Masha ungenipea elimu kiasi juu ya hili dhikr ya kujikohoza kwa sababu naipenda sana na silipingi kamwe ila nataka kupata nasaha na elimu juu ya hili jambo. Afwan
Achiwa achiw kama huna ufahamu na majambo ya kidin bora ukae kimya usije ukalaaniw bira ya kujitambua.inshaallah mungu na mtume wake watupe uongofu kwa.majambo tusio.yajua
Wewe huna elimu then wataka kujifanya unaweza kupingana na majambo ya kielimu? Utapotea maana hata hao viongozi wako wa kiwahabi hawawezi tambua nini hasa tafsiri ya neno "Awwaahuun" ambalo lipo ktk hiyo aya ya Surat Huud aya ya 75 na Surat Ttawba aya ya 114.Hii hamuwezi fahamu maana hamjui Ta'awil ya Qur'an na kama kuna mhabiya yeyote mwenye kufaham basi aeleze humu
Kuna mtu kaandika eti mtume na maswahaba hawakuwahi kupiga vifua.Mimi sijawahi ons waislam wanapo zikiri kupiga vifua vyao,hapa hakuna mtu anapiga kifua chake zaidi ya kuchezesha au kuinua mikono yao juu na sio kupiga kifua.Sisi tunamtaja Allah kwa wingi kama Qoraan ilivyotuamuru.Sisi na nyie wahabs hatuwezi kuwa sawa,tofauti yetu kubwa ni kutokufundisha kuuwa watu wasiokuwa na makosa,hiyo ndiyo tofauti naona yetu.Na masuala nyingine ni suala la fiqh, elimu kubwa inahitajika kufahamu haya mambo kama alivyoandika brother mmoja hapo juu.Shukurani ni mimi Bilal
Kuna mtu kaandika eti mtume na maswahaba hawakuwahi kupiga vifua.Mimi sijawahi ons waislam wanapo zikiri kupiga vifua vyao,hapa hakuna mtu anapiga kifua chake zaidi ya kuchezesha au kuinua mikono yao juu na sio kupiga kifua.Sisi tunamtaja Allah kwa wingi kama Qoraan ilivyotuamuru.Sisi na nyie wahabs hatuwezi kuwa sawa,tofauti yetu kubwa ni kutokufundisha kuuwa watu wasiokuwa na makosa,hiyo ndiyo tofauti naona yetu.Na masuala nyingine ni suala la fiqh, elimu kubwa inahitajika kufahamu haya mambo kama alivyoandika brother mmoja hapo juu.Shukurani ni mimi Bilal
@@ahmedmjaka5479 omba ufunfishwe kuandika maneno ya hishma yenye hekma kabla kufundisha kuuliza swali la kidini, na hilo linalofanyika hapa lilikuepo toka Karne ya tano lipo mpk Sasa na litaendelea kuwepo mpk mungu mwenyewe amuondoe mtu wa mwisho kabisa ktk uso huu wa dunia,
Mustafa Abdul umeambiwa urudi darasani ukasome he tayari ushasoma au umeamua kurndelea kuwa mjinga ktk Mambo ya dini ? Lakin kina unalotumia sio la watu wajinga
Alhamdulillah Alllah kutujaliya kuwa muridi kirara kheli Allah waripe kwamalaha iyomunadupa
Mungu atulipe kheri kwakila tunalo lifanya ambalo ni jema na wenye kukejele pia mungu awasamehe mna hawajui walitendalo
Kl😊l😊😊
allaah jaliiluu dhulfadhwili l'a'dhwiimii.umma amiin kulli muriidi fii haadha dun ya.aammiin🚶🚶🚶
Amiin
Hasbuna Allah zuljalali ishallah Allah jupamoja nanyi nawapenda sana
Swadakta mwenyezi mungu ndiyo mlipaji atawalipa inshaAllah hakika kwa kazi nzuri
Masha Allah dhikr zuri sana nawapenda wote kwa ajili ya allah
Mashaallah
Nuru Muhammed S.w.w mashaa Allaah
QA
Mashallah kamian hapo jmn mashallah🙏😍😘💓
Napenda
Yarab tuongoze na utukubalie dua zetu amiin
Amiina Yaa Rabbi
Amiin
habibu Llah mustwafaa alifundisha dhikr ya kujikohoza
Masha ungenipea elimu kiasi juu ya hili dhikr ya kujikohoza kwa sababu naipenda sana na silipingi kamwe ila nataka kupata nasaha na elimu juu ya hili jambo.
Afwan
Kabla hujapinga Jambo, wafuate wale wanaofanya wakuambiye kwanini wanafanya hivyo. Utasoma mengi. Haya mambo Ni mambo makubwa - Yana Siri kubwa Sana.
Twariqaa tul qadiria Allaah audumishe
Mashaallah mashaallah habib
MashaAllah barakallah fiiykum
MashaAllah MashaAllah
Hi
Nashukuru kwa jitihada zenu
wallaah hii ni chakula cha roho,maashaallah...
Allahu akbar. Nawapenda sana kwa ajili ya Allah. Allah atujaaliye tuwe miongoni mwa mabwana wakubwa. Wenye kumtaja yeye usiku na mchana. Amin.
r@@ally9610
Yasmin
inshaallah
Mungu awalinde kwakweli nawapendaga sanaa
Mashallah
Mashaa Allah, Jazaka llahu khail
MashaaAllah Tabarakallah hu
twariqa raha sana
Masha Allah
MARAHABAAAA YAAAJEIRAAN MASHALLAH Nawapenda sana
Jeiraan hapo anaitwa kama nan?
Good sound in my brain
ManshaAllah
Tumtegemee Allah
Allahu Dhuljalal
Mawaidha Mohamed bakar
Aweis Al Barawy ww mwenyewe in bidaa maana wakula chakula asichokula mtume,na unaenda hosi ukichomwa sindano wapi mtume alichomwa sindano tueleze,
Maa shaa Allaah
Mwenyezi Mungu twamuomba atudumishe namwenendo huu...
Muridi wa Sheikhe Kwa mss.
MASH Allah masha Allah
Kaswd
Kahswd
Hadhara mbona unaikatakata huwezi kupata uhondo wa hadhara
Nitumie hii kwa whtsapp
Wewe muhabi fata ujinga wako teuache sisi na mambo yetu
Mtume (s.a.w) na maswahaba zake hawakuwahi kupiga vifua kama hivi
Hujui Dini wewe kkaa kkimya
Alaf acha uhuni katika Dini wewe...nani hapo uliyemuona anapiga kifua!?
Achiwa Achiwa w ndio mjinga wa mwisho
Mashaallah mwenyezi mungu atuzidishie imani
Achiwa achiw kama huna ufahamu na majambo ya kidin bora ukae kimya usije ukalaaniw bira ya kujitambua.inshaallah mungu na mtume wake watupe uongofu kwa.majambo tusio.yajua
Fazil
Bidaaaaaa
Mtume hakufanya ibada hio
Rudi Madrasa ukasome kwanza
Nenda chuoni ukasomeshwe kwanza
Allah atuongoze inshallah
Kama wewe hutaki kumdhukuru Allaah kwa chuki zako basi waache dhdhaakiriina wamtaje hadi umauti utakapowafika
Wewe huna elimu then wataka kujifanya unaweza kupingana na majambo ya kielimu? Utapotea maana hata hao viongozi wako wa kiwahabi hawawezi tambua nini hasa tafsiri ya neno "Awwaahuun" ambalo lipo ktk hiyo aya ya Surat Huud aya ya 75 na Surat Ttawba aya ya 114.Hii hamuwezi fahamu maana hamjui Ta'awil ya Qur'an na kama kuna mhabiya yeyote mwenye kufaham basi aeleze humu
Kuna mtu kaandika eti mtume na maswahaba hawakuwahi kupiga vifua.Mimi sijawahi ons waislam wanapo zikiri kupiga vifua vyao,hapa hakuna mtu anapiga kifua chake zaidi ya kuchezesha au kuinua mikono yao juu na sio kupiga kifua.Sisi tunamtaja Allah kwa wingi kama Qoraan ilivyotuamuru.Sisi na nyie wahabs hatuwezi kuwa sawa,tofauti yetu kubwa ni kutokufundisha kuuwa watu wasiokuwa na makosa,hiyo ndiyo tofauti naona yetu.Na masuala nyingine ni suala la fiqh, elimu kubwa inahitajika kufahamu haya mambo kama alivyoandika brother mmoja hapo juu.Shukurani ni mimi Bilal
Kuna mtu kaandika eti mtume na maswahaba hawakuwahi kupiga vifua.Mimi sijawahi ons waislam wanapo zikiri kupiga vifua vyao,hapa hakuna mtu anapiga kifua chake zaidi ya kuchezesha au kuinua mikono yao juu na sio kupiga kifua.Sisi tunamtaja Allah kwa wingi kama Qoraan ilivyotuamuru.Sisi na nyie wahabs hatuwezi kuwa sawa,tofauti yetu kubwa ni kutokufundisha kuuwa watu wasiokuwa na makosa,hiyo ndiyo tofauti naona yetu.Na masuala nyingine ni suala la fiqh, elimu kubwa inahitajika kufahamu haya mambo kama alivyoandika brother mmoja hapo juu.Shukurani ni mimi Bilal
@@azizbilal1790 Maa shaa Allaah
kwan ww unadhani hapa pana nn kama sio bid'aa tuu.hebu tupe ushahidi japo hadithi mbovu inayosema tufanye hivi
@@ahmedmjaka5479 omba ufunfishwe kuandika maneno ya hishma yenye hekma kabla kufundisha kuuliza swali la kidini, na hilo linalofanyika hapa lilikuepo toka Karne ya tano lipo mpk Sasa na litaendelea kuwepo mpk mungu mwenyewe amuondoe mtu wa mwisho kabisa ktk uso huu wa dunia,
Huuu ndo upotovu na ushirikina wa dhahiri eti kupandisha maruhani.allah ametuusia tusimwabudu shetani.kwenye mambo haya anaabudiwa shetani wazi wazi .
Rudi Madrasa ukasomeshwe Dini wewe usokuwa na Dini...yaani hata maana ya Ushirikina tu hujui utajua nini sasa ktk Ibada?!
Uliza utajibiwa kisheria kwa nin wanafany je wew una elimu gan na hukmu gan unaharamisha kitu utakuja na cha kumthibitishia Allah siku ya qiama
Mustafa Abdul umeambiwa urudi darasani ukasome he tayari ushasoma au umeamua kurndelea kuwa mjinga ktk Mambo ya dini ? Lakin kina unalotumia sio la watu wajinga
Usirudie tena
Kichaa wewe mwenhu
allaah jaliiluu dhulfadhwili l'a'dhwiimii.umma amiin kulli muriidi fii haadha dun ya.aammiin🚶🚶🚶
aaamiin amiiiiin amiiina