Mhhh ahaa saivi watu hawafaid zamani nipo darasa la 4 2002 nyimbo zilikuaga kwenye magazet magwea ft lad jaydee kama nidemu sikiliza na nyingine nyingi saaana
Kila ninapousikiliza huu wimbo( Inamaana) huwa sichoki natamani niendelee kusikiliza muda wote! hapa walitulia sana maana wimbo ulio bora huwa hauchuji maskioni mwako tofauti na nyimbo zingine kabisa. Big up MB DOG!
Daah! Raha sana sisi was enzizo maana,,unarud hostel afu sim azitaliwi labda umwombe ticha abeep home,bas ila time ya kutoka prepo sio videdication vya ngoma kaiz kwa vikaratasi utadhan una andika essay!!!
This one of the greatest hits in Swahili land . Keep it up Mb dogg yaani kipindi nilikuwa Bongo nilikuwa na listen to this cute song every day big up from New York
Napenda albamu yako yote iliyotoka pamoja Na huu wimbo inamaana,latifa N.k I'm your number one fun I wish ungeendelea kutoa nyimbo kama hzi kiukwel nakukubali knyamaaaaa
Duh huyu jamaa fund daaa namkubali cn nawe km nawe unamkubaki like apo jini
2024 here we go again ❤❤
1
Daaah mwamba alikuwa anajua balaa,nasikiliza Ngoma hii Leo 16.01.2024
20/july/2024
Kama bado umkubali mb dog mpaka leo-2020 gonga like hapa chin twende sawa
Huyu ni fundi wa muziki
Jaamaa yangu
2022
Best song
Hajawahi kuzeeka kwangu
Ni agosti 2024 na hii ngoma imenijia gafla kichwani
Huu wimbo unanikumbusha mbali Sana......Hadi Leo 2020 Kama upo na Mimi like
Kitambo
Yan m nampenda huyu jamaaaa pamoja na songs zake zote
Huu wimbo wanikumbusha first love wangu alikua akiniimbia wakati huo ❤️❤️❤️❤️🌹✅
Napenda sana ngoma zake kile kipindi tunafukuzia madem wa get kali
Jameni mpo? Ngoma tunayo ama..20...20 fireeee
Wherever this guy is...he needs to come back. Mafans bado tupo...he needs to remix this hit
This are the legends they were nit recognised but forever they will never be forgotten big up Mb doggy man strong 💪
Full time legend may be no one know how much pain effort. For mb dog but people. Know how much mb dog hustle to be mb dog but God can do mirraracle
2024 kama na wewe unasikiliza wimbo nipe like
Nakumbuka niliwahi kuambiwa nikamlete Mzazi wangu baada ya Headmaster kuukuta huu wimbo kwenye daftari langu la Bookeeping 😅😅😅 2006🤗
Nyimbo za zama ndo nyimbo
Mhhh ahaa saivi watu hawafaid zamani nipo darasa la 4 2002 nyimbo zilikuaga kwenye magazet magwea ft lad jaydee kama nidemu sikiliza na nyingine nyingi saaana
Sweet old days ,,grew up listening to this song.....when in primary school....
Mb dog ndoo msanii wangu wa muda wote, king of malovidavi
I use 2 rember my first love in my child hood ,those time ,naipenda huu mziki unakumbusha mbali...
Sweet old days for really i used to play this song like it's mine only.....Good days 😂😂😂
2023 here we go 🔥🔥🔥 Mb Dogg those days. Where's you Mr
Gone are those days when Music was so real..😊
Wallah the way I love old bongo napenda sana sio kama hizi za nyakati zetu hata hujui wanamaanisha nini kazi kuruka ruka tu kama vyura
😂😂😂😂😂😂 ati kuruka kama vyura kwangwaru
Pls mb dogg rudi kwa game...tunakumissi sana yana
Mob luv from Kisumu,Kenya
Daaaah kuzaliwa zamani raha sana tulisikia vipaji original kabsa
Bulk hakika nyimbo zako zinanikumbusha mbali sana duu hasa namukumbuka kaka YANGU kipezi Hashim kaka nakupenda sana mb dog
Shabani Athuman Safi
2020 gonga like ya kibabe
I like bongo flava since in my child hood , I feel it and I enjoy it . Nipe like 2020
Noma sana nipo vibe na ngoma ya mb dog❤❤
Nani anaangalia 2019 Augost ?? 😘😘
Kila ninapousikiliza huu wimbo( Inamaana) huwa sichoki natamani niendelee kusikiliza muda wote! hapa walitulia sana maana wimbo ulio bora huwa hauchuji maskioni mwako tofauti na nyimbo zingine kabisa. Big up MB DOG!
Daah! Raha sana sisi was enzizo maana,,unarud hostel afu sim azitaliwi labda umwombe ticha abeep home,bas ila time ya kutoka prepo sio videdication vya ngoma kaiz kwa vikaratasi utadhan una andika essay!!!
This song gives Me unexplainable feelings❤❤
2022 still ngoma inakosha nyonyooo.🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
My favourite from all his songs😍😍👌
InstaBlaster...
This one of the greatest hits in Swahili land . Keep it up Mb dogg
yaani kipindi nilikuwa Bongo nilikuwa na listen to this cute song every day
big up from New York
Long time agooo MB dog 2020 bado inatamba Sana Kama unamkubali mb dog gonga like yako
Moja wa wimbo wa MB Dogg nauenzi sana.Uko wapi kaka tunamiss wimbo wko sana
Mbaka leo 20 December 2021 bado tunakukubali bro really i like this song
HUYU JAMAA ALIKUA BALAAA JAMANI DAAAAH ...✍
huu sasa ndo muziki,mtu huchoki kusikiliza kila kitu swaaafi
Bdo tunamkubali jaman
Daaaaah Madeeeee ulikua balaaa aiseeee
effortlessly singing..pure Genius.,nyimbo za saiv zikitoka wiki hii,wiki ijayo zishachuja.
lov u n lov ur songs keep it up haya basiii
2024 wenye tumerudi naombeni like zenu please
Hii ngoma inanikumbusha mbali sana kaka rudi bana kwenye gem
I started listening to Mb dogg man since I was about 18 yrs. Until now I listen to his songs, you the legend
Who is watching this today 26/10/2017? Hii ngoma bado inanikosha roho till today!!!!
Nice song, nice melodies. Big issue in love life is double lack of coincidence of wants
Please md doggy man come back we miss you africa yote🥰
2022 November 22 still song hit in my side🤗🤗🤗
dah jmn hii ngoma inanikumbuxha mbali xana
Tunao angalia sasa 2024❤
20th August 2019 tuko wangapi??great song from a great artist, miss you dogi man
Daah mpaka leo 2018 bado naangalia. ngoma Kali.
Hakuwahi rekodi wimbo mbaya huyu mwamba
Moja ya Ngoma ambayo Mwamba Kabisa Madee Ali Alisimama kweli kweli verse ya mana Sana.Miss TZ wakati Huo mrembo kweli kweli
one of my favorite song
Jeshi ni mmoja tu # boy from tandahimba
Miziki unaoishii Milelee ... big up brother doggy
uko wp matiasi nyarasha kondoa 1 hiyo daaa love u
duu mungu nimwema nilikua bado sijui mapenz ....adi sasa nisha zeeka atar ...naikubar hii ngoma
Msanii wangu makali wa muda wote ndo huyo
Mpk Leo jaman Mimi nadata😊
Hii ni Ngoma yangu pendwa sanaaaa
Nakukubali saaana bro hadi Leo ngoma ipo juu.
2/2/2018
Hugo jamaa unamuonaje akirudi kwenye game?
Still my best from MB dogg listening 2018 is a great song 💯✅
I love his music so much
You are not alone 😔
Tuko pamoja
Oy wazee wana 2023 naombeni lake zenu
2017 still the best,,it will take Mondi 10yrs to reach this levels
so true,,,wakati bongo ilikuwa yes
Leo 2019 naingalia👆👆🤣🤣🤣🎤🎤
Naikubali goma hatar
If u know how to love, u have to feel this song
02.2020
we used to play it during entertainment day those days at high school. great tune.
Nice
Aseee
My best from tz outer nairobi
Only the legends will undersand
Hauchuji kwasabab ya style yako.tunakushangaaa sana kuona umejipoteza na hali mziki wako bado unaishi.amka mb dog
Joel Justin Mhavile yaan mb xnaaa
huyujamaa kitambo alikiua Fresh sana
2018 and am still here😢😢😢
Esther Nicole even 2020 can't get tired of ths swt song
huwa nazikubali sana nyimbo zako mb dogg mungu akubariki
Kiukweli mm kama mm alinizingua simpendi tena,
Mpaka 2024 naendeleya kufata song za mb dog
My best song ever my g 2017❤❤❤
Napenda albamu yako yote iliyotoka pamoja Na huu wimbo inamaana,latifa N.k I'm your number one fun I wish ungeendelea kutoa nyimbo kama hzi kiukwel nakukubali knyamaaaaa
Mm napenda sana za zamami adi leo achuji 2024/2/6🎉
Dah nyimbo nzur sana
mb dog ni mkalii sanaaaaa natamani arudi tena rudi tunakuitaji
how I wish days could go back
I wish too
Let's enjoy ourselves with that song 🎶 🎧 🎤
2️⃣ 0️⃣ 2️⃣ 2️⃣
haki mb god man napenda nyimbozako zote mana nikickiliza zanipa raha sana mungu akubariki na akupe maisha marefu uzidi kutuibia
Dah yaani song zamani saiv majanga tu
Achatu mwanameku nakumbuka form two
am your number one fun n i like listening to your music so much especially because of their beats slow n nice to listen to
mh
Mb dog upo vzr sana kaka
2021 still on top living music
Uzuri wa sura yako huuu 2020 gonga like
mpaka Leo nawoch...huu ndio mziki wa kweli .....baada ya miaka bado huu wimbo utakua mzuri kuliko wa wasani wa saii🔥🔥
14 yrs down the line and still this song is a hit
You are not alone 😔
Tuko pamoja
BABU ACHANA NA HILI SONG IJAWI TENA BONGO HII
i love this song.... inamana hujuwi kama nakupenda sana!!!!!!!!!!!
Jamani sikieni nyimbo kama hzi
Upo juu kaka mb dog.nyimbo zako azichuji
Hahahahaaaa eti kifuani kama miba, hatareee sana
Noma noma fireee🔥🔥💫2018 like inahusika
nyimbo zske zote cjaona mbov hapa ndio nlimjua madee kipind hcho kidato wasumbuf school
hahahaha daah zama hairudii
mfupa maji
Inamaana ujui kaaama naangalia mpakasasa ihi ngoma
Huu Wimbo Haunichosh jaman👌👌