𝗠𝗔𝗦𝗪𝗔𝗟𝗜 𝟲 𝗬𝗔 𝗦𝗛𝗘𝗜𝗞𝗛 𝗞𝗔𝗦𝗦𝗜𝗠 𝗠𝗔𝗙𝗨𝗧𝗔 𝗞𝗪𝗔 𝗗𝗢𝗞𝗧𝗔 𝗜𝗦𝗟𝗔𝗠, NAMPA 𝗠𝗪𝗘𝗭𝗜 𝗠𝗭𝗜𝗠𝗔 𝗔𝗬𝗔𝗝𝗜𝗕𝗨!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024

Komentáře • 59

  • @idrisaSwalehe-u4o
    @idrisaSwalehe-u4o Před 22 dny +1

    Dk islam haonewii hata kidogo ktk hilii shekh yuko vizurii ktkt kum bainishaa kwa watuu🎉🎉

  • @ahmadmzoa74
    @ahmadmzoa74 Před měsícem +1

    Assalafi Asswalih walikuwa na sifa gani?Hawa wanaojiita leo hawanafanani nao hata kidogo. Wamejawa khusuma, jidala na hasadi. Daawat Salafiya ni kazi Tukufu sana lakini imevamiwa watu wasiojua Usulubu mzuri wa kulingania (principles of conveyance). Wanaujua Uislamu lakini hawajui kulingania nafsi zao na za wengine. Mioyo yao anafukutwa kwa joto la uhasidi na khusuma. Unazungumza haki na huku wakiweka matamanio yao.

  • @fareedahmad6857
    @fareedahmad6857 Před měsícem +1

    Wewe MTUMZIMA illa ni MJINGA SANA TENA SANASANA
    UNAONA WATU WOOOTE WAJINGA MPAKA WAKUFUATE WEWE NA UNAOWAKUBALI....
    WATU WOTE UNATAKA WAIFAHAMU DINI KWA AKILI YAKO WEWE
    HUO NI UJINGA
    1- UNABIRUWA
    2-KUDHARAU MASHEKHE WOTE
    3- KIBURI KIMEKUTAWALA

    • @adammruke2051
      @adammruke2051 Před 25 dny

      Sasa kama unadharau mtume na kutukana maswahaba utasikilizwa vipi. Na unafadhilisha mashetwani? Tusilete ushabiki kwenye dini. Tutaingia nao motoni afu tutaomba waongezewe adhabu kwa kutupoteza.

  • @adammruke2051
    @adammruke2051 Před 25 dny

    Kweli sio kila kitu ni lazima kuomba. Humu wengi tungezaliwa kipindi cha mtume angetuambia ni wanafiki. Yaan mtume ndio kiigizo chetu lakini tuko radhi kufuata mashetani na wanaswara😢😢😢

  • @mohamadmaulidngava1510
    @mohamadmaulidngava1510 Před měsícem +3

    A.alykum.Mbona haujibu Hoja za Shekh Mohammad Bachu na ile hali Shekh Mohammad Bachu anamtetea Dk.Islam au Maswali nimekundu hayajibiki unatumia Msingi gani kuto jibu Maswali ya kielimu uliyo ulizwa yanayo husiana na Dini ya Kiislam jibu maswali ya Shekh Mohammad Bachu tupate faida kama kweli unafanya uadilifu.

    • @hassanWanjiku
      @hassanWanjiku Před 12 dny

      Ongeza sauti bro Hawa watu Wana upuzi hueleweki maswali hawataki kujibu kelele tu nyiiiingi jibu kama kweli mwakweli

  • @Daawa-l8s
    @Daawa-l8s Před měsícem +1

    Majadida bana ni ugonjwa mzito.

  • @ahmadmzoa74
    @ahmadmzoa74 Před měsícem

    Ukitaka kulingania katika njia ya ALLAH A'ZZA WAJALLA, safisha moyo wako acha ung'ang'anizi fanya uadilifu katika masuala Daawa unapitukia mipaka kiasi umewarithisha wengi katika wafuasi wako tabia ya kuwapiga watu vijembe na malumbano. Tabia ambazo hazipendezi kwa mlinganiaji ktk njia ALLAH SUBHANAHU WATAALA. Umemng'ang'ani Dkt. Islam, kama kuna sehemu ameteleza yeye sio ktk maasumin ,wewe usiekosea baki na utakatifu wako na kundi lako.

  • @iddimutua420
    @iddimutua420 Před měsícem

    A.aleikum
    Nauliza Dr.Islam kasema yafaa kuchukua ilmu kwa mtu yeyote ANAEFAA ama hakutumia neno ANAEFAA??, nauliza neno ANAEFAA Halikutumika kwanye maneno yake?? Please naomba kujibiwa.

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Před měsícem +1

    Sjawahi kuskia bwana mafuta akikosea
    Na majadida wenziwe kimyaaaa kaunda mataasisi yake kula wakfu za watu tu

    • @abulhusseinmpare-yw3dn
      @abulhusseinmpare-yw3dn Před měsícem

      Kumbe ishu ni taasis nyie hmna taasis acheni chuki Allah kamnyanyua na kampa qabul
      Nyiny uhajawira umewashinda maan sio din

  • @luqmanomary3558
    @luqmanomary3558 Před měsícem

    Sheikh yupo sahihi katika hilo mashallah baarakallahu laka abul fadhl ,tunaomba majibu kwa mohamed bachu na kusema twampuuzia je athari yake na hii ya doktor hazilingani??au je hoja zake kajijibh?? Au hoja zake zimekosa majabu kutoka upande wako??

  • @idrisaSwalehe-u4o
    @idrisaSwalehe-u4o Před 22 dny

    Mahizb nyie huwaa hamupendii hakki hatakidogo maana mnapo ambiwa mwa pinga tuu sijui ni dinii ganii na watuu wenuu mwaa wafundisha nin ktk hilii

  • @idrisaSwalehe-u4o
    @idrisaSwalehe-u4o Před 22 dny

    Ni wa vivu ktka kusomaa ms alla ya dini balii mwafuata na mwachukuwaa kwa vilee akilii zenuu zinavyoo taka mchenii allah mahizb

  • @swalehabdulrahman4118
    @swalehabdulrahman4118 Před měsícem

    Wewe kweli unawivu na roho mbaya,kwann usizungumze na kutoa hoja pasi na kutaja sana daraja yake,lakini pia yule sio saizi yako

  • @hassanWanjiku
    @hassanWanjiku Před 12 dny +1

    Acheni ujinga nynyi mjiitao masalafi hamkai chini mkasomesha watu darsa zenu kumtaja tu duktur Islam acheni uzuka bana n mnaskika kua nynyi n watu wazima kueni na nidhamu hata kama mtu kakosea tumieni dalili kwa kumkosoa acheni ujinga bana tumechoka n huu upuzi wenu

    • @atiqaly6567
      @atiqaly6567 Před 4 hodinami

      Sheikh kassim hafundishi watu? Ww kweli mwehu, nina marafiki wengi wamesoma kwake saivi wana miskiti yao ni waalimu na wao wanafundisha saivi huko makwao, acha uongo kma hujui kitu nyamaza. Kiatu ww.

    • @hassanWanjiku
      @hassanWanjiku Před 4 hodinami

      @@atiqaly6567 mwehu n ww unaeketisha matako kwa watu wakushinda wakitajataja watu huku eti kusomesha acha uzuka

  • @idrisaSwalehe-u4o
    @idrisaSwalehe-u4o Před 22 dny

    Achenii ushabikii fuatenii hakkii sio upenzii kwa mashekh

  • @swalehabdulrahman4118
    @swalehabdulrahman4118 Před měsícem

    Haki inachukuliwa kwa mtu yeyote yule hata kama ni kafiri au shetwani,nahivyo ndivyo alivyosema Shekh Othaymin

  • @JumaRashidRamadhan
    @JumaRashidRamadhan Před 26 dny +1

    Mafuta, Mafuta, Mafuta, nyamaza watu sio (wapumbavu) ni wajinga tu na Bachu keshawatowa ujinga, walobakia kuwa (Wapumbavu) hao wanokusikiliza ww .Mafuta muogope Mungu ww unazunguka ziggurat wakati😂 Mdogo wako kada wa CCM hahahhahahha ww huna jipya (Wapumbavu) watakao kufuata.

  • @ABUUJAAFAR92
    @ABUUJAAFAR92 Před měsícem

    Tofauti kati ya masalafy na mahizbiy,,masalafy husoma kwa maulamaa ,mahizbiy husoma kwa mashayaathwiin.

  • @shafiijuma-g3h
    @shafiijuma-g3h Před měsícem

    jabali zito

  • @FadhiliAlly-fy2tx
    @FadhiliAlly-fy2tx Před měsícem

    Fadha wangu mafuta wew ni maasumiin hukosei.?wakristo wanaheshimiana wewe vp adabu ktk din mbona ziro jitathimin unacho fanya hata tusiokuwa na elim sasa iv tumechoka tunajua kwamba hiyo sio sawa

  • @JumaRashidRamadhan
    @JumaRashidRamadhan Před 26 dny

    Mafuta nafuata tabiya yake (WATU KUSIMA NA KUMSIKILIZA MAFUTA NI GHARAMU MUTILAQ)

  • @swalehabdulrahman4118
    @swalehabdulrahman4118 Před měsícem

    يقول عثيمين رحمه الله في شرح أصول التفسير: "وفي هذا دليل على أن الحق يقبل من أي إنسان،وبعض الناس إذا جاءه الحق من فاسق-وهو حق واضح-يقول:لا،هذا ليس فيه خير ،ولا يمكن أن يأتي بخير!!
    وهذا غلط، والعدل أن يكون الحق ضالتك متى وجدته خذبه.

    • @adamjutto5849
      @adamjutto5849 Před 22 dny

      هل الشيطان إنسان؟😂
      لكن اتخاذ الحق من الشيطان جائز، لكن ما قال يجوز أن نتعلم منه😂تأمل ولا تكن من المتعصبين،إن الدكتور غلط،ولا بد أن يتراجع،فإن التراجع لا يسقط منزلته ولا علمه،نعرف أن الدكتور هو عالم،لكن مع الأسف الشديد لا يبحث ولا يفتش المسائل العلمية،

    • @HabibTwaha
      @HabibTwaha Před 16 dny

      ​@@adamjutto5849mafuta kajibiwa kwa kuandikiwa kitabu watu wakitafute hicho wasome humo ndani

  • @AllyKame-rx2zd
    @AllyKame-rx2zd Před měsícem

    Yeye huyu Shekh ni maasumu, manake si kwa kutoa watu kiasi hichi, maana angeigooa kuumbuliwa, ndio kwa misimamo yake hii kuhusu hishima ya mwanachuoni mwenziwe yaonyesha hana shaka umaasumu wake!

  • @AllyKame-rx2zd
    @AllyKame-rx2zd Před měsícem +1

    Jina zuri linalo mfaa Shekh Kasim ni maasum

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Před měsícem

    Kwanza fr islamu hakuskilizi asa unajihangaisha tuu

    • @AmourAmour-ux3nm
      @AmourAmour-ux3nm Před měsícem

      @@pavillioncry5241 Wew je hlfu Wew upo kwaajili ya dini au umetanguliza matamanio ya nafsi yako kwanza km ni dini je ni nani aliyeswibu katik hilo Qasim mafut au Dkt Islam ...... Mtume wako kasema mangapi na watu wanakengeuka ndo hoja

    • @abulhusseinmpare-yw3dn
      @abulhusseinmpare-yw3dn Před měsícem

      Muongo wew

  • @hafidhwajina6718
    @hafidhwajina6718 Před měsícem

    Nae anapuuzwa,

    • @user-bp6fb6wo5u
      @user-bp6fb6wo5u Před měsícem

      Usinge weka comment 😂😂😂😂

    • @AmourAmour-ux3nm
      @AmourAmour-ux3nm Před měsícem

      Mbona kama wewe nd Dkt Islam 😂😂😂😂 hem twambie Dr Islam yale maneno uliyomuegemezea Sheikh IBN uthaymiiin umeyatolea wapi shida sio kukosea bas sahihish ili watu waongok baad y kupoteza Qaumu

    • @hafidhwajina6718
      @hafidhwajina6718 Před měsícem

      @@AmourAmour-ux3nm wewe ni qasimu mafuta?

    • @AmourAmour-ux3nm
      @AmourAmour-ux3nm Před měsícem

      @@hafidhwajina6718 eeeeh natak ujibu Dkt Islam ubainish kw watu juu ya tahriifu al Qauli wpo ambao watafanya taqliid wakiamin ni maneno ya Sheikh IBN uthaymiiin hujawek sawa utabeba zimma y uliowapoteza

  • @user-mu8ue6wg4c
    @user-mu8ue6wg4c Před měsícem

    Sizan kama atajibu.

  • @Hamis-ks1sy
    @Hamis-ks1sy Před měsícem

    Hivi ikiwa Dr.Islaam kateleza ndo iwe sababu ya kudharau elimu yake?

    • @as-salafy354
      @as-salafy354 Před měsícem +2

      Mbona akizinduliwa harudi nyuma hafanyi taraajui ya hadharani kama alivyoteleza hadharani

    • @pavillioncry5241
      @pavillioncry5241 Před měsícem

      ​@@as-salafy354uyo bwana wako ye hajawahi kukosea sio

  • @Hamis-ks1sy
    @Hamis-ks1sy Před měsícem

    Hivi kukosea kwake Dr. Islaam na kuanza kudharau elimu yake kinahusiana nini? Hivi mbona kama kweli mwaoneana wivu

    • @UB40X1
      @UB40X1 Před měsícem +1

      Kamzulia ibn Uthaymeen au laa?

    • @Hamis-ks1sy
      @Hamis-ks1sy Před měsícem

      @@UB40X1 kweli kabisa hapo dr Islam kakosea,vipi hayo maneno ya kejeli yaani hawezi kukosoa bila kudharau elimu yake au kumfanisha na mwanafunzi wa thanawi? Tutafika2 in shaa Allah maana ndo masheikh wetu walipofikia maana kma maulamaa wangekuwa wakosoana hivi sijui ingkuaje

    • @as-salafy354
      @as-salafy354 Před měsícem

      amedharauliwa kama mulivyoona amedharauliwa kwasababu aliyo yazungumza hayalingani na nafasi anayo jiweka ya Dr

    • @UB40X1
      @UB40X1 Před měsícem +1

      @@Hamis-ks1sy kwa hivyo duktur kamzulia uwongo mwanachuoni na haoni kama jambo kubwa? Je hicho si kiburi?

    • @Hamis-ks1sy
      @Hamis-ks1sy Před měsícem

      @@UB40X1 kwahiyo Dr kafanya makusudi?

  • @idrisaSwalehe-u4o
    @idrisaSwalehe-u4o Před 22 dny

    Mahizb nyie huwaa hamupendii hakki hatakidogo maana mnapo ambiwa mwa pinga tuu sijui ni dinii ganii na watuu wenuu mwaa wafundisha nin ktk hilii