PATRICK KANUMBA:JENIPHER ANAVIGEZO VYA MTU NINAYEMTAKA/MAHUSIANO YETU/NIMEMSAVE HONEY/IRENE UWOYA
Vložit
- čas přidán 13. 09. 2024
- ALIYEWAHI kufanya vizuri kwenye movie za marehemu Kanumba 'Patrick Kanumba' amefunguka mahusiano aliyonayo kwa sasa na Jenipha Kanumba ambapo kumekuwa na story nyingi za kuhusishwa na mahusiano.
Mashalaah Patrick umekuwa handsome xana mnapendza mkiwa kwenyee relationship and jenifaaaaaa💘💘💘💘💘
Othuman upo vizuri mashallah😘😙😙😙
U grown up to be a fine man.Congratulations🤗
Very beautiful 🌹 mpendane sana na Jennifer
Handsome boy God bless you Patrick
Very presentable kijana. Umeumbwa,umekua sana mdogo wangu sana.
Ngai umekuwa handsome boy 😏👌👌👌🇰🇪🇰🇪👍
Patrick Mungu azidi kukuhufadhi vyema bro ❤❤❤❤❤ uzidi kufanya vizuri na kazi yako
Congratulations patric b blessed alot
ilapart najeniffer wakiwa wapenzi watanoga sana kinyama one day yes
God. Bless. You. Patrick
NAOMBA NIKUALIKE
Habari naitwa Hero msanii wa muziki naomba nikualike kutizama na kusapoti video ya mziki wangu mpya nao uzindua leo rasmi kwa ku SUBSCRIBE naomba SUSCRIBE yako shabiki wangu GUSA hapa kuona czcams.com/video/kHp-9wK9Tyw/video.html
Patrick umekua mashaallah...Allah azid kuku kuza....inshaallah 🙏
We siumempa mimba nn tena
Hivi mbona huyu Patrick kafanana na j actor wa Kenya sultan movie
@@mukaipeter2186 n yeye
Ndio hua anakuja Kenya so hyo wa sultana ni yeye
❤❤❤ I love you Patrick❤❤
Patrick he's so handsome❤😘
Patrick nakupenda sana handsome
Patrick ama pia jayjj may God keep blessing you more
Patrick Kanumba just go for Jennifer Kanumba..❤️❤️❤️
So handsome othuman njaidi
Sanaa. Mnoooo😂😂😍😍😍😍😍😘😘😘😘😘❤️❤️❤️❤️❤️
Mashaallh
Umekua mzuri bala😘😘😘😘😘😘😘😘😘
I love your intelligence and you are so handsome Wow.
congole mdogo wangu mashallah mungu atuongozee vizazi vyetu
Smart boy
Huyu jamaaa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 asali Kama asali Mimi ninyuki nalinda asali 😂😂😂😂😂😂
Awa watoto wako na akili sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@gisellebusime6578 sanaaaa duh hahahahahah katuweza Yani anakuja anakataaa anakujaaa anakataaa duh
Mhhh nyie ni kaka na dad kweeli
Patrick amekua masha'allaah 🥰🥰nakutaka baby boy where can I find you 🤪😂😂
Mzuri hatari😂😂😂😂😘😘😘😘😍😍😍😍❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Hhhhhhhu
💯💞💋 Patrick very handsome boy hongera
Honey Honey, Honey kama vile Honey ndo hivyo Honey
Patrick niatari kweli
Les congolais vous êtes là sinon recevez mes sincères salutations
Unapekua pekua sana kutaka kujua mahusiano ya watu,Mimi nilifkiri utamhoji kuhusu sanaa
Manshallah 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Interview iko pw sana kajibu kama inavyotakiwa wabongo chaliiii😂😂😂😂
Mnapendeza sana mkiwa pamoja
Congratulations interview
Patrick na Jenifer mlikuwa wadogo lkn ss mmekuwa wakubwa.....In shaa Allah kher
Dogo ana majibu mazuri,nimempenda bure
Athuman Allah akupe umr wenye faida kwafamilia yako nahata mbele zaala nikutakie maisha marefu amiin nakupenda mnoo
Kiukweli mumependezana tu sana na Jennifer.... Endeleeni tuu hakuna ubaya
Patrick mzuri jamani
Nawapenda hawa watto naikumbka whte maria na marehm kanumba
Itz gud couple
So nice
Patrick na jenif ❤❤❤🇧🇮
Ishallah allah ajalie kaz yenu ila mtangazaj ovyoooo
Patrc unajibu vizuri.
Nampenda huyu dogo bure
Hunie ni asali😆😆😆😆patric we ni nomaaaaaa sanaaaaaaaa😆😆😆😆😆😆😆
Nawapenda mimi hawa wtt jinifa na patric nawapenda sana maana wanajielewa sana sio mcharuko
Patrick nakupenda sana
Jamaniii Patrick uwiiiii
My all time Crush Othman
Wewe njoo utucrush sisi
@@mvukiedavid4332 🤣🤣🤣☝️
Hahaha
that's good
kakuaaa jmn
Napenda muwe pamoja na habnida kapoyenu inapendeza
Wao
Is very very handsome boy
Mtangazaji na kupenda sana kwakweli nimecheka atari mara asali mara o nimulinda, apo naisi kunakitu
Mr handsome mbona kavu sana
Patrick umekua manshallah...pamoja sana
Hahahahaha nimecheka iyo asali jaman
Hongera, upo smart sana ktk kuongea.
Uko vzr
❤🎉
Nampend jmn huyu kaka😍😍
Walai mumeweza
Jmn ni muhandsome Ochu
Tangu zamNi uyu mutoto nipole sana tangu zamani jenifa mutundu
Niulize huyu Patrick aliact maisha magic bongo kwa pazia
Yea aliact
🔥🔥🔥🔥
😂😂😂😂😂😂 nitakuja nikuibe sasa
Apo powa Patrick elimu ime jaa kinjwaniii unajibu vizurii
I love you Patrick 😘
Patrick umekuwa handsome kwakweli
Since i see partric when he was small boy wouuu
Mnapendezeana sanaaaaa
Unaakiri sana kijana nimependa Ila waache hao wasiwafatilie watawachafua
Aisee Patrick kakua xana jaman mung amzidixhie balaka azid kukua
Mdogo wangu u've grown big wallah
Patrick amukuwa handsome kweli🤦🤦mpaka namtamani mhhhh jenifa kaza saaaaaana
😂😂😂
Mas seria melhor se casanse porque vocês são melhores amigos de infância, é melhor isso porque acontece.
Navipi sultana bro
Inxhallah mungu azid.kuwabariki
Patrick umekusha sana
Nice
Nice othuman
Majbu ya othuman yananichekesha kweli
Kweli
Nyuki wanakula asaliiii , kile ni chakula chaooo
😁😁😁
Unapendeza mwanangu
Jamani nawaombea muoane itapendezaa saana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣honey, nyuki na asali, jamani Patrick umesema yoooote, wala usiongeze tena🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Am sure kuna gals wako happy kusikia these 2 aren't in any relationship😂😂jmn wadada muweni wapole othuman is still young
Is still young wapi huyu babu???😂wa miaka 18 wanazaa na kuoa alafu huyu wa 22 ndo atashindwa je!
@@hopechidera 😅😅😅 babu tena😅😅
,,hah hhhha
Mashallah
Ming akuwekeh wepess mambo yk
Yaani robo tatu ya interview ni maswali ya mahusiano tu duh😂😂😂
Nashangaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Dogo ana akili Sana huyu....
Kakwepa mtego wa swali la Kigosi🤣🤣🤣🤣
Haahahaha jamaaaaa anazungukaaaa sanaaaa ila cc tushajuaaaa
Honey ni asali na Othman ni nyuki hapo huelewi nini mtangazaji
Bonjour
Eti apa hamna kituu hahahhaha
Kwan n nn inawazuilia kuwa wapenzi? Mnaendana mkiwa pamoja
Yani bado ni mpole haya pia😀😀