Kidole gumba : alfatah (489) Kidole cha shahada : alwahab (14 ) Chini ya alfatahu : arrazak( 308) Chini ya ya kidole cha shahad ,kidole kidogo : alghaniu (1060 ) Kuandika : anza na al Kusoma : sema ya …..
Ass alaykum sheikh sijaelewa naomba noeleweshwe hapo kwenyo kutamka mbona namba zinapishana na umesema tutamke kwa pamoja mf alfatah 489...alwahab 14 nikisoma kwa pamoja si itakuwa nimetamka sawa kwa majina yote ? Au nikifika kumi na nne ya alwahab nisiitamke tena niendelee na hayo mengine? Yaani nitakua napunguza kwa idadi ya kila jina kulingana na namba yake ..samahani km nimekusumbua ...nahitaji sana ..natanguliza shukrani zangu ..na Allah s.a akulipe zaidi na zaidi inshaAllah
Aslm alykm warhmatullah ustadh,, shukran Kwa Muongozo wa hii mada ya Majina ya Allah,,ila swali umesema ukishatawadha Alf unaandika hyo majina manne katka kiganja Cha mkono wa kulia je Kuna umuhimu wa kuandika hvyo katka kiganja maana mm kuandika na mkono wa shoto cwez ustadh
Asalam alykum warahmatulahi wabarakatuh. Allah akujaze kheri innshaallah kwa darasa la kipekee kwa hakika sijawai sikia ila kwako Sheikh. Allah akupe wepesi katika harakati hizi za kheri innshaallah.
السلام عليكم ورحمة الله وبركاته الحمد لله رب العالمين والصلاة والسلام على رسول الله محمد ابن عبد الله القاءم بحقوق الله ماضاقت الا وفرجها الله اما بعد: Nianze kwa kutoa ufafanuzi wa maswali Kuhusu ambae hana zile alaaama kwenye mikono Jibu:wote hizo alama tunazo, -alieuliza he naweza kuandika kwa lugha gani! Jibu: lugha ni kiarabu kama ilivyoshuka QURAAN kwa kiarabu - idadi ya kusoma 1871 -majina yenyewe الفتاح( MWENYE kufungua) الوهاب ( mpaji, mwenye kutoa) الرزاق ( Mwenye kutoa rizk na sababu zake) الغني(MWENYE kuweza ,Tajiri)
Lakini vidole si unavyo? Unasoma. Lengo ni hiyo alkar. Soma hayo majina kwa kifuatisha. Kuna mtu hata mkono hana atafanyaje? Lengo ni kusoma kufuatisha utaratibu
@@madarakamarumbo6102 sio kwamba simuombi Mwenyezi Mungu la,njia ni nyingi na dua ni nyingi ila kwa mfumo wa huyo sheik ametumia nambari 81 koshoto na 18 kulia ili upate majiba ya Allah.Ila Shukran 🙏
asalam alaykum shekh umesema ifsfi ya kilajina je nikitaja.kwa mpangilio huo nitapata idadi ya kila moja kama ulivyotaja alfattah489alwahab14 alrazzak 308 na alghsniyyu 1060? au hapo inakuaje
@@aminashabangonzi4020 hapana sio hivyo nikiwa kama Muislam Niliekulia ktk Kuisoma dini yangu hii sipendi wapiga dili wautumie uislam kufikia Malengo yao fahamu dini hii Utaratibu Wote wa ibada Una maelekezo maalum kutoka kwa Mtume saw au Maimamu wetu wa Mwanzo kama kina Imamu Shafi na nk Ikumbukwe dua ni ibada -; Sasa haya mambo ya kuandika majina matukufu kiganjani yanatokea wapi kama sio (mambo ya Mchongo) alafu Mwanachuoni yupi wa kale alifundisha uombaji wa Yaa Raazaq Ya ya wahaabi . Lazima useme Yaa Razaaq Uruzuqni (Ewe mwenye kutoa Riziqi Niruzuqu ) Sio yaa Razaaq Yaa Qayum yaa ... Sio kweli Kikubwa hawa Vijana ni Waganga na Sisi Wazaramo tunalonga hivi-; Kwa Mganga hakuishi nyimbo Na Mimi si Mjinga ni Msomi wa ngazi fulani ya Elimu Ya Kiislam nimehitimu Nchini ALGERIA Allah atuhurumie .
Allah akulipe kila lakheri niliwahi fatilia muongozo wako ulio tufundisha wa surat iklas kwakweli nimujarab
Jaazakallahu khaira kwaelimu nzur yenye manufaa, Allah akuhifadhi
Maaaaashaaaaallwwahh,sshukran kwa kufanywa kazi
@@salimmaulanaalhabshy5197
Shukran Afwan
Jazakarau kher
Kidole gumba : alfatah (489)
Kidole cha shahada : alwahab (14 )
Chini ya alfatahu : arrazak( 308)
Chini ya ya kidole cha shahad ,kidole kidogo : alghaniu (1060 )
Kuandika : anza na al
Kusoma : sema ya …..
Mashaaaaallwahh
Ass alaykum sheikh sijaelewa naomba noeleweshwe hapo kwenyo kutamka mbona namba zinapishana na umesema tutamke kwa pamoja mf alfatah 489...alwahab 14 nikisoma kwa pamoja si itakuwa nimetamka sawa kwa majina yote ? Au nikifika kumi na nne ya alwahab nisiitamke tena niendelee na hayo mengine? Yaani nitakua napunguza kwa idadi ya kila jina kulingana na namba yake ..samahani km nimekusumbua ...nahitaji sana ..natanguliza shukrani zangu ..na Allah s.a akulipe zaidi na zaidi inshaAllah
@@shuaibkassim5650 Masha Allah
❤❤❤❤❤❤
Naaaaam
🤲🤲🤲🤲🤲🤲💗
Mashallah Allah akufanukie zaidi
Mansh'Allah shukran
Ameen mola akujaze
Shukrani shekhe Allah akujalie kher
Alhamdulillah
Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH. Jazzaka Allahu Khairan
شكرا
Amiin
Jazzakka Allah khyern 🤲❤🤲
Jazaka Allah khaira
Mashallaah
Allahu akbar🤲🤲
Amin Amin mungu akupe umr mref wenyemanufaa
Amiiiiin kwa sote
Amiiiiin kwa sote
Allah akuzidishie
Allaah akuongoze kutimiza niya yako kuwa muislamu kwani ni dini iliyo ridhiwa na allaah na allaah akupe nuru ya elimu ufahamu ibada inavyo swaliwa.
Asante sana sheikh Allah akulipe pepo
Amiiiiin
JazakaAllah
Wow lovely ❤❤❤
Aslm alykm warhmatullah ustadh,, shukran Kwa Muongozo wa hii mada ya Majina ya Allah,,ila swali umesema ukishatawadha Alf unaandika hyo majina manne katka kiganja Cha mkono wa kulia je Kuna umuhimu wa kuandika hvyo katka kiganja maana mm kuandika na mkono wa shoto cwez ustadh
Mwambie mtu akuandikie
Asnt shekh Allah akulip kheri
Aslm Alykm shekhe unayataja majina huku Umenyunyua Mikono utaisabu vipi hiyo hesabu
Masha Allah
Mashaa llah ALLAH akujaalie Mwisho mwema shekh.
🌹🌹🌹🥀🥀🥀🌷🌷
Amiiiin kwa sote
Amiiiiin
Shukran zajakalahukheiryy
Jaza ka Allah khair
Mashaallah shurani sana shehe wetu
Shekh mashaa llah ALLAH umenifumbua kichwa
شكرا
Shukran saaaaana
Allah awalipe heli wote
Asalam alykum warahmatulahi wabarakatuh. Allah akujaze kheri innshaallah kwa darasa la kipekee kwa hakika sijawai sikia ila kwako Sheikh. Allah akupe wepesi katika harakati hizi za kheri innshaallah.
آمين شكرا
Mashallah tunandika kwa kiarabu au hata kwa kiswahili
Andika kiarabu
❤❤🤲🤲🤲
Shukran Sheykh, Allah akubaarik kwa kutupa pasword. Kazi kwetu tu
Shukran habiiiiib
Mashallah tunafaidik weng
Nimefuatilia vzur darsa za nyuma na nilipga yaseen kazn kwangu asbuh nkakuta amekufa paka mkuubwa😥
Maaaaashaaaalllwahh
Asalam alaykum warahmatulah wabarakatuh mbona kila jina lina hidadi yake sasa tukisoma kwa pamoja inakuwaje?
Wallaikum Sallam Warahamatullah Wabarakatuh
❤❤❤❤👏👏👏👏🤲🤲🤲
Napend.musrim.san😢😢😢nataka.kuw.musrim.unisoh.korohan
Ahsante sheikh
Hayo majina unaandika kwa kiswahili au kiarabu?
Shukran ya sheikh lakini si umesema alfatah ni mara kumi na nne je ukisoma hivyo zote kwa pamoja so itakuaje
Kwa lugha unayo ijuwa
@@baysadam235 asante
Kiarabu
Kiarabu
Asalam alaykum naomba namba ya shekh
السلام عليكم ورحمة الله وبركاته
الحمد لله رب العالمين والصلاة والسلام على رسول الله محمد ابن عبد الله القاءم بحقوق الله ماضاقت الا وفرجها الله اما بعد:
Nianze kwa kutoa ufafanuzi wa maswali
Kuhusu ambae hana zile alaaama kwenye mikono
Jibu:wote hizo alama tunazo,
-alieuliza he naweza kuandika kwa lugha gani!
Jibu: lugha ni kiarabu kama ilivyoshuka QURAAN kwa kiarabu
- idadi ya kusoma 1871
-majina yenyewe
الفتاح( MWENYE kufungua)
الوهاب ( mpaji, mwenye kutoa)
الرزاق ( Mwenye kutoa rizk na sababu zake)
الغني(MWENYE kuweza ,Tajiri)
Asante Sana shekh
Ikiwa mtu hajui kuandika kiarabu je aweza kuandika kwa kiswahili kama inavyotamkika atakuwa kafanikiwa au ndo basi yeye awache tu?
shukran
Sheikh una yaandika kwa wino Gani kwenye Mkono huo
Man Sha Allah Tabaraka Allah🙏.Ila sheik nimejiangalia mm kwa kweli sina hizo namba na je naruhusika kuomba kwa njia hio?
Lakini vidole si unavyo? Unasoma. Lengo ni hiyo alkar. Soma hayo majina kwa kifuatisha. Kuna mtu hata mkono hana atafanyaje? Lengo ni kusoma kufuatisha utaratibu
@@madarakamarumbo6102 sio kwamba simuombi Mwenyezi Mungu la,njia ni nyingi na dua ni nyingi ila kwa mfumo wa huyo sheik ametumia nambari 81 koshoto na 18 kulia ili upate majiba ya Allah.Ila Shukran 🙏
asalam alaykum shekh umesema ifsfi ya kilajina je nikitaja.kwa mpangilio huo nitapata idadi ya kila moja kama ulivyotaja alfattah489alwahab14 alrazzak 308 na alghsniyyu 1060? au hapo inakuaje
Chukua idadi ya kila jina kisha jumlisha kisha anza kusoma kwa pamoja
Naandika kitunguu ama kiarabu
Kiarabu
Mbona mm mikono yote nina harama ya M
Asalam alykum ustadh samahani kuandika haya majina kwa viganja tuna tumia wino wa zafran ama wino wa Kalamu??? Tafadhali ustadh.
Zaaafaraaaan
@@rajabsalimalqushairiyyu7023 shukran jazzilan
Zaaaafaraaan
Kwa maandishi ya kiarabu ama kizungu
Kiarabu
@@rajabsalimalqushairiyyu7023 kama hujui kiarabu sheikh unafanyaje, afuan
Kiarabu
sarah Tumia lugha unayoifahamu
@@rajabsalimalqushairiyyu7023 shukran
Huu Uislaam Sasa Umevamiwa
na Vijana wa Kisufi Mwaka huu tutaona mengi
Sheetwan ww
@@omarymwinyi9684
Allah akuongoze katika kuufahamu
uislam
hujajielew
@@ramadhanimtetu7246 msiufany Uislam kuwa mgumu sasa unadaut had ktk kumtegemea Allah unahitj ategemew Nan sasa
@@aminashabangonzi4020
hapana sio hivyo nikiwa kama Muislam Niliekulia ktk Kuisoma dini yangu hii
sipendi wapiga dili wautumie uislam kufikia Malengo yao
fahamu dini hii Utaratibu Wote wa ibada
Una maelekezo maalum kutoka kwa Mtume saw au Maimamu wetu wa Mwanzo kama kina Imamu Shafi na nk
Ikumbukwe dua ni ibada -;
Sasa haya mambo ya kuandika
majina matukufu kiganjani yanatokea wapi kama sio (mambo ya Mchongo)
alafu Mwanachuoni yupi wa kale
alifundisha uombaji wa Yaa Raazaq
Ya ya wahaabi .
Lazima useme Yaa Razaaq Uruzuqni
(Ewe mwenye kutoa Riziqi Niruzuqu )
Sio yaa Razaaq Yaa Qayum yaa ...
Sio kweli
Kikubwa hawa Vijana ni Waganga na
Sisi Wazaramo tunalonga hivi-;
Kwa Mganga hakuishi nyimbo
Na Mimi si Mjinga ni Msomi wa ngazi fulani ya Elimu Ya Kiislam nimehitimu
Nchini ALGERIA
Allah atuhurumie .
Chehe.nataka.kuw.musrim.cheh
Waeza n8ombea dua ata kama mmi sio Muslim
Inawezekana
Tuwasiliane tu
@@rajabsalimalqushairiyyu7023 asante naitaji biashara Yangu kuinuka iko chini sana
Mfano wa michoro katika mkono wa kulia( ١٨)
Mkono wa kushoto (٨١)
Ukizijumlisha ٩٩= ١٨+٨١