Pole kwa wafikiwa poleni sana MUNGU awape subra katika kipindi hiki kigumu. Pili ni ujumbe kwa mzungumzaji huyu...mwili ambao lazima uchunguzwe kiserikali kisha baada ya hapo ndipo muhus8ak anapewa mwili. Tatu kuita mwanaadamu mwenzio MUNGU jambo hili si jema. Mwisho tuacheni kutumika hovyohovyo ifikie kiwango tutumie akili zetu wenyewe.
Pole kwa wafikiwa poleni sana MUNGU awape subra katika kipindi hiki kigumu.
Pili ni ujumbe kwa mzungumzaji huyu...mwili ambao lazima uchunguzwe kiserikali kisha baada ya hapo ndipo muhus8ak anapewa mwili.
Tatu kuita mwanaadamu mwenzio MUNGU jambo hili si jema.
Mwisho tuacheni kutumika hovyohovyo ifikie kiwango tutumie akili zetu wenyewe.
❤❤❤❤😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢