Uvira

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 04. 2020
  • Katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, wakaazi wa mji wa Uvira katika mkoa wa Kivu Kusini wamekaidi maagizo ya viongozi wao yanayohusu hatua za kupambana na kuenea kwa virusi vya Corona, katika mji huo uliokumbwa na mafuriko mabaya hivi karibuni. Mmwandishi wetu Mitima Delachance ametembelea eneo hilo hivi karibuni na kutuandalia video hii. #kurunzi 27.04.2020

Komentáře • 5

  • @bnkundwa
    @bnkundwa Před 10 měsíci

    Cassava is an event.

  • @bundukitv1322
    @bundukitv1322 Před 4 lety

    Poleni ndugu wa UVIRA.....
    Halafu hivi na ninyi waandishi huwa mnawasaidia hao wahanga? Au mnapiga picha Tu???
    Kwakweli inatia huruma Sana.

  • @user-py8ic1jf3p
    @user-py8ic1jf3p Před 5 měsíci

    Poleni sana

  • @kingbashar4293
    @kingbashar4293 Před 4 lety

    😭😭😭😭Wallahi kwetu uvira!!