Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Asante sana nimejaribu taamuu sana. Lkn samahani toa hiyo music back ground. Tunataka sauti yako tu
I like it 😋😋😋😋
Mashallah Allah
Ma sha Allah
maasha Allah kipenz Allah akubaarik
Maa sha ALLAH zote nazipenda
Alhamdullila🙏🙏asante sana
Asante Ila mziki unaumiza kichwa
Ni kweli dear,hata Mimi uliniumiza,nisamehe sana,nilugundua baada ya kuwa nishaweka video my dear,nisamehe bure
🙌🙌🙌🙌🙌😋
Delicious 😋😋
Mungu azidi kukubariki kipenzi, unatufanya tusipate mawazo ya kusema tunapika nini
Dah Masha Allah yani na Mimi in sha Allah lazima nitengeneze Mana sio harama Sana natama kama vitoke kweny cm nichukue
Hahahaha,jamani..MashaAllah😋😋jaribu kuandaa dear,inshaAllah
Safi sana nimependa
Asante sana kwa support
Ramadan ya mwaka huu adi raha kila cku vyakula tofauti tofauti, nataman Ramadan isiishe😋😋
Hahaha@Maimuna utaweza kufunga mwaka mzima kweli Ramadan isipoisha😂😂 Alhamdullilah dear,asante sana kwa support😘
@@kekiplus1andonly tunafaidika kwa afya na pia tunaepukana mambo mabaya😂
Maelezo mazuri
Ahsante sana madam 🤩🤩🤩
Karibu sana ,na asante kwa kuwatch
MashaaAllah MashaaAllah crunchy sanaaa mpenzi 😋😋potatoe triangles nimezipenda zaidi love. Full ideas hapa sante babe akeee
Wewe tena kwa cheese,kama nakuona ukiweka cheese,thank you for supporting love,😍😘
Looks yummy 😋 😍 😊 great sharing 👏 👍 😀
Thank you soo much for supporting
Pambeee👌
The first recipe is so cute and delicious, I'd love them crunchy 😋Potato triangles are awesome- id love them cheesey😋But how versatile are potatoes😍
Yes,cheesy is super delicious ,I opted milk powder for those who can't access cheese,And yes,the first recipe is goals
Music utoe unakuwa husikii vizuri na consecration inakuwa inaponguwa unavuniika moyo huangalii mapishi toa mziki hausaidii unaharibu
Sawa,shukran,nimegundua hilo pia,nitarekebisha,shukran sana
Utamu juu ya utamu 😋😋
😋😋🙏🙏thank you love
Dada huo mziki wakati unatoa maekekezo sio nzuri wangine wanamatatizo ya kisikia je umelifikiria hilo itakuwa vizuri ukautoa unaporecird
Ok
Pambe
Yn Dada umenisaidia saana kipenzi hasa mandaz na sconz walah naomb hata namba nikubusu busu mimi jaman umeniheshimisha
Aaaaaw jamani Alhamdullilah🙏🙏 😘😘😘MashaAllah🙏🙏Nafurahi sana kuskia ivo kipenzi,hongera sana🎊🎊🎉🎉🎉🎉0622525390
@@kekiplus1andonly allah akupe maarifa zaid
Amin Amin
Kabisa anatakiwa apewe hata ya vocha ❤️❤️❤️
Kiazi mviringo au kiaz kitamu??
Mviringo
Asante sana nimejaribu taamuu sana. Lkn samahani toa hiyo music back ground. Tunataka sauti yako tu
I like it 😋😋😋😋
Mashallah Allah
Ma sha Allah
maasha Allah kipenz Allah akubaarik
Maa sha ALLAH zote nazipenda
Alhamdullila🙏🙏asante sana
Asante Ila mziki unaumiza kichwa
Ni kweli dear,hata Mimi uliniumiza,nisamehe sana,nilugundua baada ya kuwa nishaweka video my dear,nisamehe bure
🙌🙌🙌🙌🙌😋
Delicious 😋😋
Mungu azidi kukubariki kipenzi, unatufanya tusipate mawazo ya kusema tunapika nini
Dah Masha Allah yani na Mimi in sha Allah lazima nitengeneze Mana sio harama Sana natama kama vitoke kweny cm nichukue
Hahahaha,jamani..MashaAllah😋😋jaribu kuandaa dear,inshaAllah
Safi sana nimependa
Asante sana kwa support
Ramadan ya mwaka huu adi raha kila cku vyakula tofauti tofauti, nataman Ramadan isiishe😋😋
Hahaha@Maimuna utaweza kufunga mwaka mzima kweli Ramadan isipoisha😂😂 Alhamdullilah dear,asante sana kwa support😘
@@kekiplus1andonly tunafaidika kwa afya na pia tunaepukana mambo mabaya😂
Maelezo mazuri
Ahsante sana madam 🤩🤩🤩
Karibu sana ,na asante kwa kuwatch
MashaaAllah MashaaAllah crunchy sanaaa mpenzi 😋😋potatoe triangles nimezipenda zaidi love. Full ideas hapa sante babe akeee
Wewe tena kwa cheese,kama nakuona ukiweka cheese,thank you for supporting love,😍😘
Looks yummy 😋 😍 😊 great sharing 👏 👍 😀
Thank you soo much for supporting
Pambeee👌
The first recipe is so cute and delicious, I'd love them crunchy 😋
Potato triangles are awesome- id love them cheesey😋
But how versatile are potatoes😍
Yes,cheesy is super delicious ,I opted milk powder for those who can't access cheese,
And yes,the first recipe is goals
Music utoe unakuwa husikii vizuri na consecration inakuwa inaponguwa unavuniika moyo huangalii mapishi toa mziki hausaidii unaharibu
Sawa,shukran,nimegundua hilo pia,nitarekebisha,shukran sana
Utamu juu ya utamu 😋😋
😋😋🙏🙏thank you love
Dada huo mziki wakati unatoa maekekezo sio nzuri wangine wanamatatizo ya kisikia je umelifikiria hilo itakuwa vizuri ukautoa unaporecird
Ok
Pambe
Yn Dada umenisaidia saana kipenzi hasa mandaz na sconz walah naomb hata namba nikubusu busu mimi jaman umeniheshimisha
Aaaaaw jamani Alhamdullilah🙏🙏 😘😘😘MashaAllah🙏🙏
Nafurahi sana kuskia ivo kipenzi,hongera sana🎊🎊🎉🎉🎉🎉0622525390
@@kekiplus1andonly allah akupe maarifa zaid
Amin Amin
Kabisa anatakiwa apewe hata ya vocha ❤️❤️❤️
Kiazi mviringo au kiaz kitamu??
Mviringo