UTAPENDA! MAKONDA Alivyotambulisha NGOMA ya MBOSSO Aliyowaimbia CCM....

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 06. 2020
  • UTAPENDA! MAKONDA Alivyotambulisha NGOMA ya MBOSSO Aliyowaimbia CCM....
    MKUU wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amemtambulisha mwanamuziki, Mbosso Khan, kuingia kwenye baraza kuu la vijana, pamoja na kuutambulisha wimbo mpya aliowaimbia CCM unaoitwa Tamba Magufuli...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Komentáře • 69

  • @henryndosi1114
    @henryndosi1114 Před 4 lety +15

    Magufuli baba lao,,tamba baba piga nyumbu sindano ,CCM oyeeee 🇹🇿

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 Před 4 lety +3

    Duuu mwaka huu ccm mauno kama yote💃💃💃💃

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 Před 4 lety

    TEAM WCB TU HUYU

  • @mussamjai1523
    @mussamjai1523 Před 4 lety +1

    Tunafurahi Sana tukuonapo ukiwa na afya njema Kaka Mimi kijana wako nipo jangwani nakuunga Sana mkono upo juu Sana pamoja na rais wetu mungu ampe maisha mema akae miaka 100000000000 tamba Sana rais wetu mungu yupo pamoja na wewe

  • @gracesakila4395
    @gracesakila4395 Před 4 lety +4

    Nikisikilizaga ule wimbo wa dunia tunapita huwa nawaza mengi sana

  • @sulemanissa5488
    @sulemanissa5488 Před 4 lety

    makonda yupo wcf kumbe vizuri sana

  • @jonesmedia4120
    @jonesmedia4120 Před 4 lety +1

    Mm MwanaCCM damudamu ila kusema kukejeli mtu kuwa na miguu isiyoimara sio vzr

  • @athumanichambo375
    @athumanichambo375 Před 4 lety +3

    mbos unajua

  • @NadjibuAboubakar
    @NadjibuAboubakar Před 4 lety

    kwa mikusanyiko bora mucukwe tahadhali bwana social distance na muvae barakoa

  • @leonardmrope9528
    @leonardmrope9528 Před 4 lety +4

    Haahahahahaha duuh SAS Kwa mangoma aya kampeni za mwaka huu ztajaa shangwe kinoma Kwa upande wa Ccm

  • @ramadhanisuru1822
    @ramadhanisuru1822 Před 4 lety +4

    Mboso ukojuu

  • @DW-ud2we
    @DW-ud2we Před 4 lety

    Kweli kabisa

  • @agustinojohn6307
    @agustinojohn6307 Před 4 lety +1

    Mkuuu WA mkuo yaan unajionesha kabisaaa kuwa upo upande fulanii WA ccm daaa

  • @sideboy3164
    @sideboy3164 Před 4 lety

    Hebu cheki hizi Sura zinaonyesha wazi hata kama anaongea point lkn hawazikubali na hawampendi.

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 Před 4 lety +1

    Narudi for campaigns😂😂😂😂Magu abaki home tu!!Let only the music do the campaigns

  • @stansilauseliasi7883
    @stansilauseliasi7883 Před 4 lety +2

    Mungu anawaona

  • @laurenkalonga2286
    @laurenkalonga2286 Před 3 lety

    Magufuli baba lao

  • @mrmangetown4323
    @mrmangetown4323 Před 4 lety

    2020 sioni mpinzani wa kumtisha Mjomba magu labda 2025 huko Ndiyo wafikilie

  • @jumabakari1468
    @jumabakari1468 Před 4 lety +1

    Mwaka wenu huu tambeni jemeni

  • @eliezafrancis6881
    @eliezafrancis6881 Před 4 lety +7

    "kila lililo na mwanzo lina mwisho pia"

  • @chuwimkali547
    @chuwimkali547 Před 4 lety

    Watu tusha sahaulishwa kwamba nyumba zao walivunjiwa na ccm mjuwe wakiingia tena wanakuja kuzimalizia zilizobaki

  • @zephaniapaul9592
    @zephaniapaul9592 Před 4 lety

    Sawawa

  • @joshujames3208
    @joshujames3208 Před 4 lety

    Watu wanalazimishwa majanani ya mwa40 kuwa ya mchaichai """HANGER GAME SOCIETY""

  • @lamasiaandreas7679
    @lamasiaandreas7679 Před 4 lety

    magufuli anakuja na tiba sindano

  • @joshuambogela8143
    @joshuambogela8143 Před 4 lety +1

    katika siku nime Cheka Leo,,,eti wote awana miguu ya kulia

  • @hddhhddhdhhd7466
    @hddhhddhdhhd7466 Před 4 lety

    tambaaa baba niko Dubaï nalia vile nitakosa kampeni ya baba

  • @joachimkalungwana8654
    @joachimkalungwana8654 Před 4 lety +4

    Hivi ulemavu wa Lissu mtu unafurahia kweli.Eti mkuu wa mkoa ndio useme utatenda haki kwa wapinzani

    • @hamisimussa2228
      @hamisimussa2228 Před 4 lety +1

      Kuna Vilema wangapi mtaani wengine mambo yao Kama katuni ndio maana tunafurahi kama wa uyu wa uberigiji pia katuni hnatufurahushi

    • @habibmohamed4766
      @habibmohamed4766 Před 4 lety +1

      Unanuna nini sasa wakati Makonda katania tu,mbona wao huwa huwa wanamtania Bashite?

    • @husseinmkanga7794
      @husseinmkanga7794 Před 4 lety +2

      Lisu kajiumiza apate uraisi imekula kwake!

    • @shabanipita2650
      @shabanipita2650 Před 4 lety

      @@husseinmkanga7794 kilema katafuta mwenyewe.alikua anajidai anapigania chama madalaya mamboyako binafsi.sasa chamahakina kilema ila yeye ndokilema na familia yake ndo wahanga wakubwa nasi chama

  • @selfplanet3880
    @selfplanet3880 Před 4 lety +1

    Hujafa hujaumbika

  • @silvestermfipa4133
    @silvestermfipa4133 Před 4 lety

    Chadema na act inasumbua watu kweli 2020

  • @mtakatifubony5525
    @mtakatifubony5525 Před 9 měsíci

    Chuma kimerudiiiiiii

  • @msalabanreko7001
    @msalabanreko7001 Před 4 lety

    wcb mpo juu kiukweli

  • @omarikamtoi8454
    @omarikamtoi8454 Před 4 lety

    Napita Tu......ndio nikakutana nayo haya!!?

  • @petrot8919
    @petrot8919 Před 4 lety

    Mwaka huu hakuna kampeni wasanii washamaliza

  • @kelvinmollel7648
    @kelvinmollel7648 Před 4 lety

    Mbona yeye ajasema kua alikua bar nyie nd mnasema wapi ushaidi magufuli namkubali anafany kazi ila mbona upande wapili hawana uhuru ata wakucheza hivi au hii nchi imerudi katika mfumo wa chama kimoja tujulishwe tujue basi

  • @msalabanreko7001
    @msalabanreko7001 Před 4 lety

    kweli kbsa walijificha mahotelin

  • @mbelekatv4597
    @mbelekatv4597 Před 4 lety

    Konde ndio mwimbaji boro wa hizo za ccm

  • @juliusngogolo1568
    @juliusngogolo1568 Před 4 lety

    Good song CCM hoeeeeee

  • @ibrahnationibrahim2817

    Makonda tuwasiliane ndg yangu daaaaa

  • @valentinesyekeye6846
    @valentinesyekeye6846 Před 4 lety

    Inamaana CORONA imekimby kwaoo🙄🙄😂😂😂😂

  • @comrademlewaisavile336

    Makonda cjuw nifanyaje tuonane ana kwa ana maana navyokubal sio mchezo

  • @mussamjai1523
    @mussamjai1523 Před 4 lety

    Baba keagani upo juu dar es Salam ni mkoa wako tamba kabisa mzee baba

  • @mkalimwenziotz5696
    @mkalimwenziotz5696 Před 4 lety +1

    Hapa duniani tunapita tu

  • @happyshayo372
    @happyshayo372 Před 4 lety +2

    Hakuna marefu yasiyo na ncha! 🤔

  • @sanurahyusuph6149
    @sanurahyusuph6149 Před 4 lety

    Pipoziiiiiii

  • @michaelsukwa4371
    @michaelsukwa4371 Před 4 lety

    Makonda uko vizuri, ningepata namba yako ningefurahi sana 0755816831

  • @beatricetenywa4367
    @beatricetenywa4367 Před 4 lety

    Koona imeisha🤣🤣

  • @jonathanmundeda4461
    @jonathanmundeda4461 Před 4 lety +1

    Yaan mbowe kiboko mnamtaja mbowe kuliko hata corona

    • @sapnex965
      @sapnex965 Před 4 lety

      Hakuna nyimbo hapo amechemsha pigeni ya harmonize tu

  • @Bmsecret
    @Bmsecret Před 4 lety

    Makonde kapimwe marenda ww choko

  • @yohanakhan2034
    @yohanakhan2034 Před 4 lety

    Hakuna kitu kwenda uko fara ww