHOKO SANA PTV
wajinga San hawajui kuhoji
Yani nyie ni waandish wa hovyo sana
Sasaa hiyo simu kapiga saa ngapi?
Uyu mtangazaji wa PTV choko saana kwakweli maswali gani hayo ya kipuuzi, hebu mukomae basi mxxx
czcams.com/video/-t9uQ3hgPcM/video.htmlsi=ZwjJ89EVIE7AkIiO
Upendo # Paul clement
Minister Lawrence
Waandish wengine vilaza sn, maswali flani hv ya kichonganishi 🚮.
Maswali ya kijinga sana.
😂😂😂😂
😂😂😂