Anayemuigiza Manara akamatwa? aleleza anayopitia baada ya kuigiza, "Manara ni mchekeshaji" AFUNGUKA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 10. 2021
  • #Manara #YANGA #Vicekesho
  • Sport

Komentáře • 39

  • @abdallahmohamad8360
    @abdallahmohamad8360 Před 2 lety +1

    Keep pushing 💪 forward......seleman ndumbikwa .....! Everything is possible

  • @ChristopherKanyamala-u7l

    Uko vizuri sana manara mtt

  • @ldngowo
    @ldngowo Před 2 lety +1

    Hongera sana wewe ni msanii bora kabisa. Kweli ww ni manara mtoto endelea songa mbele tunapenda kazi yako

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 Před 2 lety +2

    Angefanya vituko tu lakini kumuigiza hali ya maumbile yake hilo ni kosa asijipake rangi katika maigizo yake hio ni udhalilishaji wa maumbile. Acha kutafuta umaarufu kwa ujinga huo.

  • @allynazareth9684
    @allynazareth9684 Před 2 lety +3

    Kuna vitu vingine sio vya kuigiza ni kujichumia laana na dhambi

  • @salumrwambo5752
    @salumrwambo5752 Před 2 lety +1

    Kiutaratibu Haji Manara si mchekeshaji

  • @edwardpaulo3351
    @edwardpaulo3351 Před 2 lety

    💚🧡💚🧡🤝

  • @veronicasamson7121
    @veronicasamson7121 Před 2 lety

    Kijana umetisha!!!😀

  • @ladyt1471
    @ladyt1471 Před 2 lety

    Hongera sana usirudi nyuma waache waseme

  • @wakwetukabisa7801
    @wakwetukabisa7801 Před 2 lety +3

    Huyu ni shabiki wa simba muigizaji anamkejeli Manara.Mbona hakumuigiza alipokuwa simba?Mungu yupo anakuona

    • @superbillionairea5987
      @superbillionairea5987 Před 2 lety

      Wakati Ulikua haujafika

    • @khadijahilal3016
      @khadijahilal3016 Před 2 lety +1

      @@superbillionairea5987 hebu tulia na wewe chuki tu! Ndo ajipake mirangi usoni? Yule ni mlemavu wa ngozi

  • @shabanigeluka8646
    @shabanigeluka8646 Před 2 lety

    We fala kweli

    • @doricejoseph8354
      @doricejoseph8354 Před 2 lety +1

      Huyu fala kweli kwanini asimuigize baba ake huyu matako kweli

  • @fadhilichawemba137
    @fadhilichawemba137 Před 2 lety

    Uko vizuri dogo pambana

  • @DatuBakary-in3ut
    @DatuBakary-in3ut Před 4 měsíci

    Aacheujinga kumuigiza manala asitafute kk mjingahuyo

  • @SleepyBabyPenguin-oh7fb
    @SleepyBabyPenguin-oh7fb Před 5 měsíci

    Doko doko

  • @abdullahjuma3926
    @abdullahjuma3926 Před 2 lety

    Mnamtetea tu lakini aliesema ni manara si kwa kuigiza.
    Isipokua manara ana matatizo na jazba ya kuongea bila kujali anaongea wapi na anamsema Nani.
    Ni kawaida yake na anajulikana ilakama nipesa wacha itumike lkn kuna siku atanasa tu.
    Kama ni maigizo mbona siku zote na matukio yote hajawahi kukanusha? Amezoea lkn ni ukosefu wa adabu haridhiki na hapo alipodikishwa na Mola wake anataka kupaa zaidi.
    Nasaha zangu ataponusurika na hili aache ujinga wakusema ovyo zaidi na zaidi. Anatakiwa ajifunze sababu wazee wake walimtayariaha vyema sana ila nikiburi cha yeye kujiona kapewa fursa ilawatu walisha mchoka.
    Anajiabisha tu kwa alichokifanya.
    Ushauri wa bure huo kama mtu mwema katika jamii ya kiugwana.

  • @salimramadhani5237
    @salimramadhani5237 Před 2 lety

    Bwege

  • @doricejoseph8354
    @doricejoseph8354 Před 2 lety

    Hata kama alikuwa anaisema yanga ni sawa siyupo kikazi,na leo hii mbona anaiponda simba japo kuwa aliipenda ashawapa jina makolo,yupo kikazi

  • @hafidhimakele5489
    @hafidhimakele5489 Před 2 lety +1

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @uthmaanally418
    @uthmaanally418 Před 2 lety +1

    Bwege Sana huyu anatafuta pa kutokea...

  • @aminamsimbe4034
    @aminamsimbe4034 Před 2 lety

    Ungemuiga bila kujipaka ukatumia maneno yake tu

  • @khadijahilal3016
    @khadijahilal3016 Před 2 lety +1

    Hata mm sikupenda hata kidogo shenzy kwel

  • @mercynina6288
    @mercynina6288 Před rokem

    Ukiona watu wanakuigiza jua wanakupenda wewe ni mtu waatu.

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 Před 2 lety +5

    Magufuli kikwete samia wanaigizwa manara nani?

  • @balakasilungwe8525
    @balakasilungwe8525 Před rokem

    oko vizuli xana

  • @jeremiamwakilimaji8284
    @jeremiamwakilimaji8284 Před 2 lety +1

    Manara asiigizwe yeye Nani???????? Kwani ana ninii????

  • @muhibuadinani5245
    @muhibuadinani5245 Před 2 lety

    Sasa tatizo nini kaigizwa magufuli na alifurahi manara yeye nani asiigizwe

  • @halimmnav9458
    @halimmnav9458 Před 2 lety +3

    Ni kweli wewe mpumbavu tena wa akili eti kipaji onyesha kipaji kwenye familia yako kwanza

    • @ibrahimmagere5545
      @ibrahimmagere5545 Před 2 lety

      Manara ni nani mpaka kuigizwa iwe dhambi? Ameigizwa Mwalim, Mkapa, Jk JPM nk,waliigizwa kina captain Komba, Mrema, Mengi why Manara iwe stori kuigizwa

  • @challuladeus1635
    @challuladeus1635 Před 2 lety +1

    🤣🤣🤣🤣

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme Před 2 lety +1

    🤣🤣🤣🤣

  • @hoseajramen7471
    @hoseajramen7471 Před 2 lety

    🤣🤣🤣🤣