Wakadinali X SirBwoy "Geri Inengi" (Official Music Video)|REACTION
Vložit
- čas přidán 12. 11. 2021
- 👕 Thank you for making these reaction videos possible by supporting my clothing brand, JUST GO 🌎: van-isikaka.creator-spring.com/ Wakadinali X SirBwoy "Geri Inengi" (Official Music Video)
• Wakadinali - "Geri Ine...
#GERIINENGI #EXPOSED #MungasRevenge
𝙏𝙝𝙖𝙣𝙠 𝙔𝙤𝙪 𝙁𝙤𝙧 𝙒𝙖𝙩𝙘𝙝𝙞𝙣𝙜!
🚩 Remember to subscribe and hit the bell "🔔" icon, so you don't miss out of the crazy vibes reaction.
Thank you for stopping by 😎 Welcome to #Vanisikaka🔥🔥 Swahili reactions , VanVlog and good series that happen weekly 🤘🏽🤘🏽
For branding/ sponsors or any artist that want me to react to their music email me at Vanisikaka@gmail.com 🤘🏽🤘🏽
#Vanisikaka #YouKnowWhaat #SwahiliReaction #Unyamwezi
Support me on
Donate PayPal: www.paypal.com/cgi-bin/webscr...
Donate Gofundme: www.gofundme.com/manage/donat...
Join this channel to get access to perks:
/ @vanisikaka
Social media
Facebook: / van.isikaka
Instagram: vanisikaka...
Tiktok: Vanisikaka
Copyright Disclaimer Under Section 107 of the copyright Act 1976, allowance is made for “fair use” for purposes such as criticism, commenting, news, reporting, teaching, scholarship, and research. Fair use is a use permitted by copyright statue that might otherwise be infringing. Non profit, educational or personal use tips the balance in favor of fair use* ALL RIGHTS BELONG TO THEIR RESPECTIVE OWNERS - Hudba
[Hook: Sir Bwoy]
Cheki fala amekam na amezubaa
Na anacheki ati Subaru ya mambaru
Imekam na imejaa
Subaru ya mambaru imekam na imejaa
Subaru ya mambaru imekam na imejaa
Cheki fala amekam na amezubaa
Na anacheki ati Subaru ya mambaru
Imekam na imejaa
Subaru ya mambaru imekam na imejaa
Subaru ya mambaru imekam na imejaa
[Bridge: Domani Munga]
Alikam na kinini? kiturutututu!
Kam na kinini? Kibugudugudu!
Kam na kinini? Ki Sh! Sh!
Ki Hmm Hmm! Ki Ha! Ha!
Alikam na kinini? kiturutututu!
Kam na kinini? Kibugudugudu!
Kam na kinini? Ki Sh! Sh!
Ki Hmm Hmm! Ki Ha! Ha!
Na imejaa!
[Verse 1: Domani]
Kibugudugudu! my guy hii si toy
Ziwa Hurush na mi najienjoy
Tuliwabumbrush H-Kiamaiko
Buruklyn na mi si boyz
Sina jongo sina form sina cheda
Bila mbesha still machaji walichuna
Ngeus una matress kwako sema form
Munga mjinga niko zone
Past curfew magiza niko biz
Smady Tings alikujia magiz giz
I’m sorry ilidim, am sorry nimediiim
I’m sorry ilidim, am sorry imedim
Am sorry ah! ah! aiii!
[Verse 2: Sir Bwoy]
Subaru inakam na mambaru wamekrome
Zaidi ya mzinga na zile vitu wrong
Munga, Sirbwoy hepa chuom na imepong
Digitali jaba kali shikisha na Dosh
Maisha posh na maombre wa pale ni ka nankosh
Taxin na magego za ogoro
Zinawaka shinda torch za magwoch
Idhaa ni mbaya lola mbota, lola watch
Yeah, yeah
Kwa hii darasa mi ndio teacher, mi ndio coach
Zimewaka, zimeliet, zimemuoch
Mbara ya gatheshe, hatuna kasheshe
Maybe tukuthiokore na tukufanyange patient
Boom boom, yeah yeah yeah yeah yeah
Boom!
[Hook: Sir Bwoy]
Cheki fala amekam na amezubaa
Na anacheki ati Subaru ya mambaru
Imekam na imejaa
Subaru ya mambaru imekam na imejaa
Subaru ya mambaru imekam na imejaa
Cheki fala amekam na amezubaa
Na anacheki ati Subaru ya mambaru
Imekam na imejaa
Subaru ya mambaru imekam na imejaa
Subaru ya mambaru imekam na imejaa
[Bridge: Domani Munga]
Alikam na kinini? kiturutututu!
Kam na kinini? Kibugudugudu!
Kam na kinini? Ki Sh! Sh!
Ki Hmm Hmm! Ki Ha! Ha!
Alikam na kinini? kiturutututu!
Kam na kinini? Kibugudugudu!
Kam na kinini? Ki Sh! Sh!
Ki Hmm Hmm! Ki Ha! Ha!
Na imejaa!
[Verse 3: Sewersydaa]
Zihushika za kiwhiteboy
Akiwa maduya riomo anacock toy
Hicho kidurag isikufanye uingie kwa soil
Bro na kidurag hudungwa na rock mboi, boy
Hatuitishi ruhusa kuguza
Tunaishi nchi rahisi hutundura
Na ukisnitch juu ya clique unasundwa
Shock delete unakam kuchunguza, umbwa!
Cock de ting ka umekam kutunyuria
Finger imekwama kwa trigger unabuya
Usikam ukiwa steam ka hutaki kupanguzwa
Ni genje njege walikam kuwatuma
[Verse 4: Scar]
Uh alikam na ki-du-du-du-dum!
Kama huamini unaeza Google-um
Saa hizo jaba ni maini na kindukulu
Walifanya zote zishuke chini pungulu-pu!
Ati Scarde amechange? Haha, ati Scarde amechange..
Kwani unaexpect nini Fathe akikubless?
Ni ma pupu… ubitch nigga muanze kuvaa vest
Cheki Dosh Dosh
Hakuna haraka manze tuwapeleke mos mos
Chunga usipate baraka waseme ni wash wash
Ilifanya utoe kila kitu kwa mbosho
Ki sh! sh! kinawaka popote umoroto
Ma twa! twa! msupa wako akipewa kiboko
[Hook: Sir Bwoy]
Cheki fala amekam na amezubaa
Na anacheki ati Subaru ya mambaru
Imekam na imejaa
Subaru ya mambaru imekam na imejaa
Subaru ya mambaru imekam na imejaa
Cheki fala amekam na amezubaa
Na anacheki ati Subaru ya mambaru
Imekam na imejaa
Subaru ya mambaru imekam na imejaa
Subaru ya mambaru imekam na imejaa
[Bridge: Domani Munga]
Alikam na kinini? kiturutututu!
Kam na kinini? Kibugudugudu!
Kam na kinini? Ki Sh! Sh!
Ki Hmm Hmm! Ki Ha! Ha!
Alikam na kinini? kiturutututu!
Kam na kinini? Kibugudugudu!
Kam na kinini? Ki Sh! Sh!
Ki Hmm Hmm! Ki Ha! Ha!
Na imejaa!
Mambaru ni police wa kitengo kinachoitwa, 'flying squad ' ambao hawavaangi sare
Bumburush - torosha
Giz giz - magizani usiku
Ilidim - weed kuisha
Mambaru - polis
Chuom - njia , mpenyo
Jaba - miraa matawi
Reaction yako Kali bro💯🔥🔥
Much love from Kenya ✌️💯
Love from Burundi 🇧🇮
Hey Van. Subaru ya mambaru inamean subaru ya mapolisi. Kenyan special police use Subarus coz criminals will spot them easy if they use the GKs
Huku Kanairo masanse hutembea na Subaru. So inamaanisha makarau walikam na subaru wakiwa wengi na kidungi
🤜🤛Such a dope reaction like it🔥
skiza 4 na kambao WAKADINALI ft Sirboy
mbaru ni zile peugot 504 used by police back in the day
Mbaru ni karao ...subaru yama mbaru
You are the best reaction in Africa
sooo true
Bro you have the best reaction 💪👊👊🔥
Next react location 58 from buruklyn boyz💸🗺️🇰🇪🇰🇪
giz giz its weed and dim weed kuzima
Jaba maini ni Ile miraaa freshi na kindukulu ni bangi
Geri- gang
Inengi-Ingine
Ma mbaru ni ma CID means Directorate of criminal investigation wale wa usalama wa ndani
UMBWA
Geri inengi - ngeli ingine, ogopa kanairo mchizi😅
Geri_Gang
Inengi_Ingine
Another gang
Alicame na ki durururumdum😂😂🔥
Nairobi kuna mtaa unaitwa buruburu
Saa domain anasema ako buruburu na ako clean Yani ameoga akangara na akavalia kisawasawa
" Buru-clean na me si boy "
Yani anacheza na maneno kisawasawa
You know what..you're the best..
we sema tu umbwa iyo nyengine achana nayo😃😃
UMBWAA na capital letters 😂😂😂😂
Leo la mbota leo la watch, mbota ni saa
How did you miss UMBWA!!!!????????????????????????????????????????????????????? Sewersyda
How😂😂
Mbaru ni mapolisi🔥🔥🙌
Ku deem.. ni ku zima
Mbaru ni... askari
Giz ni rolling paper
Mpeleke na rieng...
geri inenji means group ingine....
Van. Fally ipupa ame tosha wimbo mpia « nzoto »
Fanya réaction please
Ça nous fera du bien comme d’habitude
Giz giz ni usiku
Mnyamwez 🔥🔥...uko top bros big up
its funny you also speak swahili but hakuna kitu unaelewa🤣🤣usijali lakini mi and you both.i love my kenyan music
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
nishaa view bro
Shikisha na Dosh, shikisha jaba na Domani
Nafurahi ukiulizia sheng😂😂👏🏽
Giz Giz ,inamanishaah night time
Ati unaogopa kanairo 😂😂😂🇰🇪
mambaru n kitengo maalum cha polisi kiitwacho flying squad kutoka general service unit na kwa kawaida huwa hawavai sare rasmi
Karibu 254 van
Nakubali reactions zako mkaka,kenya
React kishash ya lilmaina na ndovu kuu
Talent😎🇰🇪🇰🇪👌
"Ngeri Ingine".....
Reaction king👑👑👑 fireeeeeeeeee
Jaba maini ni miraa fresh
Geri inengi ina maanisha another gang
Sure 🔥🔥🔥
Ngeuz - dem . Form - Mpango
👸🏿👊🏿👊🏿
uta react lini wimbo wa mbuzi geng na lava lava
Geri ni "Crew" na inengi ni ingine but reversed so it is the same as geri ingine ama "another crew"
Giz giz ni giza
Buru clean na si boys😅😅
Na buruklyn na me si boys
💯💢💥
Jaba ni maini
Muguka ile safi
Mambaru ni police 🗣🗣🚨🚨🚔🚔
Mr bonivature by stamina ft T tuch
Yo bruh reaction kyene video ya tiger music kanikanyaga
Finally ukatimiza comment 🔥🔥
Giz giz ..usiku
Do slow motion TikTok challenge
Endlich 😁👌
Kindukulu ni kulombotov
Subaru ya Mambaru -Gari ya polisi- Mariamu
mbogi inamaanisha "kikosi" fulani,cha marafiki,cha walevi,cha wanasiasa na kadhalika.Bora ni watu walio na uhusiano mmoja kwa jambo fulani
Fanya moja ya Geri soweto BRO
Jaba Kali ni khat na bangi
ebu download kitu inaitwa KICHEKO NI DAWA BY KAI , uone vile wakenya hawaelewi kiswahili, utacheka hadi ulie
Mabaru ni polisi. Polisi wame kamu na wamejaa kwa subaru
Mabaru n police
Na imejaaaaa
Giz giz ni usiku yani ana sema usiku ndo shughuli za kusaka pesa
Unyamwezi
Am sorry nimedim -Shadda imezima
Polisi wa kenya skuizi wana tumia subaru kama gari zao. Sasa ndo unaskia subaru ya mambaru yani subaru ya polisi
Mabaaru meaning CID :criminal investigation department
🔥🔥🔥🔥
DOMANI🔥🔥🔥
Domani ni moto yani
Plz fanya reaction ya back it up ya nameless na wahu
Jaba ni miraaa
Jaba ni mogoka mseh
thee UMBWAAA BUANAA YOU DIDN'T GERRIT
Polisi kenya hutumia gari ya subaru na mambaru ni polisi
Mambaru ...polisi.karao.mba'ngaa
Digitally ni aina ya jaba ambayo ameshikisha na dosh(din munga)
Geri inengi means another group
Giz giz n magizani buda
kuna ngeu ni dem,kishash ts higher grade,kidura ni simu,kusundwa ni kuuliwa
Giz Giz usiku
You know what Tupe ya Chikuzee cheza Mombasa 001
Finger imekwama kwa trigger na umeogopa(buya)
Giz giz ni gizani
pliz react to yung koded
😂😂😂 sheng yetu utawezana??
mbaru - polisi
Mambaru ni ma sanse...ma polisi
Uyo ni polisi alioiba hiyo nyimbo subaru ya magwaru
😂😂😂😂😂Buru is a place in in Nairobi, giz giz is weed, I'm sorry imedim-pole imezima,Subaru ya mabaru ni Gari ya polisi, kindukulu ni weed😂😂😂, Mos Mos - pole pole
We ni fala nini ,? Giz giz ni usiku si weed ,
Gizgiz ni Usiku
Geri.... Ni mtaa
Inengi..... Ingine
We wacha kumkanganya ati Geri ni mtaa.....🤣🤣Geri ni mbogi
This reaction hahaha
Geri inengi ni another gang...inengi ni ingine na geri ni gang