Safi sana
Ukweli kamili huo
Pi
Makambako lini
Ukitaka kujiunga unafanyaje
Naomba nisaidie mimi wallet yangu haifunguki kalibia mwezi wa pili sasa unakaribia
Raia hawataki kabisa kuelewa kuhusu Pi network
Samahani, kuhusu bitcoin kwa Sasa mtu anaweza kunufaikaje nayo? Na inatofauti gani na Pi?
Ukweli kamili huo
🎉🎉 pi network ❤