SNAKE BOY | ep 18 | SEASON TWO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 05. 2024
  • Follow Me On Instagram
    / clamcris_
    Tiktok:
    / clam_cris
    Facebook:
    people/CLAM-...
    #Clamvevo #Vevowood
  • Zábava

Komentáře • 2,1K

  • @ibrahjokes5055
    @ibrahjokes5055 Před 26 dny +486

    Hizo nguvu haziwez kufanya kaz Kwa huyo mshamba mpk zirudishwe Kwa clam anayekubaliana na mm gonga like hapa😅😅

    • @user-bv4hs7ye7s
      @user-bv4hs7ye7s Před 26 dny +3

      😂😂😅😅kitambo umeshapea like

    • @user-vn2wv7le1t
      @user-vn2wv7le1t Před 25 dny +1

      Like umeipata

    • @fatmaathumani7569
      @fatmaathumani7569 Před 25 dny +2

      😂😂😂😂😂😂😂mpaka.atote mavi kwa kujikamua 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @mwanaisha1998
      @mwanaisha1998 Před 25 dny +1

      Ety mshamba😂😂😂😂😂😂

    • @saumbliz8983
      @saumbliz8983 Před 25 dny +2

      Hahaaaaaaa,mbwela rudisha nguvu kwa vevo😂😂😂

  • @hamzaibrahimu
    @hamzaibrahimu Před 26 dny +354

    Leo nimewai 4minutes ago🎉🎉🎉🎉🎉🎉Sihiitaji like zenu ila naujumbe mdogo tu .Binaadamu tumeumbwa kwa ajili ya kumuabudu Mungu alie tuumba yatupasa tusijisahau hapa duniani tunapita tu tujitafakari wapi tulipo kosea tujilekebishe milango ya Toba bado ipo wazi ,Mungu atusamehe na atupe mwisho mwema wa maisha yetu 🤲

  • @josephkimario9638
    @josephkimario9638 Před 26 dny +156

    Kazi nzur, na pia mmeongeza dakika toka 15,16 had 25, Kama unaikubali hii movie gonga like hapa Twende sawa

    • @bwanaaliitv
      @bwanaaliitv Před 24 dny

      SNAKE BOY | ep 19 | SEASON TWO czcams.com/video/O5pdG-m2UTI/video.html

  • @user-uo2vr3mk4j
    @user-uo2vr3mk4j Před 26 dny +38

    Aisee mwanangu kweli jamaa wanachelewa kutoa kitu mpaka wadau wao tunaanza kuwaza lakina wanasanaa wetu wako vizur mpaka sasa nimekua mlevi wa filam zao hawa
    I solute them

  • @Akbar_Rich10
    @Akbar_Rich10 Před 26 dny +1183

    Huwa mnakawiyaga sana kuachiya kitu hadi tunachoka kusubiri 😢 gonga like apa kama unakubaliana na mimi 🙌🏾

  • @HaisamDecoration
    @HaisamDecoration Před 26 dny +87

    mmi ningependa kuwashaur msiwe mnachelewesha mzgo mwingine mpka tunaboleka anayebkubalian na mmi weka like yko hpo

    • @bwanaaliitv
      @bwanaaliitv Před 24 dny

      SNAKE BOY | ep 19 | SEASON TWO czcams.com/video/O5pdG-m2UTI/video.html

    • @user-vy9ps5ft9d
      @user-vy9ps5ft9d Před 21 dnem

      Nkubaliana na wewe

  • @REHOBOTHLOVEANDCAREMINISTRY

    Kutoka KENYA 254 wapi likes zangu jamani ❤

  • @johnkaparayjkr3544
    @johnkaparayjkr3544 Před 26 dny +26

    Kama kweli wewe ni chabiki wa my best Clam vevo naombeni munipe like😂😂😂 kwa sababu nika sema mimi ndiyo wa kwanza muta sema na kosea 😅 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 DRC my nationality

  • @user-dw3dz2zt4i
    @user-dw3dz2zt4i Před 26 dny +279

    Leteni like zenu na Mimi since nianze kuangalia movie za huyu mwamba sijapata like ata moja

  • @briterkezybriterkezy6367
    @briterkezybriterkezy6367 Před 26 dny +89

    From mombasa kenya....fast one...mnipee likes leo aki...clam naomba

  • @ekyociesengana1657
    @ekyociesengana1657 Před 25 dny +10

    jamani Mimi ni team CLAM CRIS @ VEVO ,yaani Mb zangu azihishiagi kwa mtu mwengine kama sio VEVO tu, asantee kwakutuongezea madakika ,apo ni fresh ,VEVO 💪💪💪💪💪💪🚀🚀🚀🚀🚀🚀. Like zenu jamani Team CLAM juuu

  • @DavidNthiwa
    @DavidNthiwa Před 25 dny +6

    Mutua salimika sana, mkamba mwezangu

  • @AbdulkasimuDossa
    @AbdulkasimuDossa Před 26 dny +92

    Enyi watu!
    Rudini kwa mola wenu kwa ibada na tauba kabla kifo hakijawakuta na mjuto..

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 Před 26 dny +44

    Niliona nikaipotezea daa Ila watu wangu eeee Hebu nipeni na mm japo 2 from Oman 🇴🇲 ❤

  • @aganzeroger
    @aganzeroger Před 25 dny +12

    Wa kwanza kutoka Congo goma nipe like zangu asheni ushoyo🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 Před 25 dny +12

    Afadhali mmejiongeza kuongeza dakika hongera sana

  • @kelvinpeter7460
    @kelvinpeter7460 Před 26 dny +46

    Mzigo unapepea... Mtandao unasumbua lakin goma ndio linasonga ivo🎉🎉. Like na ww kam mtandao ni xhd kwako

    • @bwanaaliitv
      @bwanaaliitv Před 24 dny

      SNAKE BOY | ep 19 | SEASON TWO czcams.com/video/O5pdG-m2UTI/video.html

  • @LilmmyCrazyfficial
    @LilmmyCrazyfficial Před 26 dny +96

    Wa kwanza mimi Leo guys team clam vevo Leo tujuane kwa like pamoja na comments ❤❤❤😮😅😅😅

  • @MahraMansoor5969
    @MahraMansoor5969 Před 25 dny +5

    Jamani hii movie tamu hatari lazima ipate tunzo kama hamkutupa tunzo tunaongozana tunawapenda from uk 🇬🇧

  • @maryjoseph1996
    @maryjoseph1996 Před 24 dny +4

    Jaman mpo vzur sanayaah ❤sem muwe mnawai kuachia vi2 bc

  • @judithjarome
    @judithjarome Před 26 dny +38

    Ivi mmeona dakika zieongezwa kwa wingi sana, kama umefurah like apa

  • @Sayd-pi5lq
    @Sayd-pi5lq Před 26 dny +54

    Oyoooo kaz kaz km unamkubali snake boy weke like ❤❤

  • @user-uw6sf2kp6o
    @user-uw6sf2kp6o Před 26 dny +7

    Much love from kenya❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ team gulf team kunyonga kila siku 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 gonga like tukisonga

  • @condeboy257tv9
    @condeboy257tv9 Před 26 dny +12

    Na huku Rwanda 🇷🇼turikua tuna isubili hii Movie, Hongeleni Sana.

  • @xavieramandiocristovao8286
    @xavieramandiocristovao8286 Před 26 dny +109

    Leo soja chelewa,nipe like zangu banaa🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @joanbwahama-rx3tc
    @joanbwahama-rx3tc Před 26 dny +28

    Huyu mshangazi analiwa na kila mwanaume anaetaka madaraka 😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉

  • @user-dz8uy1ow3x
    @user-dz8uy1ow3x Před 25 dny +4

    Kutoka rwanda nafatilia nawapenda sana ❤🎉kwa clam

  • @user-dj9iz7lh1k
    @user-dj9iz7lh1k Před 24 dny +4

    mbn clam simwon kuigiza muvi na wenzake saii yaan kweny muv za wenzake ayupo kabsaa ninapendekeza kweny hizi muv za wenzak kama kim mbwela ,sengo nk itapendeza zaid 🎉🎉😅😅ila mnajua sana 🎉🎉🎉kazi zenu nazifatilia sana ❤❤

  • @EnfridaManyama-xs5ub
    @EnfridaManyama-xs5ub Před 26 dny +55

    Dah nimewah Leo jmn like ziwe nyingi 🎉

  • @TobiasjullioSimao
    @TobiasjullioSimao Před 26 dny +14

    Naombeni like Jaman from Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @MussaHaule-tn3xw
    @MussaHaule-tn3xw Před 26 dny +6

    Hammmmmmhh hammmmmmhh aiyaaaa huuuuuuu! Aiyaaaaa iyelele mama jaman wanao ikubali hiii beat tujuwane clam vevo nakuomba kila unapotoa episode usiiache jaman🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩

  • @johannesnyabara2527
    @johannesnyabara2527 Před 26 dny +4

    I like this kibwagizo wacha😂😂😂 kazi nzuri

  • @jembelakijiji
    @jembelakijiji Před 26 dny +85

    Filamu nzuri ila mnakawia hongereni sana team clam vevo kuna mazuzu wapo hapa ndani badala ya kuitikia muitikio na kutoa sapoti ni like wanaomba upuzi Tu clam kazi zafi sana

  • @Queen_of_love_2020
    @Queen_of_love_2020 Před 26 dny +40

    ❤❤from Usa Apa

  • @mayeleoscarmayele874
    @mayeleoscarmayele874 Před 25 dny +3

    Nipo Kampala uganda nawafatilia sana bigg up clam Vevo and your group

  • @nickluca1512
    @nickluca1512 Před 26 dny +6

    Mwakatobe 😂😂😂😂 muvi inakuwaa tamuu kwa vionjo vya mwakatobe humo tu humoo tu 😂😂😂

  • @DelphinKatembo-ni5fw
    @DelphinKatembo-ni5fw Před 26 dny +34

    Wa kwanza leo, na omba ata like tano, nawa fata kutoka congo

  • @Kotelvo8273
    @Kotelvo8273 Před 26 dny +98

    From usa 🇺🇸🇺🇸Wakwanza apa nipeni like zangu ❤

  • @nzizajovinpaul4955
    @nzizajovinpaul4955 Před 25 dny +4

    Wachaaaa Tanzi mtamjua ninani Nguvu zake zikipatikana.😂😂😂

  • @EsterDeus-li3nf
    @EsterDeus-li3nf Před 24 dny +2

    Waigizaji wote mpo vizuri sanaaaa sana ni move nzuri tamu isiyo kinai asanteni sana tunawapenda sanaaaaa mpo vizuri kila idara🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @SengaboyUmbrella-el5hi
    @SengaboyUmbrella-el5hi Před 26 dny +23

    Chef sija vaaa yule ambaye amesikiya hiyo neno tupa like zangu hapa😂😂😂😂😂

  • @Yangadamu
    @Yangadamu Před 26 dny +25

    Hongera sana Leo mmeongeza dk

  • @abrahamfelix95
    @abrahamfelix95 Před 26 dny +10

    kupewa K siku moja,, chifu kamchukua dem mbaka kwenye mazoezi😂😂 kishimo mlenda noma

  • @MartinEmmanuel-eh7fu
    @MartinEmmanuel-eh7fu Před 26 dny +4

    Sinema yenu nzuri tatizo mwanga🎉🎉❤❤

  • @Danmusee
    @Danmusee Před 26 dny +32

    From Nairobi Kenya 🇰🇪 likes ❤❤

  • @JordanAndrew-rr8fq
    @JordanAndrew-rr8fq Před 26 dny +38

    Kumbe wa kwanza Mimi Leo nipeni like zangu sasaa wananzengo

  • @aldomwanyula-ok9ow
    @aldomwanyula-ok9ow Před 26 dny +3

    Jaman wote mnasema wakwanza bs mm wa mwisho nipeni zang🎉

  • @gracekatentula975
    @gracekatentula975 Před 26 dny +8

    Je suis congolais de Lubumbashi sasa kwa Nini clam ajapona utahila paka sasa naomba like zangu !

    • @dastanjonas2253
      @dastanjonas2253 Před 26 dny

      Bienvenu monsieur, Clam hajapona ili kunogesha zaidi stori. Sinon nous les tanzaniens sommes heureux de vous congolais à cause de votre soutenance

  • @user-mc9it9sz4v
    @user-mc9it9sz4v Před 26 dny +31

    Mapema tu

  • @MosesIsazi
    @MosesIsazi Před 26 dny +28

    LEO WAKWANZA NAOMBENI LIKE JAMAN😂

  • @aloycekaumbu
    @aloycekaumbu Před 25 dny +4

    Mnazinngua bana tuna choka Masha bicki kisubili movie aloycy apa

  • @sharonshazy4498
    @sharonshazy4498 Před 26 dny +3

    Mm ndo wamwisho naomba like ata kumi tu

  • @YUSUPHMWAINUNU
    @YUSUPHMWAINUNU Před 26 dny +108

    Ata kama wa tatu ila nimewahii naomba like zangu tafadhal

    • @bwanaaliitv
      @bwanaaliitv Před 24 dny

      SNAKE BOY | ep 19 | SEASON TWO czcams.com/video/O5pdG-m2UTI/video.html

  • @gastonmulondani8900
    @gastonmulondani8900 Před 26 dny +37

    Kazi nzuri sn ongereni kbs alafu nimefurayi sana kwa kuongeza dakika

  • @AnnsoilaTanni
    @AnnsoilaTanni Před 2 dny +1

    Kazi suri sana clam vevo hogera kaka my God be blessed you wak ❤❤❤❤❤❤❤ Nakubali sana ❤❤

  • @user-md1sp5js8h
    @user-md1sp5js8h Před 25 dny +4

    💋💖😍💃 hongera sana kutu ongeza madakika

  • @eviepretty2646
    @eviepretty2646 Před 26 dny +19

    Humu tu humu tu atulalii😎❣️❣️🍹🤣 sijapenda

  • @user-qd7ey5cp5s
    @user-qd7ey5cp5s Před 26 dny +28

    Mbona mnaboo sana nakuomba likes😏😏😏pewa basi mkapike mkule😢😢😢badala mpongeze clam kwa kazi nzuri mko hapa mnang'ang'ania likes kama watoto🤨🤨

  • @mpeletadashine2652
    @mpeletadashine2652 Před 25 dny +4

    Ni kweli mnachelewaa ilaa mnatuletea kitu kilicho Bora zaidi, asanteni sana kwa kuongeza muda.

  • @HawaIsmek
    @HawaIsmek Před 25 dny +5

    Hhhh jmn wang wamepend clam alivyo sema sijapeta jmn agone like

  • @user-gm9hk6ni5s
    @user-gm9hk6ni5s Před 26 dny +21

    Wakwanza kutoka Kenya wapi like zangu

  • @lennoxrama4330
    @lennoxrama4330 Před 26 dny +210

    Wakwanza jaman leo naomba like ata kumi

    • @abasikazenga
      @abasikazenga Před 26 dny +2

      Ila una tukosea sana jamaa yetu muv ainaa siku nyingi then dk cahche

    • @mg_panther
      @mg_panther Před 26 dny

      Wewe utakuwa chizj sio bule mana unae muambia huyo hausiki kbs

    • @janethfelix9411
      @janethfelix9411 Před 26 dny

      Za nini

    • @Mokogoti181
      @Mokogoti181 Před 26 dny

      Ufanyie nini 😅😅😅

  • @Ivan-pr9ry
    @Ivan-pr9ry Před 15 dny +1

    Kazi nzuri clam endelea hivo hivo yatakuwa poa Siku ijayo😊🎉🎉

  • @marthajaphet4454
    @marthajaphet4454 Před 25 dny +4

    Yaaan tunasubiri adi inachosha, kazi nzur ila muda wanauvuta sana kuachia kitu ,waweke muda maaluu ieleweke kama ni baada ya siku 3 iwe 3 kweli kama ni 4 bc hivyo hivyo,,,,
    Anayeunga mkono gonga like apaaa

  • @FattyDapetty-tj9vr
    @FattyDapetty-tj9vr Před 26 dny +13

    Asbuhi subuhi kit chamotooooo wap team clam wewe tupo p1 sana ulipo tupo maua yenu hayo wote tunaowakubali🎉🎉🎉

  • @salimusaid304
    @salimusaid304 Před 26 dny +17

    From Kigoma Tanzania 🇹🇿✊✊

  • @user-yr3cz4td1y
    @user-yr3cz4td1y Před 26 dny +3

    Unajua sana kuigiza sema shida inakuja kwenye kuchelewa kutoa

  • @husnasalim9614
    @husnasalim9614 Před 26 dny +6

    Sikuzote thulma aina mafanikio mfaume acha kujipa madaraka ambayo aikuusu ntanzi uwo niuridhi😢

  • @clewis520
    @clewis520 Před 26 dny +25

    I love the snake Queen…..Sarah wangu.

  • @user-cq9xt5yd6o
    @user-cq9xt5yd6o Před 26 dny +203

    Please now mnipe like zangu mwamba from Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇹🇿

    • @itNeza
      @itNeza Před 26 dny +1

      Warundi akili zenu ni kuomba like kama Ma Zezeta. Ikijuju Gusa. 🤔😎

    • @johkm2408
      @johkm2408 Před 25 dny +2

      ​@@itNezawamuhimbiriwe zezeta niwewe kuma ramamayako

    • @user-cq9xt5yd6o
      @user-cq9xt5yd6o Před 25 dny +1

      @@itNeza hivi wewe msenge Nini kwani wew inakuhusu Nini chukizanin fitima tu kama mbuluzi wambwawe

    • @user-ux5iq6uo2w
      @user-ux5iq6uo2w Před 25 dny

      ​@@johkm2408sasa nawe nawe iyo kuma ya mama yake waijua emu punguzeni ukali wa maneno angalieni movie kwa bashasha acheni tabia mbaya

    • @chacha_magonka
      @chacha_magonka Před 25 dny +1

      Mwambie saido akupe😂

  • @dennistheacrobat8701
    @dennistheacrobat8701 Před 25 dny +5

    From the beginning Mpaka mwisho Mkenya 🇰🇪 anaeishi España 🇪🇦❤

  • @user-kr7ok7be6c
    @user-kr7ok7be6c Před 25 dny +6

    ❤❤❤❤kazi nzuri clam sasa tunakupa support 🎉na wewe pia tupe mapema episode zilizobakia kama wakubaliana na mm nipe like ❤❤❤❤❤❤

  • @djumalawi1626
    @djumalawi1626 Před 26 dny +15

    Mimi wakwanza south africa ❤

  • @cristaezekiel1036
    @cristaezekiel1036 Před 26 dny +19

    😂😂😂😂Chief atakuja kunya akifanya zoez la sauti 😂😂😂😂😂

  • @mwanajumamohammed6327
    @mwanajumamohammed6327 Před 26 dny +1

    Hongeza zako nyingi sana mbwela ni mwajuma hapa bado nakufatilia

  • @Nailah736
    @Nailah736 Před 26 dny +2

    Mie wa mwisho ila msinisahau ❤❤❤🎉🎉asante kikundi kizima

  • @SmilingHermitCrab-ve4qz
    @SmilingHermitCrab-ve4qz Před 26 dny +14

    Jaman. Naomben lik maan. Clam cy poa twende nalo .mpaka EP ya buk

  • @emmanuelmaloda6707
    @emmanuelmaloda6707 Před 26 dny +15

    Iko POA Sana, sema uliichelewesha broh🙌

  • @peterjoy6904
    @peterjoy6904 Před 25 dny +3

    Kalastborn kenu jamani nipeni like 10like woiye❤❤❤

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 Před 25 dny +1

    Ama kweli ni nguvu za giza😂😂,clam anazitafuta gizani😅 🙌...kisha ame upgrade chapati na malage kaongeza vitumbua na sambusa🤣🤣#mnaweza clam gang kazi inaendelea vizuri Mashallah cha msingi tusisahau ibada 🙏

  • @Shacky665
    @Shacky665 Před 26 dny +17

    Kazi nzuri🎉🎉🎉 mauwa kwa kulu nzima ya clam🎉🎉🎉🎉🎉

  • @badboyjephanie-uh3mz
    @badboyjephanie-uh3mz Před 26 dny +25

    Wa pili leo jmn kutoka Congo 🇨🇩..mnipe mauwa yangu

    • @ShamsaAley
      @ShamsaAley Před 26 dny

      🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @josephattwipa470
    @josephattwipa470 Před 25 dny +6

    Hizi likes tunazo peana hapa kwenye comment section, tuzipe pia kwenye Chanel hii kwani kufanya hivyo, kutasaidia hii Chanel kuwa kubwa zaidi ya hapa. Na sisi tutanufaika kwa kuona vitu vingi vizuri!!! Kiukweli crew nzima wako vizuri BIG UP

  • @privatusprudence
    @privatusprudence Před 26 dny +3

    Mnatoa move nzuri sana lakini mnachelewa kutoa move yenu then kuweni na siku maalumu kama vile jua Kali jumatano hadi jumapili siku nyingne Wana shoot itasaidia kulinda watazamaji wenu vzr kabsaa.

  • @kipzik8029
    @kipzik8029 Před 26 dny +13

    Kama unaamini tutaenda mpaka Season 4 ao 5 saa zingine zaidi, nipeni like zangu sir. Nafata snake boy kutoka Congo DRC 🇨🇩 ✔️ PLIZ AT LIKE 10 🙏🏿

  • @habibuhabibu9728
    @habibuhabibu9728 Před 26 dny +58

    Hatimaye leo nimewahi japo sio sana naomben like zangu jamani

  • @MuhammadJaffary-uu6zl
    @MuhammadJaffary-uu6zl Před 26 dny +9

    kazi swafi saana pongezi❤❤🎉 tuna wapenda mfahamu hilo tuna kusikiliza ombi letu la kufuisha muda wa kusubiri

  • @EuniceSaimon-cx7iy
    @EuniceSaimon-cx7iy Před 26 dny +16

    Leo kidogo mmenifurahisha mmerusha ndefu.....ila clam shemeji yangu una kazi nzuri ntakupa hamisa wote wako umchukue bila mahali😂😂😂😂😂

  • @babadirito9965
    @babadirito9965 Před 26 dny +23

    Nipeni likes zangu mm ndo wakwanza Leo

  • @mtakatifubony5525
    @mtakatifubony5525 Před 26 dny +17

    Anayewadanganya mkichelewa sana mtafanikiwa anawapoteza

  • @Obertan_coolkid-04_
    @Obertan_coolkid-04_ Před 26 dny +2

    Kazi kazi siwapingi wote wanaoishiriki kuigiza mpk kutengeneza.......high level

  • @user-cc2ll7bw7u
    @user-cc2ll7bw7u Před 25 dny +3

    Hivi bado kuna wanaume kama kipara huku mtani, nimewaza kwa nguvu tu, sio michongo yangu😂😂😂😂

  • @LesianJuma
    @LesianJuma Před 26 dny +14

    Kiukweli nawapenda sana kama unawakubali wahusika wa hii movie gonga like hapa chini❤❤

  • @hamzaIlunga
    @hamzaIlunga Před 26 dny +25

    From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 , leo nimewai, kwanza nipeni like zangu

  • @HappinessManjenga
    @HappinessManjenga Před 26 dny +3

    Munakawiz sana clam

  • @samwelfute2215
    @samwelfute2215 Před 25 dny +2

    Filam nzuri lakin msiwe mnachelewa kutoa pia imependeza kuonzwa kwa dakika natumai litazingatiwa kama mnaamini gonga like apo🤗🤗

  • @Stogwa
    @Stogwa Před 26 dny +27

    Léo nipeni ata tano from 🇲🇿🇲🇿 mueda

    • @BramoMag
      @BramoMag Před 26 dny +2

      Jamani ndio sijawahi ila naomba ata moja❤

  • @amneykhamisiamneykhamis8016

    Jaman naifatilia sana more love from kenya 🇰🇪

  • @saidymzee6521
    @saidymzee6521 Před 26 dny +2

    Snake boy imekuwa kma jua kali mzikii mwingiiii ila bora ili isimalize mapema

  • @msauzbusiness558
    @msauzbusiness558 Před 25 dny +7

    Anaekubari kua hili picha ni Kari kuliko yote gonga like tusepe na Kijiji💪