JENGUA: "Mama amepata ushauri mbaya, sijamuona/ siwezi kuamini"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 14. 09. 2018

Komentáře • 26

  • @saidasalim6372
    @saidasalim6372 Před 5 lety +2

    Nikweli kabisa na uso wake ulikwa wazi sijuwi wenzetu hawajuwi mana ya eda ni nn Atakwa chizi huyo mama subhanallah Allah Atamsamehe

  • @abdallamwinyi4790
    @abdallamwinyi4790 Před 5 lety +1

    Mama ana tamaa mpaka amsahau heshima ya dini..Mungu amsamehee..kisha hana hata majonzi ya kuondokewa na mume..kweliii pesa haina huruma...

  • @salomemukani1627
    @salomemukani1627 Před 5 lety

    Na mukubali sana kwa movie .uyu mpee hongera .

  • @khamiskhamis5323
    @khamiskhamis5323 Před 5 lety

    Saw saw Mzee jengua Mama kakosea kwa sababu yupo ktk Eida,,,Eida ni jambo muhim sn ten sn tuu

  • @maryammaram2612
    @maryammaram2612 Před 5 lety +1

    Mi namkubali jengua pamojaa👍👍👍

  • @mrsliverpool4235
    @mrsliverpool4235 Před 5 lety

    Well said

  • @najmamakame9881
    @najmamakame9881 Před 5 lety

    Pesa pesa pesa shetani jaman mali hizi dah mungu niepeshe kabisa kuwa natamaa ya vitu ambavyo si jasho langu

  • @mohammedabdallah6390
    @mohammedabdallah6390 Před 5 lety

    Wanasemaga eti wa kwanza na mie ndo ivo RIP KING

  • @nassororamadhan2515
    @nassororamadhan2515 Před 5 lety

    Hhaha jengua huyoo

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 Před 5 lety

    nikweli mzee jenguo hata akipewa pesa haruhusiwi kupokea kwa mkono anatakiwa awekewe chini ndio aokote

  • @mbodzebemasika7477
    @mbodzebemasika7477 Před 5 lety

    Bora umetusaidia babu..Uislamu wa siku hizi ni matatizo

  • @fatumaabdalla1018
    @fatumaabdalla1018 Před 5 lety

    Mwenye kukaa eda hatakiwi kuonekana Wala kuskiwa sauti yake huyo mama mtaftieni mwalimu afunze hajakaa eda inavyotakikana

  • @eliamadete1081
    @eliamadete1081 Před 5 lety

    Kwani jengua na majuto wapo ndugu

  • @mwatumsaidi5104
    @mwatumsaidi5104 Před 5 lety

    Alivofanya sivo kizuka hatakiwi kuonesha uko wake wala sauti duu mali mali mbaya

  • @sadasambuka4766
    @sadasambuka4766 Před 5 lety

    Nikwer amekosea awez kuongea kama ivyo

  • @husnauthman7609
    @husnauthman7609 Před 5 lety

    Eda ni ngum sanaa

  • @abdallahtupa2702
    @abdallahtupa2702 Před 5 lety

    mumesomq kuwa hawezi kuongea au mumesikiasikia

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky Před 5 lety +8

    Nili comments hapa mama alivyohojiwa ni Haram mama ambaye yupo kwenye eda nakuanza kuongea sauti yake kusikika watu humu povuuu likawatokaaa eti ooooh hayajakukuta mara ooooh asipoongea msaada atapata wp haya janguo huyoo anawajibu 🙅

    • @sadasambuka4766
      @sadasambuka4766 Před 5 lety

      onlymeruky nikwer hairuhusiwi

    • @rehemajuliusoman7372
      @rehemajuliusoman7372 Před 5 lety

      Nikwer kabisa upo sahihi

    • @mbodzebemasika7477
      @mbodzebemasika7477 Před 5 lety +1

      haram haram kabisaa

    • @mbodzebemasika7477
      @mbodzebemasika7477 Před 5 lety +1

      hata mimi nliambiwa hapa hayajanikuta nkasutwa humu.nliposema mfiwa hahojiwi..from the first minute mke akifiwa eda inaanza anafichwa haskiki hata sauti na alipo haenuki ila kwa privacy sana