KUMEIBUKA NA CHANNEL NYINGI ZA UONGO ZINAZOTUMIA TITLE,COVER NA MAUDHUI YA SERIES YA "MZEE WA GIZA"NAPENDA KUWATAHADHARISHA KUWA HIZO CHANNEL HATUZITAMBUI ,EPUKENI NA WALAGAI WA MTANDAONI ,SERIES YA MZEE WA GIZA INAPOSTIWA KATIKA CHANNEL HII PEKEE CHA KUFANYA SUBSCRIBE & UFUNGUE NOTIFICATION ILI UWE WA KWANZA KUITAZAMA NA KUEPUKA USUMBUFU WA AINA YEYOTE 🙏
Usijali Kijana Mzee Wetu Tutakuwa Maakini Sana Juu Yenuuu Bila Yyi Nasi Cjui Tungetolea Wapi Sitirex Za Waarabu Nawapenda Sana Yote Pamoja Na Kikosi Chako
Kp and Zebulon you are the best actors and mzee Kikomo and Dinozi and Sheila and suraj and kiasi your movies are so amazing wooooooooooooow kp and Zebulon Weldon’s 🎉🎉🎉🎉🎉 we love ❤️ you more and much❤❤❤❤❤❤❤❤😊
KUMEIBUKA NA CHANNEL NYINGI ZA UONGO ZINAZOTUMIA TITLE,COVER NA MAUDHUI YA SERIES YA "MZEE WA GIZA"NAPENDA KUWATAHADHARISHA KUWA HIZO CHANNEL HATUZITAMBUI ,EPUKENI NA WALAGAI WA MTANDAONI ,SERIES YA MZEE WA GIZA INAPOSTIWA KATIKA CHANNEL HII PEKEE CHA KUFANYA SUBSCRIBE & UFUNGUE NOTIFICATION ILI UWE WA KWANZA KUITAZAMA NA KUEPUKA USUMBUFU WA AINA YEYOTE 🙏
It okey
Na wanakela mbwa hao Kama wanavipaji si watumie majina yao halali wanakela bhana nyooooooooo.
Usijali Kijana Mzee Wetu Tutakuwa Maakini Sana Juu Yenuuu Bila Yyi Nasi Cjui Tungetolea Wapi Sitirex Za Waarabu Nawapenda Sana Yote Pamoja Na Kikosi Chako
Lakini hapo kwa hio cake ulijiweza mzee likoma 🤣 🤣 🤣
Hiyo kwaya uliyopiga hapo kusema kweli sijapenfa😅
wanaomkubali mzeeee LIKOMA likes zanguuuuu 3:23
Jamani like zangu wapi mzee likoma huku kimemkuta
Shomo aliyo chimba amedumbukiy wenyew🤣🤣🤣🤣🤣
Minachunga yakufwata vraiment
Warundi tujuwane❤❤like ziwekwe apa.ongeleni sana team kp❤❤
Tuko Hapa n'a mimi murundi nai❤sana team yot mungu awabalik sana wanatuchksh
Mzee likoma nakupenda bure mungu akuongezee nguvu zakuchekesha
Wa kwanza from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 likes zikam Kenyans tukam uku
Penda xana nyie naweka bando nifurah mzee likoma ananipa furaha xn❤❤😢😢😢😅😅😅 naenjoy zebuu chukua maua yko🎉 4 xure nawapongeza xn
Mzee likoma mungu anakuhukum anataka ujirudi uwe na moyo wa kibinadam
Mzee wa ovyo kabisa
😂😂😂😂 mzee likoma 😂😂wahenga walisema mchimba kisima huingia mwenyewe 😂😂😂
Kenya 🇰🇪 represented ❤❤❤❤❤much love
Mimi Leo Dio wakwanza naomba like Kwa KP nawapenda kutoka Kenya
Wakwanza nipen like from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Choo kimepata mgeni😂😂😂😂 love from Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮💟
😂😂😂😂😂
😂😂😂Ila mzee likoma wewe Aya bwana,mwanakulitafuta mwnakulipata
Mzee likoma kimekuramba kweli 🤣🤣🤣🤣🤣 nawatazama kutoka kenya 🇰🇪
Kazi nzuri sna Mzee likoma utakoma
😂😂😂😂😂 uwiiiih jamani mzee likoma huku🤣🤣🤣❤❤ from Oman Muscat
Jamani muzee rikoma ananichekesha nibasi tou😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nipeni rike zangu😂❤❤
mzeee likoma😂😂😂😂jamani wahenga walisema mchimba kisima huingia mwenyewee😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Much love zebuu you're good actor 🥳
zzzbu mbavusina sumukara mwenyewe
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nimecheka mpaka BC Mzee likoma kimekuramba mpka walala karibu na choo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 penda sana nyinyi like munipe
😂😂😂
@@xvany_tz2837 👊👊
Kanyaa😂
🤣🤣🤣🤣
Kumbe hadi wachawi wananawaga ndo wale Diboziiiiiiii.,,,,,,😊
Nikweli kabisa watu wa roho mbaya wanatakina hivo
Haki nyinyi munatuuwa na huyu mzee wenu kwani alikua wapi tangu hapo haki bro ❤❤ unajua kuigiza hii part ya uzee😂😂😂😂
Mzee lipoma uu imekuwaje kwani?!.... wacha weee nakuona unapiga vinanda 😂😂😂😂😂😂😂
Dibozi na likoma aise bila nyinyi hapanogi hahahahaha
Heeeeeeeeee😂😂😂😂😂😂🎉🎉❤❤❤❤❤❤😂😂😂,Yani mzee likoma unanichekesha mpaka mbavu zangu zipasuke!!nampenda sana Zebuu
Mzee likoma umejichibiya kaburi mwenyewe 😂😂😂😂😂😂😂
Yani Mzee Likoma umenifurahisha kwenye épisode hii hadi basi 😀😀kiufupi Kimekuramba Likoma😀,Pia usicho kipenda wew kwa mungine usimfanyie.
😂😂😂😂😂😂😂nimecheka paka basi ❤❤❤❤❤❤❤❤mzeee likoma wewe utatuuwa kwa kicheko
Mpewa Sumu Akufa Mpishi Yukaburini Ndio Wwe Ssa Mzee Likoma Aya Kusanya Virago Na Mapema😂😂😂😂😂😂
😄nimeipenda iyo😍baba kulaaa😆
Umetisha sana mzelikoma nimekuku bali
Mzee likoma umejuloga mwenyewe unataka kuloga mke wamtoto kajikota jiloga
Jamani nimeisubiaa kwa hamuuuuuu mzee likomaa😅😅😅😅😅😅
Nimechekaa mpkaa nikajikojoleaa juu ya mzee likomaa😂😂😂😂😂😂😂😂
Utajinyia mzee likoma
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂waaah mtaniuwa na kicheko,mzee ligoma welcome kwa unyambo 😂😂😂😂😂😂,kimekuramba ww mwenyewe 😂😂😂😂😂😂
Mzee likoma kaz unayoo❤❤😂😂😂
Nakukubali san mzee likoma 🥰🤣🤣🤣🤣🤣
❤❤❤mzee likoma kimekuramba 😅😂😂😂
vizuri sana likoma
Nipe like za likoma 😂😂😂 Hadi nasikia harufu ya mshuto
Mzeee ligoma zambi zakuuuwa wew
😂😂😂nyie jamaa mnaweza weza sana big up
Mzeeee likoma umeupoza😂😂😂😂😂😂😂😂😂 imeisha hio
😂😂😂😂😂 nimecheka leo 😂😂😂😂
Mzee likona nakukubali Sana kakaangu usikate tamaa hata akina kanumba walianza hv kaza Buti kaka
😅😅😅😅😅😅😅❤❤❤❤❤ happy birthday to mzee likomwe
Mzee likoma nona unahama na maandazi.
Like kwa likoma kama una mukubali 👉👉👉👉
Happy birthday kwa mzee Likoma 🎉🎉🎉😂😂😂😂😂😂 patamu hapo
Naenda sana move ya kp na zebu❤❤❤❤❤❤❤❤
Mwimba akujindinga huo mzee likoma😂😂😂😂
Wallah mzee likoma 😂😂😂😂😂😂
Kp and Zebulon you are the best actors and mzee Kikomo and Dinozi and Sheila and suraj and kiasi your movies are so amazing wooooooooooooow kp and Zebulon Weldon’s 🎉🎉🎉🎉🎉 we love ❤️ you more and much❤❤❤❤❤❤❤❤😊
😂😂😅😅😅 mzee likoma
Likoma😂😂😂hakuna ujanja
😂😂😂 penda wee Sana Best actor
Mchimba kisima uingia mwenyewe,,,likoma umechimba ksima😢
We Mzee ni shida nacheka Hadi basi sio
Kweli leo ndio nimeamini mujimba kisima huingia mwenyewe😂😂😂
Mzee likoma kimekuramba🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂yarabi mbavu zangu mzee likoma pole ndio mambo 😂😂😂😂😂
Muzee likoma umetisha kuenda na mandazi chooni
😂😂😂hhhhhh mbavu zngu mzee likoma umenaswa😂
😂😂😂😂🤓🤓😂😂😂 kimekukuta mwenyewe mzee atali san unatega kumb umejitega
😂😂😂😂😂😂. Likoma weee waniumiza mbavu mie😂😂😂😂,likoma Leo kimekuramba😂😂😂😂😂 pumbavu
Mchimba kaburi huingia mwenyewe
Yaani safi sana kwa watu wenye roho kama hiyo
Mzee likoma uku kimeuman duuh😮😮
Likoma umeona unavyozalilika mwenyewe Sasa ndio ujuwe roho mbaya haifai usichokipenda wewe basi usimfamyie mwezio
😂😅😅😅😅 nikufe tuu mzee likoma koma
Mzee likoma utakoma 😂😂😂😂😂😂😂
Likomaaaa unanivunja mbavu zangu khaaa! C kwa mishuzi hiyo.
Likoma flash basi huko chooni from kenya
😂😂😂😂😂yamekuramba likoma
Mzee limemkuta jamb jaman 😂😂😂😂😂😂😂
Hapo sasa mzee Likoma kimekuramba
😂😂😂😂😂 ghai mzee likoma na diboz aky nyie
😂😂😂😂😂 kesho tena mzee likoma utakunya mpaka utumbo
Dibosi na likomawanafurhixha xna aky 😂😂😂😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥mau kwenu
😂😂😂😂❤ i love this
Dibozi,,,,,i like it
MZEE LIKOMA 😂😂😂UNALO HILOOOOOO HEBU NIWACHE MM MBAVU ZANGU HII NOMA SANA
Utajua hujui mzee likoma 😂😂😂😂
Mzee likoma anacheza ovyo ovyo kwel au nye mnaonaje😂😂😅😂😅
Lala apo choon mzee likoma
Mzee likoma mwiba wakujidunga hauambiwi pole for the ulitaka iwe ni zebuu sasa unaona hadi umelala karibu na chooni🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂
Kimeumana kwa mzee likoma
Likes za mzee Likoma,kijijini direct na mhalo 😂😂😂
😂😂😂
🤣🤣🤣🤣 Mzee liko na debosi naona kimewaraba ukishimba shimo unaingia mwenyewe
Nzuri kabisa!!
Aisee muzee likoma jamani wewe ni balaa unanichekesha saaanaaa mpaka mbavuzangu zinauma hahahaaa
Nakufa n kicheko mwenzenu😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂mzee kimemramba mwenyew
Likoma vp yamekuludia mwenyewe pole
Aaaweee chookitajaaicho bila ubishi😂😂😂😂😂😂😂
Kala yai viza 😂😢😂😅😅😅😂😂😂
Utakoma mzee likoma umeyatak mwenyew