Kazi zenu nzuri sana, lakini mnapoanza kuchanganya lugha kwenye Tittle hapo mnawachanganya your primary target audience.
vizur sana
ndugu zetu ni kweli kilimo ni uti wa mgongo lakini tusaidieni bei za mpunga zipo chini sana kana kwamba tunashindwa kufikia malengo.
Its nice subject, through this lesson farmers and other stockholders will invest a huge capital in agriculture.
Kitabo kya kilimo cha mpunga ni shillings ngapi.?
asante keep it up tunajifunza mengi hakika
Karibu