Afisa mmoja wa GSU aliyeuawa na wezi wa mifugo kule Turkana anazikwa Kisii leo.Edwin Omari anatarajiwa kuzikwa mapema Leo katika kijiji cha Raganga maeneo ya Kitutu Chache Kusini kule Kisii.
Kenyans are funny they pay to join police and army that is like buying for your death cert then people console themselves eti death can get u anywhere...rip officer
Pole sana kwa familia
Na police wapelikwa Haiti. Huku bandits wanamaliza watu.
Pop so pop 0
Kenyans are funny they pay to join police and army that is like buying for your death cert then people console themselves eti death can get u anywhere...rip officer
Uko na akili ingine ama ni hiyo tu,nyoka kiwete wewe
😭😭😭 imagine