Meen, I've never even spoken swahili with a word haswa in it and this fluent American is speaking it, furthermore the accent, the flow is just amazing, if it's just audio no one will say you are white. They will say you are Tanzanian
Hii ndio Africa mashariki yenye Ladha ya Lugha na ukarim kwa wageni na ni sehemu ya mila za kia Africa zenye mshikamano na jamii yoote, karibu sana karibu Africa karibu Africa mashariki
Swaibah "mzungu", Kiswahili chako ni poa sana, sana tena sana!!! Lakini fikiria ,wako waafrika hasa wakenya mafalah,machizi,wenye mawazo ya kitumwa hawataki kuongea Kiswahili, hawezi kusema sentence moja bila kutia kizungu hasa wakutoka Nairobi!!! Mara nyengine ukija Kenya, jaribu kuishi Mombasa / malindi / Lamu, hapo ndipo utapiga msasa hii lugha na tukupe jina la pwani.Kwa sasa ntakwita "Mswahili Ziara". Man you`re great!
But we can communicate comfortably in swahili it doesn't have to be kiswahili mufti usi sahau tuna lugha za mama bado amazon tuna faa kuwa tukiongea usisahau nakizungu pia like every kenya is supposed to be fluent in three languages lugha ya mama,kizungu na kiswahili ai we try bwana
Oh .. I know you Joshua! Did you go to WSU KS (I'm a WSU Allumni )? Guess who went there? I am also from kitui. Lol. If This is you.... We met at wheat-shocker.. I Mean the old building...
Iyo siyo Kiswahili, ni KIKUYU 😆🤣 His Kiswahili is much better than our frenchlize Kiswahili from Rwanda or Congo, Burundi etc.... Much romantical with drama 😘 Karibu Rwanda 🇷🇼👍
kiswahili kizuri kama umezaliwa Tanzania,,,...karibu tenaa kaka
Meen, I've never even spoken swahili with a word haswa in it and this fluent American is speaking it, furthermore the accent, the flow is just amazing, if it's just audio no one will say you are white. They will say you are Tanzanian
Hivi mimi mkenya haswa mzaliwa wa hapa lakini kichwahili chako ki shwari mwanangu zaidi kushinda changu,,,hongera lakini
Nailed it. I met this guy called Adams on a plane and he surprised me speaking fluent Swahili. This guy is also great.
Hey, siamini ndugu Kiswahili chako ni safi. Nimefurahi sana. Karibu wakati wowote
Hii ndio Africa mashariki yenye Ladha ya Lugha na ukarim kwa wageni na ni sehemu ya mila za kia Africa zenye mshikamano na jamii yoote, karibu sana karibu Africa karibu Africa mashariki
Alitembea Kenya lakini hazungumzi kama Wakenya, lafudhi yake ni ya Kitanzania ;-)
Wacha kuleta mzaha na mchezo ndani ya kazi. Kila sehemu ina matamshi yake hata kama mizani za neno ni sawa.
Kweli ana kiswahili kizuri kuliko cha wakenya
Kabisaaaa 🇹🇿🇹🇿the first one kiswahil
Karibu tenaaaa
kiswahili chako nikizuri sana nakuomba kihubiri kiswahili na huko marekani
Hahahahhaha wooow so wonderful to speaking Swahili language,, unaongea kiswahili sahihi sana 🇹🇿
Wow karibu tena
Ukifumba macho utadhani ni mchaga😊
"Hadi nyumbani kwao nimekaa kwenye sofa, nmekula"😂😂
Nmekupenda buree😍
Magufuli mpe mkoba kamanda huyu, 🇹🇿👌👍☝️ mwenzetu 🙏🙏🙏🇹🇿
Hongera sana
Naomba tuwe marafiki
Unajitahidi sana kama vile umezaliwa Tanzania mhhhm hongera sana
kiswahili chako bomba haswa. Fasaha na kizuri. Matamshi yako ni safi sana
Mhhhhhhhhh very well
EBU MWAFRICA AONGEE KIZUNGU WATUWA TATOKWA NA MAPOFU SAAAAANA 🇰🇪🇨🇿
Kiswahili kimenyooka 👏👏
Safiii sana Karibu tema Afrika Mashariki.
Swaibah "mzungu", Kiswahili chako ni poa sana, sana tena sana!!! Lakini fikiria ,wako waafrika hasa wakenya mafalah,machizi,wenye mawazo ya kitumwa hawataki kuongea Kiswahili, hawezi kusema sentence moja bila kutia kizungu hasa wakutoka Nairobi!!! Mara nyengine ukija Kenya, jaribu kuishi Mombasa / malindi / Lamu, hapo ndipo utapiga msasa hii lugha na tukupe jina la pwani.Kwa sasa ntakwita "Mswahili Ziara". Man you`re great!
Eish matusi ya nini tena
Hahaha 👏🏾👏🏾👏🏾 *sijuwi* apo unajua huyu kakaa mtaani
Karibu tena kwetu Kitale tule ugali na kuku
Karibu tena Tanzania 🇹🇿
Nitakupikia n'nsasa za karanga
Komaa mkuu
Perfect 👌
karibu sanaaa Tz
Karibu tena Tanzania 🇹🇿
You are hero 👍👏👏💯💫
Karibuni hata kweri Burundi
Kenya hakuna matata
Perfect Textbook Swahili .
karibu tena kenya Kiswahili kizuri
Da kiswahili kizuri sana , karibu Kenya tena
perfect from 🇰🇪💯
Sanifu kuniliko ata sielewi maneno mengine.
Karibu tena kenya tunapenda wageni zaidi.
Mash Allah
MZEE baba unamjua sana
Kiswahili nzuri
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂🤣🤣🤣 eti kinyama kabisa
Nmeipenda hiyo
Uko poa kaka njoo tukupe uraia.
I love you 😍😍😍
Bro uko noma!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kiswahili ya huyu imeomoka
Kenyan Swahili is not the normal Swahili..it's like Nigerian English.
👌🤛🙏👋👋👋
Kiswahili kizuri kakangu
Karbu sana Tanzania
U got a nice Swahili accent.
Big up
Huyu Naye wa moto sana
Ain't gonna lie swahili yako nzuri for a white guy Lmaoo
Na kupenda sana
🔥👌👌👌💯🔥
Kalibu tena tanzania
Vizur sana
🇹🇿💪🏻
Lafudhi ya tz hicho ni kiswahili safiiiii
Kiswahili the next big thing
nice
Da onaongea kiswali sahihi
Aitwa aje, huyu msanii?
Karibu tena Tanzania,,,,,karibu dar es salaam,,,,naomba tuwe tunawasiliana,,,,,on Instagram "I am Aaron dick tz"",,,,,, karibu kcc ujifunze sanaa
Mpaka raha jamani
Seems u lived in tz more......UA accent is more of tz......in Kenya our Swahili is just something else😂😂😂😂 n we don't even use Swahili sanifu.
Hahahaha, very true, he more of a Tanzanian, wachana na Kenya.
But we can communicate comfortably in swahili it doesn't have to be kiswahili mufti usi sahau tuna lugha za mama bado amazon tuna faa kuwa tukiongea usisahau nakizungu pia like every kenya is supposed to be fluent in three languages lugha ya mama,kizungu na kiswahili ai we try bwana
Afrika masharika twapenda watu
ww unakijua kiswahili la kidogo lafdhi
Kwahyo wewe umesalimika kuowa mkenya? 😂😂😂 Karbu Tena Tanzania nchi yenye amani
unaongea vizuli sana
هلا فيك 💜
هلا فيك
Raya Salim احنا وش جابنا هنا 😂😂ع الأقل انا افهم وش يقول
Karibu tena bro
Karibu tena na tena..
Munip nomber yake please
Kiswahili cha mwambao ama cha pemba?
Oh .. I know you Joshua! Did you go to WSU KS (I'm a WSU Allumni )? Guess who went there? I am also from kitui. Lol. If This is you.... We met at wheat-shocker.. I Mean the old building...
Nå feel like wewe ni wetu
I
Iyo siyo Kiswahili, ni KIKUYU 😆🤣 His Kiswahili is much better than our frenchlize Kiswahili from Rwanda or Congo, Burundi etc.... Much romantical with drama 😘 Karibu Rwanda 🇷🇼👍
Rwanda or Congo? So you mean Rwanda is the same thing and Congo.
amjui kiswahili nyie wa warwanda