MAISHA HALISI ya WAMASAI WANAOISHI NDANI YA HIFADHI ya NGORONGORO, WENYEWE WAKUBALIANA NA SERIKALI..
Vložit
- čas přidán 25. 08. 2024
- MAISHA HALISI ya WAMASAI WANAOISHI NDANI YA HIFADHI ya NGORONGORO, WENYEWE WAKUBALIANA NA SERIKALI..
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Mama hongera umezaa watoto 12!! Umetisha sana kwani siku hizi hats watoto 3 in shida.Mama hama tu we ni mbarikiwa.Karibu handeni a in kuzuri sana na wapo wamasai wengi sana na pengine ni ndugu zako.
Hongera sana,Pisha tembo wakae kwao kwa AMANI
Ewemwenyezi mungu tuepushe nahawa wanao tia fitna tanzania mungu uwajalie pia wenye nia mbaya na hii inchi ya tanzania na hakuna mwingine nihao wanao jifanya kuwa wao ndio wamesoma Kuliko wenzao na ndio hao wanao fanya ufitina na ndio hao hawako inchini tanzania mungu wajalie nania yao mbaya iwarudie wenyewe inshallah yaarabi
VIDEO HII NI KUANZIA MIAKA 18+ TU NA KUENDELEA TAFADHALINI JAMANI 👉👉 czcams.com/video/gjbFidef1MI/video.html
Wasafi media, ujenzi wa makazi ya Wamasai Handeni unaendeleaje? Nyumba zimekamilika, huduma za jamii zipo? Maji, shule, kituo cha afya, barabara, soko, kituo cha polisi ? Mtutafutie habari hiyo! Asante!
Duh Luka Tiamasi.
Hawa siyo wamasai
Wasafi os the best from FRANCE 🇫🇷 LYON
Chance sorry my friend upo France sehemu gn me nipo masille
Nyie bana siyo wamasai wa ngorongoro, Kwa mfano huyo mama ni mzaliwa wa monduli tumbo moja na olekisongo
Sasa wanaokubali kuhama wanataka waendelee kutunzwa baadae walikiwa huko?
Wamasai wamewekewa Sheria nyingi hifadhini ili TU wakate tamaa ya kukaa pale wanunue waarabu na wazungu ,,, hebu siku Moja aje rais mzalendo aulize mikataba Yao ya kuwekeza uone aibu pia wanatumia fedha kurubuni wachache hasa Viongozi akiwemo wabunge hata wake wamasai
Baadhi ya Masai hawajui chochote wanafuata mkumbo na wamerubuniwatu
Hawa siyo, lafudhi siyo. Watakuwa wameigizwa. Kazi ipo .
Mama tunasikia ni mzaliwa wa Monduli
NATAMANI SANA KUJUA NIA YA SERIKALI KAMA NI NJEMA AU LA
NA NIA YA WANAOGOMA KAMA NI NJEMA AU LA
Mwanadamu anapokuwa na sula mbili anatia kizunguzungu
Kumbe mko hifadhini 🤔🤔. Ila mtaathirika kusaikolojia,, ila mungu awateteee
Mmasai gani huyo kazaliwa London,, Masai kavaa hereni massikio ya kichaga!!! Msifanye maigizo kwenye maisha ya watu.
Sio masai hao
Kuzaliwa endulen hakukuzui kuwa msaliti... pia huyu n mkikuyu aliyezamia masain kusaka fursa
Hawa ni wachaga wanaotafuta pesa lakini watu wajue kwamba bora utu kuliko pesa sikusote ndugu sangu wtz
Mmeshahongwa ninyi😅😅
Huyu anatafuta kiki ya utajiri kwa kuuza majumba ya kifahari aliyojenga kwa kibali cha hifadhi. Huyu kwa sababu alipewa vibali HALALI vya kujenga aachwe asifiwe, abaki.
Hao sio masai ,inamaana hawakujua kujitegea huko nyuma kama kweli bac popote inapotakiwa mtanzania kuhamishwa bac mtujengeee, mbona hamuwajengei mnaowahamisha mabondeni kuepusha majanga ya mafuriko?
Mnachukua wa Masai feki kuwaoji hawa Wamasai originally wanalia uko jamani kila mtu atabeba mzigo wa dhambi zake
We Masai ni fala sanaa mjinga wewe kwani wewe unaishi wapiii ended mwenyeweee
.
Wewe mmasai ni msaliti Kama mama Samia suluh
Banaee hawa watu wamelipwa wafanye kufumba serikali macho
Hawa ni waigizaji tu
Propaganda.
Mnatavuta kiki siyo kwanjia hiyo
Wewe nimswaili tuu
Hawo ni wahamiaji nendeni tu
We mama na wewe Wacha huyo temboo akukulee mjingaa
Mnaacha majumba mazuri mnaanza kutangatanga
Tusubiri mvua inyeshe, ili tuone panapovuja.
Wanafiki nyinyi hamna lolote
Pumbavu