MKOJANI afunguka kuitwa mchawi na SAMOFI / ukweli wa kumdhulumu gari

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024

Komentáře • 48

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 Před rokem +3

    Mm shab8ki wa mkojani sana ila kwasasa knitoka kabisa bora nickilize simuliz mix

  • @ramadhanirashidi4175
    @ramadhanirashidi4175 Před rokem +7

    Mkojani ana shida huwezi kuchukia na kila mtu Yani ana mnunulia mke wake gari na hafanyi naye kazi lakini anakuja kuzulumu wafanyakazi wezie wanao fanya apate pesa Yani Hy roho mbaya hy

    • @teophilletus8969
      @teophilletus8969 Před rokem

      Nenda na ww akakutombe akupe gar

    • @loner_wolf
      @loner_wolf Před rokem

      Mbona maelezo yameshiba, haujasikia gari ipo? Ukisikiliza maelezo ya Samofi utagundua alijua gari iliyoagizwa ni moja tu, lkn ukisikiliza hapa unagundua gari ni mbili, huoni Samofi ndio amechanganya madansa.... Gari yake ipo bandarini isipokuwa anawenge tu na anaweza kukosa gari kwasababu kwa wenge lake mwenyewe na mihemko ya kishamba

    • @sikukuuchuo3093
      @sikukuuchuo3093 Před rokem

      Maisha yake ameanza na mkewe mkojani hawajapatana muda mrefu .chunguza Kwanza usiongee tu

    • @samwelygilyaofficial7160
      @samwelygilyaofficial7160 Před rokem +1

      Umesikia gari zipo mbili Moja kashachukua boss yakwake ingine Bado ipo bandarini so hujaelewa nn

  • @Chombezaflava
    @Chombezaflava Před rokem +7

    mkojani kakimbiwa na zaidi ya 7 ana shida

    • @hamischuga6320
      @hamischuga6320 Před rokem

      Ni changa moto za makundi hizo hana shida ila kwenye wengi huwa wanapeana ujinga kama kumkomoa mtu

  • @mohamedmwabeha
    @mohamedmwabeha Před rokem +2

    Namkubali mkojani

  • @shamimuiddi-yo9fe
    @shamimuiddi-yo9fe Před rokem +1

    Namkubali xn❤❤

  • @jeremiahjohnson7313
    @jeremiahjohnson7313 Před rokem +1

    First one to watch 🎉🎉🎉

  • @husseinmkungu1166
    @husseinmkungu1166 Před rokem +1

    Kiukweli shida ipo kwa mkojani apunguze roho mbaya

  • @godfreyally-ps3fo
    @godfreyally-ps3fo Před rokem +1

    Kuna mbuyu😂😂😂

  • @MuniryJaphary-wh7vp
    @MuniryJaphary-wh7vp Před rokem

    Watu wanagombanisha tu wenzao

  • @jamaliabduli9385
    @jamaliabduli9385 Před rokem

    Nikweli kabisa ana matatizo mkojani

  • @HalimaHalima-id2cb
    @HalimaHalima-id2cb Před rokem +3

    Mkojani pambana kaka nakuaminia sana🔥🔥🔥🔥❤❤❤❤

  • @SwaabirMuhammad12
    @SwaabirMuhammad12 Před rokem

    Shida waandishi hamjui kuuliza maswal...yaani swali la mwanzo tayar unauliza unafki....ndo waandishi Wengi hamjui taaluma yenu mnaropoka tu

  • @shamsayahaya3888
    @shamsayahaya3888 Před rokem +2

    Kiiiiiiki

  • @nemankaran185
    @nemankaran185 Před rokem

    Hii ni Marketing strategic, acheni ujinga

  • @hassanmagoro4027
    @hassanmagoro4027 Před rokem

    Mkojani acha utapeli ww

  • @jumarwambo7420
    @jumarwambo7420 Před rokem +1

    Iyo kAmpuni inaitwaje ahsee n ya magari

  • @nasserrr90
    @nasserrr90 Před rokem

    advertisement + kiki = mjini mipango

  • @ismailchibonda5005
    @ismailchibonda5005 Před rokem +2

    Mkojani fala tu bwege Sana huyu jamaa nishamleft si mfatirii tena

  • @hassanmagoro4027
    @hassanmagoro4027 Před rokem

    Sio visuri kutepelli wasabi wako

  • @togetherwecansolve
    @togetherwecansolve Před rokem +1

    Huo ni uongo tupu huyu mzee anaongeya kwamaana kuna watu wamesomeya kutafiti watu kama hao so kwa kifupi nikwamba wewe kama C. E. O unajuwa vizuri kwamba mkojani na samofi Kila mutu kaagiza Gari la tamaniyo yake so kwa nini wewe useme eti hujuwi kama hili Gari ndo la muko jani au la samofi so huo ni uongo kabisa

    • @sat13maishayamtaani
      @sat13maishayamtaani Před rokem

      Gari kaagiza mkojani yote ila moja atampa samofi hasa km ww utajua lipi? Hujui halafu hujui kama hujui

    • @togetherwecansolve
      @togetherwecansolve Před rokem

      Shukrani yameshakwisha Ila haikuwa surprise apana ilikuwa makubaliano so kwenye makubaliano huwezi kumuchaguliya mutu wakati ana Aina ya Gari aipendayo

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 Před rokem +1

    Huyu samofi anataka gari kwanza ananyumba au ulimbukeni

  • @teophilletus8969
    @teophilletus8969 Před rokem

    Mataira yanapata shida San kwan walomkimbia wote mpak sas wamemzid nn kwa chechote au mnakurupuka tu daima bahar haikai na taka kwaiy mkojan hawez kaa na machoko ili kuwafurahisha ninyi

    • @shaphiasabani5760
      @shaphiasabani5760 Před rokem

      Tatzo ujielewi ww mkojani sio kama hanaweza yy kama yy mkojani hanabebwa na samofi tu hakuna mwengine ndio maana unaona umbamba humesimama kwasbabu ni mtu muhimu

    • @teophilletus8969
      @teophilletus8969 Před rokem

      @@shaphiasabani5760 Kuma kwel ww ujielew aya endelea kufuatilia utaelewa ulikua Ni mpango gan mpak ikatengenezwa Kiki ya bifu lakin pia mkojan kashavuma toka akiwa na kina tini samofi kaungana nae Jana tu na kusimama kwa umbambamba Ni kwasabu walikua wanasaini mkataba mpya ianze kurushwa wasafi tv kwaiy ilikua Ni kik kuipush kaz maan wasaf bila Kiki hawawez chechot kwaiy bishana na mataira wenzio

  • @adambakule7066
    @adambakule7066 Před rokem

    Gari imeagizwa kwa jina gani? Hilo ndo swali.

  • @stellah3844
    @stellah3844 Před rokem +1

    Hivi hizi online Tv haziwalip wafanyakaz au mbona wanahamahama sana yaana hawamaliz hata mwaka,,,,Huyu alikua Bongo trending mara nkamuona Duma Tv leo tena Bongo Touch 🤔

  • @lutenganolukali2122
    @lutenganolukali2122 Před rokem

    Kwanini iwe surprise achen uzush yule jamaa anasema hajalipwa miez 4 ana familia an ndugu ana mke pesa za Yotube malipo yake na hesabu zake mkikaa zinajulikana kufuatana na veiws na amesema makubaliano kila tar 22 so miez m4 hajalipwa acheni kucheza na maisha ya watu unaongea mambo ya ajabu ety surprise mngenifanyia mm mngeona

    • @block24tv60
      @block24tv60 Před rokem

      Ishu sio mshara wa miezi 4 hiyo ilikuwa nikukuza ukubwa wajambo, ishu ni gari samofi alihisi anatapeliwa.

  • @jannyjmamdak2570
    @jannyjmamdak2570 Před rokem

    Mkojani watu wote wanakulaum jirekebishe kaka kuishi na watu ni kazi ila sio ulaumiwe na watu wote