Hapo umecheza mkubwa fella,I salute you coz nyumba Ndio mpango mzima hongereni sana Ya moto band na mumshukuru sana mkubwa Fella kwa bidii yake na fikra nzuri kwenu
MashaaAllah ama kweli kitu ni utu...mfano mkubwa wa kuigwa watanzania ila kwa hao vijana waishi kukuheshimu daima dawama , ujenzi msingi daima sio magari , warembo na kiki kila kukicha. I salute u bro ,Mola akuongezee milele +254
Huwa nakuwaza sana mkubwa fella ukijiangalia hapa huwa unawaambia mini hao watoto(ya moto band kweli mmekuwa wanangu na kama wanawake ndio wagombanishi basi kweli walipata wanawake haswa)
hongera mkubwa fella kwa yote ambayo umetenda mola akubariki kwawema unaowatendea yamoto band na ao wenzao may the almighty god guide you on the right path .and respect fella the way you respect your dad ,God be with you ,LOVE YOU GUYS kutoka kwangu kestine
Mkubwa Fella Mungu akujaalie akuzidishie kila lenye Kheri katkamaisha yako Wallah unajitahidi kuwafanya vijana wako wawe bora, nibinadam wadogo sana wenye Moyo kama huo.🙏
Ss yule Mboso alivyosema ana mshukuru Mungu ss kapata mahal pake pa kulala nilijua alikuwa analala magetoni kumbe ana mjumba wake wa maana....au wakihama band na nyumba wananyang'anywa?celewi ni zao kabisa kabisaa walijengewa na hati zao walikabidhia au nyumba za band?
Hongera sana wazo nzuri inayounganisha
dah! leo wametengana😭
hongera sana fela we ni zaidi ya mwanaume upo vizuri ungekuwa ulaya ungeitwa mark zuga baji au bliget
Mkubwa fella rudisha yamoto banaaaa unawest vijana haoo
mungu akubariki sana baba endelea na moyoyo huwo huwo mungu atakubari mno..
Mungu asikuache fella ulipotoa uliposaidia Mungu akupe zaidi
Hata nasi tunasupport game yenu.Nasi pia Bado twajipanga baadaye tutaonyesha ustaajili.bado zogo mingi.kazi njema nyimbo zenu ustaarabu
Nyumba sio jengo tu tunahitaji hati zionyeshe
Hapo umecheza mkubwa fella,I salute you coz nyumba Ndio mpango mzima hongereni sana Ya moto band na mumshukuru sana mkubwa Fella kwa bidii yake na fikra nzuri kwenu
safi sana big fella,
nyumba ndio kuliko ungewapa pesa uwenda bdae wangekulaumu
lakn kwa nyumba hapo nmekupa 100%.hawatojuta maishan
Mkubwa Fella, wewe ni mfano wa kuigwa, sidhani kama kuna mfano wako kwa sasa, ndio maana unafanikiwa kwa Roho yako nzuri, keep it up
umeonesha njia nzuri na ajira kwa vijana
wenye uwezo kma wako wajitokeze zaidi kuinua vipaji
Mungu akuongoze daima ubarikiwe!
hakuna meneja atakaye kuwa kama wewe saidi fella uko kipekeee sanaa tanzania kaka
MashaaAllah ama kweli kitu ni utu...mfano mkubwa wa kuigwa watanzania ila kwa hao vijana waishi kukuheshimu daima dawama , ujenzi msingi daima sio magari , warembo na kiki kila kukicha. I salute u bro ,Mola akuongezee milele +254
Umefanya vzr sana Baraka yakubadisha magar kila cku wamepata cha kurithi
MASHAALLAH....BIG UP SANA MR.FELLA KWA KUFANYA IVO
respect to u mkubwa Fella! what kind of love,duhhhh
Kumbukumbu hii, endelea kumkumbuka Ruge
ubarikiwe saana mkubwa
much respect mkubwa. we lack this kind of leadership in Kenya
Huwa nakuwaza sana mkubwa fella ukijiangalia hapa huwa unawaambia mini hao watoto(ya moto band kweli mmekuwa wanangu na kama wanawake ndio wagombanishi basi kweli walipata wanawake haswa)
Duuuuuuuuu wachache xna wenye moyo kama huo...mungu akupe Maisha marefuuuuuuu Mkubwa Fela
God bless you mkubwa fella salut sana nahisi wewe ni wa Kwanza tanzania kufanya kitu kama iki kwa wasanii wako mungu akuzidishie by totoo zebingwa
safi sana mkubwa tena safi sanaaaaaaaa
U are the best Mkubwa Fella umechangia mabadiliko ubarikiwe
safi sana mkubwa fella hongeraaa
Uko vizuri mzee
MashaAllah broo uko vzur
hongera mkubwa fella kwa yote ambayo umetenda mola akubariki kwawema unaowatendea yamoto band na ao wenzao may the almighty god guide you on the right path .and respect fella the way you respect your dad ,God be with you ,LOVE YOU GUYS kutoka kwangu kestine
Nyumba,ya Kayumba ndo tunataka kuiona. Tetesi kuwa wewe na Madam Rita mmekula fuba lake la ushindi wa BSS 😎🤣🤣🤣🤣
duuuu,mkubwa nawanae kweli.salut kwako,walie dislike wataje manager kama yeye
Mkubwa Fella Mungu akujaalie akuzidishie kila lenye Kheri katkamaisha yako Wallah unajitahidi kuwafanya vijana wako wawe bora, nibinadam wadogo sana wenye Moyo kama huo.🙏
Sifa Cycy_Bby
safiii sana mkubwa fella
big father fella god bless you
Nyumba nzur
heshima kwako mzee kwa busara NA utu uliouonyesha juu ya vijana wako mungu akuzidishie
Wow I like the idea and action, I wish you a happy life in your new homes Yamoto Band
A man and a half i adore you Fella.👍n God bleSS
awesome nice nice mzee
Hongera kaka
hongera sana na uendelee na moyo huo huo was kusaidia watu
2003 au 2013 jamani bosi jamaani
Ruge aligusa kila sehemu rip ruge
Mungu azidi kukupa na azidi kukusimamia vizuri ktk kazi zako... Inshallah
Mkubwa kaka Mungu akuweke kwakweli unamchango mkubwa sana kwnye hii tasnia ya bongo flv
MASHALLAH ALLAH AKUZIDISHIE KIDOGO KIWE KIKUBWA KATIKA KUTAFUTA KWAKO MKUBWA FELLA
unamuombea dua njema katika kuwaelekeza watoto wa wengine motoni!?
big mkubwa fella
hongera kwao yamotto, ila kwel ww ni mkubwa fella og.
xafi xana broo
Mashallah Allah azidi. kukupa imanii
nieipenda hii.... one in a million...
MashaALLAH bro unauthamini sanaaaaaaaaaaaaaaaa utu wa mtu ALLAH akuzidishie una roho ya kipekeo Yaani kumfanyia mtu kitu cha maana katika maisha
Masha Allah mungu akujaalie moyo uwouwo
Mung akupe maisha marefu,una moyo saf.
hongera sana kma kweli
Upo vizur sana bro fella yaan umenigusa sana
vizuli sana sio kuwapa magalitu
Hahahahahahaa eti mark zuga baji au bliget. nimefurahi sana ahahahhaaaa
Umetisha broo dats good
Hongera
hongera mkubwa fella...
DUU UNAONGEA SANA
LAKINI
ILA HONGERA... SANA
Wow amazing house mashallah
pongezi mkubwa fella mungu akubariki
honger san mkubwa na wanae
respect mkubwa fela
Big up Sana bro
hongera sana fella
Wow so nice haki God blessing
hongera sana umefanya vizur...
Hapo ndo dawa fela nyumba1.
daaa kaka hapo sawa
Mkubwa hazoweleki na wasikuzowee ila wape maisha vijana wakifumba macho watasema pesa hawaiyoni ila wakifumbua wanabaki kushangazwa na maajabu yako
umetisha mkuu kiasi chake
hongera sana mkubwa Fella
Hongera sana Mkubwa fella
woowh your the best, Good father
duuuh kujifagilia had inaboaa sure cjawah kukukubali fella
Kwerimwendo.muzaI
asee iyo iko ppa saaanaaa
MashaAllah tabarak Allah...
hongera sana mkubwa
ALLAH atakulipa zaidi ya hayo
umesema kweli sasa hv imebaki story
wooooowo hogera sana god bless you
Kujituma nakufanya kazi kwa bidi na kuwa na eshima kwakila mtu! ndoma leo nao wanapata mafanikio
Good job man. God bless you
jaman namm naombeni kushirikishw nayamoto band ninasaut nzr ykuimb
Kubwa Fela hongera...
tunamtaka bib Cheka pia onyeshaa naye ulivomsaidiaaaa .achaaa unaa
hongera hiv ndivyoinavyotakiwa
Masha Allah hongereni
safi.sana.mkubwa.
Ss yule Mboso alivyosema ana mshukuru Mungu ss kapata mahal pake pa kulala nilijua alikuwa analala magetoni kumbe ana mjumba wake wa maana....au wakihama band na nyumba wananyang'anywa?celewi ni zao kabisa kabisaa walijengewa na hati zao walikabidhia au nyumba za band?
hongera xana
good idea, good implementation,good man
Be blessed mkubwa Fella
maa sha aallah
safi sana mkubwa fela
Hongera sana
MashaAllah..,be blessed