MAISHA HALISI ya WAMASAI WANAOISHI NDANI YA HIFADHI ya NGORONGORO, WENYEWE WAKUBALIANA NA SERIKALI..

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • MAISHA HALISI ya WAMASAI WANAOISHI NDANI YA HIFADHI ya NGORONGORO, WENYEWE WAKUBALIANA NA SERIKALI..
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Komentáře • 41

  • @zacharyyesaya
    @zacharyyesaya Před 2 lety +1

    Mama hongera umezaa watoto 12!! Umetisha sana kwani siku hizi hats watoto 3 in shida.Mama hama tu we ni mbarikiwa.Karibu handeni a in kuzuri sana na wapo wamasai wengi sana na pengine ni ndugu zako.

  • @piuspanga864
    @piuspanga864 Před 2 lety +1

    Hongera sana,Pisha tembo wakae kwao kwa AMANI

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 Před 2 lety

    Ewemwenyezi mungu tuepushe nahawa wanao tia fitna tanzania mungu uwajalie pia wenye nia mbaya na hii inchi ya tanzania na hakuna mwingine nihao wanao jifanya kuwa wao ndio wamesoma Kuliko wenzao na ndio hao wanao fanya ufitina na ndio hao hawako inchini tanzania mungu wajalie nania yao mbaya iwarudie wenyewe inshallah yaarabi

  • @kiratz3699
    @kiratz3699 Před 2 lety +1

    VIDEO HII NI KUANZIA MIAKA 18+ TU NA KUENDELEA TAFADHALINI JAMANI 👉👉 czcams.com/video/gjbFidef1MI/video.html

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 Před 2 lety

      Wasafi media, ujenzi wa makazi ya Wamasai Handeni unaendeleaje? Nyumba zimekamilika, huduma za jamii zipo? Maji, shule, kituo cha afya, barabara, soko, kituo cha polisi ? Mtutafutie habari hiyo! Asante!

    • @maadigitalpro
      @maadigitalpro Před 2 lety

      Duh Luka Tiamasi.

    • @rubenlengai7195
      @rubenlengai7195 Před 2 lety

      Hawa siyo wamasai

  • @blackchance69
    @blackchance69 Před 2 lety

    Wasafi os the best from FRANCE 🇫🇷 LYON

  • @loomoniolesasi6123
    @loomoniolesasi6123 Před 2 lety +1

    Nyie bana siyo wamasai wa ngorongoro, Kwa mfano huyo mama ni mzaliwa wa monduli tumbo moja na olekisongo

  • @luthermartin1098
    @luthermartin1098 Před 2 lety

    Sasa wanaokubali kuhama wanataka waendelee kutunzwa baadae walikiwa huko?

  • @izamahmasaki4795
    @izamahmasaki4795 Před 2 dny

    Wamasai wamewekewa Sheria nyingi hifadhini ili TU wakate tamaa ya kukaa pale wanunue waarabu na wazungu ,,, hebu siku Moja aje rais mzalendo aulize mikataba Yao ya kuwekeza uone aibu pia wanatumia fedha kurubuni wachache hasa Viongozi akiwemo wabunge hata wake wamasai

  • @izamahmasaki4795
    @izamahmasaki4795 Před 2 dny

    Baadhi ya Masai hawajui chochote wanafuata mkumbo na wamerubuniwatu

  • @juliusndossa201
    @juliusndossa201 Před 2 lety +1

    Hawa siyo, lafudhi siyo. Watakuwa wameigizwa. Kazi ipo .

  • @maadigitalpro
    @maadigitalpro Před 2 lety

    Mama tunasikia ni mzaliwa wa Monduli

  • @benjaminlijongwa3715
    @benjaminlijongwa3715 Před 2 lety

    NATAMANI SANA KUJUA NIA YA SERIKALI KAMA NI NJEMA AU LA
    NA NIA YA WANAOGOMA KAMA NI NJEMA AU LA

  • @bethkatunx7677
    @bethkatunx7677 Před 2 lety

    Mwanadamu anapokuwa na sula mbili anatia kizunguzungu

  • @stephanominja8927
    @stephanominja8927 Před 2 lety

    Kumbe mko hifadhini 🤔🤔. Ila mtaathirika kusaikolojia,, ila mungu awateteee

  • @dicksonsheja251
    @dicksonsheja251 Před 2 lety +1

    Mmasai gani huyo kazaliwa London,, Masai kavaa hereni massikio ya kichaga!!! Msifanye maigizo kwenye maisha ya watu.

  • @kiletoolepurko6902
    @kiletoolepurko6902 Před 11 měsíci

    Kuzaliwa endulen hakukuzui kuwa msaliti... pia huyu n mkikuyu aliyezamia masain kusaka fursa

  • @lekishonmolele1921
    @lekishonmolele1921 Před 2 lety +1

    Hawa ni wachaga wanaotafuta pesa lakini watu wajue kwamba bora utu kuliko pesa sikusote ndugu sangu wtz

  • @user-sw1dv1iq6h
    @user-sw1dv1iq6h Před 11 měsíci

    Mmeshahongwa ninyi😅😅

  • @maadigitalpro
    @maadigitalpro Před 2 lety

    Huyu anatafuta kiki ya utajiri kwa kuuza majumba ya kifahari aliyojenga kwa kibali cha hifadhi. Huyu kwa sababu alipewa vibali HALALI vya kujenga aachwe asifiwe, abaki.

  • @luthermartin1098
    @luthermartin1098 Před 2 lety

    Hao sio masai ,inamaana hawakujua kujitegea huko nyuma kama kweli bac popote inapotakiwa mtanzania kuhamishwa bac mtujengeee, mbona hamuwajengei mnaowahamisha mabondeni kuepusha majanga ya mafuriko?

  • @khadijakdj8640
    @khadijakdj8640 Před 2 lety

    Mnachukua wa Masai feki kuwaoji hawa Wamasai originally wanalia uko jamani kila mtu atabeba mzigo wa dhambi zake

  • @yohanajulias142
    @yohanajulias142 Před 2 lety

    We Masai ni fala sanaa mjinga wewe kwani wewe unaishi wapiii ended mwenyeweee

  • @kambisaidi6952
    @kambisaidi6952 Před 2 lety

    .

  • @samwelilaizer661
    @samwelilaizer661 Před 2 lety

    Wewe mmasai ni msaliti Kama mama Samia suluh

  • @lekishonmolele1921
    @lekishonmolele1921 Před 2 lety

    Banaee hawa watu wamelipwa wafanye kufumba serikali macho

  • @lukasolemoson9253
    @lukasolemoson9253 Před 2 lety

    Hawa ni waigizaji tu

  • @osodowilberforce2321
    @osodowilberforce2321 Před 2 lety

    Propaganda.

  • @lomayanikamete5103
    @lomayanikamete5103 Před 2 lety

    Mnatavuta kiki siyo kwanjia hiyo

  • @olosokwaniolosokwani4800

    Wewe nimswaili tuu

  • @lazarokidiri4536
    @lazarokidiri4536 Před 2 lety

    Hawo ni wahamiaji nendeni tu

  • @yohanajulias142
    @yohanajulias142 Před 2 lety

    We mama na wewe Wacha huyo temboo akukulee mjingaa

  • @petermboje5839
    @petermboje5839 Před 2 lety

    Mnaacha majumba mazuri mnaanza kutangatanga

  • @ligwalambakondeo5199
    @ligwalambakondeo5199 Před 2 lety

    Tusubiri mvua inyeshe, ili tuone panapovuja.

  • @piusprospa8832
    @piusprospa8832 Před 2 lety

    Wanafiki nyinyi hamna lolote

  • @duweetherapytalk4656
    @duweetherapytalk4656 Před 2 lety

    Pumbavu