Nmeona kubarikiwa kupitia kwenye huu wimbo,hakina jina yesu linaweza yote,mwenye aliimba acha neema ya mungu ikutawale na ukaweze kuimba zaidi ili tubarikiwe🙏🙏🙏
Ninakiri hii damu ya Yesu inanena mema siyo sawa na habiri ni damu yenye nguvu na mamlaka ikanene mema kwa familiya yangu ikaponye mioyo yao namiili yao ni damu iokoayo ikawaokowe ktk maisha yao ktk jina la Yesu
Jamani huu wimbo uwa unanisogeza. Moja kwa moja rohoni najikuta naanza kukumbuka matendo makubwa aliyo nitendea mungu kwakweli nampenda sana uyu muimbaji
baada ya kufunga siku tatu huu wimbo umekuja kwa mawazo yangu na usiku nimeimba hadi saa hii bado naimba kwa zile shida napitia damu ya yesu inanena mema wakati maadui wanenipangia maovu damu yake inanena mema.Amen
2024 kama unasikiliza wimbo huu fumba macho umuone mungu
Amen 🙏
Jaman nabarakiwa sana nikiusikia huu wimbo hata kanisan
Oooh yesu damu ya yesu inanena mema jina hili tu ndio lenye uwezo tuu
Najisikia kuhudumiwa na Roho mtakatifu ninaposikiliza wimbo huu
Damu ya Yesu kweli ni kila kitu be blessed the man of God
Damu yako Yesu ikanene mema juu ya Familia yote ya ntekigwa
Hallelujah
Napata upako sana na huu mwimbo thanks God
Jina la Yesu linaweza yote,, Damu ya Yesu inanene mema
Damu ya YESU ina mema🙏🙏🙏
Ho haleluya ❤❤ Yesu nakupenda
Kwakweli hii worship oooh my Lord
Damu ya yesu inene mema kwa maisha na familia yangu na inifunike milele na milele Amen
So what are we going for today
Nyimbo inanisogeza karibu kabisa na mungu na roho wa mungu anashuka mzima mzima wangapi wanafeel hiyo nguvu👏👏👏👏🙌 2023 happy new year to all of you
Aminaaaa 👏❤️🌷🌹
Mimi dear
Jina la aloimba huu wimbo pls kama una mfahamu
Amen amen damu yake yatuokoa siku zote
Nmeona kubarikiwa kupitia kwenye huu wimbo,hakina jina yesu linaweza yote,mwenye aliimba acha neema ya mungu ikutawale na ukaweze kuimba zaidi ili tubarikiwe🙏🙏🙏
Damu ya yesu ikanifunike Mimi nafamilia yangu, amen
Amen
Ninakiri hii damu ya Yesu inanena mema siyo sawa na habiri ni damu yenye nguvu na mamlaka ikanene mema kwa familiya yangu ikaponye mioyo yao namiili yao ni damu iokoayo ikawaokowe ktk maisha yao ktk jina la Yesu
Amina sana huu wimbo unanibarik san❤❤❤❤
Tuko wangapi tukisikia huu wimbo tunachazwa na roho mtakatifu mpaka tunalia.
Aise
Motrooooo
hakika tuko wengi sana
Tupo hapa
Mm na watoto wangu tunapokea afya ulizi amani na kuinuliwa kweli damu ya Yesu Ina nguvu ya kuponya kutunza kulinda🙏🙏🙏
Damu yako Yesu inanena mema kwetu ..na itupiganie ya yote tunapitia🙌🙌🙌🙌🙌🙏🙏🙏😢😢😢 I worship you Jesus 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌😢😢😢
Usifiwe Yesu kristo 🔥🔥🙏🙏🙏
Amina damu yayesu inanena mema maishani mwangu❤ 8:31
Jina la yesu lina nguvu🙏🙏🙏🙏
Barikiwa sana mtumishi wa mungu
Amen
Mungu akupe maisha marefu hapa dunian nabarikiwa xana kupitia nyimbo zako
Damu ya yesu inanena mema kwa maisha yangu
This song is powerful
Jamani huu wimbo uwa unanisogeza. Moja kwa moja rohoni najikuta naanza kukumbuka matendo makubwa aliyo nitendea mungu kwakweli nampenda sana uyu muimbaji
Roho mtakatifu amenena ndan ya familia yangu naona nguvu ya mungu imeejaa ndani ya moyo wangu nabarikiwa sana huu wimbo
asante kwa wimbo mungu hakubariki tuko pamoja
Damu ya yesu unaweza yote..🙌💪👏👏👏🔥🔥🔥
I love this song so much nikiwa chini napata nguvu ya kuomba .. Barikiwa
Amen
Amen 🙏🙏🙏 barikiwa sana
Ubarikiwe sana siiachi kuimba kila siku mara 6
amen
Huu wimbo unachucha uwepo wa roho mtakatifu,kweli wimbo uko na uhai..
Huu wimbo unaupako hatali
Kakamega mpo ? Wonderful whorship
Damu ina nguvu... Asante Kwa kutufia na kutupa wokovu.amina
Imenibariki sana
At mmi kweli nakupend sa
Baba damu yako inanena mema
Damu ya Yesu inanena mema kushinda damu ya abel.. Naikiri hii damu inifunike na kunitetea pamoja na familia yangu. Inene mema kila mahali
Damu ya Yesu, damu ya agano Jipya, imenifanya mwana na mrithi katika ka ufalme wa Mungu
Eeeh Mwenyezi Mungu na mim kwangu Nena mema hasa nyama za moyo wangu huu Mwaka 2024 ukawe heri kwangu❤
Wimbo unaniweka uweponi mwa Bwana Yesu sana
baada ya kufunga siku tatu huu wimbo umekuja kwa mawazo yangu na usiku nimeimba hadi saa hii bado naimba kwa zile shida napitia damu ya yesu inanena mema wakati maadui wanenipangia maovu damu yake inanena mema.Amen
Hallelujah... Bwana Yesu amekutetea mtumishi
Damu ya yesu ni ukombozi Asante yesu kwa kumwaga damu Yako msalabani kwa akili yangu .thanks God
Damu ya Yesu yatosha 🙏🙏🙏
Amen
WAPENDWA kila kinahitajika katika huu wimbo ni kuweka imani kwamba hyo damu inafanya makubwa....be blessed all and Almighty God loves u all
amen amen mtumishi
Amen damu ya yesu inanena mema kwa familia yangu god is great more
Amen amen
Hallelujah 🙏
Amina
Inanena mema
Mungu anapenda wale wampendao nakuutafuta USO wake 🙏🖐️🇹🇿
Amen amen....karibu Sana mpendwa
Dsq
Nani yuko hapa wakati tunamalizia mwaka November 2023
Damu inanena mema
Ee yesu nineneee mema kwa haya majarbu ninayoptia
Amen amen
. Mungu akufanyie wepesi
🙏ameni
Damu y yesu inanena mema 🔥🧎♀️ good Friday 🙌damu inatosha yote 🌍🔥🌟👏🙏🙏
Amen 🙏🙏🙏
Inanipa wito wa kuwa kalib na mungu🙏🙏
Amen
Tuko wengi 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amen Amen 🙏🙏🙏 wimbo huu nisikiza roho mutakatifu anashuka yesu kiristo utukuzwe daima moyo mwangu 😭🙌🙌🙌🙌🙌❤️
🙇🙇🙇😭 there's know like you Jesus,huu wimbo ninapo uzikilisa hua nakuta nmezama kwa maombi, may God bless you man of God 🙏🙏🙏
Amen
Amina baba
Aminaa
Eee yesu ninenee mema katika maisha yang.Your blood is so powerfully🙏😭❤️.
Amina
Thanks i love it very powerful❤
Hua najikuta nalia ninapo sikiliza hii nyimbo mungu awabaliki sana hakika dam ya yesu inanena mema juu yangu naimani mungu ataniinua
AMEN amen
Umesha inuliwa Yesu ndiye uzima ulio na nguvu za ajabu Kwa wote wanaomkubali 🙏🏾🙏🏾
Hakika damu ya yesu inaweza
Barikiwa watumishi wa bhana
There's power in the Blood of Jesus Christ 💪🙏🙏🙏
Damu ya yesu ni ukombozi wetu
Amen amen
Damu ya Yesu inashida Yote barikiwa sana
Jamani Hu wimbo roho ushuka Wa jiona uko mbinguni
Amen
Damu ya YESU inanena mema ndio ndio bila shaka inanena mema Asante yesu kwa kujitowa musalabani ila mwanadamu amekataa😭😭
Sure
kwa kweli mungu anatenda makuu
Ñabalikiwa sana
Damu ya yesu calvary inanena mema Amen,
Amen
Do we need a lift back from the
Amen Amen
Blood of JESUS ❤
Walioimba huu wimbo barikiwe sana
Niko hapa 🙏🙏😭😭
Inene mema siku ya Leo kwenye masomo yangu
Nyimbo nzuri imenigusa sana
🙇♂️🙇♂️🙇♂️🙇♂️🙇♂️🙇♂️🇧🇮
Wimbo wenye Upako Amen mtumishi umenibariki
Let it speak in my life this year ,wimbo huu unanitia nguvu ...sifa ee bwana 🙏🙏
Hata Mimi nakumbuka mbali sana ayise
Ubalikiwe mtumishi wa mungu azidi kukujaza nguvu
Damu ya Yesu inanena mema maishani mwangu
AMEN
Ina shinda yote ooho YESU KAMA SIO WEWE ANNA NINGEKUA WAPI😭😭😭🙏
Damu ya yesu inanena mema
Nyimbo yenye upako
Linaweza yote
Damu ya Yesu inashinda yote ❤❤❤❤❤
kweli kabisa
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
amen
Ameen
Wimbo huu ni uponyaji tosha
amen