Mbeba Maono | Bahati Bukuku | Official Video
Vložit
- čas přidán 24. 08. 2015
- Buy it from iTunes: geo.itunes.apple.com/in/album...
Song: Mbeba Maono | Artist: Bahati Bukuku
Facebook: / bahatibukukutz
G+ : plus.google.com/1006656526135...
SUBSCRIBE Injili For Best African Gospel Songs: / injiliafrica
Like us on Facebook: / injiliafrica
Follow us on Twitter: / injiliafrica
Stream music free at our official Website: www.mziiki.com - Zábava
Like zenu pls kwa wale wote wanao barikiwa na huu mwimbo 2024
God is not a man that can lie
Mimi ni lango mimi ni mbeba maono ya kuimba Mungu aniongoze ...... Brenny kelly
Like zenu pls kwa wale wote wanao barikiwa na huu mwimbo 2023 ❤
Beba maono yako Mungu Yuko pamoja nasi,,,,
Ni beba maono kwa Hii 2021🔥, tuko wa gapi Wako sure Hii ni mwaka wa maono, love you mum, am still listening to this song
Leo dada Bahati huu wimbo umeimba sana moyoni mwangu, nimebarikiwa sana. Mungu azidi kukutunza maa katika kusudi lake uzidi kumtumikia.
Mungu akubariki chombo Cha bwana leo nime sukumwa kusikiliza nyimbo hizi Kama mpya masikion mwangu ,adi macho yananitoka ,
barikiwa sana sana tu mamii mbeba maono hafii mtu hawez jua nilicho beba waache wanibeze ila yatatimia na watasema tupate wapi mtu Kama huyu
Sharing same story as Joseph God is great 😌 🙏
Kwakweli Namshukuru Sana Mungu kunifikisha hapa nilipo...kukata tamaa mwiko..Mungu akuinue mpendwa
😢😢😢😢😢😢lakini mwisho wa siku ndoto ilitimia😅😅❤❤❤❤❤ love you mummy 🎉🎉
Hakika sita kufa hadi maono yangu yatimie.....god bless u
Listening this 10x🥰🥰🥰🥰one love bahati may GOD bless you mum🤝🙌🙌🤝🇰🇪🇰🇪
Je t'aime tellement Bahati Bukuku bcp même un jour Dieu fera grâce je te verrai face à face
Soo blessed sister bahat
🙏🙏Nani bado anaskiza nami 2020
Kweli mbeba maono afi tumeyaona kwa tundu lisu.... Barikiwa dada bahati now naelewa maana ya huu wimbo kwa uzuri zaidi
Ooh Lord Jesus all my dreams will come true and pas
Wimbo huu unaniongezea imani sana katika maono ambayo ninayo kwa ajili ya kazi ya Mungu. Mungu akubariki sana dada Bahati Bukuku.
God has a plan for tomorrow
3 years bado naskiza hii nyimbo
Hunibariki tu sana
Bahati Bukuku Mungu azidi kukuinua zaidi
AMEN...SIWEZI kufa... lazima maono yangu yatimie...🙏
Me together with my family members we will not die until we reach our destination's via this song be blessed Bukuku
nimebeba maono Na sifi kabla niyatimize😇😇😇
All the best from tabora Tanzania 🥰🥰🥰
My favorite song. Love u so much mama
I really love this woman her music inspires me though I don't understand this language-zambia
kweli mbeba maono hafi mpaka yatimie barikiwa sana dada Bahati Mungu aendelee kukuinua
Sister bahati MUNGU kakupendelea Kwa jumbe zenye uhai
Siwez kufa acha kusudi la Mungu juu ya maisha yangu litimie🙏
Amen maono yangu MUNGU atatimiza sifa na utukufu zirudie huyu Mungu milele na milele
Yehova Mungu nioneshe ni maono gani nimeyabeba 😥😥 juu ya familia yangu ..yapo wapi?
Amen nabeba maono yangu yataonekana kwa Jina la Yesu
Mungu akubariki Bahati. wimbo uliniinua kitandani nikiwa nimechoka na ugonjwa hali ya kutaka kukata tamaa
Wimbo imenitia nguvu ubarikiwe sana
ubarikiwe dada nyimbo zako zinanibariki sana na zinafundisha
Mbeba maono hafi,Inuka Mungu ana kusudi nawe🎵🎤🎤📢
jamani mamy mm ni muslim lakini huu wimbo naupenda nilikata tamaa lakini kwa sasa nipo juu ama kweli mbeba maono hafii
Chinedu Micheal amen
Chisanaa cheal barikiw Sana'a mngu yupo kote ucogope
Amen
Yesu ndiye uzima kwa kila kitu!
Kweli
Kweli naona mkono wa bwana kupitia nyimbo hiii, maono yangu ju ya maisha yangu lazima yatimiye
Namshukuru Mungu kwa huu wimbo hu, jamani hakika YESU ni BWANA
YEAR of success team Jesus 2020❤✌💖👊
🤝🥰🥰🥰🥰🥰
Nimebarikiwa mno mungu mtie guvu mwimbaji huyu siku zake zote@
Amin
My favorite song love it
My dreams shall come to pass.. Thanks ooo lord...
Nilikuwa nimekataa tamaa Kwa mausha yangu lakini nimebarikiwa na Bado naendelea kubarikiwa Saudi na watoto wangu wawili😢🙏🙏
Bahati.bukuku.ubarkiwe.sana.unapedeza.sana
2024 March I'm still here ❤
Nami niko hapa march 6/2024
Waiting paciently for God's time to fulfil his promises in my life,because I know He is not a man that should lie
Nakupend mama bahat niwatu wa Burundi ❤
Hakika Mungu aweza kukuacha hai si kwa ajili yako ni kwa ajili ya maono flani aliyoyaweka kwako na kusudi lake halijatimia
Nimebeba maono yangu yote iliyatimiye,yaonekane mbele yako baba.Nice song Bahati GOD bless u.
Asante mamy nimepona pakubwa nainuka bwana anakusudi nami
Soo blessed woow Amen i will never die till i fulfil my dreams baraka tele kupitia kwa huu wimbo🙏🙏
Your songs is touching me alot.GOD bless 🙏🙏 u.
Mungu akubariki kwa ujumbe mzuri wa huu wimbo ❤
2024 tumerudi kuona🔥🔥 tujuane
mbeba maono haaafi ni lazima yaonekane💃💃💃💃💃💃nice song👏👏👏👏👏👏👏
Mbeba maono hafi , nilazima yatimie
Ameen Amen barikiwa kiwango cha juu mutumish wa mngu umenigusa wimbo wako🙏🙏🙏❤
Ndoto ya Yusuph ,mbeba maono 🙏🙏🙏🙏🙏💖🔥🔥🔥💪💪💪💪
Such a wonderful song,be blessed mum
The time to carry our dreams is now just be blessed
Ndoto ya Yusufu ilichelewa ♥️♥️, but ilitimia , mbeba maono hafi inuka Mungu ana kusudi nawe 😭😭😭 🤣🤣🤗🤗🤗
Mungu akubariki bahati wimbo uliniinua kitandani nikiwa nimechoka
Kwl Yesu tusaidie watoto wko maono yetu yatmie.
2021 year of divine restoration 😘😘😘
Kwali mama angu.... mbeba maono hafi hadi yaonekane .... Hebu niinuke kutimiza maono ya Mungu kwangu
Ni ukweli kabisa nimeamini mbeba maono hafi na ni lazima yatimie wimbo mzuri wenye ukweli
hua unaninjenga sana. hata ninapo sina raha najipata ni kiwa naraha ndani ya yesu.
Amen a dreamer his/her dreames comes true one day,our daddy is soo faithful to those who trust,believes in HIM.a blessing and a wonderful song thankyou Gods servant Bahati Bukuku God bless you more.
Amen
Me still listening to this hit in 2023
Beba maono hafii 🙏🙏
2020 still nalicheki hili pini
Ni kali ful kucheza kwa bwana
May the good Lord always guide and bless u mama
Nakupenda sana dada bahati nyimbo zako nzuri zina ujumbe na zinafariji mungu akuze kipaji c!ao
Ameen sitakufa.lazima maono yangu yatimie
This song bleses me soo much
Ni nzuri sana
Amina...sitakufa mpaka maono yangu yaatimie.
Mungu apewe sifa
My God bless you Bahati bukuku
Your songs have great meaning
Wimbo mzuri zaidi.mungu akuzidishie baraka Bahati.
Very Strong and deep meaning in this song
I love you bahati bukuku
Aya mm naangalia Leo tar 22 mwez wa 2 mwaka wa 2023
God bless u my sister for the songs of encouraging
Barikiwa xan mamaa mungu azd kukuongoza
2023 God🙏🏻🙏🏻🙏🏻
good gospel songs .very touching .keep up mrs bukuku GOd bless .take care
Good
Sauti Kali sana madam Bukuku kuja Kenya
maono yako wapi,kweli mbeba maomo hafi,,,,,God is still alive in my life
2022 but still massage is there God word never die for sure still fresh
Nabeba yangu leo
Very true... Mwenye. Maono hafi
Dreamers never die I realise
God protect my star
mbeba maono hafi......unabii huo,
Nice melody, someone to help translate this song for please. Loving it from senanga, western Zambia.
Still blessing me on first December twenty twenty
nice song
I love your songs
Maono ya family yangu lazima yatimiye Mungu naombea wa ndugu ushindi
Maono ya mafanikio malengo katika maisha lazima yatimie