THE MELODIOUS TZ_KUNA DHAMBI (Official Music Video)
Vložit
- čas přidán 23. 04. 2023
- Kuna dhambi gani Bwana asiyoweza isamehe? Tubu dhambi zako aku samehe...Haijalishi ni kubwa kiasi gani lakini sauti yake Bwana yatuita tutubu dhambi zetu..zijapokuwa nyekundu kama bendela atazifanya kuwa nyeupe kama sufi. Isaya 1:18
Compose/Arrangement: Dolla John
Audio&Video: WazamaniMusicStudioz
Director: VidPro
D.O.P: S.qubic
Contact: 0743410535
Email: themelodioustz@gmail.com
#kenya #religion #sdasongs #sda #gospelmusic
Bwana wa Mbingunii azidii kuwaweka katika viwangoo vya juu zaidii kwa kwelii ni wasaa watoba🙏
Huu Wimbo Mkali Sana Aiaeee, Unatuhamasisha kutubu dhambi zetu, hakika unatutia Moyo Sana hata kama Dhambi zetu Ni Nyingi ila Huyo Dada alivyosolo Ametisha Aiseee, Mpeni pongezi zangu
Barikiwa Sana
Huu wimbo umenigusa barikiweni sanaa
Amina barikiwa
Amina Saaanaaa ❤❤❤❤❤❤❤
MUNGU na awabariki na kazi yake kupitia uimbaji wenu ikuzwe ndani yenu
Sagala ubarikiwe
Hakika kaka dollah una idea Kali kama za mtu flani hivi hongera kaka mpole dollah
Amina wapedwa wangu kwa ujumbe huu
Bonge la wimbo..hongereni sana
Muziki Hd 🔥🔥🔥
Si ndio prooo
Amen
MBARIKIWE sanaa
BWANA ANAZIDI KUTENDA MEMA KWELI KWELI.
Ni kweli na hakika
Mbarikiwe mnoooo
Amen. Good work. This is where you belong @ Dola
Nice project, its touching and the cool one ❤
safi sana VIJANA❤
Mungu azidi kuwainua katika viwango vya juu kabisa. Mbarikiwe sana, wimbo mzuri.
Ubalikiwe sana
Be blessed 🙏
Amen amen
Be blessed 🙏❣️
Amina Bwana awabariki kwa ujumbe mzuri
Nani kawa wa kwanza ku-comment
🔥
Mungu alishareply wa kwanz ....maana sio kwa ujumbe makini hivi🔥🔥🔥
Mungu anatukuzwa Sana . Mbarikiwe mnoo
THE MELODIOUS TZ. 😊😊
Tubarikiweni kwa jina la Yesu
💥🔥🔥💯
Mbarikiwe kwa ujumbe mzur😊
Eimen
Amen
🔥🔥🔥 mnanibariki sana nyie jamaa
Amen Pk
Mkuuu barikiwen asee🙌🙌
Amen amen
Mbarikiwe sanaa watu wa Mungu ....ngojaa niwahi kujaa kuziosha😪😪😪😪 maana naonaa zinaanza kiwa za nyekundu mkolezo
😂😂😂😂😂😂 Barikiwa kaka
Barikiwa sana .:: Nahitaji kuimba na nyie
God bless you Guys 🙏🔥
Amen mwl
Congrats dear you made it fantastic keep on going ❤❤❤❤
Amen
🙏🙏🙏
Barikiwa sana kwa ujumbe mzuri watu wa BABA
Amen
BARIKIWENI SANA THE MELODIOUS TZ,
NAWAONA MBALI SANA
🔥🔥
Babha neyoo
Your work keeps getting better and better
Mungu awabariki kwa kazi nzuri
The song has everything that a quality song should have plus ujumbe makini
Keep up the Good work
Can't wait for the next project 🔥🔥🔥🔥
Amen God bless you abundantly
Be blessed brethren 🥺🙌
God bless you guys and my c* Butone work hard dear
Thanks all
👏👏👏
Mbarikiwa sana waimbaji wote pamoja na Waandaji wa hii kazi kuanzia Audio na video, Kazi ni Nzuri Mno🙌🙌
Amina
Amen barikiwa kka
May the Joy of GOD be with you Guys 🙏
Amen
May the heaven father bless you abundantly for what you teach the world through art of music
Amen amen
Amina wapedwa wangu kwa ujumbe huu
Mbarikiwe mnoooo
Amina
Amen
Mbarikiwe sanaaa