😢 jamani tatizo hapo ni kwamba sisi wafrika tunaamini mzungu ndo mkombozi wetu kwa sababu yesu ni mzungu alafu chengine wazungu walitutesa alafu wakaandika historia yetu tena daah 😢 inaliza , mzungu alitugombanisha na mnyarwanda jamani tuamke rwanda haiwezi ikasumbuwa congo , Congo awagombani na rwanda wanagombana na mzungu. Mungu wa kweli yupo kwenye asili yako na mila yako。
Cette chanson me fait couler les larmes de mes yeux😭😭😭 une chanson Educative. Que les peuples Congolais soient vigilants car nous devons être unis et soudains pour combattre ces fléaux. J'aime mo pays Malgré ces différents problemes. Et Courages Bernard car tu fais la fierté de notre Ville d'uvira.
Hii Ndio injili ambayo tunayo himiza kwa vijana. Lazima wa missionaries wapya wakiafrika wa sambahe sehemu zote ku bomowa fikra zilizo fungwa tangu mkoloni!!!!
Na bado natamani nyimbo zako zikae upande huu maana kwa Tanzania hatuna mtu wa aina hii ya muziki zaidi ya wale waimbao kwa lugha zao za asili ila kwa upande huu ezigusa hisia za watanzania na waafrika
Adui wa mwafrika sio mzungu, Adui wa mwafrika ni mwafrika yeye mwenyewe. Leo hii viongozi wa kiafrika kwa uchu wao wamadaraka wanaleta machafuko nchini mwao watu wanauana mzungu apo anahusikaje? Mwafrika anabuni vitu kiongozi wake anakipiga marufuku ili cha wazungu kiendelee kuwa juu.
😢 jamani tatizo hapo ni kwamba sisi wafrika tunaamini mzungu ndo mkombozi wetu kwa sababu yesu ni mzungu alafu chengine wazungu walitutesa alafu wakaandika historia yetu tena daah 😢 inaliza , mzungu alitugombanisha na mnyarwanda jamani tuamke rwanda haiwezi ikasumbuwa congo , Congo awagombani na rwanda wanagombana na mzungu. Mungu wa kweli yupo kwenye asili yako na mila yako。
Ubarikiwe sana ndugu🙏
hiyo wimbo inatungusa sisi wa congomani nasema asante kwahuu wimbo
Wimbo huu umenigusa akika / barikiwa bro kwakazi hii ya uwimbaji🎤
Asante baba
Kaka imba tena zaidi yasana wa ambie kbs sio wa ndugu zetu ni wabaya sana kbs
Adui zetu ni wazungu kabisa bro keep going.
Wabaya ssna tena saaaana
Ubarikiwe sana grand
First one here🥰🥰🥰 much love from Australia 🇦🇺🇦🇺
🙏🙏🙏
kazi nzuri
Kazi nzuri sana, Mungu wa mababu zetu akusimamiye daima
ujumbewako mzuri my brother kweli
Naona unazidi kupambana nakutetelea haki kwawatuhote kweli wazungu wabaya sana .
Kabisa kabisa baba
Sisi ndio wabaya maana hakuna mzungu anayeshika silaa kutuua Bali tunauana sisi kwa sisi
Waafrika tuamuke tuimizane, tujuwe adui yetu ni Nani? Bernard Deps ♥️♥️♥️♥️from 🇿🇦🇿🇦✌️✌️✌️
Asante dada yake miye🙏🙏
Like this sht from USA 🇺🇸 👌 big up bro
Kazi Nzuri sana brother
Jamani wewe unahona lakini waho awahoni kaka kazi nzuri kweli my kaka 😍🙏🙏
Asante dada
Wowowowowo great papa, wanzungu ndio wabaya sana bro
Kabisa
Hongera sana kwa muimbaji endeleya na kazi baba
Big up Sana kuujumbe Mzuri kabisa
Asante
Good words bro
Hongera sana Kaka wa kwetu
Napendasana nyimbo zako za mafunz
Asante sana dada yangu
Piga kazi baba
Ndio baba
Hotep hotep mwana wa mungu baba wa afrika asili ikuongoze
Ndugu umenigusa kweli.
Asante baba
Hongera Bernard Deps!
Asante baba
Mmmmmmm mzeee wakupigania inchiiiii Ale mwana wa????
Hiyo ni kweli sana jamani ni uzuni 😭😭😭😭
😭😭
Keep up msango my lord be with you
Uko poa sana my brother 🦻
Kazi nzuri Kaka! Fière d'être mbondo!!!❤️❤️❤️
Cette chanson me fait couler les larmes de mes yeux😭😭😭 une chanson Educative. Que les peuples Congolais soient vigilants car nous devons être unis et soudains pour combattre ces fléaux. J'aime mo pays Malgré ces différents problemes.
Et Courages Bernard car tu fais la fierté de notre Ville d'uvira.
Merci bcp ma sœur 🙏🏻
Ndiyo Kabisa Mungu Akubariki 🙏🙏🙏🙏
Asante baba
KAKA APO UNANI JENGA SANA KK
Mungu akubariki Ndugu yetu
Amen
Byangene Manga wetu mwana from buja
Asante baba
@@bernardbaru Sawa wangu
Barikiwa byakutosha wa w'etú
Asante baba
Komaa kaka nyimbo hii nzuri sana tena umeimba kwenye ubora kabisa wa viwango vya juu sana
Sijasahau iyi ngoma nitahendelea kuhifatililiya sana iyi ngoma🤦🤦🤦😭😭😭Bron mimi sina uwezo wa kukulipa Ila Mungu atakusahidia ili ufikie malengo
Siyo kubarikiwa tu bro ilifau Guvernement itufukuziye wapumbafu wazungu wote tubaki shiye wenyewe,
I Love you music from zambia 🇿🇲🇿🇲
LOVED IT BIG IDEA
🙏🙏🙏🙏
Saw bro❤💙💚💛
Nalia kwa uchungu 😭🙏
😭😭😭😭 Africa
🔥🔥mbondo to the world 🌍
🙏🙏
Zidikutowa watu mugiza 🌚🌚🌚🌚 man ndo kaziiyo sasa
Asante kabisa
God bless you my brother 🙏
Tubadike tupendane
One day it will end let us believe 👌👌❤️
🙏🙏🙏
that's is true Africa 🌍😭😭🙏🙏
🙏🙏
Ujawahi kunihangusha 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Utafurai zaidi baba
Asante sana kwa kuendelea kutumbusha ndugu yangu. Fikra hizi ziishi daima. Viva Bernard Deps
Iyi ngoma inafanya niliye kwl
Big up bro🤝
Mwakole manga wetù mwana. 🇨🇩🇨🇩💪
Ongera sa kwa atuwa hii zaidi ndugu
Asante sana baba
Nimerudi tena ❤❤❤❤❤
Kweli
Nakukubali sana bro .
Asante
😢💔🔥 Una Tisha sana
Asante
Nice song wa KWETU
Asante kiongozi
War ain't over yet in Africa 😭😭😭
Hii Ndio injili ambayo tunayo himiza kwa vijana. Lazima wa missionaries wapya wakiafrika wa sambahe sehemu zote ku bomowa fikra zilizo fungwa tangu mkoloni!!!!
Kabisa kabisa
good
🙏🙏🙏🙏
Wow nice song.🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Thanks
Africa Ooyeeeee!!!
Inapendwa sana
Inahuma 😭😭😭😭
Une belle chanson vraiment.
( 1st song 🎵 in 2021 )
Mwakole manga wetúmwana BERNARD. 😭
Na bado natamani nyimbo zako zikae upande huu maana kwa Tanzania hatuna mtu wa aina hii ya muziki zaidi ya wale waimbao kwa lugha zao za asili ila kwa upande huu ezigusa hisia za watanzania na waafrika
Kazi nzuri bba
Asante mama
Mziki mzuri tena wa uzalendo
Asante
Keep going bro
You’re doing great job👏✊✊🤞
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
🥰❤️😘🇺🇸
Much love my buddy . it's my 2021 playback song and still on repeat 2022.good job
Nice one
Bien
Nice bro
❤️❤️🔥🔥
🙏🙏❤️❤️
Sisi mashabiki wako ndio inatubidi tuendelee kusambaza jina lako na nyimbo zako ila nawe pia uwe kwenye kiwango cha kimataifa.
Adui wa mwafrika sio mzungu, Adui wa mwafrika ni mwafrika yeye mwenyewe. Leo hii viongozi wa kiafrika kwa uchu wao wamadaraka wanaleta machafuko nchini mwao watu wanauana mzungu apo anahusikaje? Mwafrika anabuni vitu kiongozi wake anakipiga marufuku ili cha wazungu kiendelee kuwa juu.
Asante ndugu ila naona hukuelewa wimbo baba, usikilize vizuri
Long vie
Nimekuja kuitizama ten hii video 2022😢😢😭
Bro! Umenifanya niwakumbuke waafrika wenzetu walio jaribu kufanya makubwa na jinsi walivyo angushwa na wakoloni
Lwémbo lóló babocwá tékenene
CONTACT PLEASE GIVE ME IF YOU DONT MIND
Sijasahau iyi ngoma nitahendelea kuhifatililiya sana iyi ngoma🤦🤦🤦😭😭😭Bron mimi sina uwezo wa kukulipa Ila Mungu atakusahidia ili ufikie malengo