like father like son wote walimgeuka kamacha drama baada ya kamacha kukwama na ukweli

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • • Christmas offers by Da... darda kitchen
    exclusivecoinm... exclusive coin market
    / @veeimports vee closet

Komentáře • 1,6K

  • @TruekTVNetwork
    @TruekTVNetwork  Před rokem +18

    exclusivecoinmarket.live/register/990/ let’s make money guys tuomoke pamoja 🎉😊

    • @evanskoech2983
      @evanskoech2983 Před rokem +1

      The

    • @nancyruguru
      @nancyruguru Před rokem +1

      Aki awana aibu baba anateka kijana anteka surely nkama mandugu,ata mandugu wana aibu ,shame on them

    • @danielmosiria5063
      @danielmosiria5063 Před rokem

      Baba na kijana niwezi kamacha topoa but , mwanzo wewe ndio keen Kwa hiyo family utafukuzwa

    • @user-ww2mg1jd8n
      @user-ww2mg1jd8n Před 11 měsíci

      😊

  • @marthawangari2488
    @marthawangari2488 Před rokem +395

    Likes za dressing code ya kamacha zikuje

  • @dorcasgatwiri5977
    @dorcasgatwiri5977 Před rokem +32

    Baba na Albanus wote hawana hekima mmelalia akili sana.......👏👏👏👏👏👏today am clapping for Kamancha

  • @kazuri7640
    @kazuri7640 Před rokem +347

    Team gulf likes za kamacha sianguke hapa tukisonga atopoe zote🤣🤣💃💃

  • @agathaeuphemia2822
    @agathaeuphemia2822 Před rokem +58

    Birds of the same feather 🤣🤣🤣I like the chorus

    • @janemwangi2102
      @janemwangi2102 Před rokem

      😂😂😂aki kamacha

    • @Edgybhthjklew
      @Edgybhthjklew Před rokem

      Aki kana audacity ya kurundi ndani tena ati nimekuja mnipige🤣🤣🤣🤣wish Mma Albanus na Mma Gift watakuja tusikie maneno zaidi

    • @oatriciahkiio5148
      @oatriciahkiio5148 Před rokem

      @@Edgybhthjklew na achokangi na kupigwa aii vita yote na bado anacheka

    • @ken254
      @ken254 Před rokem

      Kamacha big up

    • @ken254
      @ken254 Před rokem

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @jackychirry3413
    @jackychirry3413 Před rokem +73

    Kamacha amekuwa friend wa jay tangu atopoe maneno 💯💯😅😅😅🔥🔥🔥kamacha tema yote mama we love you😅😅😅

    • @greatdestiny6690
      @greatdestiny6690 Před rokem +3

      Shida Ile iko,kamacha alicover Hawa wawili ndio akaonekana mbaya,but zimewageuka

  • @Mindsetting4success680
    @Mindsetting4success680 Před rokem +35

    May the Lord continue to keep Kamacha’s safe so that she can save mama Gift marriage in Jesus name. After this episode I’m in love with kamacha

    • @jnjerinduati
      @jnjerinduati Před rokem

      Mama Gift has no marriage to be saved here. This is a man who cannot change. He has a 5 year old reasoning. She better takes care of her children and her health. This is a very very toxic family.

    • @virginia9629
      @virginia9629 Před rokem

      You think mama Gift deserves such a man??

    • @Chai-moto-fm
      @Chai-moto-fm Před rokem

      Mama Gift doesn’t deserve this Dog of a man!!
      Kama ni mimi mama Gift this would be the last time kuniona!
      Kuufunga kila kitu na kwenda Inje ya Kenya!!

    • @erickotieno6164
      @erickotieno6164 Před rokem +2

      Aii kama niwewe unaweza rudia bwana kama huyu surely?jiweke kwa hicho kiatu bana

    • @Momy232
      @Momy232 Před rokem +2

      Naona akichanua mama Gift. Watashikana mikono kuhangaisha Albanas 😂😂

  • @leahmurayas8641
    @leahmurayas8641 Před rokem +56

    This girl is very intelligent.

  • @faithmutuku3048
    @faithmutuku3048 Před rokem +9

    Jay si unafurahiaga unaleteagwa content kama umekaa tu 🤣🤣🤣🥳🤸🤸🤸🤸🤸

  • @olivierscromowel4432
    @olivierscromowel4432 Před rokem +97

    Mambo ya kulipua lipua, gonga likes zangu

  • @Betty-hb1nl
    @Betty-hb1nl Před rokem +66

    As we find kamacha a darling now, let's not 4get she has destroyed a family

    • @ChirieKilimo
      @ChirieKilimo Před rokem +14

      I think she didn't destroyed she just used the two men who have destroyed their family with their own hands

    • @mm-mf9tr
      @mm-mf9tr Před rokem

      @@ChirieKilimo true

    • @philariesbett3316
      @philariesbett3316 Před rokem

      @@ChirieKilimo hapa Niko na wewe chirii

    • @mecksy4473
      @mecksy4473 Před rokem +5

      @@ChirieKilimo The men destroyed their own families kabisa

    • @maryfeddy2798
      @maryfeddy2798 Před rokem

      True she is the beginning of this mess.

  • @DorisWanjohiGifttv
    @DorisWanjohiGifttv Před rokem +143

    Kamacha is a genius sidechic♨♨

  • @nancywanjiru1575
    @nancywanjiru1575 Před rokem +17

    Thank Kamacha for telling the truth at least mama Albanas and mama Gift are well informed

  • @svempire347
    @svempire347 Před rokem +51

    The father is the cause of all the problems, as the head of the family you have failed your family miserably. Mama gift don't take this guy back move on with your life.

  • @jaymesbaraka7062
    @jaymesbaraka7062 Před rokem +32

    From this story, 1 thing i have learnt is that even after albunas acquiring a degree the truth is that he lacks wisdom, he is a big baby...

  • @alicekemunto3832
    @alicekemunto3832 Před rokem +36

    Kamacha clear your name mama 🔥🔥🔥🔥

  • @lydiawanjiru7910
    @lydiawanjiru7910 Před rokem +15

    Though evil, this girl is very very intelligent 👌 .
    Nothing hurts like a family led by a
    Useless father and son.
    Prayers for Abanas wife and mom .

  • @abigchelaa6666
    @abigchelaa6666 Před rokem +38

    Kamacha high five mummy💕

  • @Anne-de4up
    @Anne-de4up Před rokem +6

    Mamagift alilalia maskio tooooooo muchhh "Kamacha "is a SMART SLAY QUEEN

    • @ngowibeatrice1701
      @ngowibeatrice1701 Před rokem

      Mama gift anapenda sana bwana anelalia akiri sana anajua kutafuta pesa lakini anampa mwanaume

    • @rachealmatu5502
      @rachealmatu5502 Před rokem

      Na mwenye analilia he is not worthy it

  • @zakiaibrahim8338
    @zakiaibrahim8338 Před rokem +12

    Following from riyadh mama gift na mother in low wapumzike sasa kiwanja ni ya Albanas babake na kamacha

  • @florenceodhiambo1631
    @florenceodhiambo1631 Před rokem +5

    I remember pastor Sammy saying that Kamacha ni mzuri anaeza fanya watu wajue ukweli....ndo io sasa....waaah!

    • @carolkamau3264
      @carolkamau3264 Před rokem

      I remember that day

    • @florenceodhiambo1631
      @florenceodhiambo1631 Před rokem +1

      @@carolkamau3264 ndo io woofer anabomoa siri sasa

    • @carolkamau3264
      @carolkamau3264 Před rokem

      @@florenceodhiambo1631 aki. Its a pity to these 2 men and especially Albanus coz I know probably he convinced his dad to take loan ndo aonekane kwa akina kamacha yeye ni ndume

    • @florenceodhiambo1631
      @florenceodhiambo1631 Před rokem +1

      @@carolkamau3264 sasa wangangane na hali yao na waende waskie vibaya hukooo

  • @annmwongeli2486
    @annmwongeli2486 Před rokem +199

    Kamacha is very clever . She is having fun as the two idiots fight

  • @skyquakeinteriorsandfurnit5614

    Njia ya mwongo kweli FUPI.
    Our prayers are working!!!

  • @beller9304
    @beller9304 Před rokem +107

    Likes for KAMACHA 👏👏👏👏

  • @joycebeckar8091
    @joycebeckar8091 Před rokem +6

    Jay kumbuka ata Mercy pia alienda uganda siku ya kutoa kwa mahari,,,,mtafute akupige support ya ukweli

  • @angieterer5950
    @angieterer5950 Před rokem +21

    Nikiona Albanus ni kama naona ng'ombe mbele yangu 😂😂hope tuko wengi

    • @gracekamaue8913
      @gracekamaue8913 Před rokem +1

      Tuko pamoja

    • @Danny54642
      @Danny54642 Před rokem +1

      🤣🤣🤣😅😅

    • @janetmamaz9629
      @janetmamaz9629 Před rokem +1

      😂😂😂, 🐄🐄 haswa Hadi babake ameambia kamacha kama bwanake hayuko xawa upstairs basi asianike Kila kitu

    • @masonsanders7689
      @masonsanders7689 Před rokem +1

      @@janetmamaz9629 In short, awe kama Mama Gift eeh! Faida yake ni ipi?

    • @rachealmatu5502
      @rachealmatu5502 Před rokem +1

      Ngombe ata ni nzuri yatupea milk 🥛

  • @faithnziva6176
    @faithnziva6176 Před rokem +16

    Prayers are working here God ur so faithful

  • @florencenekesa8243
    @florencenekesa8243 Před rokem +26

    Mzee alipeleka mahari akiwa na side chick wake aki huyu Mzee is the cause of this mess🙆🙆🙆🙆🙆🙆

    • @phylisnyanchama5858
      @phylisnyanchama5858 Před rokem

      Ndio nimeshangaa na vile alikua pretender from the beginning jamani ,wanaume hua wanatakanga nini for sure

  • @DorisWanjohiGifttv
    @DorisWanjohiGifttv Před rokem +34

    Dear God help this family and all families with piling loans and bills to offset them. Amen

  • @marywambua8930
    @marywambua8930 Před rokem +64

    I stand in solidarity with kamancha. High five mamaaa

  • @dushdollshow
    @dushdollshow Před rokem +14

    Kamacha nilikua nakuchukia sana lakini saa hii " I LOVE YOU " mama

  • @sadiahassan3096
    @sadiahassan3096 Před rokem +41

    Like Father like son wote wako na bibi wawili

  • @janenjuguna7904
    @janenjuguna7904 Před rokem +10

    At this juncture kamacha needs protection. She knows so much and mzee has another family .

  • @annegaceri9577
    @annegaceri9577 Před rokem +85

    Thanks Kamacha for giving these two guys character development. Even if haungeila ingeliwa na wengine.

    • @faithgatwiry
      @faithgatwiry Před rokem +1

      Alafu ukiwa side chic kula kabisa maliza hadi umpee character akirudi kwake atulie asiwahi jaribu kujaribu mwingine.. sai albanus atakuwa akiona side hen anarudj kwa mama gift

    • @pamelawanderaofficial6257
      @pamelawanderaofficial6257 Před rokem

      True. Kama ha killed the show

  • @lucywachira3056
    @lucywachira3056 Před rokem +42

    These two men are a real disgrace,i feel sad for mama Albanus at her age she should be enjoying the fruits of her labour all those years of hard work😥and yet these two are not remorseful.we pray for grace and peace for dear mum

  • @sillahflorence2194
    @sillahflorence2194 Před rokem +99

    Likes za Kamacha zikam, France 🇨🇵🇨🇵🇨🇵 tuko ndani.

  • @jaynejane4746
    @jaynejane4746 Před rokem +11

    Kamacha is done with this family,she was in a mission,and Albunas is in love😂

  • @fridahndungenzaumi6591
    @fridahndungenzaumi6591 Před rokem +9

    Mama gift 🤔🤔🤔🤔 mungu akuonekanie aki ...huyu father in law amekubetray vibaya saana

  • @everlinemusyoka9602
    @everlinemusyoka9602 Před rokem +8

    I congratulate kamacha for the first time mzee kabomoa BOMA yake God have mercy on this family

  • @lookbabes8710
    @lookbabes8710 Před rokem +144

    Kamacha is the best side chick🤣🤣🤣🤣

    • @annmugo5507
      @annmugo5507 Před rokem +7

      Ako sawa, nikama ameamua kumuwacha Albanus amepora pesa yote

    • @njeriwarukira2221
      @njeriwarukira2221 Před rokem

      Walai...🤣🤣

    • @emillyaoko9357
      @emillyaoko9357 Před rokem +2

      Akukuja kuangalia magorofa nairobi 🤣🤣🤣

    • @dianashighi2947
      @dianashighi2947 Před rokem

      😂😂😂 hua namchukia lkn nimeanza kumpenda naona akilipua kulipua

    • @kanyijoel159
      @kanyijoel159 Před rokem

      Haka kashimo ni noma kamemaliza wanaume srious, utamu wote unakuanga hapo

  • @nyakoboke
    @nyakoboke Před rokem +8

    Dad's remarks on Kamacha
    1.She is smart Ana mwili ndogo mama gift enda gym 🏋️‍♀️
    2.Kamacha Ana akili anajua kueka pesa apewe kazi kampuni yake awe secretari
    Baba without press na magazeti anapenda kamacha na sarakazi zake na amemkubali bibi ya Albanus

    • @janemwangi2102
      @janemwangi2102 Před rokem +1

      Wao kazi yao ni raha kutumia pesa na jacho la mama gift atapata tym wapi ya kwenda jim..alisema huenda mashambani kutafta matunda na siku zingine inabidi alale uko

    • @wandiaflorence7712
      @wandiaflorence7712 Před rokem +1

      Rose Mary , are you side chick somewhere? How come you are talking about Mama Gift size? Ata uchawi ni akili kweli? Kenya is good place, in some Countries Kamacha could be, !

    • @azizalaobaid7520
      @azizalaobaid7520 Před rokem

      Kweli ma gift aende gym sio kwa ubaya kamacha anajua kukula pesa vizuri

  • @gloriaglory5510
    @gloriaglory5510 Před rokem +21

    Jay was God sent to this family!!!!Only a simple phone sanitization has led to hidden dirty secrets of the family being brought to the light.Mama Gift should thank God that all this has happened when her accounts are blocked ,they would have drained all her money...Mama Gift ,thank God and remember everything happens to the Glory of the Lord. It is such a shame that Baba Albanus went to pay dowry in Uganda and behaved that he doesn't know Kamacha from the begining.Baba Albanus has broken his own family with his own hands!!!!!

    • @winnychesang7123
      @winnychesang7123 Před rokem

      Kamacha amesema albaanus anatoanga pesa Kwa hiyo account until today.

    • @oatriciahkiio5148
      @oatriciahkiio5148 Před rokem

      @@winnychesang7123 alitoanga kitambo akafungua account ya siri yake na mtoto

    • @winnychesang7123
      @winnychesang7123 Před rokem

      @@oatriciahkiio5148 ya account yake na mtoto was from the 8.5M loan

  • @marthakamindo7096
    @marthakamindo7096 Před rokem +14

    Baba Albanus & his son needed somebody like Kamacha to teach them a lesson.

  • @charlynesila9381
    @charlynesila9381 Před rokem +24

    Mum in law Na mum Gift Mungu awape hekima kabisa,this betrayal is too much Aki by DAD and SON.PATHETIC

  • @josphatmesu8470
    @josphatmesu8470 Před rokem +3

    Nilkwa namchukia kamacha kumbe albanus na babake ndio wanyama kamacha your strong woman walikupea ndoo ukatumia vile inastahili your are okay mama zawadi 👍👍👍 wapi likes sa kamachaaaa

  • @rachelokemwa4271
    @rachelokemwa4271 Před rokem +8

    Kamacha she's not only beautiful Ako n akili ya ma sidehen wote ... since waanze hii story anavaa different clothes yaan anapiga luku kuliko celeb 😂😂😂😂😂😂😂
    Kamacha wakule malaya ya wanaume wote wale hawataki kukaa n famila zao..

  • @Savedchristianwoman
    @Savedchristianwoman Před rokem

    Let's learn destiny helpers don't only come in the way we want....some come to help you open your eyes about your life! Kamacha God bless you for your truth !

  • @olivermunisi6396
    @olivermunisi6396 Před rokem +32

    Kamacha karibu Tanzania bana hapa kwenye ukweli nimekupenda

    • @theonestinamutole8549
      @theonestinamutole8549 Před rokem

      Akija haki atakula Hela za watu watabaki na nafsi. Ni muelewa wa pesa. Amesema hapendi mtu bure. Na Nairobi hajaja kuangalia majumba. Sijuhi hapa kwetu akija akae wapi ndio wanaume wa kwetu watapata akili pia. SoMo litaeleweka

    • @veeJesus
      @veeJesus Před rokem +1

      Hapana huyu ni pepo asije
      Ode lawe

    • @olivermunisi6396
      @olivermunisi6396 Před rokem

      @@veeJesus hahaha hatari

  • @justdoit710
    @justdoit710 Před rokem +10

    " Birds of a feather " Kamatcha will kill me 😂😂😂😂
    But yes , she's very right ! I feel sorry for hating her

  • @lizzymweni9897
    @lizzymweni9897 Před rokem +80

    Kamacha mission accomplished na ameenda by the way guys this is a lesson we have to learn

  • @Anne-de4up
    @Anne-de4up Před rokem +16

    I said many times that Kamacha 😂😂😂😂😂😂is a smart woman,not a WITCH!

  • @nisskatanu1580
    @nisskatanu1580 Před rokem +17

    Content after content.......I love this Leo uko on point Jay...........

  • @veronsworld
    @veronsworld Před rokem +2

    Mama Gift we huna mwanaume hapa.Si uchawi hii ni ujinga ya hali ya juu.They are looking for people to blame nimeskia akisema ati he ate the money with both wives ati pia iko kwa account yako ni yake.Run mama,mtarudi zero juu ya ujinga ya father and son.Block everything but most importantly withdraw the money and create a personal account. Hawa wanaume wawili apana.They both have mipango ya kando.

  • @BT-rp6by
    @BT-rp6by Před rokem +29

    Aki Hyu Kamacher so much powerful herself 😂😂😂😂😂

  • @veronsworld
    @veronsworld Před rokem +7

    Good job.toboa zote.But my prayers are with mama gift and mother in law.I hope all goes well.Mama gift withdraw all the money and create another account. The men are foolish. Block the land and your car coz they will sell all that to save the land.

  • @humblelady332
    @humblelady332 Před rokem +66

    KAMACHA FUNGUA CLASS YA KUFUNZA SIDE CHICKS KUTUMIA AKILI ...TOA ZOTE YOU ARE ONE IN A MILLION TUMRKUPENDA SANA ...LETENI LIKES ZA KAMACHA .....WAKISCHEZA PITA N IZO GARI ZAO UJASHIKIA MTU BUNDUKI😀😆😆😆😆

  • @stellahnjagi5190
    @stellahnjagi5190 Před rokem +1

    Kweli kamacha is done with this family...mission accomplished! Eti ni yeye anaongeeeeeeaaaaa halafu anafikia anajitoe yeye mwenyewe Pole poleeee.....anajiendea.
    Wah! Haki earth is hard.

  • @purityleah525
    @purityleah525 Před rokem +5

    Watu waogope mungu jameni maovu yoyote Una mfanyia mtu pia ww huwezi toka hapa ndunia kama huja iona kamacha uta vuma machozi ya mama albanus na mama gift

  • @lydiahmukiri8534
    @lydiahmukiri8534 Před rokem +13

    I will forever love this gal kamancha 💕
    So many lessons to learn 😝

  • @gladyskaranja3091
    @gladyskaranja3091 Před rokem +6

    Wee ati MASAAI MARA 2 WEEKS enyewe mama gift just take your side...you work hard and you don't take holidays learn from..this..joint account didn't help anyway

    • @masonsanders7689
      @masonsanders7689 Před rokem

      Imagine Yuko Masaai Mara na anaambia bibi ako Machakos akitafuta member....how do you forgive that?

  • @johnmogeni5579
    @johnmogeni5579 Před rokem +5

    Mzee na kijana yake hawana adhabu.Wanaingia kwa nyumba na viatu for the first time,no wonder what is happening in this family.Like father like son

  • @marykay2829
    @marykay2829 Před rokem +14

    kamacha aliona vipofu wawili wako na pesa kama wamepotea njia..😁😲toboa siri zote bby gal wetu..wapi likes zake jamani👏👏

    • @sillahflorence2194
      @sillahflorence2194 Před rokem +1

      Kamacha ameamua kulipua Acha aseme yote. Walijidunga mwiba wenyewe

    • @marykay2829
      @marykay2829 Před rokem

      @@sillahflorence2194 Hahaha wallai tena

    • @susanjuma9741
      @susanjuma9741 Před rokem +1

      Aki hawa wazee waaa 😃😃😃😃😃😃😃😃

    • @marykay2829
      @marykay2829 Před rokem

      @@susanjuma9741 Hahaha bure kabisaaa

  • @milkakuria4488
    @milkakuria4488 Před rokem +16

    Nani mwingine,anacheka kama kamachaa,,me included likes zenyu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @mamawayne4552
    @mamawayne4552 Před rokem +10

    Kamacha give us your contact 😅😅😅 poverty ain't our portion hakuna mtu hapendi pesa bana na kukaa maisha poa nimeanza kukupenda kamacha.

  • @estherkariuki4492
    @estherkariuki4492 Před rokem +3

    This girl is wiser than these two men combined

  • @beller9304
    @beller9304 Před rokem +26

    Albanas and the father are diverting attention not to talk about the money and side chicks

  • @peshweb6308
    @peshweb6308 Před rokem +5

    Kamacha sema yote , naskia baba Albanus Ako na wife number 2 🙈😂😂😂😂wah nikubaya

  • @aymyalsadyaymyalsady884
    @aymyalsadyaymyalsady884 Před rokem +84

    Wakwanza nipee like Jamani ata kama 3

    • @mayengoanna7237
      @mayengoanna7237 Před rokem

      Kuna kitu kinafichwa hapo tena kikubwa kwa nini kamachaa hamuogopi wala hamuheshimu baba me albanus

  • @sheabouyarnie5733
    @sheabouyarnie5733 Před rokem +5

    Heee, yaani Kamacha was chilling by the door, listening to every conversation 🤣🤣🤣🤣🤣🤣. Mama Albanas, you have a Co-wife by the way. Chunguza ama chanuka saa hii. Grab what you can. Mapema ndio best 👌🏾.

  • @FRIDAHPENDO
    @FRIDAHPENDO Před rokem +12

    Nimekwama hapo Kwa birds of the same feather🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kama huelewi,jua basi baba Albanas ana sidechic🤣🤣🤣this earth is hard

  • @imanfakih2701
    @imanfakih2701 Před rokem +1

    kamacha yuko vizuri at ata mbwa akitupiwa mfupa anakimbilia ....wapi like jaman

  • @Gladysliz902
    @Gladysliz902 Před rokem +16

    Huyu mwanaume ni mjinga 😢😳, it’s sad ati mama gift ana sema ati alikuwa na mume

  • @jwkkiko8230
    @jwkkiko8230 Před rokem +2

    For real my few towards kamacha ime charge.. kamacha you're a Hero, nakutafuta nikupe 🤗 hugs

  • @wendie954
    @wendie954 Před rokem +14

    Kamacha is too smart for this fools,Walijifanya wako pesa ,see your lives, let every cheater meet this kind of Kamacha ,uko sawa Kamacha 😂

  • @anastaciawangeci9561
    @anastaciawangeci9561 Před rokem +3

    Maombi ya mama G na mama Albunus... God is working .....

  • @carolwaithera9952
    @carolwaithera9952 Před rokem +10

    🤣🤣🤣🤣 I just love kamacha... Leo ameweza

  • @puritymutunga9332
    @puritymutunga9332 Před rokem

    Today am clapping for kamacha
    Congrats girl koz even if haugekula pia zigekuliwa na wengine
    Mama gift usijaribu kurudia hii nyangau
    Move on with yua life mama
    God has already answered yua prayers

  • @margaretngugi6189
    @margaretngugi6189 Před rokem +11

    I like how albanus and his dad catches feelings🔥🔥🔥🔥 koz of Kamacha truth 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @phylliswambui9892
      @phylliswambui9892 Před rokem

      I like this today , Aki huyu mwanaume na babake n wajinga wamwisho 🤭🤣🤣🤣🤣

  • @aishahahmeddy9288
    @aishahahmeddy9288 Před rokem +1

    kamacha very smart physically 👌 👌 and mentally fit what if angesoma hata kidogo tu ???🤣🤣🤣...watu wangelilia wapi

  • @lucymumo6426
    @lucymumo6426 Před rokem +25

    THE ONLY SIDECHICK WITH BRAINS....

    • @edwinngondi725
      @edwinngondi725 Před rokem +3

      Brains with witchcraft

    • @lucymumo6426
      @lucymumo6426 Před rokem +1

      @@edwinngondi725 si UONGO ..the guts ni back power she has....but atleast she thought of her family after kupata mwanaume mjinga

    • @oatriciahkiio5148
      @oatriciahkiio5148 Před rokem

      Arrga aliwablackmail na nguvu za ngiza

    • @Lifestylewithhanira
      @Lifestylewithhanira Před rokem

      @@edwinngondi725 mtakoma kutafuta side chics, toshekeni na mabibi yenu.

    • @faithngigi2948
      @faithngigi2948 Před rokem

      @@edwinngondi725 True, it's not normal, Kuna uchawi ilitumika hapa

  • @skinsuccess3986
    @skinsuccess3986 Před rokem +8

    You joke with the prayer warriors here.Everything that they did in the dark is coming to light.Such a shame that Albanus knows very well that his dad has another family and he cannot defend his mum.Mama Albanus just thank the day this loyalty test was done because God started bringing light into the so called family. All what the two ladies need now is to stay away from them.Take anything that you have and find peace.There is alot than betrayal.

    • @cheruiyotlaban4337
      @cheruiyotlaban4337 Před rokem +1

      Tell this to mama Gift.. she was once about to give up. Tell her prayers have never led the worriors down. God has ways of revealing the evil deeds. who at any time thought one day . ... Kamacha will reveal this.., We serve a Living God. Trust him. He answers prayers.... It doesn't matter the length of time.... Even Sarah waited for a lengthy time and Anna too bt at last God gifted them with answers to their prayers

  • @kabumanuw163
    @kabumanuw163 Před rokem +16

    Kamacha always one step ahead 😆 🤣 😂 says she's leaving..kumbe she outside listening to what they plan on doing next 😆 🤣 😂 😹

  • @aggi8032
    @aggi8032 Před rokem +2

    Baba albanus doesn't care home yao ikichotwa nimeskia akisema ako na shamba mingi ,Mzee wisdom iko zero..May God restore this family

  • @Kisiicountuwatvhdog
    @Kisiicountuwatvhdog Před rokem +5

    It is high time baba Albanus to apology before his wife and family members

  • @gracelevinah1053
    @gracelevinah1053 Před rokem +1

    Huyo mzee anajaribu kuside na kamacha ndio asitoboe Siri zake🤣🤣🤣kamacha toboa waaaaa🤔🤔🤔hii story inafurahisha kweli....

  • @parabi4797
    @parabi4797 Před rokem +64

    We need Mercy to come and tell her side of this twist.

    • @muisyofrancis4371
      @muisyofrancis4371 Před rokem +1

      LUCY LUCY WA GERMANY NA MERCY

    • @winniemutisya7119
      @winniemutisya7119 Před rokem

      Exactly coz kamacha tumeona akiguezia Director live live whn she tried to bribe him

    • @parabi4797
      @parabi4797 Před rokem

      @winnie mutisya Yes now Mercy when she tells us her side we can connect the dots finally.

  • @victormaina9343
    @victormaina9343 Před rokem +4

    I swear i would hug myself if my father is like baba Albanas i pity him but if there's any trophy for fools,... Albanas should win the trophy 🏆🥇 fool of the year award. This two men are disgrace to any family, mzee maneno mingi kama kasuku na hamna kitu anasuluhisha bure kabisa. Baba Albanas n Albanas shame on you!!!

    • @jacklinekhasiala6996
      @jacklinekhasiala6996 Před rokem

      imagine kamacha amewashinda hawa mafala

    • @victormaina9343
      @victormaina9343 Před rokem

      @@jacklinekhasiala6996 Kamacha she's way ahead of them, hawa wawili ni mafala kabisa

  • @gitongufinestlillianmwangi4666

    Kamacha nimekupenda bure you said the truth you made mama albanus know the truth it's well

  • @ivybinsari2821
    @ivybinsari2821 Před rokem +2

    Mzee ako na bibi mwingine ,alienda Uganda weah kamacha I love you for free sasa

  • @periswanjiru9476
    @periswanjiru9476 Před rokem +6

    Jay huyu security wako mwambie kazi yake ni kuachanisha vita sio kurusha customer 🤣🤣🤣🤣

    • @annkahuthu5278
      @annkahuthu5278 Před rokem +1

      Sasa unasema ukweli why🤣🤣🤣

    • @periswanjiru9476
      @periswanjiru9476 Před rokem +1

      @@annkahuthu5278 🤣🤣🤣 ni jay kwanza ajue sucuritu anafaa kukaa nyuma ya camera kama hakuna issues sio kukaa apo kama yy ndiye guest

    • @annkahuthu5278
      @annkahuthu5278 Před rokem

      @peris wanjiru amechanganyikiwa kma hap wanaume

  • @RyN-TV
    @RyN-TV Před rokem +6

    People, I know you all feel entertained by Kamacha, it's alright we are entitled to our opinions. But let's not forget the pain Mama gift is feeling out of this confession, Let's not forget it's a confession of how someone's home has been destroyed. The two men are to be blamed but remember they were under a spell as well. Let's not congratulate the devil too much but condemn such evil acts. I stand to be corrected as a fan though

    • @happyperson3016
      @happyperson3016 Před rokem +1

      Exactly she has destroyed a family through demonic powers 😢..imagine gift and irene now will grow up with psychological issues because of her actions…so sad

    • @Fefi127
      @Fefi127 Před rokem +1

      I wonder how they praise kamacha and yet he uses dark forces to manipulate the family imagine there will be two DNS for John and zawadi

    • @veeJesus
      @veeJesus Před rokem +3

      That's true she is not wise as people think. She used dark power to fool these people. Let's not give devil the Glory wrong is wrong

    • @maureennzulah859
      @maureennzulah859 Před rokem +2

      Unasikia akiuliza albunus " ata unakumbuka barabara ulipitia"

    • @veeJesus
      @veeJesus Před rokem +1

      @@maureennzulah859 Yeah I noted that too🤣🤣

  • @favouredone622
    @favouredone622 Před rokem +20

    Birds of the same feathers flock together that Albanus and his dad

  • @janemusyoki5218
    @janemusyoki5218 Před rokem

    You all made my day. Baba Albanus umevunja familiar yako wewe mwenyewe. Ulienda mpaka 🇺🇬 Uganda. Tena ukachukua Loan, jameni 😲😲

  • @rosemarykimeu9500
    @rosemarykimeu9500 Před rokem +5

    Hawa wanaume wawili wanabebewa akili na kamacha

  • @marionwangu3489
    @marionwangu3489 Před rokem +1

    Despite uchawi ya kamacha,am beginning to like her, akili nayo hajanyimwa very intelligent.

  • @periswanjiru9476
    @periswanjiru9476 Před rokem +8

    Team gulf 🤣🤣🤣 baba albanus aty mm Nina mwanangu mjinga au nn nipee like tukisonga

  • @lilianjanet3699
    @lilianjanet3699 Před rokem +1

    I’m starting to love Kamacha amefanya Albanus na his father wameanza kujisema na kuropoka..Kamacha keep on bringing us more tea we are here to camp story ya pastor Matthew isha bore

  • @teshrich9217
    @teshrich9217 Před rokem +12

    Kamacha ametoboa kabisa likes zake 😂😂😂😂😂😂🤣😂🤣😂

  • @silvennambalu6444
    @silvennambalu6444 Před rokem +1

    God have mercy on me, if my father-in-law and my husband will behave like this please lemme be single until death I can't hold this 😭😭😭😭😭

  • @ericnyamasyo150
    @ericnyamasyo150 Před rokem +10

    KAMACHA THANKS ... AS ONLINE INLAWS OF KENYA,,,, WE GIVE YOU THE TROPHY OF GIVING MEN CHARACTER DEVELOPMENT.
    HAWA WAMEFULIZA NA KAMACHA