🔴LIVE; AUBIN KRAMO "NIMEPONA" NIMEKUJA KUFANYA KAZI "AL AHLY" NAWATAMANI SANA NIWAFUNGE
Vložit
- čas přidán 13. 03. 2024
- AUBIN KRAMO "NIMEPONA" NIMEKUJA KUFANYA KAZI "AL AHLY" NAWATAMANI SANA NIWAFUNGE
#simba
#aubinkramo
#usajilimpya
#ahmedally
#yanga
#alikamwe
#hajimanara
#tetesizausajili - Sport
Mimi ni mtanzania nipo nchini uingereza naipenda sana simba hii timu ni nzr sana
Mimi ni mtanzania lakini niko kenya nikishabikia timu yangu simba
Waon,go haw
Kusema kweli natamani sana Aubin kramo acheze ili kutupa kile wanasimba tulichotaka kutoka kwake, benchika mpe nafasi mwamba huyu plz
Huna taarifa ya ukweli
Tuambieni ukweli kuhusu Kramo maana tuna hamu ya kumuona kwenye pitch
Yaani kama hamna taarifa nyingine tulieni tu maana kila kukicha Aubin
Anapaswa kutafuta kiwango alichokuwa nacho akiwa Assec. Clabu itafute mechi nyingi za kirafiki ili kumsaidia kuonesha kiwango chake.
Hujui lutofautisha R naL
Mnazingua nyie Kila xiku maneno mengi xana lakin hamna kitu
Mpaka nimuone anacheza ndio niamini