Wachungaji Wajutia kuwaita waislam wachawi, Ilibidi Gen zii Wasaidie kuokoa ukristo.. 19th July 2024
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- Mara nyingi wakristo wamekuwa wakiongoza kampeni za uongo dhidi ya uislam kwa kusema kuwa uislam ni dini inayohusika na uchawi... si kweli ila ni propaganda za uongo za kuwazuia watu wasisilimu. Tulipokuwa mjini Nakuru, mchungaji Mwai na Mwenzake walijaribu sana kueneza propaganda hizi hadharani, na hapo ndipo mambo yalipochemka na kuelekeza vijana wa Gen zii kuingilia kati ili kusaidia meli ya ukristo isizame... kwa matukio kamili, tizama video hii na pia u subscribe kwa youtube channel yetu, abass online tv #abassonlinetv, #daawah #kenya
Ma sha Allah,sheikh wetu hiyo lugha ndiyo wanafaa continue my brother
Subscribe like and share
MaasshaAllah love sheikh Abbass
Allah awaongoze, yaani dini yao ya ukristo haiwafundishi hata nidhamu? Allah awape subra Abass na wenzako.
Aamin
Ma shehee we need crowd control as this pastors come to the muhadara to disrupt
Jazakumu Allah.
Allahu Akbar
Kila sheitwani ni jini na kila jini si sheitwani
Allah u Akbar
Hawatoshhi saary from boni forest
Mola akupee Afya.. Hao watu kelele tuu
Asalam aleykum abass hao mapasta uwape somo la sadaka wasiwaibie watu na hao ma genz waambie wasifanye fujo juu hawaelewi mjadala na waelezwe uislamu unasema vipi wapate kuelewa huenda wakasilimu na wale wanaosikiza. Juu hao vijana hawaelewi kitu gani hapo ni wasomi ingelikuwa wambie waulize maswali na uwambie kuhusu mavazi wanayovaa yamekatazwa kwa bibilia na Qur'an. Na uwambie pia starehe na unywaji wa kileo na nyama ya nguruwe ime katwaza na wanawake wasivae mavazi ambao hayastahili ndio hao ma genz watajua kweli kitabu kina wakataza juu huwa hawasomagi. Na uwaeleze jamia iliwasadia juu uislamu unahuruha kwa binadamu
Mashaallah
Masha Allah Ustaz
Pasta haelewi kiswahili
🤣🤣🤣🤣msomaji amenimaliza leo ati john 3.16 n🤣dio ayatul kursi yao
Assalaamu aleikum warahmatullaahi wabarakaatuh give them what they want the Bible that they want will silence them.. furthermore jinn is a creature shetan is habit thus we also have shetan mina nnaas
😂😂😂Allahu Akbar... Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuhu...mmewapiga kiatu kina Mwai hapo 😢😢hasaa huyo ya shirt nyekundu,,,yake ilikuwa ni technical knockout 😮😮
😅🤣🤣🤣 alikuwa anatuletea sauti ya uchungaji akifikiri tutatishika
Ustadh wape daawa usichoke hawajui ni nani Mungu Wala amri zake
Hao Ndio walimu wa kikristo, kama mwalimu ndo Yuko hivi hao waumini watakuaje..?....hawana hoja, hawajui mijadala, ....Sheikh Abbas UNAWANYOOSHA kwelikweli
Sheikh Abass wakati mwingine Inshallah toa Hao watu wako hapo nyumba Kwa msomi
أبحثواكثيرآ في جميع كتبكم ورقبوا إنني معكم من المرقبين ☝☝🤲🤲☝☝
@@JUBRANBULAYHl-yb4ke hao wanatafuta balaaweko hapo kuhakikisha hautaendelea kwa amani,so nituwaombee ndungu zetu ,nakuru ni kugumi ,pia ndungu zetu wa nakuru hawajajitokeza
Masikini ojinga ume wavaa hawajielewi
Usifananishe aya kwenye bible na ayat kursy .
Hii ndio kazi ya mapaster kanisani Hawataki kuulizwa swali kuhubiri tu mambo hakuna
Waaislam qurani yetu tukisoma tuu inatusaudia nyie kitabu chenu hakikusaidieni maana book stories kwahiyo mnaamua kwenda neigeria kuchukua uchawi ili mtoe mapepo
Who is free maso is chritias
Sicheki kwa umbay
Ati hawa ndio mapastor bure kabisa
Hawana hakili 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@@Aisha22224Genzii wameona kanisa inabomoka
Sasa hawa makafiri mkiambiwa msome quran na bibilia hamtaki mnakata vitabu mkiletewa vitabu mnaleta fujo
Mobutu, Yehova matatani ndio dawa yenu, najua, hamuipendi lakini vumilieni tu, wenyewe mlijichagulia ukristo....
Nilidhani hata akili unazo kumbe debe tupu hicho kitabu mmejiandikia wenyewe eti jehova matatani wewe sio mwalimu wewe ni mhuni2
@@philipgerald9646hao watu wenu si ndio wameanza matusi kuita waisalm wachawi bila ata andiko au ndio kiziwi
DO THESE PASTORS EVEN KNOW WHAT THEY TALK ABOUT 😂. THEY HAVE NO UNDERSTANDING OF THE TEXTS OF THE BOOKS YET THINK THEY ARE CLEVER BUT LACK KNOWLEDGE N PROVING TO THE AUDIENCE.
Surah ya pili ayah ya 102 ni habari ya mayahudi ilio tokea wakati wa nabii Suleimani wala sihabari ya nabii Muhammad swallallahu alyhi wasallama
Huu mkutano uliisha kwa amani kweli?
Angalia mpaka mwisho
Tulia utizame mpk mwisho ujionee mwenyewe
Sheikh Abas ulipeleka muhadhara mahali mbaya na hawa makafiri ni ma ignorant sana.Mola awahifadhi mashehe wetu
Mhadhara imefanyika hapa sana, ni mapasta kujaribu kuharibu
Angalia mhadhara uliotangulia kabla ya hii ndio utaelewa kilichokuwa kinaendelea....
Hapo ndio inafaa
Siku hizi abass anasoma mpaka kutabu cha jehova matatani kweli kaishiwa 😂😂
Ndio kwani hivyo vitabu vyote si vimeandikwa na watu tu
@@samxx411 Sisi tunasoma vitabu tunavyonunua maktaba za misikitini which means vimepitishwa, haya na nyie hivyo viatabu mnanunua vichochoro gani 😂
Ni aibu kubwa mnoo 🤣🤣
Vimepitishwa na nani?
@@254trends mpaka vinauzwa misikitini si vimepitishwa na masheikh wenu, inshort vile vitabu vinavyouzwa misikitini sio stori zilizotungwa na waandishi wa hivyo vitabu bali vinakuwa vimekopiwa kwenye hadith zenu wanachofanya ni kukusanya baadhi ya matukio ya kwenye hadith wanatengeneza kitabu, na kukipa jina tu ila mengi yanakuwa yapo kwenye hadith zenu, sema nyie hamsomi hadith ndio maana mnaona mageni, ila ni yaleyale, mfano kitabu cha mtume na wakeze, ulimwengu wa majini na vingine vingi tu.
@@mobutu3884 maktaba zipi acha uongo kwani hivyo vya kikristo viliandikwa na waislamu??