SONGA NA SAMIA - SS, MIAKA 60 YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Vložit
- čas přidán 24. 04. 2024
- Katika Kuadhimisha Miaka 60 ya Muungano wa Tanzania, Songa na Samia SS, inaaangazia mchango wa Rais Samia Suluhu Hassan katika Muungano huo tangu akiwa Waziri na Makamu wa Rais kwenye masuala hayo.
Nashukuru mie nimefaidika nao zanzibar kwenda na bar na kuludi mpaka tumeoana
Good job
Mama ,Rais wetu wa TANZANI Tunaimani na wewe ,songe mbele tupo nyuma yako,MUNGU akupe Afya njema naimani unatuvusha kwenda kwenye Doto zetu Wa TANZANIA
Katika ubora wako dada yunusi nichukie basi nije tupige kaz ikulu 😅 nakuelewa saana dada
Mama yetu tunakuombea sana songa mbele mama tuko nyuma yako.
SSH❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿