ZUCHU : NATAMANI KUFANYA KAZI NA RIHANNA PAMOJA NA DIAMOND/ SITOKI NA BOSS WANGU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024

Komentáře • 400

  • @iammusic3404
    @iammusic3404 Před 4 lety +73

    Zuchu is just 3 months old in music but she speaks like a legend!👌🔥😘
    Such a 👑 Queen!

  • @roman2270
    @roman2270 Před 4 lety +38

    Wanawake mkisoma mnakua poa sana, I love it .. ...
    Kuna tofauti kati ya msomi, na anaejua kuongea kingereza.....

  • @albertmbuma5063
    @albertmbuma5063 Před 4 lety +36

    Nimependa jinsi zuchu anavyokuwa katika kujieleza,kwasasa mtu unatamani uendelee kumsikiliza tu.Haya ndio mabadiliko tunayoyataka.Hongera sana mdogo wangu.

  • @rmags8654
    @rmags8654 Před 4 lety +66

    Zuchu is really smart and wise for her age and experience. You can tell by her poise and diction. She has answered those questions very neatly and intelligently!! If this was a job interview I would give her a post!!

  • @dianajeremiah3180
    @dianajeremiah3180 Před 4 lety +20

    Zuchu amekuja wakati na muda sahihi kabisa kwa lebo ya wcb...Yuko brightly... Hongera sana Zuhura.

  • @adijaniyonkuru9731
    @adijaniyonkuru9731 Před 4 lety +31

    Zuchu amejibu vizuri sana ❤ from Norway 🇧🇻🇧🇻🇧🇻🇧🇻

  • @aaa64sa13
    @aaa64sa13 Před 4 lety +33

    Mimi Mars we ni mzuri sanaaaa 👌❤❤❤❤❤ MashaAllah

  • @aminamayeya8134
    @aminamayeya8134 Před 4 lety +7

    Actually zuchu ww mzur na ongeza bidii kwenye kazi zako allah ataku bless inshallah

  • @bmpchanneltz2438
    @bmpchanneltz2438 Před 4 lety +24

    Nimeona kama zuchu ameimprove sanaa kwenye uongeaji wake na ujibuji maswali big up zuchu

  • @msongolaorphanage2057
    @msongolaorphanage2057 Před 4 lety +14

    Zuchu your so pretty and very smart.... Tanzania is blessed to have you CHUCHU..🙏

  • @winfridaw.mwashala289
    @winfridaw.mwashala289 Před 4 lety +8

    Loh!Zuchu you love God! Now I love you even more! I am a hundred percent sure you can excel without substance abuse! Go, girl!

  • @syomusic6132
    @syomusic6132 Před 4 lety +6

    Zuchu is some such a vibe!!! Kwanza the way she praises her mom ... woow

  • @moshiomarymnyeda8907
    @moshiomarymnyeda8907 Před 4 lety +9

    Mtoto yupo vizurii sana huyu kichwa kipo sawa hapa Mzee baba dai hajachemka all the best Mashallah 💖 🙌

  • @kaburaakbar4838
    @kaburaakbar4838 Před 4 lety +14

    Zuchu aka chuchu we mkali sana bwana tuache unafki zuchu unajua sana kuimba

  • @fatushabdi2786
    @fatushabdi2786 Před 4 lety +52

    Huyu dada yake vanesa ni mzuri mashallah 💖

    • @speriasmohamed5604
      @speriasmohamed5604 Před 4 lety +2

      Mdogo ake co dada

    • @fatushabdi2786
      @fatushabdi2786 Před 4 lety +1

      @@speriasmohamed5604 ooooohh mdogo wake ok 🤞jicho langu lote liko kwa huyu mdada🤣🤣🤣

    • @officialmrtop1018
      @officialmrtop1018 Před 4 lety +1

      @@speriasmohamed5604 kwani mdogo sio Dada yake mdogo??

    • @officialmrtop1018
      @officialmrtop1018 Před 4 lety +2

      @@fatushabdi2786 kabisa ni mzuri kinyama kwanza nilifikiri Vanessa Ila nikakosa kale kadude flani kwenye puwa

    • @fatushabdi2786
      @fatushabdi2786 Před 4 lety +1

      @@officialmrtop1018 hahhaahahhah eeehh haha🤞

  • @minzaahmada4787
    @minzaahmada4787 Před 4 lety +16

    Kwanza niwape hongera nyote mmependeza sana yani mashallah

  • @salmazaidalabrawi3723
    @salmazaidalabrawi3723 Před 4 lety +8

    Maashaallah Zuchu nice replying

  • @aaa64sa13
    @aaa64sa13 Před 4 lety +16

    Wcb 4life ✌❤ Utafika mbali inshaAllah🙏

  • @donomar6876
    @donomar6876 Před 4 lety +20

    Zuchu for life ❤

  • @wedream7506
    @wedream7506 Před 4 lety +5

    Zuchu is the smartest artist anajieleza Sana

  • @catyedokigutu7366
    @catyedokigutu7366 Před 4 lety +8

    Kipindi kizuri sana... Hongeren.. Ila urefu wa maswali jaman pungutheni jaman

  • @Umande83
    @Umande83 Před 4 lety +23

    Trending Show now has become an English based show on Wasafi Media. I love these ladies.

    • @lutulalihim1585
      @lutulalihim1585 Před 4 lety +2

      Salaam aleykum my classmate Mr Hassan umande from Lutula Ismail 🇺🇸

    • @evelynlundberg1981
      @evelynlundberg1981 Před 4 lety

      .

    • @Umande83
      @Umande83 Před 4 lety

      @@lutulalihim1585 Walaika Salaam, hope you're doing well in the land of Mr Biden

  • @worldlyricssongs6141
    @worldlyricssongs6141 Před 4 lety +6

    Duuuu ...this girl is ❤💕💕💕💓brilliant

  • @mamunote3507
    @mamunote3507 Před 4 lety +5

    Mashallah Mashallah M.mungu akubariki sana mm ni mpenzi wa toka Maak na ww pia sasa nakupenda utakua msanii mkubwa jiheshimu tuu sana na Heshma kazi yako

  • @catyedokigutu7366
    @catyedokigutu7366 Před 4 lety +20

    Naomba kujua anita anauliza swali au nini 😂😂😂😂😂....swali refu kama uzi jamani mie ningesinzia...

    • @luluadam3086
      @luluadam3086 Před 4 lety +1

      Usitake nichekee hata mm nmeshangaa 😂😂😂😂😂

    • @anithadennis272
      @anithadennis272 Před 3 lety

      Na hapo Anita Ana toa jicho 🤣🤣alf mbna hakunaga Anita waivoooo😂😂

    • @irenembapila9056
      @irenembapila9056 Před 3 lety

      Na kamalizia na INSHORT 😂😂😂😂😂😂😂😂😂🖐🏻

  • @betrue33
    @betrue33 Před 4 lety +7

    Mum is the best performer ,that I agree 100 percent.yaani I looooooove Your mum...Alafu brother pia alikuwa fire....alipofariki nililia sana...

  • @lightnessmmanda1595
    @lightnessmmanda1595 Před 4 lety +3

    Your the best zuchu 😘😘

  • @mannyemma3165
    @mannyemma3165 Před 3 lety +1

    Zuchu is great! I live in the US but I enjoy listening to her music on my way to work. Great job

  • @zeekumchaya4280
    @zeekumchaya4280 Před 4 lety +6

    It’s a really nice interview bt tungependa kumsikiliza zaid zuchu i mean maswali yenu yangekua short and interesting all in all that girl has a bright future smart and talented Allah amuongoze kwa kwel

  • @luqmanmohamedy3860
    @luqmanmohamedy3860 Před 4 lety +27

    Yupo polite sana,stay humble like that forever n u'll be the next big thing

    • @evankya1955
      @evankya1955 Před 4 lety

      Anita can be stoned face at times but she's so pretty

  • @sabahalnaamani110
    @sabahalnaamani110 Před 4 lety +8

    You ladies are wonderful

  • @peninaancon1256
    @peninaancon1256 Před 4 lety +15

    MUHIMU:
    Pana mambo hayajakaa sawa.
    Maswali mengine ya Anitha Mwiru hatuyasikii, plus urefu wa swali na ndani ya swali kuna maswali na anaamini anasema ki ufupi.
    Mimi Mars pia nafeel anataka kuongea lakini ni kama hakuna hiyo nafasi.
    Jaribuni kubalance hasa Cynthia, show kama itaendelea kua hivi itaboa, ni kama Muuliza maswali ni Mmoja tu, basi hakukua na haja ya hao wengine.
    Kipindi si cha Cynthia Mzirai tu na Zuchu (hata kama ni Mtangazaji Mkuu).
    Naamini Wahusika mtaona na kurekebisha.
    Mko poa warembo wote na mmependeza sana!.

    • @bts_mycrush8949
      @bts_mycrush8949 Před 4 lety

      Wako sehemu nne tofauti ndo maana ni ngumu kupeana nafasi ya kuongea,wanatumia Bluetooth

  • @denisksylivester7846
    @denisksylivester7846 Před 4 lety +8

    She is very bright 🔥

  • @florencekaranja8736
    @florencekaranja8736 Před 4 lety +2

    zuchu u r very intelligent the way u answer your question .

  • @joharijj2164
    @joharijj2164 Před 4 lety +9

    Learned gal, you're wise, I love you😍

  • @nayomi6498
    @nayomi6498 Před 4 lety +9

    She is so humble😍😍

  • @fatimamowa8166
    @fatimamowa8166 Před 4 lety +10

    Mashaallah cap going my zuchu 😍

  • @saidrarashidi3294
    @saidrarashidi3294 Před 4 lety +9

    dah! xaf xna mmetixha xnaa zuchu mung akuongoz dada🤲

  • @shemsuabrahman1669
    @shemsuabrahman1669 Před 4 lety +5

    Am inspired by u bby u r to good may god bless u will support u alwys kwel unsthili ulchpta

  • @dinhamvenance7367
    @dinhamvenance7367 Před 4 lety +7

    She’s Smart🥰

  • @hassansebe2061
    @hassansebe2061 Před 4 lety +15

    Nice interview you guys you rock it

    • @dokasalim943
      @dokasalim943 Před 4 lety +1

      Noted mzee baba 😂😂😂😂😂

  • @leeldavid3712
    @leeldavid3712 Před 4 lety +2

    Zuchu doesn't want to kill her mom before her death,which is very right indeed.Kip going gyal love you❤️❤️

  • @mohamediomari1614
    @mohamediomari1614 Před 4 lety +4

    Wanawake wa tz wazur jamn, hawa wadada wamependeza sana😍😍😍😍😍

  • @chanelee2928
    @chanelee2928 Před 4 lety +21

    Gonga like kwa CHUCHU akee🙄

  • @daphrozakikoti2939
    @daphrozakikoti2939 Před 4 lety +17

    Nmeona had kipindi kifup jaman zuu unajibu vizur

  • @muddseuc
    @muddseuc Před 4 lety +11

    Big up zuchu

  • @wedream7506
    @wedream7506 Před 4 lety +3

    Hv mnaona smile la Mimi Mars she's impressed with zuchu

  • @tayanaliss9713
    @tayanaliss9713 Před 3 lety +2

    Guys we need an English interview🥺 Zuchu has a huge fan base now and not everyone speaks Swahili or at least put Subtitles😭

  • @minzaahmada4787
    @minzaahmada4787 Před 4 lety +4

    Ww dada uliesuka kidungushi umependeza wafanana Na dada zari mzuri mashallah

  • @suleimanalkindy5731
    @suleimanalkindy5731 Před 4 lety +9

    Zuchu unavyojibu unaonekana una uzoefu wa muziki kuliko hao wanaokuuliza na walifikiri hujui kiingereza

  • @dachaaa5883
    @dachaaa5883 Před 4 lety +2

    Uko Good sana zuchu kaza Buti my utafika unapopafikilia siku moja🎶

  • @annmwende7023
    @annmwende7023 Před 4 lety +3

    A nice interview girls, cute Zuchu stay blessed.

  • @ishirakkjuma55
    @ishirakkjuma55 Před 4 lety +11

    Anajua San kujielezea mtt zuch

  • @masumbahashimu8291
    @masumbahashimu8291 Před 4 lety +6

    mungu azidi kukutangulia zuchu

  • @bintialfan2143
    @bintialfan2143 Před 4 lety +1

    Mimi mars amekaa kuzungusha nywele tuu hayupo actve anasubiri acheke anywey i love mimi mars she is beautiful

  • @joankerubo4943
    @joankerubo4943 Před 3 lety +2

    I love how Zuchu talks kiswahili

  • @mrbweichum
    @mrbweichum Před 4 lety +16

    *KAMA UNAMPENDA **#ZUCHU** ACHIA LIKE YAKO*

  • @conjetapierre8755
    @conjetapierre8755 Před 4 lety +2

    Jaman mdada mwenye Rasta una accent nzuriii kinge kizurii

    • @tution5113
      @tution5113 Před 4 lety

      Nilizani ni mimi tuu namskia Safi sana💯💯💯

  • @sabramohamed9965
    @sabramohamed9965 Před 4 lety +1

    Nakupenda zuchu Ishaallah utatimiza ndoto zako my

  • @alexanderjaphari4912
    @alexanderjaphari4912 Před 4 lety +11

    Kiukweli Zuchu unakuja moto sana yaani ninaimani utakuwq bad girl wa afrika na duniani

  • @franklinemoi8516
    @franklinemoi8516 Před 4 lety +3

    Hatareeeeee saana huyu dada ChuChu........

  • @ItsThedon2Lorenzo
    @ItsThedon2Lorenzo Před 4 lety +15

    Interview nzuri, ila swali linakua ndefu saaana , yani wanauliza swali lenye kilometaaa🤔🤔

  • @mariambille7446
    @mariambille7446 Před 2 lety +1

    She's my role model

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 Před 4 lety +4

    Safii Zuchu. Umeshinda kijana

  • @robertboniface5827
    @robertboniface5827 Před 4 lety +7

    nimependa sana hiki kipindi. ninyi wadada ni warembo sana na mnapendeza mno kutizamwa

  • @JAROHHEART
    @JAROHHEART Před 4 lety +20

    Corona interview style😂💖

  • @enockajjems4082
    @enockajjems4082 Před 4 lety +3

    Nice shows

  • @shadismith9945
    @shadismith9945 Před 4 lety +1

    Huyu mdada wa upande wa kushoto ana maswali ya kisomi Sana ❤️ Rasta za juu

  • @edyfrankamani9588
    @edyfrankamani9588 Před 4 lety +12

    Zuchu umeongea points

  • @lisikimokoko6483
    @lisikimokoko6483 Před 4 lety +8

    The lady in braids ask's very long question and it messes the interview she must try and shorten her questions... Just my point of view

  • @rehemasadiki9382
    @rehemasadiki9382 Před 3 lety

    Zuchu you are i con kwa wasanii wakike good luck

  • @alliabaraka5810
    @alliabaraka5810 Před 4 lety +2

    No hate but ah ah the lady in braids she is not asking a question goodness pressure I would loose the answer that’s an opinion not a question aiboo

  • @robisongodiwnmushi9304
    @robisongodiwnmushi9304 Před 4 lety +2

    waooooooooooo rah zuch 😍😍😍😘😘😘😘😘

  • @hawakassimu6120
    @hawakassimu6120 Před 4 lety +3

    Hamtulii kwenye kuuliza kila mmoja anataka kuuliza tumsikilize nani tuache nani ...huyo mwenye marasta anauliza maswali mengi maelezo mengi kwa wakati mmoja

  • @VOC733
    @VOC733 Před 4 lety +3

    Kipindi kizuri sana ila Anitha anauliza swali alf anaweka maelezo marefu mpk swali linakuwa halieleweki, anatakiwa aulize swali lililonyooka ili mgeni aelewe.

  • @fadhiliaswa5063
    @fadhiliaswa5063 Před 4 lety +5

    Zuchu kama Zuchu✌

  • @minzaahmada4787
    @minzaahmada4787 Před 4 lety +5

    Kabisa Vanessa uko vzr nakupenda sana unajua kbs

  • @danmsafi2383
    @danmsafi2383 Před 3 lety +1

    Penda Sana zuchu 😍😍

  • @fatimaibrahim8775
    @fatimaibrahim8775 Před 4 lety +11

    Point of correction zuchuu it's I av so many people to thank not to thank you

    • @fatimaibrahim8775
      @fatimaibrahim8775 Před 4 lety +1

      Sorry I mean no offense I love you it was just a clarification

    • @betrue33
      @betrue33 Před 4 lety +1

      And my mum is the best performer
      One thing I'am afraid of..
      please Zuchuu correct here too ***with love💕

  • @jafarykitike6385
    @jafarykitike6385 Před 4 lety +1

    Good point my dear chuchu#zuchu

  • @fridaystartv9921
    @fridaystartv9921 Před 4 lety +5

    Kila la kheri zuchu wangu

  • @eliasjosiah1024
    @eliasjosiah1024 Před 4 lety +18

    Hiki kipindi kitamuu

  • @mohammedsaleh4055
    @mohammedsaleh4055 Před 4 lety

    Zuchu be natural Usitumie kilevi chochote Hapo ulipo upo pazuri Na unaendelea vizuri Chochote unachotaka fanya with open'heart

  • @leonidamachuru5960
    @leonidamachuru5960 Před 8 měsíci

    Nice interview very intelligent ladies 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Miss_Adisa
    @Miss_Adisa Před 4 lety

    Anita is so eloquent love it!

  • @juliusphabian6336
    @juliusphabian6336 Před 4 lety +9

    Huyu wa you know😂😂😂 af badae anasema inshort..🏃🏃🏃

  • @jokleyzombies3565
    @jokleyzombies3565 Před 4 lety +8

    Mhhh kumbe kazuchu anaongea🤔🤔

  • @achyachy6367
    @achyachy6367 Před 4 lety +10

    Mimi Mars is not asking questions, so why is she there ?

  • @shadismith9945
    @shadismith9945 Před 4 lety

    Kipimo Cha kumjua mtu mwenye kipaji Ni uongeaji wake
    Zuchu yupo vizuri kipaji chake🌹

  • @monde6
    @monde6 Před 4 lety +9

    Huyu anita bana.....swali moja tu lakini achukua dakika 20 kuliuliza...get straight to the point...alafu mimi mars hana maswali bana?

  • @h2n988
    @h2n988 Před 3 lety

    music is following with the new trend as long you stay with the new market you will stay top

  • @josephtula5525
    @josephtula5525 Před 4 lety +14

    Marasta uliza swali fupi msanii ajieleze mwenyewe, sio unazungukaa unatoa na majibu mwenyewe.

  • @willyjulius4907
    @willyjulius4907 Před 4 lety +5

    Good

  • @prettyinpink6699
    @prettyinpink6699 Před 4 lety +2

    Zuchu umeongea , umejibu maswali, na ulivyojiweka Kwenye maongezi yote ni very very Professional. Imekua Raha Mara mia kukusikiliza.
    Mimi Mars wewe ni natural talent Kwenye maswala yote ya media. Keep up your polished image and attitude.
    Hao wengine itakua vyema mkifanya research na kujifunza na kujiandaa zaidi Kabla hamjaja Kwenye Interview. Very boring kuwasikiliza mnavyojirudia na mmeelemea sana Kwenye negative questions.

  • @hasnainbakari2123
    @hasnainbakari2123 Před 4 lety +7

    Wcb 4life

  • @rehemakapombe1282
    @rehemakapombe1282 Před 4 lety +2

    Love you zuchu a.k.a chuchu

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 Před 4 lety +3

    Zuchu aka chuchu kafanana na mamake

  • @achyachy6367
    @achyachy6367 Před 4 lety +20

    These three ladies asking Zuchu questions, are not cordinating themselves well. It's like one is putting off another, which is not right Infront of the cameras.

  • @samwelmarko6864
    @samwelmarko6864 Před 4 lety +5

    Zuchu mkalixanA 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @user-gu6zr5ip8d
    @user-gu6zr5ip8d Před 4 lety +5

    Penda sana 😚😚