Mm naona tufanye hivi tuwe tunashare names za bosse so that kitu ikihapen mkenya mwingine asiende hyo nyumba..😢😢😢😢its sad kuuliwa kla wakati,,tunaisha,kizazi kinapotea jamani,,Mungu tuhurumie🙏🙏
Ivano niombee pia mimi nimebakisha mwezi 4 nihome but nililetewa vitabu za coruan nisome nikamusho hapana then nikaziweka kwa meza ziko to hapo adi waleo,,i am fasting day and night nikiomba mungu aniwekee ukuta katikati yangu na hao,
waaah pole kwa familia yake
Wa poleni familia
😭😭😭😭 is so sad manze mungu atulinde huku gulf si rahisi
Mungu walide watoto wetu
Ni ukweli lvano, maombi ni silaha ya vita Mungu a tulinde sisi bado tufanya kazi, very tupendane.
I feel for her O God Almighty remember those children
Mm naona tufanye hivi tuwe tunashare names za bosse so that kitu ikihapen mkenya mwingine asiende hyo nyumba..😢😢😢😢its sad kuuliwa kla wakati,,tunaisha,kizazi kinapotea jamani,,Mungu tuhurumie🙏🙏
Boss wengine kaa huyu wangu ukipeana namba yake utajua hujui wee ni maombi tu huku Gulf especially Saudi Arabia
Shida si Saudi ni watu wetu hawajui anything kuhusu Islam religion ukijua huwezi bahatisha plz someni on CZcams with (christian prince)
@@Princessmanu1366 sio namba nop anaeza change majina ndio muhimu na Area anatoka zkue ata znafkia agents ndio masisters wetu wasipatwe na mashida
Mungu halemu roho yake mahali pema batakatifu
And Ruto wants to send more.
Sound iko chini sana!
😢😢so sad
Not only kenyans even ugandans and Philippines
Watumieni nyuki hao waarabu!!! Wamezindi kuuwa watu !!!!
Kweli kabisa dada
May God intervin🙏🙏🙏🙏
😢😢aki mm pia wangu ako na katoi ka 10monts na pia ako ball ya 3months, nilimshow niende vacation ndio nirudi, akanishow niende 1month
Usirudi plx
Wambie ukweli dear all you said ni kweli gulf gals you have to be careful and put God first 🙏🏼
So sad
Rip sis😢😢 guif sio rahisi ni mungu tu atusaidie jamani
Wewe ni Gen mbona tunapeleka malalamiko ya wako Gulf kwa Government hili nazi tukumbuke angalau tupate haki yetu?
That's true tupendane wakenya usifurahi wakati mwingine anaumia
😢
I tell you mm kamakosa kadogo nafikirianga kutoroka😢😢💔yaani kukemboi😢😢
Mungu atusaidie
Mimi pia nukaa rada naeza toroka kikiumana coz office yangu haina shuguli
My question is.. ni lazima waende Saudi Arabia, Mimi huko no.
Rip viggy
Ivano niombee pia mimi nimebakisha mwezi 4 nihome but nililetewa vitabu za coruan nisome nikamusho hapana then nikaziweka kwa meza ziko to hapo adi waleo,,i am fasting day and night nikiomba mungu aniwekee ukuta katikati yangu na hao,
Damu ya yesu ikufunike akulinde usiku na mchana na apigane na wanao pigana nawe na pia ajibu maombi yako🙏
@@pascalinamukui8400 Amen and amen 🙏🙏
Kukupa vitabu ni jambo la kawaida kwa muilslam .mimi ni mkenya na wafanyakazi wangu nawapeaga vitabu za dini ili wajue ukweli kuhusu dini yangu .
Huyo walikua wamemtruck maybe wakaona vile anaongea aesi rudi 😢
Nasikia kuna mwanaume amejinyonga kule Qatar
SERIKALI YA KENYA HAIFANYI KITUUU!!!???
Oh Jesus ‼️🤔😢
Kweli ivano watu wa gulf tupendaneni haki heri mm nende home bila pesa lakini nwe mzima
Stop it by not going
So sad may her soul rip well 😢😢😢
Saudi which side
Why are they going to Saudi Arabia? The same jobs are here in Kenya.
The salary in our country is very low.
Ata Kenya mtu hutesa mwingine
Exactly 💯 hata beta kudo vibarua daily
Tafuta views wewe,, rest n peace my sister