Wcb they thought everything for everyone how to deal with media and Zuchu she just explain somethings wich she has in her feelings which make her explaining so easily
Nimependa jinsi zuchu anavyokuwa katika kujieleza,kwasasa mtu unatamani uendelee kumsikiliza tu.Haya ndio mabadiliko tunayoyataka.Hongera sana mdogo wangu.
Zuchu is really smart and wise for her age and experience. You can tell by her poise and diction. She has answered those questions very neatly and intelligently!! If this was a job interview I would give her a post!!
Mashallah Mashallah M.mungu akubariki sana mm ni mpenzi wa toka Maak na ww pia sasa nakupenda utakua msanii mkubwa jiheshimu tuu sana na Heshma kazi yako
It’s a really nice interview bt tungependa kumsikiliza zaid zuchu i mean maswali yenu yangekua short and interesting all in all that girl has a bright future smart and talented Allah amuongoze kwa kwel
MUHIMU: Pana mambo hayajakaa sawa. Maswali mengine ya Anitha Mwiru hatuyasikii, plus urefu wa swali na ndani ya swali kuna maswali na anaamini anasema ki ufupi. Mimi Mars pia nafeel anataka kuongea lakini ni kama hakuna hiyo nafasi. Jaribuni kubalance hasa Cynthia, show kama itaendelea kua hivi itaboa, ni kama Muuliza maswali ni Mmoja tu, basi hakukua na haja ya hao wengine. Kipindi si cha Cynthia Mzirai tu na Zuchu (hata kama ni Mtangazaji Mkuu). Naamini Wahusika mtaona na kurekebisha. Mko poa warembo wote na mmependeza sana!.
Hamtulii kwenye kuuliza kila mmoja anataka kuuliza tumsikilize nani tuache nani ...huyo mwenye marasta anauliza maswali mengi maelezo mengi kwa wakati mmoja
Zuchu umeongea , umejibu maswali, na ulivyojiweka Kwenye maongezi yote ni very very Professional. Imekua Raha Mara mia kukusikiliza. Mimi Mars wewe ni natural talent Kwenye maswala yote ya media. Keep up your polished image and attitude. Hao wengine itakua vyema mkifanya research na kujifunza na kujiandaa zaidi Kabla hamjaja Kwenye Interview. Very boring kuwasikiliza mnavyojirudia na mmeelemea sana Kwenye negative questions.
These three ladies asking Zuchu questions, are not cordinating themselves well. It's like one is putting off another, which is not right Infront of the cameras.
Zuchu is just 3 months old in music but she speaks like a legend!👌🔥😘
Such a 👑 Queen!
True
@@mwinyihajihamadi6771 😘
Wcb they thought everything for everyone how to deal with media and Zuchu she just explain somethings wich she has in her feelings which make her explaining so easily
Fact💥
I knoooooow
Wanawake mkisoma mnakua poa sana, I love it .. ...
Kuna tofauti kati ya msomi, na anaejua kuongea kingereza.....
😹
Nimependa jinsi zuchu anavyokuwa katika kujieleza,kwasasa mtu unatamani uendelee kumsikiliza tu.Haya ndio mabadiliko tunayoyataka.Hongera sana mdogo wangu.
WCB wamemkuza vzr
Kwa kweli
@@zenamadhan2517 ni kweli aisee
Zuchu is really smart and wise for her age and experience. You can tell by her poise and diction. She has answered those questions very neatly and intelligently!! If this was a job interview I would give her a post!!
Is she not 28?
Instablaster
Zuchu amekuja wakati na muda sahihi kabisa kwa lebo ya wcb...Yuko brightly... Hongera sana Zuhura.
Zuchu amejibu vizuri sana ❤ from Norway 🇧🇻🇧🇻🇧🇻🇧🇻
Mimi Mars we ni mzuri sanaaaa 👌❤❤❤❤❤ MashaAllah
Actually zuchu ww mzur na ongeza bidii kwenye kazi zako allah ataku bless inshallah
Nimeona kama zuchu ameimprove sanaa kwenye uongeaji wake na ujibuji maswali big up zuchu
Zuchu your so pretty and very smart.... Tanzania is blessed to have you CHUCHU..🙏
Loh!Zuchu you love God! Now I love you even more! I am a hundred percent sure you can excel without substance abuse! Go, girl!
Zuchu is some such a vibe!!! Kwanza the way she praises her mom ... woow
Mtoto yupo vizurii sana huyu kichwa kipo sawa hapa Mzee baba dai hajachemka all the best Mashallah 💖 🙌
Zuchu aka chuchu we mkali sana bwana tuache unafki zuchu unajua sana kuimba
Huyu dada yake vanesa ni mzuri mashallah 💖
Mdogo ake co dada
@@speriasmohamed5604 ooooohh mdogo wake ok 🤞jicho langu lote liko kwa huyu mdada🤣🤣🤣
@@speriasmohamed5604 kwani mdogo sio Dada yake mdogo??
@@fatushabdi2786 kabisa ni mzuri kinyama kwanza nilifikiri Vanessa Ila nikakosa kale kadude flani kwenye puwa
@@officialmrtop1018 hahhaahahhah eeehh haha🤞
Kwanza niwape hongera nyote mmependeza sana yani mashallah
.... pili?🙊
Maashaallah Zuchu nice replying
Wcb 4life ✌❤ Utafika mbali inshaAllah🙏
Zuchu for life ❤
We jama kilapeji ya wasafi upo nakuona
@@shazimohamed7474 🤣🤣
Ahahhaha for life
Zuchu is the smartest artist anajieleza Sana
Kipindi kizuri sana... Hongeren.. Ila urefu wa maswali jaman pungutheni jaman
Trending Show now has become an English based show on Wasafi Media. I love these ladies.
Salaam aleykum my classmate Mr Hassan umande from Lutula Ismail 🇺🇸
.
@@lutulalihim1585 Walaika Salaam, hope you're doing well in the land of Mr Biden
Duuuu ...this girl is ❤💕💕💕💓brilliant
Mashallah Mashallah M.mungu akubariki sana mm ni mpenzi wa toka Maak na ww pia sasa nakupenda utakua msanii mkubwa jiheshimu tuu sana na Heshma kazi yako
Naomba kujua anita anauliza swali au nini 😂😂😂😂😂....swali refu kama uzi jamani mie ningesinzia...
Usitake nichekee hata mm nmeshangaa 😂😂😂😂😂
Na hapo Anita Ana toa jicho 🤣🤣alf mbna hakunaga Anita waivoooo😂😂
Na kamalizia na INSHORT 😂😂😂😂😂😂😂😂😂🖐🏻
Mum is the best performer ,that I agree 100 percent.yaani I looooooove Your mum...Alafu brother pia alikuwa fire....alipofariki nililia sana...
😭😭😭😭
Alikua anaitwa nani
Your the best zuchu 😘😘
Zuchu is great! I live in the US but I enjoy listening to her music on my way to work. Great job
It’s a really nice interview bt tungependa kumsikiliza zaid zuchu i mean maswali yenu yangekua short and interesting all in all that girl has a bright future smart and talented Allah amuongoze kwa kwel
Yupo polite sana,stay humble like that forever n u'll be the next big thing
Anita can be stoned face at times but she's so pretty
You ladies are wonderful
MUHIMU:
Pana mambo hayajakaa sawa.
Maswali mengine ya Anitha Mwiru hatuyasikii, plus urefu wa swali na ndani ya swali kuna maswali na anaamini anasema ki ufupi.
Mimi Mars pia nafeel anataka kuongea lakini ni kama hakuna hiyo nafasi.
Jaribuni kubalance hasa Cynthia, show kama itaendelea kua hivi itaboa, ni kama Muuliza maswali ni Mmoja tu, basi hakukua na haja ya hao wengine.
Kipindi si cha Cynthia Mzirai tu na Zuchu (hata kama ni Mtangazaji Mkuu).
Naamini Wahusika mtaona na kurekebisha.
Mko poa warembo wote na mmependeza sana!.
Wako sehemu nne tofauti ndo maana ni ngumu kupeana nafasi ya kuongea,wanatumia Bluetooth
She is very bright 🔥
zuchu u r very intelligent the way u answer your question .
Learned gal, you're wise, I love you😍
She is so humble😍😍
Mashaallah cap going my zuchu 😍
dah! xaf xna mmetixha xnaa zuchu mung akuongoz dada🤲
Am inspired by u bby u r to good may god bless u will support u alwys kwel unsthili ulchpta
She’s Smart🥰
Nice interview you guys you rock it
Noted mzee baba 😂😂😂😂😂
Zuchu doesn't want to kill her mom before her death,which is very right indeed.Kip going gyal love you❤️❤️
Wanawake wa tz wazur jamn, hawa wadada wamependeza sana😍😍😍😍😍
Gonga like kwa CHUCHU akee🙄
Nmeona had kipindi kifup jaman zuu unajibu vizur
Big up zuchu
Hv mnaona smile la Mimi Mars she's impressed with zuchu
Guys we need an English interview🥺 Zuchu has a huge fan base now and not everyone speaks Swahili or at least put Subtitles😭
Ww dada uliesuka kidungushi umependeza wafanana Na dada zari mzuri mashallah
Ni marafiki pia
.
Zuchu unavyojibu unaonekana una uzoefu wa muziki kuliko hao wanaokuuliza na walifikiri hujui kiingereza
Wameymbuka shu😂👌
Uko Good sana zuchu kaza Buti my utafika unapopafikilia siku moja🎶
A nice interview girls, cute Zuchu stay blessed.
Anajua San kujielezea mtt zuch
mungu azidi kukutangulia zuchu
Mimi mars amekaa kuzungusha nywele tuu hayupo actve anasubiri acheke anywey i love mimi mars she is beautiful
I love how Zuchu talks kiswahili
*KAMA UNAMPENDA **#ZUCHU** ACHIA LIKE YAKO*
Jaman mdada mwenye Rasta una accent nzuriii kinge kizurii
Nilizani ni mimi tuu namskia Safi sana💯💯💯
Nakupenda zuchu Ishaallah utatimiza ndoto zako my
Kiukweli Zuchu unakuja moto sana yaani ninaimani utakuwq bad girl wa afrika na duniani
kbsAh
💣💣💣
Hatareeeeee saana huyu dada ChuChu........
Interview nzuri, ila swali linakua ndefu saaana , yani wanauliza swali lenye kilometaaa🤔🤔
Mwenzie anataka ajibu inshort Ila yy swali leeef
She's my role model
Safii Zuchu. Umeshinda kijana
nimependa sana hiki kipindi. ninyi wadada ni warembo sana na mnapendeza mno kutizamwa
Corona interview style😂💖
Nice shows
Huyu mdada wa upande wa kushoto ana maswali ya kisomi Sana ❤️ Rasta za juu
Zuchu umeongea points
The lady in braids ask's very long question and it messes the interview she must try and shorten her questions... Just my point of view
You are Wright
Then she finishes by saying 'in short' lol
Zuchu you are i con kwa wasanii wakike good luck
No hate but ah ah the lady in braids she is not asking a question goodness pressure I would loose the answer that’s an opinion not a question aiboo
waooooooooooo rah zuch 😍😍😍😘😘😘😘😘
Hamtulii kwenye kuuliza kila mmoja anataka kuuliza tumsikilize nani tuache nani ...huyo mwenye marasta anauliza maswali mengi maelezo mengi kwa wakati mmoja
Kipindi kizuri sana ila Anitha anauliza swali alf anaweka maelezo marefu mpk swali linakuwa halieleweki, anatakiwa aulize swali lililonyooka ili mgeni aelewe.
Zuchu kama Zuchu✌
Kabisa Vanessa uko vzr nakupenda sana unajua kbs
Siyo Vanessa ni mdogo wake
Kumbe nilijua Vanessa asee ni wazuri mashallah
Penda Sana zuchu 😍😍
Point of correction zuchuu it's I av so many people to thank not to thank you
Sorry I mean no offense I love you it was just a clarification
And my mum is the best performer
One thing I'am afraid of..
please Zuchuu correct here too ***with love💕
Good point my dear chuchu#zuchu
Kila la kheri zuchu wangu
Hiki kipindi kitamuu
Zuchu be natural Usitumie kilevi chochote Hapo ulipo upo pazuri Na unaendelea vizuri Chochote unachotaka fanya with open'heart
Nice interview very intelligent ladies 🎉🎉🎉🎉🎉
Anita is so eloquent love it!
Huyu wa you know😂😂😂 af badae anasema inshort..🏃🏃🏃
😂😂
:-) :-)
Mhhh kumbe kazuchu anaongea🤔🤔
Mimi Mars is not asking questions, so why is she there ?
To listen
Kipimo Cha kumjua mtu mwenye kipaji Ni uongeaji wake
Zuchu yupo vizuri kipaji chake🌹
Huyu anita bana.....swali moja tu lakini achukua dakika 20 kuliuliza...get straight to the point...alafu mimi mars hana maswali bana?
music is following with the new trend as long you stay with the new market you will stay top
Marasta uliza swali fupi msanii ajieleze mwenyewe, sio unazungukaa unatoa na majibu mwenyewe.
Exactly
So truee
@@neziandanghez7406enghs&
Yani km yy ndo anahojiwa
Hadi swali linasahaulika
Good
Zuchu umeongea , umejibu maswali, na ulivyojiweka Kwenye maongezi yote ni very very Professional. Imekua Raha Mara mia kukusikiliza.
Mimi Mars wewe ni natural talent Kwenye maswala yote ya media. Keep up your polished image and attitude.
Hao wengine itakua vyema mkifanya research na kujifunza na kujiandaa zaidi Kabla hamjaja Kwenye Interview. Very boring kuwasikiliza mnavyojirudia na mmeelemea sana Kwenye negative questions.
Wcb 4life
Love you zuchu a.k.a chuchu
Zuchu aka chuchu kafanana na mamake
These three ladies asking Zuchu questions, are not cordinating themselves well. It's like one is putting off another, which is not right Infront of the cameras.
True plus one of them is like giving her a lecture and not asking her questions
Waswahili ndivo tulivo haswa wanawake
Zuchu mkalixanA 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Penda sana 😚😚