Highlights | Gor Mahia 1-0 AFC Leopards | FKF Premier League 21/04/2024
Vložit
- čas přidán 20. 04. 2024
- MASHEMEJI DERBY | Goli pekee la Austin Odhiambo limeipa Gor Mahia alama tatu muhimu dhidi ya AFC Leopards katika mchezo wa #MashemejiDerby uliopigwa leo kwenye Dimba la Nyayo, Nairobi, Kenya.
Katika mchezo huo, Gor Mahia walilazimika kucheza pungufu kwa zaidi ya dakika 50 baada ya golikipa wake Kevin Omondi kutolewa kwa kadi nyekundu.
Tazama highlights... - Sport
Kenya wanapenda sana soka basi tu viongozi wao wa soka walikuwa wanawazingua.
Hii ndio inabamba
Thibitisho tu kua Kenya pana ushabiki
Bora pol[t[cs iwekwe kando
Austine Odhiambo kijana ni hatari
Kumbe Kenya napo Kuna mashabiki hivo
Asanteni azam😊😊😊😊
Big up KPL
The first to view
Wapi likes za team gor jamani
commentor ana mammbo
kogalo🔥🔥
Eeh kumbe kwa jirani pia ligi
❤❤❤❤
Kwann waliita Darby ya mashemej?Mwenye kujua
Mimi Ni Mkenya...Kenya Ni Nchi Iko Na Tabia Ya Ukabila Toka Zamani.....Sasa Timu Hizi Haswa Zilianza na Zinaendelea Kuwa Kwa Misingi Ya Kikabila, Gor Mahia ni Timu Ya Kabila Ya Luo Ilhali AFC Leopards Ni Timu Kabila Ya Luhya au Abaluhya.....WaLuo na WaLuhya Wanatoka Eneo La Nchi La Magharibi na Ni Kabila Majirani Ata Watoto Wao Hufanya Ndoa Pamoja Mara Nyinyi Sana.....Hizo Kabila Mbili Zenyewe Huitana Mashemeji Sasa Ndio Maana Derby Pia Linaitwa La Mashemeji
Sababu wameowana luo na luhya sana
Wjaluo na waluyha wanapenda kutaniana sana ndio sababu
Caf champions league next season 😊🎉🎉
Hayo mekundu mabovu
wakenya bwana 😂
Makosa yagoal hayo kayataka mwenyewe mbona hakutua mojakwamoja
Gor itafutiwe opponents wa maana bana, sasa hawa ni ma what? Labda ka East&Central Champions League ka round-robin involving Villa, Yanga, Simba, ElMerreikh, Al-Hilal ivo-ivo...
simba & yanga?!!! unacheza wewe!!!
@@user-kw5nn6kg3u atleast wapate uzito on all fronts (tactically, psychologically, financially hadi fitness-physically), huku Kenya imekuwa too obvious lately...
Gor ushindi
wale uuliza mbona Omala apewi nafasi harambee stars bado mko na swali
Betting has made Kenyan football very useless.