YAJUE HAYA KUTOKA KWA ALICIOS WA POSA YA BOLINGO, MKONGO ANAYETAMBA KWA KUIMBA KISWAHILI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 07. 2024
  • Ni mwimbaji Alicios raia wa Congo anayeishi Kenya, amekuwa maarufu kutokana na nyimbo zake alizoimba kiswahili kupata umaarufu kama Posa ya Bolingo, Ya Nini, Mpita Njia na nyingine nyingi. Hapa amefunguka mengi kumuhusu yeye baada ya kuja Bongo.. ni yapi hayo Bonyeza PLAY hapa kumtazama.

Komentáře • 28

  • @Jérémih-j7g
    @Jérémih-j7g Před 9 dny

    On est trop fière de toi Al mwana mboka❤

  • @sosydee3767
    @sosydee3767 Před 3 lety +6

    Tuko pa1 kaka wakwanza hapa nahitaji like 50tu

  • @wilonjahatua2067
    @wilonjahatua2067 Před 3 lety +2

    nampendaga sana huyu dada ilove you alicious

  • @esadkulovic6777
    @esadkulovic6777 Před 3 lety

    Shes my best singer akifatiwa na Juliana,nawapenda tu bure,wao na miziki yao,na nafurahi still ako kwa game na ako form,young always and beauty😘,na kiswahili kitukuzwe😊,fundi na ufundi wake😁...patamu hapo!.

  • @mwanajumamohammed6327
    @mwanajumamohammed6327 Před 3 lety +2

    Uwaga nampenda sana huyu kijana nampenda to

  • @dripboy2026
    @dripboy2026 Před 3 lety +2

    Daaah aka kadada nakakubal sana tokea na ile nyimbo yake ya bolingo 😂😁

  • @saidkaje620
    @saidkaje620 Před 3 lety +3

    Nimekuwa wa kwnz

  • @emmanuellusambya7889
    @emmanuellusambya7889 Před 3 lety +3

    💪💪💪💪🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩Alicios!

  • @fighterm7708
    @fighterm7708 Před 3 lety

    She used to be my crush since the First time , I saw her with Juliana ,
    Until now the photo of her still in my Mind.
    The gal like her is my panadol when am got headache.
    ..I love you from bottom of my heart ....dedication song: Nikikupata by Benpol.

  • @diwanikatayankonko2671
    @diwanikatayankonko2671 Před 3 lety +1

    Nampendaga saana huyu dada

  • @erickmachua8829
    @erickmachua8829 Před 3 lety +1

    Nice song

  • @malley041tv9
    @malley041tv9 Před 3 lety +3

    Achia wimbo huo wasanii Wa tz mjiongeze kuweka mambo yenu ya relationship in private

  • @ailamofficial6757
    @ailamofficial6757 Před 3 lety +2

    Ya bolingooo

  • @kasangagregory5747
    @kasangagregory5747 Před 3 lety +1

    ILA JAMAN AFRIKA KUNA WAREMBO MTOTO MZURI

  • @jafetsubi2908
    @jafetsubi2908 Před 3 lety +1

    Jamani

  • @graceamadi1096
    @graceamadi1096 Před rokem

    Millard eh, hamna mic nyingine

  • @symphorienpyana1999
    @symphorienpyana1999 Před rokem

    I am proud of you

  • @noahlarapho4749
    @noahlarapho4749 Před 3 lety

    Nice!!

  • @mwanaishamkindi7763
    @mwanaishamkindi7763 Před 3 lety +1

    😍😍😍😍

  • @husseinchea5524
    @husseinchea5524 Před 3 lety +3

    Huyo ni mkenya mkongo

    • @mauricebaraka9119
      @mauricebaraka9119 Před 3 lety +1

      Sio mkenya mkongo bana Kenya alihamia na wazazi wake,kwa sababu Baba na Mama yake wote ni wacongo na huyo amezaliwa kongo kwa hiyo ni mkongo 💯%

    • @husseinchea5524
      @husseinchea5524 Před 3 lety +1

      @@mauricebaraka9119 mtanzania anapohamia marekani na kuchukua citizenship ya huko anakuwa Tanzanian American so huyu naye ni Congolese Kenyan...nadhani sasa umenielewa nilichokimaanisha

    • @mauricebaraka9119
      @mauricebaraka9119 Před 3 lety

      @@husseinchea5524 Huyo anaishi Kenya kwa pamenti hajachukua uraia wa Kenya Brother,Kama ilivyo kwa Christian Bella hapa Tanzania anaishi Pia kwa Pamenti hajachukua uraia wa Tanzania

    • @husseinchea5524
      @husseinchea5524 Před 3 lety

      @@mauricebaraka9119 duh! Bro mbona unashindana sana kana kwamba unamjua...kama ulikuwa hujui jua leo, huyo dada kachukua uraia Kenya hata Kidum katokea burundi pia kachukua uraia Kenya. Kuna msanii mwengine kutoka south sudan naye pia kachukua uraia Kenya anaitwa Emmanuel yeye anaimba nyimbo za injili na kuhusu Christian Bella that's another story

  • @user-wc5hi4dg2d
    @user-wc5hi4dg2d Před 6 měsíci

    ❤❤😂

  • @selemanshidda9688
    @selemanshidda9688 Před rokem

    Wakongo wakijifunza Kiswahili hukiongea vizuri sana! Lakini Watanzania ni limbukeni! Badala ya kuongea Kiswahili sanifu unakuta wanaongea kwa kuchanganya na Kiingereza! Kama huyu anaeongoza usaili ni limbukeni. Eti anasema 'media house'; 'exclusive interview' Huyu ndie Mtanzania anaeishi Tanzania ambako ndiko chumbuko la Kiswahili

  • @husseinloyy1912
    @husseinloyy1912 Před 3 lety +1

    uko poa

  • @danielson8673
    @danielson8673 Před 3 lety +2

    Cyo jux kweli😅😅😅☺😆