Komentáře •

  • @hasnanassoro7142
    @hasnanassoro7142 Před 6 měsíci +6

    Manshaallah ata km ni mtumbw ,amewapa laha wenzie,Allah akubaliki

  • @RehemaMasunga-ml7kt
    @RehemaMasunga-ml7kt Před 6 měsíci +7

    Hakuna kilichoharibika kitu cha msingi shilole ana upendo na ana upendo kweli na anajua kujitoa na ni kitu ambacho wengi hawawezi kukifanya sasa iwe ni yachi au sio yachi ndio kafanya sasa apewe sifa zake

  • @user-sr9km3nk7r
    @user-sr9km3nk7r Před 6 měsíci +4

    Hongera sana dada shilole kwa kuwajal wafanyakaz wako

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 Před 6 měsíci +3

    Hongeraa sanaa Shishi baby anaroho safiii sanaa mpenzi, Maisha ni watu haswa wale wanaokuingizia pesaa

  • @alexmavindi2104
    @alexmavindi2104 Před 6 měsíci +18

    Huyu dada ALICHO kosa nadhan ni Elimu tu ila kichwani vitu vipo vya kutosha Sana yaani ana material mengi Sana, Big up 👊Sana shishi kuna vitu una vifanya unawapa SoMo kubwa Hawa wanao jiita wasomi na Wana kutamania na kuzitamania hizo akili zako we hujui tu ila ndio hivyo tena😅😅,
    big up Sana dada ang Mungu azidi kukubariki aixee😁🙏🙏
    NB: Mnao jiita wasomi naamini lectures za shishi Zina wapa kitu, kazi ni kwenu kama Vodacom muendelee kubaki nyumbani au mjiongeze 😂😂

    • @josephwilliammnyune5464
      @josephwilliammnyune5464 Před 6 měsíci +1

      Kuna elimu, kuna busara na kuna hekima. Shishi huenda amekosa elimu, lakini amebahatika hivyo vingine. Mungu ambariki.

    • @annamwakibinga527
      @annamwakibinga527 Před 6 měsíci +1

      Hongera sana sana

  • @jedidahmagulu3553
    @jedidahmagulu3553 Před 6 měsíci +2

    Iyo ela uliyo tumia ungewapa posho wangekushukulu sana maana mambo ya kupanda boti hayana tija sana ni kama ushamba

  • @user-mo6tr3yt3m
    @user-mo6tr3yt3m Před 6 měsíci

    Hongera shishi baby

  • @Mumbere-yk4sg
    @Mumbere-yk4sg Před 6 měsíci +1

    Shilole naku kubali sana from🇨🇩kuna ma bos wengin daaa😮😮

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 Před 6 měsíci

    MashaAllah mwenyezi mungu akuzidishiye NI mfano wa kuigwa kwa wengine walio mabahili wanao jali pesatu

  • @Zuuh4286
    @Zuuh4286 Před 6 měsíci +8

    Mashaalla natamani sana ningekuwa 𝐦𝐢𝐦 jaman najitahidi kutafta pesa lakin sifiki nachotaka lakin naamin huyu huyu Mungu namuomba ipo sk atanibariki nami niwe nazo 😂😢😢😢😢😢😢😢

    • @teedullah5708
      @teedullah5708 Před 6 měsíci

      In shallah munqu atakuezesha

    • @Zuuh4286
      @Zuuh4286 Před 6 měsíci

      @@teedullah5708 🙏🙏🤲🤲

  • @user-qx4bb5is6f
    @user-qx4bb5is6f Před 6 měsíci

    Nimekupenda sna, Mungu azd kukuinua

  • @user-qv5tk3mt7g
    @user-qv5tk3mt7g Před 6 měsíci

    Hongera sana dada shilole nakupenda sana zaidi ya sana ❤❤❤❤❤

  • @mwanjaarashidi7402
    @mwanjaarashidi7402 Před 6 měsíci +2

    Hongera sana shishi

  • @user-br4tl7jv9j
    @user-br4tl7jv9j Před 6 měsíci

    Najizuia kucheka lakin najikuta nacheka tu😂😂😂😂😂yatch Kama yatch🙌🙌🙌

  • @sheikhalumbalambala2655
    @sheikhalumbalambala2655 Před 6 měsíci

    Hongera sana shilole kutoa ni moyo kuna matajiri wakubwa lakini hawawezi kufanya ulilolifanta wewe
    Mungu akubariki sana jambo kubwa sana pamoja kuwa wanakuingizia lakini umefanya jambo la ujasiri.

  • @oman9880
    @oman9880 Před 6 měsíci

    Mashallah manshallah ❤

  • @nailaomar4810
    @nailaomar4810 Před 6 měsíci +1

    Binaadamu hamna shukurani hata mfanyiwe nn subhanaallah

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 Před 6 měsíci +2

    😂😂😂😂good idea

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 Před 6 měsíci

    Hongera sana shishi 🥰❣️💖💞

  • @saidsalim6729
    @saidsalim6729 Před 6 měsíci +15

    Yachiii😮 million 3, uo si mtumbwi wakuvulia chaza au una Jina ingne unaitwa yachii

    • @samwelkitalula698
      @samwelkitalula698 Před 6 měsíci +1

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @frankngoloka5416
      @frankngoloka5416 Před 6 měsíci +2

      Fanyeni na nyinyi mbona makasiriko,hapo ni lugha tu imebadirika yote ni Yale yale

    • @Mumbere-yk4sg
      @Mumbere-yk4sg Před 6 měsíci +2

      Kuna wengine wafanyakazi hawaja nunuliwa hata soda

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 Před 6 měsíci +1

      😂😂😂😂😂mpemba

    • @mamakekhubeiby4206
      @mamakekhubeiby4206 Před 6 měsíci

      Million 3 kenya ni pesa ngapi 😂😂😂😂😂😂

  • @user-sr8tc8ke6q
    @user-sr8tc8ke6q Před 6 měsíci +1

    Hiyo Yachii Mamaaa😂😂😂😂

  • @masikasaidi8805
    @masikasaidi8805 Před 6 měsíci

    Yaani kutoka nikutoa ujinga na sress kama pesa kila siku wanapata kuinjoi ni vizir katika maisha km pesa inaruhusu

  • @FransiskaJohn-fq1nf
    @FransiskaJohn-fq1nf Před 6 měsíci +2

    Sisi bosi wetu alisema hajui sikukuu😢

  • @renatusantidius8123
    @renatusantidius8123 Před 6 měsíci +1

    Wabongo bhn hiyo fiber inawasongeza tu kwenye boti iliyo andaliwa😂

  • @user-df1rx7xv8s
    @user-df1rx7xv8s Před 6 měsíci

    Nakupenda Sana shilole wewe ni mkarimu kwa watu wote.

  • @dayana5513story
    @dayana5513story Před 6 měsíci +1

    ❤❤❤❤

  • @vero57
    @vero57 Před 6 měsíci

    Hongera sana dada shishi

  • @babasandra638
    @babasandra638 Před 6 měsíci +1

    Hii ni boat ya kuvulia samaki ama ni yach mbn wazingua

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Před 6 měsíci +1

    haya ni kama yale maboti yalokuwepo foro ya kuvukia visiwani huku nilikodi elfu 40 sasa milioni 3 kaaa

  • @user-mj5pu6dz8q
    @user-mj5pu6dz8q Před 6 měsíci +1

    Hii ndo .....au ila hapa umetupga

  • @halimaoman8726
    @halimaoman8726 Před 6 měsíci

    Shilole nakupenda sana una ubagui ndugu yngu chezea wanyamwezi wwe atuna mbaba wala ubagui sote Ni waja ishu miaka mingi shilole waalh

  • @mukeshimanarose1334
    @mukeshimanarose1334 Před 6 měsíci

    😊❤❤❤🎉

  • @huldamichael4445
    @huldamichael4445 Před 6 měsíci

    😂😂😂😂shilole unanichekeshaga Sana!!eti yaani Mungu😅😅

  • @maulidimopen1273
    @maulidimopen1273 Před 6 měsíci +1

    Mbona Uchebe humpi Furaha kama wapenda watu wafurahi ??

  • @user-xr5tx6rc7t
    @user-xr5tx6rc7t Před 6 měsíci

    Big love shishi aminiaaaa

  • @user-wz9no5wx3g
    @user-wz9no5wx3g Před 6 měsíci

    Dada nakupenda Sana

  • @simonmalegesi414
    @simonmalegesi414 Před 6 měsíci +3

    Siku nyingine mvae life jaketi siyo mnaingia kwenye mtumbwi kiboya.

    • @giztony2009
      @giztony2009 Před 6 měsíci

      Eti yachi yani hizi takataka zinatuonaje hivi yachi zipo hivi?

  • @user-wu9zz1bm9h
    @user-wu9zz1bm9h Před 6 měsíci +1

    Shishii hongera hatakama uwe mtumbwi umewapa rahaaa.umeonyesha wewe ni zungu la roho kwahicho ulicho jaaliwa na Allah umefanya Kwa uwezo wako.bimaana ungekua na uwezo hata ndege wangeipanda hao.matajiri wenye uwezo wengi tu hawaja wajafanya uliocho kufanya mungu akubariki sana

  • @ISSACKRICHARD
    @ISSACKRICHARD Před 6 měsíci +2

    Kwaiyo iyo ni yachi😂😂😂😂😂

  • @user-dl2cr9dk1m
    @user-dl2cr9dk1m Před 6 měsíci

    Bora ww shilole Kuna mabosi wengine hata mshahara hawatoi anajijali tu yy

  • @maswamills3161
    @maswamills3161 Před 6 měsíci

    👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏♥️💯.

  • @user-yx3ic8zy9e
    @user-yx3ic8zy9e Před 6 měsíci +5

    Ngalawa siku hizi inaitwa yatch daah hata April fools bado 😂😂😂😂😂😂

    • @agathakeneth6563
      @agathakeneth6563 Před 6 měsíci

      Kufunga ofisi Kwa ajili ya mapumziko ya wafanyakazi, nauli na vitu vingine vidogo vidogo inatosha sana Kwa Hali za mabosi wetu wa kibongo ni ngum kufunga ofisi na kuwaacha wafanyakazi washeerekee siku kama izi za mwaka mpya , so inatosha sana uko kuwatoa tu haijalishi ametumia gharama ndogo kiasi gan

    • @user-yx3ic8zy9e
      @user-yx3ic8zy9e Před 6 měsíci

      @@agathakeneth6563 hakuna aliekataa ila waache uongo kutwambia wawe wanasema ukweli mie na family yangu nimekodi hio boti ya kipaa ni laki tu kutoka asubuh saa tatu mpaka saa mbili usiku nimerudi yeye anatwambia ni milioni 3 yatch tu sasa hio yatch au kiboti tu mskilize tena anasema nini?

    • @hellendaniel3809
      @hellendaniel3809 Před 6 měsíci +1

      Iwe ngalawa,iwe mtumbwi vyovyote vile.

  • @nassormessi-zk5cz
    @nassormessi-zk5cz Před 6 měsíci

    Wabongo wanapenda sifa ila bdo sana ati milion tatu boat ya uvuvi njoo ukodi kilimanjaro huku au Zanzbar One Wanzanzibar wana hela ila kimya hwa wenzetu wanatuharibia Nchi Sifa nyingi punguzeni Sifa hizo

  • @vero57
    @vero57 Před 6 měsíci

    ⛵ yacht

  • @MichaelPetro-td1ki
    @MichaelPetro-td1ki Před 6 měsíci

    Una kitu kipekee sanaa dada shilole mung akubalki jaman

  • @edwardleonard7402
    @edwardleonard7402 Před 6 měsíci

    Hogera shshi

  • @CostaYesaya-sh5gx
    @CostaYesaya-sh5gx Před 6 měsíci

    Dada endelea kupambana wenzako wanadanga na kuwafundisha umalaya watoto wao

  • @MarkKissela-vk9ro
    @MarkKissela-vk9ro Před 6 měsíci

    Naomba kaz #shishifood

  • @hamidumpiga6283
    @hamidumpiga6283 Před 6 měsíci

    Uwaongeze na mishahara

  • @user-bx3kl4hn6j
    @user-bx3kl4hn6j Před 6 měsíci

    Saizi mnatamba baadae mkiumwa watanzania tuwachangie ila bata mnakula peke yenu

  • @ttss7716
    @ttss7716 Před 6 měsíci +1

    Me nampenda huyu mama sana ana juwa kuishi na watu❤

  • @giztony2009
    @giztony2009 Před 6 měsíci

    Hili shamba eti yachi kuna yachi pale mbona ni tofauti na zile za akina mondi

  • @kisubikilozo6128
    @kisubikilozo6128 Před 6 měsíci

    Uwa wanalipwaga gapi kwa mwezi tusaidieni tujuwe mishaara ili turudi tuombe ajira ugaibuni tumechoka jamani shishi

  • @haddrazee8848
    @haddrazee8848 Před 6 měsíci +1

    Eet yatch hata kama cjui yatch lakn dada yangu hilo ni bot

  • @JehovaJonas
    @JehovaJonas Před 6 měsíci

    Dah natapaje ajira hapo jamani

  • @kilimanjaro77international26

    MV Shishii mwenyewe akiwa nahoza Mtumbwini

  • @officialludahtz8152
    @officialludahtz8152 Před 6 měsíci

    Hapa shilole katupiga

  • @binrashid8671
    @binrashid8671 Před 6 měsíci +2

    M3 umeinunua hio boat (fiber) au umekodisha? Kama umeinunua hapo sawa

    • @subiraaddo864
      @subiraaddo864 Před 6 měsíci

      Yaan fibre iuzwe million 3 kweli? Fibre inauzwa Hadi mil. 100 unaongea nn wewe??

    • @sinzoshabani6855
      @sinzoshabani6855 Před 6 měsíci

      Hamna fiber ya m3 hata siku Moja

  • @adammjomba5814
    @adammjomba5814 Před 6 měsíci

    Mzee karume alisema kuongoza sio kusoma ,

  • @user-uu7mg3ff8l
    @user-uu7mg3ff8l Před 6 měsíci

    saf san shishi mm ni shabiki wako kindaki ndaki karibu moro

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 Před 6 měsíci

    Honqera shishi mimi na kufatiliya sn

  • @eliwazadaniel6535
    @eliwazadaniel6535 Před 6 měsíci

    Pale si msasa mavi

  • @MussaKingu255
    @MussaKingu255 Před 6 měsíci

    Faiba hiyo ukifunua juu ni myumbwi wakuvulia mzee bot mnqzijua lakini!

    • @RabiaIddi-ci2uz
      @RabiaIddi-ci2uz Před 6 měsíci

      Hebu kuweni waelewa hiyo inawapeleke kwenye yach bot

  • @papiampangaje
    @papiampangaje Před 6 měsíci +1

    Dodoma anamgahawa wapi

  • @user-vp1zu3fb5w
    @user-vp1zu3fb5w Před 6 měsíci

    HIYO ML3 BADALA YA KUKODI BOTI UNGETUMIA KWENDA KUWALIPIA GHARAMA ZA MATIBABU WALE WALIO SHINDWA KUJIGHARAMIKIA UNGEINJOI HATA KWA MUNGU ,

    • @user-uo8xw9kr4b
      @user-uo8xw9kr4b Před 6 měsíci

      Sio mbaya kuwafurahisha wale wanovuja jasho kukuingizia hiyo pesa.

  • @MabulaDoto-xb6xr
    @MabulaDoto-xb6xr Před 6 měsíci

    Kama glass ya juice anauza elfu 5 kwanini asichezee pesa wakati wajinga wanazipeleka wenyewe

  • @liberatusjackson5045
    @liberatusjackson5045 Před 6 měsíci

    Unashindwa kukodiii bot zakishua hayo siyawavuviii.jierewe kama msaniii hahaha mama ntilie

  • @user-py7gb7wr8v
    @user-py7gb7wr8v Před 6 měsíci

    Hapo kwennye milioni tatu ndo umeaaribou hapo

  • @theuniversetv2870
    @theuniversetv2870 Před 6 měsíci

    Ety ni moyo tuu sio hela thubutu ndo wanavosemaga waliopata fedha bila pesa kupata pesa sio rahisi acha kudanganya watu shishi food is not there without money mbona unakosea adabu mtaji wewe vp😂