Leo nimewai 4minutes ago🎉🎉🎉🎉🎉🎉Sihiitaji like zenu ila naujumbe mdogo tu .Binaadamu tumeumbwa kwa ajili ya kumuabudu Mungu alie tuumba yatupasa tusijisahau hapa duniani tunapita tu tujitafakari wapi tulipo kosea tujilekebishe milango ya Toba bado ipo wazi ,Mungu atusamehe na atupe mwisho mwema wa maisha yetu 🤲
Aisee mwanangu kweli jamaa wanachelewa kutoa kitu mpaka wadau wao tunaanza kuwaza lakina wanasanaa wetu wako vizur mpaka sasa nimekua mlevi wa filam zao hawa I solute them
Kama kweli wewe ni chabiki wa my best Clam vevo naombeni munipe like😂😂😂 kwa sababu nika sema mimi ndiyo wa kwanza muta sema na kosea 😅 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 DRC my nationality
jamani Mimi ni team CLAM CRIS @ VEVO ,yaani Mb zangu azihishiagi kwa mtu mwengine kama sio VEVO tu, asantee kwakutuongezea madakika ,apo ni fresh ,VEVO 💪💪💪💪💪💪🚀🚀🚀🚀🚀🚀. Like zenu jamani Team CLAM juuu
mbn clam simwon kuigiza muvi na wenzake saii yaan kweny muv za wenzake ayupo kabsaa ninapendekeza kweny hizi muv za wenzak kama kim mbwela ,sengo nk itapendeza zaid 🎉🎉😅😅ila mnajua sana 🎉🎉🎉kazi zenu nazifatilia sana ❤❤
Filamu nzuri ila mnakawia hongereni sana team clam vevo kuna mazuzu wapo hapa ndani badala ya kuitikia muitikio na kutoa sapoti ni like wanaomba upuzi Tu clam kazi zafi sana
Yaaan tunasubiri adi inachosha, kazi nzur ila muda wanauvuta sana kuachia kitu ,waweke muda maaluu ieleweke kama ni baada ya siku 3 iwe 3 kweli kama ni 4 bc hivyo hivyo,,,, Anayeunga mkono gonga like apaaa
Ama kweli ni nguvu za giza😂😂,clam anazitafuta gizani😅 🙌...kisha ame upgrade chapati na malage kaongeza vitumbua na sambusa🤣🤣#mnaweza clam gang kazi inaendelea vizuri Mashallah cha msingi tusisahau ibada 🙏
Hizi likes tunazo peana hapa kwenye comment section, tuzipe pia kwenye Chanel hii kwani kufanya hivyo, kutasaidia hii Chanel kuwa kubwa zaidi ya hapa. Na sisi tutanufaika kwa kuona vitu vingi vizuri!!! Kiukweli crew nzima wako vizuri BIG UP
Mnatoa move nzuri sana lakini mnachelewa kutoa move yenu then kuweni na siku maalumu kama vile jua Kali jumatano hadi jumapili siku nyingne Wana shoot itasaidia kulinda watazamaji wenu vzr kabsaa.
Hizo nguvu haziwez kufanya kaz Kwa huyo mshamba mpk zirudishwe Kwa clam anayekubaliana na mm gonga like hapa😅😅
😂😂😅😅kitambo umeshapea like
Like umeipata
😂😂😂😂😂😂😂mpaka.atote mavi kwa kujikamua 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ety mshamba😂😂😂😂😂😂
Hahaaaaaaa,mbwela rudisha nguvu kwa vevo😂😂😂
Leo nimewai 4minutes ago🎉🎉🎉🎉🎉🎉Sihiitaji like zenu ila naujumbe mdogo tu .Binaadamu tumeumbwa kwa ajili ya kumuabudu Mungu alie tuumba yatupasa tusijisahau hapa duniani tunapita tu tujitafakari wapi tulipo kosea tujilekebishe milango ya Toba bado ipo wazi ,Mungu atusamehe na atupe mwisho mwema wa maisha yetu 🤲
Amen
Allahuma ameen
Amina
Amen 🙏 ❤❤
Ameen
Kazi nzur, na pia mmeongeza dakika toka 15,16 had 25, Kama unaikubali hii movie gonga like hapa Twende sawa
SNAKE BOY | ep 19 | SEASON TWO czcams.com/video/O5pdG-m2UTI/video.html
Aisee mwanangu kweli jamaa wanachelewa kutoa kitu mpaka wadau wao tunaanza kuwaza lakina wanasanaa wetu wako vizur mpaka sasa nimekua mlevi wa filam zao hawa
I solute them
Pak mimi
Huwa mnakawiyaga sana kuachiya kitu hadi tunachoka kusubiri 😢 gonga like apa kama unakubaliana na mimi 🙌🏾
Mpaka tunasahau tuliishia wapi
Sawaaa
Leo na Mimi nimewayi 💯🏃
hata like moja veh
I hope calm anasoma hii message yko
mmi ningependa kuwashaur msiwe mnachelewesha mzgo mwingine mpka tunaboleka anayebkubalian na mmi weka like yko hpo
SNAKE BOY | ep 19 | SEASON TWO czcams.com/video/O5pdG-m2UTI/video.html
Nkubaliana na wewe
Kutoka KENYA 254 wapi likes zangu jamani ❤
Kama kweli wewe ni chabiki wa my best Clam vevo naombeni munipe like😂😂😂 kwa sababu nika sema mimi ndiyo wa kwanza muta sema na kosea 😅 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 DRC my nationality
Leteni like zenu na Mimi since nianze kuangalia movie za huyu mwamba sijapata like ata moja
Unazifanyia nini hizo like?
@@dionisisarwat9478 tunazitumia luminatt
SNAKE BOY | ep 19 | SEASON TWO czcams.com/video/O5pdG-m2UTI/video.html
From mombasa kenya....fast one...mnipee likes leo aki...clam naomba
jamani Mimi ni team CLAM CRIS @ VEVO ,yaani Mb zangu azihishiagi kwa mtu mwengine kama sio VEVO tu, asantee kwakutuongezea madakika ,apo ni fresh ,VEVO 💪💪💪💪💪💪🚀🚀🚀🚀🚀🚀. Like zenu jamani Team CLAM juuu
Mutua salimika sana, mkamba mwezangu
Enyi watu!
Rudini kwa mola wenu kwa ibada na tauba kabla kifo hakijawakuta na mjuto..
Hta mungu mwenyewe anajua ni act tu
Izo ni act abduu😂😂😂
Kuna jambo umemaanisha 😅 nakup ata
Clam unajua sana
Maswala ya nyoka kitandan ndo ninapoogopaga kulala mm jmn😢
Niliona nikaipotezea daa Ila watu wangu eeee Hebu nipeni na mm japo 2 from Oman 🇴🇲 ❤
Hey
Wa kwanza kutoka Congo goma nipe like zangu asheni ushoyo🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Afadhali mmejiongeza kuongeza dakika hongera sana
Mzigo unapepea... Mtandao unasumbua lakin goma ndio linasonga ivo🎉🎉. Like na ww kam mtandao ni xhd kwako
SNAKE BOY | ep 19 | SEASON TWO czcams.com/video/O5pdG-m2UTI/video.html
Wa kwanza mimi Leo guys team clam vevo Leo tujuane kwa like pamoja na comments ❤❤❤😮😅😅😅
Jamani hii movie tamu hatari lazima ipate tunzo kama hamkutupa tunzo tunaongozana tunawapenda from uk 🇬🇧
Kabixa
Kweli kabisa
Jaman mpo vzur sanayaah ❤sem muwe mnawai kuachia vi2 bc
Ivi mmeona dakika zieongezwa kwa wingi sana, kama umefurah like apa
Awe anafany nusu saa
Oyoooo kaz kaz km unamkubali snake boy weke like ❤❤
Much love from kenya❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ team gulf team kunyonga kila siku 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 gonga like tukisonga
Dada naomb namba yako
Na huku Rwanda 🇷🇼turikua tuna isubili hii Movie, Hongeleni Sana.
Leo soja chelewa,nipe like zangu banaa🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Jifunze kuandika kwanza
@@user-sb8mg9pz6n asante
Uko bitter why😂😂😂😂😂😂@@user-sb8mg9pz6n
Misichelewe kutoa epsode ingne
@@user-sb8mg9pz6n😅😅😅😅sijui nacheka nn ....aaah😅😅
Huyu mshangazi analiwa na kila mwanaume anaetaka madaraka 😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉
😂😂😂😂anadabangurwa tu
@@RosemaryWilbard ahahaaaa😀😀😀😀
Umenichekesha hapa jamani 🤣🤣🤣🤣
😅😅😅😅
😂😂😂
Kutoka rwanda nafatilia nawapenda sana ❤🎉kwa clam
mbn clam simwon kuigiza muvi na wenzake saii yaan kweny muv za wenzake ayupo kabsaa ninapendekeza kweny hizi muv za wenzak kama kim mbwela ,sengo nk itapendeza zaid 🎉🎉😅😅ila mnajua sana 🎉🎉🎉kazi zenu nazifatilia sana ❤❤
Dah nimewah Leo jmn like ziwe nyingi 🎉
Naombeni like Jaman from Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Hammmmmmhh hammmmmmhh aiyaaaa huuuuuuu! Aiyaaaaa iyelele mama jaman wanao ikubali hiii beat tujuwane clam vevo nakuomba kila unapotoa episode usiiache jaman🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩
I like this kibwagizo wacha😂😂😂 kazi nzuri
Filamu nzuri ila mnakawia hongereni sana team clam vevo kuna mazuzu wapo hapa ndani badala ya kuitikia muitikio na kutoa sapoti ni like wanaomba upuzi Tu clam kazi zafi sana
Yaaan
Kwani izo like wanazokuwa wanaomba Huwa wanafaidika nazo nn?
Kweli wapuzi sana badara ya kumusapot kwa kazi nzuri anayoifanya
Kabisa yan mm nashangaa cjui like zinawasaidia nn
Kwan ukipewa like unapewa na zawad ama?
❤❤from Usa Apa
Tukupe ngapi
Umeulizwa unapotokea haca ushamba
@@N.S.GGROUP1 au Shobo 🖕🫵
Nipo Kampala uganda nawafatilia sana bigg up clam Vevo and your group
Mwakatobe 😂😂😂😂 muvi inakuwaa tamuu kwa vionjo vya mwakatobe humo tu humoo tu 😂😂😂
Wa kwanza leo, na omba ata like tano, nawa fata kutoka congo
From usa 🇺🇸🇺🇸Wakwanza apa nipeni like zangu ❤
Mambo vipi
USA mitaa gan
Wachaaaa Tanzi mtamjua ninani Nguvu zake zikipatikana.😂😂😂
Waigizaji wote mpo vizuri sanaaaa sana ni move nzuri tamu isiyo kinai asanteni sana tunawapenda sanaaaaa mpo vizuri kila idara🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Chef sija vaaa yule ambaye amesikiya hiyo neno tupa like zangu hapa😂😂😂😂😂
😂😂😂😂 jmn ila ww lkn s umeelewa?
Hongera sana Leo mmeongeza dk
kupewa K siku moja,, chifu kamchukua dem mbaka kwenye mazoezi😂😂 kishimo mlenda noma
😆😆😆
😂😂😂😂
Sinema yenu nzuri tatizo mwanga🎉🎉❤❤
From Nairobi Kenya 🇰🇪 likes ❤❤
Kumbe wa kwanza Mimi Leo nipeni like zangu sasaa wananzengo
Umakini tu
Jaman wote mnasema wakwanza bs mm wa mwisho nipeni zang🎉
Je suis congolais de Lubumbashi sasa kwa Nini clam ajapona utahila paka sasa naomba like zangu !
Bienvenu monsieur, Clam hajapona ili kunogesha zaidi stori. Sinon nous les tanzaniens sommes heureux de vous congolais à cause de votre soutenance
Mapema tu
LEO WAKWANZA NAOMBENI LIKE JAMAN😂
Mnazinngua bana tuna choka Masha bicki kisubili movie aloycy apa
Mm ndo wamwisho naomba like ata kumi tu
Ata kama wa tatu ila nimewahii naomba like zangu tafadhal
SNAKE BOY | ep 19 | SEASON TWO czcams.com/video/O5pdG-m2UTI/video.html
Kazi nzuri sn ongereni kbs alafu nimefurayi sana kwa kuongeza dakika
Kazi suri sana clam vevo hogera kaka my God be blessed you wak ❤❤❤❤❤❤❤ Nakubali sana ❤❤
💋💖😍💃 hongera sana kutu ongeza madakika
Humu tu humu tu atulalii😎❣️❣️🍹🤣 sijapenda
Mbona mnaboo sana nakuomba likes😏😏😏pewa basi mkapike mkule😢😢😢badala mpongeze clam kwa kazi nzuri mko hapa mnang'ang'ania likes kama watoto🤨🤨
Ni nzuri sana
😂😂😂n huzn
Ni kweli mnachelewaa ilaa mnatuletea kitu kilicho Bora zaidi, asanteni sana kwa kuongeza muda.
Hhhh jmn wang wamepend clam alivyo sema sijapeta jmn agone like
Wakwanza kutoka Kenya wapi like zangu
Wakwanza jaman leo naomba like ata kumi
Ila una tukosea sana jamaa yetu muv ainaa siku nyingi then dk cahche
Wewe utakuwa chizj sio bule mana unae muambia huyo hausiki kbs
Za nini
Ufanyie nini 😅😅😅
Kazi nzuri clam endelea hivo hivo yatakuwa poa Siku ijayo😊🎉🎉
Yaaan tunasubiri adi inachosha, kazi nzur ila muda wanauvuta sana kuachia kitu ,waweke muda maaluu ieleweke kama ni baada ya siku 3 iwe 3 kweli kama ni 4 bc hivyo hivyo,,,,
Anayeunga mkono gonga like apaaa
Asbuhi subuhi kit chamotooooo wap team clam wewe tupo p1 sana ulipo tupo maua yenu hayo wote tunaowakubali🎉🎉🎉
From Kigoma Tanzania 🇹🇿✊✊
Unajua sana kuigiza sema shida inakuja kwenye kuchelewa kutoa
Sikuzote thulma aina mafanikio mfaume acha kujipa madaraka ambayo aikuusu ntanzi uwo niuridhi😢
I love the snake Queen…..Sarah wangu.
Please now mnipe like zangu mwamba from Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇹🇿
Warundi akili zenu ni kuomba like kama Ma Zezeta. Ikijuju Gusa. 🤔😎
@@itNezawamuhimbiriwe zezeta niwewe kuma ramamayako
@@itNeza hivi wewe msenge Nini kwani wew inakuhusu Nini chukizanin fitima tu kama mbuluzi wambwawe
@@johkm2408sasa nawe nawe iyo kuma ya mama yake waijua emu punguzeni ukali wa maneno angalieni movie kwa bashasha acheni tabia mbaya
Mwambie saido akupe😂
From the beginning Mpaka mwisho Mkenya 🇰🇪 anaeishi España 🇪🇦❤
❤❤❤❤kazi nzuri clam sasa tunakupa support 🎉na wewe pia tupe mapema episode zilizobakia kama wakubaliana na mm nipe like ❤❤❤❤❤❤
Mimi wakwanza south africa ❤
😂😂😂😂Chief atakuja kunya akifanya zoez la sauti 😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Waaacha aai😂
Nahisi kajamba
😂😂😂
Hahaa
Hongeza zako nyingi sana mbwela ni mwajuma hapa bado nakufatilia
Mie wa mwisho ila msinisahau ❤❤❤🎉🎉asante kikundi kizima
Jaman. Naomben lik maan. Clam cy poa twende nalo .mpaka EP ya buk
Iko POA Sana, sema uliichelewesha broh🙌
Kalastborn kenu jamani nipeni like 10like woiye❤❤❤
Ama kweli ni nguvu za giza😂😂,clam anazitafuta gizani😅 🙌...kisha ame upgrade chapati na malage kaongeza vitumbua na sambusa🤣🤣#mnaweza clam gang kazi inaendelea vizuri Mashallah cha msingi tusisahau ibada 🙏
Kazi nzuri🎉🎉🎉 mauwa kwa kulu nzima ya clam🎉🎉🎉🎉🎉
Wa pili leo jmn kutoka Congo 🇨🇩..mnipe mauwa yangu
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hizi likes tunazo peana hapa kwenye comment section, tuzipe pia kwenye Chanel hii kwani kufanya hivyo, kutasaidia hii Chanel kuwa kubwa zaidi ya hapa. Na sisi tutanufaika kwa kuona vitu vingi vizuri!!! Kiukweli crew nzima wako vizuri BIG UP
Mnatoa move nzuri sana lakini mnachelewa kutoa move yenu then kuweni na siku maalumu kama vile jua Kali jumatano hadi jumapili siku nyingne Wana shoot itasaidia kulinda watazamaji wenu vzr kabsaa.
Kama unaamini tutaenda mpaka Season 4 ao 5 saa zingine zaidi, nipeni like zangu sir. Nafata snake boy kutoka Congo DRC 🇨🇩 ✔️ PLIZ AT LIKE 10 🙏🏿
Hatimaye leo nimewahi japo sio sana naomben like zangu jamani
kazi swafi saana pongezi❤❤🎉 tuna wapenda mfahamu hilo tuna kusikiliza ombi letu la kufuisha muda wa kusubiri
Leo kidogo mmenifurahisha mmerusha ndefu.....ila clam shemeji yangu una kazi nzuri ntakupa hamisa wote wako umchukue bila mahali😂😂😂😂😂
😂😂
Nipeni likes zangu mm ndo wakwanza Leo
Anayewadanganya mkichelewa sana mtafanikiwa anawapoteza
Wenae Mwaandaliwa vitu vzuri lakini subra hamna
hii kazi inahitaji muda kuiandaa tumpe muda tusiwe na haraka
Kazi kazi siwapingi wote wanaoishiriki kuigiza mpk kutengeneza.......high level
Hivi bado kuna wanaume kama kipara huku mtani, nimewaza kwa nguvu tu, sio michongo yangu😂😂😂😂
😂😂😂😂
Kiukweli nawapenda sana kama unawakubali wahusika wa hii movie gonga like hapa chini❤❤
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 , leo nimewai, kwanza nipeni like zangu
Munakawiz sana clam
Filam nzuri lakin msiwe mnachelewa kutoa pia imependeza kuonzwa kwa dakika natumai litazingatiwa kama mnaamini gonga like apo🤗🤗
Léo nipeni ata tano from 🇲🇿🇲🇿 mueda
Jamani ndio sijawahi ila naomba ata moja❤
Jaman naifatilia sana more love from kenya 🇰🇪
Snake boy imekuwa kma jua kali mzikii mwingiiii ila bora ili isimalize mapema
Anaekubari kua hili picha ni Kari kuliko yote gonga like tusepe na Kijiji💪