Baina ya huzuni na furaha, huzuni ndiyo huwa hutangulizwa kihukmu ya kiakili. Kwa hivyo wale watakaokuwa katika hali ya huzuni siku ya Ashuraa ndio wako katika haki zaidi. Mwenye raha huenda raha yake ni kutokana na kuuliwa kwa mjukuu wa mtume (s.a.w.w).
MashaAllah TabarakaRahman
Maa shaa ALLAH 💚💚💚
AlhamduliLlah ShukranLakum Allah Yasturana Allah Yahfadhna
Maa shaa ALLAH. Shukran kwa faida
Tumejaa na eeb lakini AlhamduliLlah M Mungu hutustiri na IBADA Anazotujaalia Funga Muhimu Allah Atuwezeshe
Baina ya huzuni na furaha, huzuni ndiyo huwa hutangulizwa kihukmu ya kiakili. Kwa hivyo wale watakaokuwa katika hali ya huzuni siku ya Ashuraa ndio wako katika haki zaidi. Mwenye raha huenda raha yake ni kutokana na kuuliwa kwa mjukuu wa mtume (s.a.w.w).