HENRICK MRUMA:NILIPOTEZA VITU VINGI, NILIKATALIWA, NAIPENDA SIMBA, SIKUFANIKIWA KUMALIZA CHUO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 09. 2024
  • All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
    Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
    Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz

Komentáře • 16

  • @Richard_14
    @Richard_14 Před 7 měsíci

    🎶Kaa nami ..🎶Nakutegemea..🎶 Mvua imekuja

  • @rebimbere
    @rebimbere Před rokem +2

    much love from Rwanda wimbo wako wa ukae nami nausikiliza kila siku! ubarikiwe sana 🙏🏿

  • @user-op3bf1by9l
    @user-op3bf1by9l Před rokem +1

    Ukae NAMI imenibless sana ubarikiwe na bwana 🙏 uzidi kumtangaza bwana naye akuzidishie baraka.

  • @yvonneirakiza3990
    @yvonneirakiza3990 Před rokem

    Napenda nyimbo zako zote love from rwanda

  • @ezrayohana3541
    @ezrayohana3541 Před 10 měsíci

    Khaaaaa khaaaaa leo ndio nmeangalia nyimbo zake cjui kwanini nilichelewa kumjua huyu

  • @fanji9665
    @fanji9665 Před rokem

    Congratulations on many things, on launching your studio and also on your wedding. May God bless your marriage. Ndoa ni tamu sana ukiwa na partner mwema. On the other end kama fan wako, nyimbo zako ninazo zipenda ni Mvua na Ukae Nami. Usijali mambo ya kujulikana, Mungu amekutengenezea mahali pa siri, Sasa wakati wakukufunua ataleta mwenyewe. AMEN 🙏

  • @fredyleonardmaths2546
    @fredyleonardmaths2546 Před rokem +1

    Mungu akubariki Sana bro,una content kichwani bro.una akili nyingi Sana Mr.mruma

  • @sarahjuma5408
    @sarahjuma5408 Před rokem

    Ukae nani hunibariki saana 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @bienveillancemax3916
    @bienveillancemax3916 Před rokem

    Napenda wimbo zako nherick

  • @heavensent2526
    @heavensent2526 Před rokem

    Hongera sana Classmate @Mruma

  • @zawadilutufyo8771
    @zawadilutufyo8771 Před rokem

    Huyu kaka ana huduma kubwa sana ndani yake

  • @wakuitwangosha
    @wakuitwangosha Před rokem

    shabiki yako namba one

  • @happymwaipaja4834
    @happymwaipaja4834 Před rokem

    Hongera Sana kaka

  • @shalomchaula4420
    @shalomchaula4420 Před rokem

    Hongera bro am always behind ,but mwandishi vijana Wana content Sana ila mnafeli Sana maswali yenu jaribuni kutafuta mambo mazuri kujenga vijana

  • @happymwaipaja4834
    @happymwaipaja4834 Před rokem

    Hongera Sana kaka

    • @paulinetawuo9620
      @paulinetawuo9620 Před rokem

      Ubarikiwe sana kakanapenda nyimbo zako sana......niko hapa kenya.