UTAPENDA! MAKONDA Alivyotambulisha NGOMA ya MBOSSO Aliyowaimbia CCM....
Vložit
- čas přidán 12. 06. 2020
- UTAPENDA! MAKONDA Alivyotambulisha NGOMA ya MBOSSO Aliyowaimbia CCM....
MKUU wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amemtambulisha mwanamuziki, Mbosso Khan, kuingia kwenye baraza kuu la vijana, pamoja na kuutambulisha wimbo mpya aliowaimbia CCM unaoitwa Tamba Magufuli...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Magufuli baba lao,,tamba baba piga nyumbu sindano ,CCM oyeeee 🇹🇿
Duuu mwaka huu ccm mauno kama yote💃💃💃💃
TEAM WCB TU HUYU
Tunafurahi Sana tukuonapo ukiwa na afya njema Kaka Mimi kijana wako nipo jangwani nakuunga Sana mkono upo juu Sana pamoja na rais wetu mungu ampe maisha mema akae miaka 100000000000 tamba Sana rais wetu mungu yupo pamoja na wewe
Nikisikilizaga ule wimbo wa dunia tunapita huwa nawaza mengi sana
makonda yupo wcf kumbe vizuri sana
Mm MwanaCCM damudamu ila kusema kukejeli mtu kuwa na miguu isiyoimara sio vzr
mbos unajua
kwa mikusanyiko bora mucukwe tahadhali bwana social distance na muvae barakoa
Haahahahahaha duuh SAS Kwa mangoma aya kampeni za mwaka huu ztajaa shangwe kinoma Kwa upande wa Ccm
Mboso ukojuu
Kweli kabisa
Mkuuu WA mkuo yaan unajionesha kabisaaa kuwa upo upande fulanii WA ccm daaa
Hebu cheki hizi Sura zinaonyesha wazi hata kama anaongea point lkn hawazikubali na hawampendi.
Narudi for campaigns😂😂😂😂Magu abaki home tu!!Let only the music do the campaigns
Mungu anawaona
Nakubali mkuu Rc
Magufuli baba lao
2020 sioni mpinzani wa kumtisha Mjomba magu labda 2025 huko Ndiyo wafikilie
Mwaka wenu huu tambeni jemeni
"kila lililo na mwanzo lina mwisho pia"
Mwisho upi mpumbavu
@@hamisimussa2228
Hakukuwa na haja ya kuniita "mpumbavu".Jaribu kuishi na watu vizuri japo hatujuani!
Huo mwisho utasubiliwa sana lakini hautafika
Tulia kwanza tuwapapase,nyie endeleen kujikwaa kwenye ngazi
Utasubiria saanaaa kudaadekiiii
Watu tusha sahaulishwa kwamba nyumba zao walivunjiwa na ccm mjuwe wakiingia tena wanakuja kuzimalizia zilizobaki
Sawawa
Watu wanalazimishwa majanani ya mwa40 kuwa ya mchaichai """HANGER GAME SOCIETY""
magufuli anakuja na tiba sindano
katika siku nime Cheka Leo,,,eti wote awana miguu ya kulia
tambaaa baba niko Dubaï nalia vile nitakosa kampeni ya baba
Hivi ulemavu wa Lissu mtu unafurahia kweli.Eti mkuu wa mkoa ndio useme utatenda haki kwa wapinzani
Kuna Vilema wangapi mtaani wengine mambo yao Kama katuni ndio maana tunafurahi kama wa uyu wa uberigiji pia katuni hnatufurahushi
Unanuna nini sasa wakati Makonda katania tu,mbona wao huwa huwa wanamtania Bashite?
Lisu kajiumiza apate uraisi imekula kwake!
@@husseinmkanga7794 kilema katafuta mwenyewe.alikua anajidai anapigania chama madalaya mamboyako binafsi.sasa chamahakina kilema ila yeye ndokilema na familia yake ndo wahanga wakubwa nasi chama
Hujafa hujaumbika
Chadema na act inasumbua watu kweli 2020
Chuma kimerudiiiiiii
wcb mpo juu kiukweli
Napita Tu......ndio nikakutana nayo haya!!?
Mwaka huu hakuna kampeni wasanii washamaliza
Mbona yeye ajasema kua alikua bar nyie nd mnasema wapi ushaidi magufuli namkubali anafany kazi ila mbona upande wapili hawana uhuru ata wakucheza hivi au hii nchi imerudi katika mfumo wa chama kimoja tujulishwe tujue basi
kweli kbsa walijificha mahotelin
Konde ndio mwimbaji boro wa hizo za ccm
Good song CCM hoeeeeee
Makonda tuwasiliane ndg yangu daaaaa
Inamaana CORONA imekimby kwaoo🙄🙄😂😂😂😂
Makonda cjuw nifanyaje tuonane ana kwa ana maana navyokubal sio mchezo
Baba keagani upo juu dar es Salam ni mkoa wako tamba kabisa mzee baba
Hapa duniani tunapita tu
Mbona complaining
ndo umejua Leo?
Hakuna marefu yasiyo na ncha! 🤔
Pipoziiiiiii
Makonda uko vizuri, ningepata namba yako ningefurahi sana 0755816831
Koona imeisha🤣🤣
We unaumwa
Hahaha *wamtania nyoshi* ww
Yaan mbowe kiboko mnamtaja mbowe kuliko hata corona
Hakuna nyimbo hapo amechemsha pigeni ya harmonize tu
Makonde kapimwe marenda ww choko
Hakuna kitu kwenda uko fara ww
Jjbbbbgtyyyygbhhhhhh
J