CHANZO CHA UGAIDI DUNIANIꓽMABOMU/TANZANIA ILIVYOHUSIKA/OSAMA,AL- QAEDA/SHAMBULIO LA SEPTEMBER 11
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- MAKALA HII, NI SEHEMU YA MAKALA ZINAZO ZUNGUMZIA CHANZO CHA KUANZISHWA KWA MAKUNDI YA KIGAIDI DUNIANI, NA UENDESHWAJI WA SHUGHULI HIZO KATIKA ULIMWENGU,
HUKU IKIANGAZIA MATUKIO YA KUSIKITISHA YALIYOWAHI KUTEKELEZWA KATIKA MLENGO AU MISINGI YA UGAIDI.
MATUKIO YALIYOWAHI FANYIKA KATIKA MATAIFA YA AFRIKA MASHARIKI MWAKA,1998 YALIYOHUSISHA KUSHAMBULIWA KWA BALOZI ZA MAREKANI KATIKA NCHI ZA KENYA NA TANZANIA,
NA KUMAMILISHA PICHA HALISI YA MATUKIO MAKUBWA YALIYO WAHI TEKELEZWA NA MAKUNDI YA KIGAIDI KAMA AL QAEDA, HASA TUKIO BAYA LA MASHAMBULIZI YA KITUO CHA BIASHARA CHA MAREKANI, NA MAKAO MAKUU YA WIZARA YA ULINZI MWAKA 2001,
HIZI NI MAKALA ZA #MAELEZO KARIBU, UTAZAME UBURUDIKE NA UELIMIKE......
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#makala #maelezo #dupamdupange
Makala hizi za #MAELEZO huruka kila siku ya jumapili saa tano kamili asubuhi, karibu ufuatilie
Kudos kwa wote wanaokataa kuonewa
daaah baba tunaisubilia ya pili baba unajua sana mwangu!!
Noma sana🎉
naruhusiwa kufika kujifunza kwenye ofisi zenu❤❤❤❤ uchambuzi, na mambo mengine
Dupa dupange we noma tuko pamoja
Jihad haito maliz hadi QURAN itawale dunia ? Allah fansur mujahidin fii kull makan 🤲🤲🤲
Allahumma aamin
Jihadi ipi unaongelea wakati iyo jihadi wanaokufa wengi ni waislam
Zinduka muislam jihadi hii ya makundi ya kigaidi ni mpango wa shetani kutawala dunia fatilia kwa makini
dupamdupange daaah nimemiss story za mabaharia
Yaani jomba ivo unavoifagilia marekani kam nchi ya maana wakati izo fujo zote anazofny ni kuuwa Raia wa nchi husika bila ya sababu za msingi , be educated na mzalendo kdg hizi hbr za marekani zimechosh kiukweli kw anadhulumu mataifa madogo
Kwanini waisilam wanapenda kuunda makundi ya uasi kwenye inchi mbalimbali?
wewe uwelewi kitu wala wanaounda ayo makundi sio waislam futilia vizuri utajua ukweli.
kaka uislaam hauusiki na mambo yoyte juu ya makundii chimba na ufatilie vizur
Uislamu hauma makundi ya mauaji mmalecani anatumi hiyo njia kuuchafua Uislamu
Muongo hiyo ni usa wenyewe sio osama
Pia Osama ni pandikizi la Mmarecan ili kuidhinisha vita kwenye mataifa ya kiarabu
Fat'wa ni maelezo sahihi yanayotolewa katika kuelezea jambo lenye mkanganyiko wa kiufahamu baina ya watu! 😂
Izo ni propaganda za malekani kuhalalisha mauaji ya waharabu na kuimarisha utawala wake kote duniani
jamaa ongeza uchimbaji wa data.
Kaka na ku elewa una ji taidi
Osama ni pandikizi la USA alivyokamilisha mission yao wamembeba anakula vizuri mafichoni kwao America....
. . . Chimbuko....(Snowden...)
Wengi hawajui hili ila wanakalilishwa tu
Kaka hiyo sio maaana ya JIHAD mzee tafuta maana kutoka kwa DR zakir au kwa watu wenye uelewa mzur juu ya maana na tafsir ya NENO JIHAD
Anaongea kwa utashi wake