UNGA WA PUFF PASTRY - KISWAHILI
Vložit
- čas přidán 21. 11. 2016
- Mahitaji 1
Siagi vikombe 3
Unga wa ngano kikombe 1
Mahitaji 2
Unga wa ngano vikombe 4
Chumvi vijiko 2 vidogo
Maji ya ndimu kijiko 1 kidogo
Maji ya baridi kikombe 1
Siagi 1/2 kikombe - Jak na to + styl
Asante kwa utaratibu wa mafundisho,nimeelewa kabisa...
Swali ni...naeza Tumia unga ya brown
Shukran unga wa brown ni recipe tofauti kudogo
Yaani woww....nzur mashallah.
mashaallah shukran wacha namie nijalibu nimeipenda sana wallah
😍😍😍 acha wik ijayo nijaribu .. naamin ntaweza tu
Wow mashallah pole sana maskini umevunja sim kwa kutaka kutuonesha mambo mazuri asante my dear 😍
Ahsante sana hiyo ya zamani , nishakaanga pia kwenye mafuta ya moto ...ts part of life hamna neno inshallah ni kununua nyengine tu
جميل جدآ 😍
جازاك الله خير
asante anty nitajaribu siku moja nimependa sn sn mashallakh allah atuwekeee👏
Multumesc !Senchiu!😘
Pole habbty Allah Atakupa simu nzuri zaidi ya hiyo na mm pia ntajaribu Leo in sha a Allah Allah Atakulipa khayir na ufurahi km unavyotufurahisha
Shukran, Amin Inshallah
Salam alaykum mapishi mazuri sana
Ahsante sana...
Mashaallah
Lazima siagi dada kwa blue band haiwezekani
Pole blue band huwezi kutumia kwasababu ina maji Sana an pia ina mchanganyiko wa mafuta kwahivyo haitopanda kama hivyobyaani result zake huzitokuwa sawa
Bravooo sister !!!! your the best chef in Swahili community 👍🏽💞I love your video Mashallah ...
Bless u👏🏼
Fida thank you for the title... am humbled x much love 💓
Mashaallah mashaallah
Siagi waweka kwa filiji chini ama
Nc 👌👌👏👏👍
Asalam Aleikum hujambo vp hali yako nashukur sanaa habibty nimefanya zimetoka vizuri mwenyezi mungu akubariki na akupe afya
Aleikum musalaam x alhamdulilah mashallah nimefurahi sana kusikia
Lovely
pole kwa kuvunjika siku Allha atakulipa kweri tumejifunza nitajaribu
Shukran, Amin Inshallah
Wow!!!! Machallah! I am in awe of your talent. Thank you so much for sharing this amazing recipe.
Thank you for your kind words, these are things that I am passionate about and I take time to learn them.
😍😍
nzuri hizi sana nimezipenda za kununua lakin kuzipika doh kishindo ila ntajarib
I applaud you my dear, I am usually too lazy to make my own puff pastry. It takes me forever to work up the stamina to make my own croissants but whenever I do get round to it I never regret it. Homemade beats store bought any day!
Jikonimagic Thanks, I know what you mean. I usually dedicate one day and make like 3 batches and stock it to last me months
+Aroma of Zanzibar vifaa tutapataje kwa watu was dar na he vinatumia umeme
+Aroma of Zanzibar napenda nipate vifaa inakua rahisi
Nilazima upate siagi izo zile zakupima hazifai
Nice
Thanks
Trust me am learning alot from you.
Thank you so much dear
Shukran sana
Mungu anipe ujuzi huu naamin ntaweza nipo kam training lkn ipo siku ntakuwa mwalimu
M.Mungu atakujaalia tu madhali ni kitu unapenda katika moyo wako na unakihangaikia, M.Mungu si mchoyo
MARTIN PAUL y
aroma nimefurah sana lakini nahtaji kujua tofauti ya siagi na samli
Siagi inakua in fats, na milk solids sijui kiswahili inaitwa nini na samli inakua ni pure haina kitu, angalia hii video nifanya jinsi ya kutengeneza samli kutokana na siagi labda utafaham vizuri czcams.com/video/GVc-9mYNREU/video.html
Thank you so much .My dear can you do a puff pastry filling .God Bless you.
You are welcome dear, puff pastry filling can be anything from chicken to meat to veggies theres no specific recipe just make sure the fillings are moist but not wet, If I do make one I will share but not so soon though
mashallah looks great...could you please share the croissant recipe and how you make it plzzzzzz
The croissant recipe is right here czcams.com/video/oG2imZr3nus/video.html
Mfano siagi kikombe kimoja n nusu unga nusu kikombe?
A/Alykm. Rectangle ni pembe nne like 👉 □
Shukran
Aroma of Zanzibar Afwan
Salaam nikifanya nusu kipimo inafaa
Inafaa
dear sister, where to find all your lovely recipes in English plzzzz?
I make my recipes in English and Kiswahili, here's the english version and please scroll down on the description box you will find the measurements czcams.com/video/BaAe7KcG6ag/video.html
Wow!!! I miss the food more than family when I am out of Oman😋
I know what you mean
Inafaa samli?
No sio samli hutopata matokeo hayo
Hello
Naweza pata wapi kitchen aid mixer kama yako kwa tz?
Kwa kweli siwezi kujua Mimi siishi Tanzania. Na Kama utaanunua tafuta kutoka UK maana vitu vya Marekani havifanyi kaxi nchi yoyote ile kwa tofauti ya voltage ya umeme
Aroma of Zanzibar ohhh nilidhan waishi Tanzania, thank you for your advice
Shukran myngu akuhifadhi vikombe 3 siagi n gram ngapi?
Ni grams 675
salami alekum nataka kujuwa kama unga wangano ni wa self raising ama ni plain flour shukaran elezeya tafadhali.
Dear ni unga wa ngano wa kawaida tu sio self raising
Unawez tumia blueband?
Blue band ya kupikia sawa sio ya margarine ina maji sana haifai kwa pishi hili
i need english
Here's the English version czcams.com/video/BaAe7KcG6ag/video.html
ivi Aroma mapishi haya unayotoa wapi maana umewazidi hata waarabu
Mapishi ninayo pika mie najitahidi kujifunza vyakula ninavyovipenda
Kwa kweli watu wa zanzabari wanajua kupika waarabu hawajui kupika baadhi tu ndo wanajua
Kikombe cha aina gani umetumia?? Huweki baking powder
Mie natumia standandard measuring cups za kupimia zinapatikana nchi zote waulize maduka wanaouza vitu vya cake utapata, haitiwi baking powder kama niliivyoonyesha hapo
Engles
Here's the English version czcams.com/video/BaAe7KcG6ag/video.html
English please
Here's the English version czcams.com/video/BaAe7KcG6ag/video.html
Sister samhan naomba kuuliza ety stand mixer kma hiyo yako ni bei gani?
Hizi ni za Marekani hazitumiki nchi nyengine kwasababu ya umeme tofauti ni vizuri kununua vifaa vinotumia umeme kutoka Uengerza. Hiyo stand mixer ni kiasi Dollar $200 mpka 1000 kutokana na size na edition mbali mbali
Sister ww upo nchi gani
Marekani
Daah
Nna shida nayo sana sister