NGUVU ILIYOPO KWENYE KUSHIRIKI MEZA YA BWANA - Pastor - Sunbella Kyando

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 09. 2024
  • Kinacholeta mabadiliko kwenye maisha ya mtu siku zote ni ufunuo maana ufunuo ni ufunguo.Leo katika ibada hii Mtumishi wa Mungu Pastor Sunbella Kyando alitupitisha kwenye neno kuhusu siri iliyopo ndani ya mwili na damu ya Yesu,kadhalika sababu za Yesu kuumega mkate wakati akishiriki meza na wanafunzi wake.
    Karibu ujifunze pia hili somo ambalo litabadilisha kabisa mtazamo wako juu ya mwili na damu ya Yesu.
    UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
    Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
    Like our Facebook: / therealityof. .
    Follow our Instagram: / realityofch. .
    Subscribe our CZcams: www.youtube.co....
    #sunbellkyando #rocmedia #realitychurch

Komentáře • 22

  • @user-sb4ok6db8c
    @user-sb4ok6db8c Před 6 měsíci

    Amen nashukuru kwa kushiriki meza pamoja online

  • @veronikaaugustino2258
    @veronikaaugustino2258 Před 3 lety +2

    Asante MUNGU wangu sitabaki nilivyo kupitia damu yako na mkate AMINA

  • @alicewambua7894
    @alicewambua7894 Před 2 lety +1

    This is a deep revelation about the Holy communion, I'm blessed.

  • @yeremiarichard4755
    @yeremiarichard4755 Před 3 lety +3

    Kumbe kuna kitu cha ziada kimegifica nimegifunza kitu

  • @neemagreyson3076
    @neemagreyson3076 Před 3 lety +1

    Mungu akubariki sana umenifundisha Kitu ambacho sijawahi kusikia .sasa nimeelewa,Mungu akuzidishe akupeleke mpaka mataifa mengine ili wasikie haya

  • @lulumatawalo7805
    @lulumatawalo7805 Před rokem

    Aiseee mafunuo ya ndani kabisa sijawahi kuwaza wala kusikia...Mungu akubariki mtumish wa Mungu

  • @kwidengemvyaesaie458
    @kwidengemvyaesaie458 Před 2 lety

    Yesu nakuomba uniwîzeshe niwaguse siku utanipa hawa watumishi wako

  • @nursechunga4470
    @nursechunga4470 Před 2 lety

    Mungu akibariki mchungaji na baba yangu🙏 najifunza mambo mengi Sana kutoka kwako

  • @agimic1434
    @agimic1434 Před 2 lety

    Ninaamini kila aina yoyote isiyo ya Mungu ndani yangu umetoka kwa Jina la Yesu

  • @veronicamyovela2327
    @veronicamyovela2327 Před 3 lety

    Nimejifunza kitu kikubwa sana, hakika hakuna mtumishi aliyepewa mkate mzima hivyo ni lazima kukubali kujifunza kwa mtumishi mwingine, Mungu akubariki mtumishi wa Mungu.

  • @kwidengemvyaesaie458
    @kwidengemvyaesaie458 Před 2 lety

    Nguvu ya Damu ya Yesu Kristo ipooo

  • @arrfamush3285
    @arrfamush3285 Před 3 lety

    Najiunganisha na meza ya bwana kwa jina la yesu

  • @emanueltimoth4523
    @emanueltimoth4523 Před 3 lety

    Nakuelewa saan najua kuna namna Mungu ananifundish kupitia wew

  • @jescarmasesaimory4621
    @jescarmasesaimory4621 Před 3 lety

    Amen na mie nimejiunganisha meza ya BWANA YESU nimeskia mwili wangu unaachia

  • @agimic1434
    @agimic1434 Před 2 lety

    Nimeshiriki Leo neno hili naamini nimefunguliwa Leo 28/12/2021

  • @joanjuma2640
    @joanjuma2640 Před 2 lety

    Amen

  • @emanueltimoth4523
    @emanueltimoth4523 Před 3 lety

    Yeeeeeees

  • @esthermramba9395
    @esthermramba9395 Před 3 lety

    Ooh halleluya ...asante kwakupokea kutoka kwa Bwana

  • @pstr.chetto8596
    @pstr.chetto8596 Před 2 lety

    Amen man of God good work

  • @monicambetwa2620
    @monicambetwa2620 Před 3 lety

    Asante sana Mtumishi

  • @yeremiarichard4755
    @yeremiarichard4755 Před 3 lety

    Kuna base ya maknisa wanashiliki pasaka tu

  • @neemasaidisaid1791
    @neemasaidisaid1791 Před 2 lety

    Amen.