THE CLASSIC SHARAMA WA UKOO FLANI :MUZIKI ULITUTOA KWENYE UHUNI/HISTORIA YA RAP KENYA/STREET HUSSLA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 09. 2024
  • Sharama ni rapper mkongwe aliekuya sehemu ya kundi kubwa la Hiphop nchini Kenya la Ukoo Flani na baadae kuwa sehemu ya Ukoo Flani Mau Mau,pia alikua ni sehmu ya kundi la watu wawili la Sharama na Cannibal ambao walifanya poa sana na kazi zao kama Kichwa kibovu na Street Hustler,alipita kwenye The Classic ya Efm na kuongea na Jabir Kuvichaka kuhusu masuala mbali mbali ikwemo historia ya Rap nchini Kenya
    #bongoflava #gengeton #kenya #ukooflani #kalamashaka

Komentáře • 35

  • @nickmugesh6986
    @nickmugesh6986 Před 3 měsíci

    Hii upuzi ndio kazi. Big up sharamaa..

  • @rasgeorges9459
    @rasgeorges9459 Před 9 měsíci +1

    Big up sana Sharamaa...well represented Mombasa.

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 Před 11 měsíci +3

    Interview kali muwe mnaachia na upande vya hizo ngoma

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  Před 11 měsíci +1

      pole ndugu hizi nyimbo zina haki miliki ndo mana hatuziachii hapa

    • @warakawayohana2896
      @warakawayohana2896 Před 11 měsíci

      @@KuviFacts Ok

    • @bakarabbaskhamis2645
      @bakarabbaskhamis2645 Před 3 měsíci

      Kweli jabir mna Kata kata sana mziki mna rusha japo dkk 3 ya track bro!!

  • @victorosong132
    @victorosong132 Před 10 měsíci +1

    Ndani Ya Pwani ilikuwa ngoma noma sana.

  • @sylvesterpeter1272
    @sylvesterpeter1272 Před 10 měsíci +1

    sharama ni story teller mzuri sana

  • @REVOLUTIONARYLYRICS
    @REVOLUTIONARYLYRICS Před 5 měsíci

    "Mashabiki ni Real Ukoo Flani kuliko Ukoo Flani wenyewe.." Ukoo Flani for Life🇰🇪

  • @mkazy6550
    @mkazy6550 Před 5 měsíci

    Huu.upuzi..ndio.Kazi,""SHARAMA Mupaye

  • @mkazy6550
    @mkazy6550 Před 5 měsíci

    Very Interesting

  • @dottolambert-wf4rq
    @dottolambert-wf4rq Před 8 měsíci +1

    Shalama bonge ya rapper

  • @ahmedahmed1533
    @ahmedahmed1533 Před 7 měsíci

    Kuvifacts we need Redsan kwa show yako

  • @jayfourmusic462
    @jayfourmusic462 Před 5 měsíci

    Magongo city

  • @khamisramadhan5133
    @khamisramadhan5133 Před 11 měsíci

    Ndio 🎉 maua yako salute kuvi facts

  • @sajo_lkm2781
    @sajo_lkm2781 Před 11 měsíci +1

    Big up Jabri, kipindi chako ni classic for sure ❤🔥

  • @samwelmasssawe1767
    @samwelmasssawe1767 Před 11 měsíci

    Pindi Bora sana kwangu namba Uno.. Oii Stay blessed Kuvi Facts

  • @ukuvukiland2387
    @ukuvukiland2387 Před 11 měsíci

    Nimeipenda hio story ya jamaaa.

  • @salimkibwana4189
    @salimkibwana4189 Před 11 měsíci

    Sure homeboy utakualisha safi

  • @chiefmkalikibz1503
    @chiefmkalikibz1503 Před 8 měsíci

    #StraightAutoBarisheba #streetWakali
    #kichaja

  • @dastonamichaels1854
    @dastonamichaels1854 Před 11 měsíci

    Kubwa hii..love from mombasa 🇰🇪

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  Před 11 měsíci

      pamoja sana,salaam Mombasa huko

    • @dastonamichaels1854
      @dastonamichaels1854 Před 11 měsíci +1

      Tuko locked brother..blessings kwa kila mtayarishaji that made this interview happen,wakaribishe wote ukipata nafasi e.g vigetti k south cannibal chizen ambrose Juacali bobby mapesa nonini nazizi

  • @samirmswahili
    @samirmswahili Před 11 měsíci

    Kuvichaka 🐐

  • @evancekinabo2595
    @evancekinabo2595 Před 11 měsíci

    Pale Pakistan Kuna rapper Atari sana mc Abdul

    • @victorosong132
      @victorosong132 Před 10 měsíci

      Nampata sana huyo dogo Alipita na beat ya Eminem.

  • @danielmihanjo5472
    @danielmihanjo5472 Před 11 měsíci

    sharama anaonekana akili mingi sana the way anavyoongea

  • @meyou-zz8mj
    @meyou-zz8mj Před 11 měsíci

    Alafu tafuta kitabu chake online keefe D ameandika yule Vlad tv ndio kamponza aliaanza ujinga alivyomjibu Boose

  • @hashimshaqur9363
    @hashimshaqur9363 Před 10 měsíci

    Fujo makelele alikuwa mtu na nusu😂😂 mwamba alikuwa mnoko balaa

  • @niggahoodthemc9156
    @niggahoodthemc9156 Před 11 měsíci

    Asante ✊🏿👮🏿

  • @ahmedahmed1533
    @ahmedahmed1533 Před 7 měsíci

    Kuvifacts we need Redsan kwa show yako