YAJUE HAYA KUTOKA KWA ALICIOS WA POSA YA BOLINGO, MKONGO ANAYETAMBA KWA KUIMBA KISWAHILI
Vložit
- čas přidán 27. 07. 2024
- Ni mwimbaji Alicios raia wa Congo anayeishi Kenya, amekuwa maarufu kutokana na nyimbo zake alizoimba kiswahili kupata umaarufu kama Posa ya Bolingo, Ya Nini, Mpita Njia na nyingine nyingi. Hapa amefunguka mengi kumuhusu yeye baada ya kuja Bongo.. ni yapi hayo Bonyeza PLAY hapa kumtazama.
On est trop fière de toi Al mwana mboka❤
Tuko pa1 kaka wakwanza hapa nahitaji like 50tu
nampendaga sana huyu dada ilove you alicious
Shes my best singer akifatiwa na Juliana,nawapenda tu bure,wao na miziki yao,na nafurahi still ako kwa game na ako form,young always and beauty😘,na kiswahili kitukuzwe😊,fundi na ufundi wake😁...patamu hapo!.
Uwaga nampenda sana huyu kijana nampenda to
Daaah aka kadada nakakubal sana tokea na ile nyimbo yake ya bolingo 😂😁
Nimekuwa wa kwnz
💪💪💪💪🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩Alicios!
She used to be my crush since the First time , I saw her with Juliana ,
Until now the photo of her still in my Mind.
The gal like her is my panadol when am got headache.
..I love you from bottom of my heart ....dedication song: Nikikupata by Benpol.
Nampendaga saana huyu dada
Nice song
Achia wimbo huo wasanii Wa tz mjiongeze kuweka mambo yenu ya relationship in private
Ya bolingooo
ILA JAMAN AFRIKA KUNA WAREMBO MTOTO MZURI
Jamani
Millard eh, hamna mic nyingine
I am proud of you
Nice!!
😍😍😍😍
Huyo ni mkenya mkongo
Sio mkenya mkongo bana Kenya alihamia na wazazi wake,kwa sababu Baba na Mama yake wote ni wacongo na huyo amezaliwa kongo kwa hiyo ni mkongo 💯%
@@mauricebaraka9119 mtanzania anapohamia marekani na kuchukua citizenship ya huko anakuwa Tanzanian American so huyu naye ni Congolese Kenyan...nadhani sasa umenielewa nilichokimaanisha
@@husseinchea5524 Huyo anaishi Kenya kwa pamenti hajachukua uraia wa Kenya Brother,Kama ilivyo kwa Christian Bella hapa Tanzania anaishi Pia kwa Pamenti hajachukua uraia wa Tanzania
@@mauricebaraka9119 duh! Bro mbona unashindana sana kana kwamba unamjua...kama ulikuwa hujui jua leo, huyo dada kachukua uraia Kenya hata Kidum katokea burundi pia kachukua uraia Kenya. Kuna msanii mwengine kutoka south sudan naye pia kachukua uraia Kenya anaitwa Emmanuel yeye anaimba nyimbo za injili na kuhusu Christian Bella that's another story
❤❤😂
Wakongo wakijifunza Kiswahili hukiongea vizuri sana! Lakini Watanzania ni limbukeni! Badala ya kuongea Kiswahili sanifu unakuta wanaongea kwa kuchanganya na Kiingereza! Kama huyu anaeongoza usaili ni limbukeni. Eti anasema 'media house'; 'exclusive interview' Huyu ndie Mtanzania anaeishi Tanzania ambako ndiko chumbuko la Kiswahili
uko poa
Cyo jux kweli😅😅😅☺😆