UZINDUZI WA NYUMBA YA ASKOFU WA MAFINGA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • Karibuni sana katika Channeli hii inayomilikiwa na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania {TEC}ikiwa ni moja ya chombo cha Uinjilishaji kwa njia ya Sauti na Video.Pia unaweza kutufuatilia kupitia mitandao yetu ya kijamii kama ifuatavyo.
    INSTAGRAM: / kanisa_katolikitz
    FACEBOOK: / barazamaaskofukatolikitz
    Whatsup: 0738 916 628...KANISA KATOLIKI TANZANIA
    Usisahau Kusubscribe,like na kushare maudhui yetu...

Komentáře • 2

  • @daudimanini7462
    @daudimanini7462 Před 5 měsíci +1

    tumsifu yesu kristo wanairinga wote! naona Mafinga kumekucha! bwana ametamaraki!
    mbarikiwe sana, na bwana awainue kwa viwango vya juu zaidi kwa kadiri ya mapenzi yake!
    kweli kazi mmeifanya, sisi tunaoiona kwa macho.......tunampa Mungu utukufu! na sisi majimbo mengine tuige huo mfano wenu mwema!
    kazi iliyo mbele yetu ni kumpa ushirikiano wa kiroho na kimwili huyo kuhani wetu mteule na mwema!
    Askofu Ngalalekumtwa endelea kumfunda kijana wako huyo ili azidi kung'aa kwenye utume akifuata nyayo zako baba!
    amina

  • @blancakessy7728
    @blancakessy7728 Před 5 měsíci +1

    Kazi ya bwana imemalizika askofu akaishi kwa furaha nyumbani kwake