Wachungaji Wajutia kuwaita waislam wachawi, Ilibidi Gen zii Wasaidie kuokoa ukristo.. 19th July 2024

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • Mara nyingi wakristo wamekuwa wakiongoza kampeni za uongo dhidi ya uislam kwa kusema kuwa uislam ni dini inayohusika na uchawi... si kweli ila ni propaganda za uongo za kuwazuia watu wasisilimu. Tulipokuwa mjini Nakuru, mchungaji Mwai na Mwenzake walijaribu sana kueneza propaganda hizi hadharani, na hapo ndipo mambo yalipochemka na kuelekeza vijana wa Gen zii kuingilia kati ili kusaidia meli ya ukristo isizame... kwa matukio kamili, tizama video hii na pia u subscribe kwa youtube channel yetu, abass online tv #abassonlinetv, #daawah #kenya

Komentáře • 57

  • @mamawamuya
    @mamawamuya Před měsícem +2

    Ma sha Allah,sheikh wetu hiyo lugha ndiyo wanafaa continue my brother

  • @abassonlinetv
    @abassonlinetv  Před měsícem +6

    Subscribe like and share

  • @trikayoh3684
    @trikayoh3684 Před měsícem +2

    MaasshaAllah love sheikh Abbass

  • @hafsakirao398
    @hafsakirao398 Před měsícem +3

    Allah awaongoze, yaani dini yao ya ukristo haiwafundishi hata nidhamu? Allah awape subra Abass na wenzako.

  • @Adm9464
    @Adm9464 Před měsícem +4

    Ma shehee we need crowd control as this pastors come to the muhadara to disrupt

  • @adanabdi5249
    @adanabdi5249 Před měsícem +2

    Jazakumu Allah.

  • @khalifmohamed6536
    @khalifmohamed6536 Před měsícem +4

    Allahu Akbar

  • @hythamhashiem4458
    @hythamhashiem4458 Před měsícem +4

    Kila sheitwani ni jini na kila jini si sheitwani

  • @josemu870
    @josemu870 Před měsícem +2

    Allah u Akbar

  • @IbrahimOmar-kf2cv
    @IbrahimOmar-kf2cv Před měsícem +3

    Hawatoshhi saary from boni forest

  • @musanike3079
    @musanike3079 Před měsícem +2

    Mola akupee Afya.. Hao watu kelele tuu

  • @nayef3903
    @nayef3903 Před měsícem +3

    Asalam aleykum abass hao mapasta uwape somo la sadaka wasiwaibie watu na hao ma genz waambie wasifanye fujo juu hawaelewi mjadala na waelezwe uislamu unasema vipi wapate kuelewa huenda wakasilimu na wale wanaosikiza. Juu hao vijana hawaelewi kitu gani hapo ni wasomi ingelikuwa wambie waulize maswali na uwambie kuhusu mavazi wanayovaa yamekatazwa kwa bibilia na Qur'an. Na uwambie pia starehe na unywaji wa kileo na nyama ya nguruwe ime katwaza na wanawake wasivae mavazi ambao hayastahili ndio hao ma genz watajua kweli kitabu kina wakataza juu huwa hawasomagi. Na uwaeleze jamia iliwasadia juu uislamu unahuruha kwa binadamu

  • @jumanjenga7682
    @jumanjenga7682 Před 18 dny

    Masha Allah Ustaz

  • @omarratibu9709
    @omarratibu9709 Před měsícem +2

    Pasta haelewi kiswahili

  • @mjukuuwakwetu356
    @mjukuuwakwetu356 Před měsícem +4

    🤣🤣🤣🤣msomaji amenimaliza leo ati john 3.16 n🤣dio ayatul kursi yao

  • @user-gc6qz3ct3z
    @user-gc6qz3ct3z Před měsícem +2

    Assalaamu aleikum warahmatullaahi wabarakaatuh give them what they want the Bible that they want will silence them.. furthermore jinn is a creature shetan is habit thus we also have shetan mina nnaas

  • @mwangimuhammad-sx9hb
    @mwangimuhammad-sx9hb Před měsícem +3

    😂😂😂Allahu Akbar... Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuhu...mmewapiga kiatu kina Mwai hapo 😢😢hasaa huyo ya shirt nyekundu,,,yake ilikuwa ni technical knockout 😮😮

    • @abassonlinetv
      @abassonlinetv  Před měsícem +1

      😅🤣🤣🤣 alikuwa anatuletea sauti ya uchungaji akifikiri tutatishika

  • @user-rc7oi2hp8l
    @user-rc7oi2hp8l Před měsícem +2

    Ustadh wape daawa usichoke hawajui ni nani Mungu Wala amri zake

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Před měsícem +2

    Hao Ndio walimu wa kikristo, kama mwalimu ndo Yuko hivi hao waumini watakuaje..?....hawana hoja, hawajui mijadala, ....Sheikh Abbas UNAWANYOOSHA kwelikweli

  • @musanike3079
    @musanike3079 Před měsícem +2

    Sheikh Abass wakati mwingine Inshallah toa Hao watu wako hapo nyumba Kwa msomi

  • @JUBRANBULAYHl-yb4ke
    @JUBRANBULAYHl-yb4ke Před měsícem +2

    أبحثواكثيرآ في جميع كتبكم ورقبوا إنني معكم من المرقبين ☝☝🤲🤲☝☝

    • @mamawamuya
      @mamawamuya Před měsícem

      @@JUBRANBULAYHl-yb4ke hao wanatafuta balaaweko hapo kuhakikisha hautaendelea kwa amani,so nituwaombee ndungu zetu ,nakuru ni kugumi ,pia ndungu zetu wa nakuru hawajajitokeza

  • @hythamhashiem4458
    @hythamhashiem4458 Před měsícem +2

    Masikini ojinga ume wavaa hawajielewi

  • @Noorein-ws8wk
    @Noorein-ws8wk Před měsícem +3

    Usifananishe aya kwenye bible na ayat kursy .

  • @linetkikin4023
    @linetkikin4023 Před měsícem +2

    Hii ndio kazi ya mapaster kanisani Hawataki kuulizwa swali kuhubiri tu mambo hakuna

  • @salhkasmm558
    @salhkasmm558 Před měsícem +2

    Waaislam qurani yetu tukisoma tuu inatusaudia nyie kitabu chenu hakikusaidieni maana book stories kwahiyo mnaamua kwenda neigeria kuchukua uchawi ili mtoe mapepo

  • @NimoJama-iw6tg
    @NimoJama-iw6tg Před měsícem +2

    Who is free maso is chritias

  • @SheeMaryam.M
    @SheeMaryam.M Před měsícem +3

    Sicheki kwa umbay

  • @jaffarzil359
    @jaffarzil359 Před měsícem +2

    Ati hawa ndio mapastor bure kabisa

    • @Aisha22224
      @Aisha22224 Před měsícem +2

      Hawana hakili 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @abassonlinetv
      @abassonlinetv  Před měsícem +2

      ​@@Aisha22224Genzii wameona kanisa inabomoka

  • @user-mc2xd4eu2p
    @user-mc2xd4eu2p Před měsícem +3

    Sasa hawa makafiri mkiambiwa msome quran na bibilia hamtaki mnakata vitabu mkiletewa vitabu mnaleta fujo

  • @abassonlinetv
    @abassonlinetv  Před měsícem +2

    Mobutu, Yehova matatani ndio dawa yenu, najua, hamuipendi lakini vumilieni tu, wenyewe mlijichagulia ukristo....

    • @philipgerald9646
      @philipgerald9646 Před měsícem +1

      Nilidhani hata akili unazo kumbe debe tupu hicho kitabu mmejiandikia wenyewe eti jehova matatani wewe sio mwalimu wewe ni mhuni2

    • @user-mc2xd4eu2p
      @user-mc2xd4eu2p Před měsícem

      ​@@philipgerald9646hao watu wenu si ndio wameanza matusi kuita waisalm wachawi bila ata andiko au ndio kiziwi

  • @yabdul1782
    @yabdul1782 Před měsícem +2

    DO THESE PASTORS EVEN KNOW WHAT THEY TALK ABOUT 😂. THEY HAVE NO UNDERSTANDING OF THE TEXTS OF THE BOOKS YET THINK THEY ARE CLEVER BUT LACK KNOWLEDGE N PROVING TO THE AUDIENCE.

  • @hythamhashiem4458
    @hythamhashiem4458 Před 19 dny

    Surah ya pili ayah ya 102 ni habari ya mayahudi ilio tokea wakati wa nabii Suleimani wala sihabari ya nabii Muhammad swallallahu alyhi wasallama

  • @user-mc2xd4eu2p
    @user-mc2xd4eu2p Před měsícem +2

    Huu mkutano uliisha kwa amani kweli?

  • @salmahashi5815
    @salmahashi5815 Před měsícem +2

    Sheikh Abas ulipeleka muhadhara mahali mbaya na hawa makafiri ni ma ignorant sana.Mola awahifadhi mashehe wetu

    • @abassonlinetv
      @abassonlinetv  Před měsícem +2

      Mhadhara imefanyika hapa sana, ni mapasta kujaribu kuharibu

    • @abassonlinetv
      @abassonlinetv  Před měsícem +2

      Angalia mhadhara uliotangulia kabla ya hii ndio utaelewa kilichokuwa kinaendelea....

    • @musanike3079
      @musanike3079 Před měsícem +2

      Hapo ndio inafaa

  • @mobutu3884
    @mobutu3884 Před měsícem +1

    Siku hizi abass anasoma mpaka kutabu cha jehova matatani kweli kaishiwa 😂😂

    • @samxx411
      @samxx411 Před měsícem

      Ndio kwani hivyo vitabu vyote si vimeandikwa na watu tu

    • @mobutu3884
      @mobutu3884 Před měsícem

      @@samxx411 Sisi tunasoma vitabu tunavyonunua maktaba za misikitini which means vimepitishwa, haya na nyie hivyo viatabu mnanunua vichochoro gani 😂
      Ni aibu kubwa mnoo 🤣🤣

    • @254trends
      @254trends Před měsícem

      Vimepitishwa na nani?

    • @mobutu3884
      @mobutu3884 Před měsícem

      @@254trends mpaka vinauzwa misikitini si vimepitishwa na masheikh wenu, inshort vile vitabu vinavyouzwa misikitini sio stori zilizotungwa na waandishi wa hivyo vitabu bali vinakuwa vimekopiwa kwenye hadith zenu wanachofanya ni kukusanya baadhi ya matukio ya kwenye hadith wanatengeneza kitabu, na kukipa jina tu ila mengi yanakuwa yapo kwenye hadith zenu, sema nyie hamsomi hadith ndio maana mnaona mageni, ila ni yaleyale, mfano kitabu cha mtume na wakeze, ulimwengu wa majini na vingine vingi tu.

    • @samxx411
      @samxx411 Před měsícem

      @@mobutu3884 maktaba zipi acha uongo kwani hivyo vya kikristo viliandikwa na waislamu??