Wacha tumsifie bwn Muhammad anaeweza kuruka aruke anelia alie kwa sifa zake bwana tumtukuze kwa wenye vipaji vya sauti km Hawa watuburudishe kwa kumtaja bwana WA mabwan a mashaallah
Chunga usije ingia kwa kufru swala ya mtume kumi na mia na hakuna kitabu ikilicho ilezea namna ya kumswalia so usifananishe panapo tajwa mola na kipenzi chake na mahali panapo tajwa shetani kama hupendi kimnya ni bora kwako hayo ndio mafundisho
@@hassanalhussein3982 kilichonifanya nisikilize ni bango waliloandika hao waliotuma hii video ya kwamba Eti kaacha Taarabu kaenda kwenye qaswida sasa nkajiuliza nini maana ya Taarabu aliokuwa akiimba na maan ya hizo anazoimba Leo ...Subhaanallah....Em nipe tofauti ya alichokuwa anakifanya kipindi cha nyuma na sasa kuna tofauti gani...kama kweli anaakili ya kupima mambo na kama huna Usiongee upuuzi ili kutetea Upuuzi wake.....Allah amuongoze..na akuongoze na wewe ndugu yangu mbora
@@theworldandcraziestguys2729 mungu aniongoze mimi na yeye jee wewe hutaki kuongoka ? Ama wewe ni muongofu uliobora . Abou Maryam ndio jina ulilopewa na Wazee wako? Mawahabi muna shida
@@hassanalhussein3982wewe Kwani hili ni jina lako....Au na wew ni Mshia...???Kisha Kama ningekuwa sitak kuongoka basi nimeshakuwa zaid ya hata Mitume kam mnavyowatukuza masheikh zenu Wa kisufii mpk wengine mwasema hawajawahi kutokwa na Makohoo...Subhaanallah huko ni kam kusema Allah ni muonevu wengine twatokwa makohoo masheikh zenu hawatoki cjui kisa nn....au ndo makarama!!!
@@theworldandcraziestguys2729 Mimi si Shia. Lakini suala langu kwako jee hawa mashia si waislamu ? Na hiyo unguja pamoja na Africa mashariki kwa jumla walio eneza dini ni hao unaowaita masufi. Jambo gani mulilo leta nyinyi mawahabi isipokuwa fitna katika ulimwengu . Mashekhe zenu wamehalalisha disco huko Saudia ama hujui haya ? Unapo ombea watu duwa basi usijisahau na nafsi yako . Wewe pia unahitaji uongofu yaa Abou fulani .
No different between the way you sing taarab and that you call it qaswida my mum you are still doing the same thing,The instruments that you use it in taarab their still the same.
Mashallah rukia ramadhan Allah azidi kukurejesha huku gonga like kama nimeongea kweli
Wacha tumsifie bwn Muhammad anaeweza kuruka aruke anelia alie kwa sifa zake bwana tumtukuze kwa wenye vipaji vya sauti km Hawa watuburudishe kwa kumtaja bwana WA mabwan a mashaallah
You are all amazing Mashallah
Keybord nomaa uyo.nomaa Est Africa
Tuacheni na Taarab yetu..kila mmj na mzigo wake fuata lile unaloona kwako ni sahihi msitusumbue...! Kheyr kwako Bi Rukia
Kama ni hivo basi msiseme mnamswalia Mtume s.a.w tafuteni maelezo mengine ambayo hayatoshabihiana na dini
Tuacheni unafiki. Hivi kuna tofauti gani kati ya taarab na hivi mnavyofanya. Tumuogope Mungu jamani. Haya sio katika dini ni upumbavu mnaoufanya.
Chunga usije ingia kwa kufru swala ya mtume kumi na mia na hakuna kitabu ikilicho ilezea namna ya kumswalia so usifananishe panapo tajwa mola na kipenzi chake na mahali panapo tajwa shetani kama hupendi kimnya ni bora kwako hayo ndio mafundisho
@@giovannithebarber4333 wacha kushabikia ujinga. Ni kitabu gani kilichohalalisha music
Jambo gani kwenu linafaa? Hebu tuelemishe kwa aya na hadithi zinazo kataza haya
KARUKA MAVI YA MBWA KAKANYAGA YA BINAADAMU...ALLAHUL MUSTAAN
Ilikuwaje ukasikiliza ? Hebu wacha unafiki .
@@hassanalhussein3982 kilichonifanya nisikilize ni bango waliloandika hao waliotuma hii video ya kwamba Eti kaacha Taarabu kaenda kwenye qaswida sasa nkajiuliza nini maana ya Taarabu aliokuwa akiimba na maan ya hizo anazoimba Leo ...Subhaanallah....Em nipe tofauti ya alichokuwa anakifanya kipindi cha nyuma na sasa kuna tofauti gani...kama kweli anaakili ya kupima mambo na kama huna Usiongee upuuzi ili kutetea Upuuzi wake.....Allah amuongoze..na akuongoze na wewe ndugu yangu mbora
@@theworldandcraziestguys2729 mungu aniongoze mimi na yeye jee wewe hutaki kuongoka ? Ama wewe ni muongofu uliobora . Abou Maryam ndio jina ulilopewa na Wazee wako? Mawahabi muna shida
@@hassanalhussein3982wewe Kwani hili ni jina lako....Au na wew ni Mshia...???Kisha Kama ningekuwa sitak kuongoka basi nimeshakuwa zaid ya hata Mitume kam mnavyowatukuza masheikh zenu Wa kisufii mpk wengine mwasema hawajawahi kutokwa na Makohoo...Subhaanallah huko ni kam kusema Allah ni muonevu wengine twatokwa makohoo masheikh zenu hawatoki cjui kisa nn....au ndo makarama!!!
@@theworldandcraziestguys2729 Mimi si Shia. Lakini suala langu kwako jee hawa mashia si waislamu ? Na hiyo unguja pamoja na Africa mashariki kwa jumla walio eneza dini ni hao unaowaita masufi. Jambo gani mulilo leta nyinyi mawahabi isipokuwa fitna katika ulimwengu . Mashekhe zenu wamehalalisha disco huko Saudia ama hujui haya ? Unapo ombea watu duwa basi usijisahau na nafsi yako . Wewe pia unahitaji uongofu yaa Abou fulani .
Woow
Maashaallah yananini machoyangu. Hayataki. Kunyamaza dooh. tayeebu
Hakuna tofautii dah ndo pale pale tusifanyeee masiharaa na Mungu
Wallah mtihani huu
Maa shaa Allah mama umeniliza kwa mahabba ya mtume
Hatari huyo ni alanisa Rukia bint Ramadan mashalah!!!!!
Hii ni tarab kama izo nyengine mchanganyiko wa kike na kiume kujiremba na sauti nyororo za kike mnanda hukuna tofauti hapa
🔥🔥🔥🔥🔥 mashallah bi rukya! #LeylatHelwa
Mama mkubwa
safiiii
masshalah
Hahahaaaaa kazi ipo hapa
Mashaallah sanna
Huyo mpiga nai ni nani?
Ni Tz. Or wapi hizi shughuli
Tz
saleh mussa maisara
Hatareeee
Ile taarab ulikua ukipata dhambi lakini hizi kasida unamiminiwa magunia ya thawabu usiwe nashaka mama huo ndio ucha Mungu
New taaarbu
Maji ya futi na nyayo
Na iyo tarabu eti asilia
Doh bihaki anataka kudondoka🤣🤣🤣🤣🤣🤣
No different between the way you sing taarab and that you call it qaswida my mum you are still doing the same thing,The instruments that you use it in taarab their still the same.