Wimbo, mzuri saana, tafuteni wataalamu wa muziki wa kikatoliki wawarekebishe kwenye baadhi ya maeneo hasa pale sauti zinapopanda juu saana Mmevaa Mavazi mazuri Sana ya asili na mmefanana wote na Mavazi yanaonekana ni ya garama Sana Ushauri wangu mnatakiwa kwenda studio nzuri kuurekodi wimbo huu halafu apatikane mtaalamu mzuri wa video awatengenezee hii itatikisa dunia
moja ya makabila tanzania pamoja na africa yaliyotunza na kuhifahdi utamaduni wa asili,imba yao inadhilisha wazi kwamba wana furaha na aman kwa kuendeleza asili yao na MUNGU wa mbinguni awabariki
Wimbo, mzuri saana, tafuteni wataalamu wa muziki wa kikatoliki wawarekebishe kwenye baadhi ya maeneo hasa pale sauti zinapopanda juu saana
Mmevaa Mavazi mazuri Sana ya asili na mmefanana wote na Mavazi yanaonekana ni ya garama Sana
Ushauri wangu mnatakiwa kwenda studio nzuri kuurekodi wimbo huu halafu apatikane mtaalamu mzuri wa video awatengenezee hii itatikisa dunia
Chukueni Ushauri huu Kwaya ya Moita @Sanare Mollel
Wimbo mzuri Sana. pongezini wote
How many time do I watch to have enough of this?
I guess countless ❤️❤️
Kesidai oleng', barikiweni sana
this is so interesting
I really love this choir 👌👌
Very nice 🎉🎉❤
Longido hongereni lakn ,hii kwaya ni balaaa sanaaa
moja ya makabila tanzania pamoja na africa yaliyotunza na kuhifahdi utamaduni wa asili,imba yao inadhilisha wazi kwamba wana furaha na aman kwa kuendeleza asili yao na MUNGU wa mbinguni awabariki
Nice.... i love it. Kweli waTZ siku hizi hawataki kubaki Nyumba. Mpaka wamasai wamejitoa namna hii!
Mungu awainue zaidi engajanga Nanyor💓💖💖
Good sing thank good bless
Nimeipenda, ujuzi wa Hali ya juu mno,
It's amazing song
Fire GOSPEL clip, njoo emayian ntae Olaitoriani
this is very amazing
So much intresting
metamaiyiana intae ENKAI Enkajang' nanyorr
Kama sikosei, usukani kashikilia Mwalimu Lorpusi na wenzake, nawependa sana nyie jamaa, Mungu awape hatua zaidi.
Nice song
Nice one
Napenda sanaa...be blessed Maasai channel 💪💪💪
🙏🙏Tuko pamoja sana
Safi sana ❤
Safe sana natamani nijiunge nanyi nimependa
SAFI KABISA WAIMBAJI ENDELEENI KUIMBA WAMAMA OYEE:
The energy is too high
Kweli ni moto wa kuotea mbali
Kwaya Bora
Endasupai naleng
Ashe tukul!
Metamayana indae engai olosholai lemaa tendaraki osilongolio sidai lengisisa enye
nnje kimayani Ngai
Very beautiful. Greetings from Hungarian guy.
Hakik mmeimb sn
Sidai Oleng!
Sidai tukulu
Kwaya ya nani??
Hii kwaya ni ya wapi
Moita Bwawani
Tuombe radhi hii ni kwaya ya Upendo Moita na sii ya simanjiro.
🙏🙏🙏Tutarekebisha title
Daulod
Neema
Hakika wameimba
Wako vizuri sana