CHANZO CHA UGAIDI DUNIANIꓽMABOMU/TANZANIA ILIVYOHUSIKA/OSAMA,AL- QAEDA/SHAMBULIO LA SEPTEMBER 11

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • MAKALA HII, NI SEHEMU YA MAKALA ZINAZO ZUNGUMZIA CHANZO CHA KUANZISHWA KWA MAKUNDI YA KIGAIDI DUNIANI, NA UENDESHWAJI WA SHUGHULI HIZO KATIKA ULIMWENGU,
    HUKU IKIANGAZIA MATUKIO YA KUSIKITISHA YALIYOWAHI KUTEKELEZWA KATIKA MLENGO AU MISINGI YA UGAIDI.
    MATUKIO YALIYOWAHI FANYIKA KATIKA MATAIFA YA AFRIKA MASHARIKI MWAKA,1998 YALIYOHUSISHA KUSHAMBULIWA KWA BALOZI ZA MAREKANI KATIKA NCHI ZA KENYA NA TANZANIA,
    NA KUMAMILISHA PICHA HALISI YA MATUKIO MAKUBWA YALIYO WAHI TEKELEZWA NA MAKUNDI YA KIGAIDI KAMA AL QAEDA, HASA TUKIO BAYA LA MASHAMBULIZI YA KITUO CHA BIASHARA CHA MAREKANI, NA MAKAO MAKUU YA WIZARA YA ULINZI MWAKA 2001,
    HIZI NI MAKALA ZA #MAELEZO KARIBU, UTAZAME UBURUDIKE NA UELIMIKE......
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #makala #maelezo #dupamdupange

Komentáře • 27

  • @dar24media
    @dar24media  Před 5 měsíci +2

    Makala hizi za #MAELEZO huruka kila siku ya jumapili saa tano kamili asubuhi, karibu ufuatilie

  • @jotafungo4622
    @jotafungo4622 Před 4 dny

    Kudos kwa wote wanaokataa kuonewa

  • @jeremiahmwanyanje5012
    @jeremiahmwanyanje5012 Před 5 měsíci

    daaah baba tunaisubilia ya pili baba unajua sana mwangu!!

  • @edgerjohn
    @edgerjohn Před 5 měsíci

    Noma sana🎉

  • @user-vd5jq2pf7e
    @user-vd5jq2pf7e Před 5 měsíci

    naruhusiwa kufika kujifunza kwenye ofisi zenu❤❤❤❤ uchambuzi, na mambo mengine

  • @christiankambuga9338
    @christiankambuga9338 Před měsícem

    Dupa dupange we noma tuko pamoja

  • @farisomar1889
    @farisomar1889 Před 5 měsíci +2

    Jihad haito maliz hadi QURAN itawale dunia ? Allah fansur mujahidin fii kull makan 🤲🤲🤲

    • @gaddafmohsal3846
      @gaddafmohsal3846 Před 5 měsíci

      Allahumma aamin

    • @TuukhiAlfalaki
      @TuukhiAlfalaki Před 5 měsíci

      Jihadi ipi unaongelea wakati iyo jihadi wanaokufa wengi ni waislam

    • @TuukhiAlfalaki
      @TuukhiAlfalaki Před 5 měsíci

      Zinduka muislam jihadi hii ya makundi ya kigaidi ni mpango wa shetani kutawala dunia fatilia kwa makini

  • @Moviesclip6action
    @Moviesclip6action Před 5 měsíci +1

    dupamdupange daaah nimemiss story za mabaharia

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson2261 Před 5 měsíci

    Yaani jomba ivo unavoifagilia marekani kam nchi ya maana wakati izo fujo zote anazofny ni kuuwa Raia wa nchi husika bila ya sababu za msingi , be educated na mzalendo kdg hizi hbr za marekani zimechosh kiukweli kw anadhulumu mataifa madogo

  • @Pratnumzsimba
    @Pratnumzsimba Před 5 měsíci +1

    Kwanini waisilam wanapenda kuunda makundi ya uasi kwenye inchi mbalimbali?

    • @ramadhanitwahili6837
      @ramadhanitwahili6837 Před 5 měsíci +1

      wewe uwelewi kitu wala wanaounda ayo makundi sio waislam futilia vizuri utajua ukweli.

    • @lennyhotelltd_geita
      @lennyhotelltd_geita Před 5 měsíci

      kaka uislaam hauusiki na mambo yoyte juu ya makundii chimba na ufatilie vizur

    • @abdullahmanalex2306
      @abdullahmanalex2306 Před 5 měsíci

      Uislamu hauma makundi ya mauaji mmalecani anatumi hiyo njia kuuchafua Uislamu

  • @ibrahimabdullah1887
    @ibrahimabdullah1887 Před 5 měsíci +2

    Muongo hiyo ni usa wenyewe sio osama

    • @abdullahmanalex2306
      @abdullahmanalex2306 Před 5 měsíci

      Pia Osama ni pandikizi la Mmarecan ili kuidhinisha vita kwenye mataifa ya kiarabu

  • @abdillahirashid4092
    @abdillahirashid4092 Před 5 měsíci

    Fat'wa ni maelezo sahihi yanayotolewa katika kuelezea jambo lenye mkanganyiko wa kiufahamu baina ya watu! 😂

  • @badilikakijana4032
    @badilikakijana4032 Před 5 měsíci +1

    Izo ni propaganda za malekani kuhalalisha mauaji ya waharabu na kuimarisha utawala wake kote duniani

  • @Ebendentalclinic
    @Ebendentalclinic Před 5 měsíci

    jamaa ongeza uchimbaji wa data.

  • @yonamakeleleilenge2545
    @yonamakeleleilenge2545 Před 5 měsíci

    Kaka na ku elewa una ji taidi

  • @rajabumbendenga5480
    @rajabumbendenga5480 Před 5 měsíci +1

    Osama ni pandikizi la USA alivyokamilisha mission yao wamembeba anakula vizuri mafichoni kwao America....
    . . . Chimbuko....(Snowden...)

  • @lennyhotelltd_geita
    @lennyhotelltd_geita Před 5 měsíci

    Kaka hiyo sio maaana ya JIHAD mzee tafuta maana kutoka kwa DR zakir au kwa watu wenye uelewa mzur juu ya maana na tafsir ya NENO JIHAD