Maoni ya wakazi wa Kisii kuhusu masaibu ya uarabuni

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 09. 2022
  • Serikali ya Kenya yalaumiwa kwa kutowajibika vilivyo

Komentáře • 150

  • @bakaritsuma2190
    @bakaritsuma2190 Před rokem +26

    Sonko apewe hiyo kazi he is a good man

  • @janemumbi3948
    @janemumbi3948 Před rokem +6

    Thank you for telling Kenyans the truth

  • @winnykeya4353
    @winnykeya4353 Před rokem +14

    Huyu mama ameongea ukweli kabisa hata mm nilipitia hayo

  • @charlesweru7787
    @charlesweru7787 Před rokem +9

    I am advocating for the Saudi ambassador to be removed from office and all those who are there coz they not only take brides but forcefully beat and mistreat kenyans.watolewee office immediately

  • @safinaamutabi2843
    @safinaamutabi2843 Před rokem +4

    This is the correct person to talk about life y Saudi huyo Mzee wa yesterday alikuwa anaongea upuzi

  • @itiamekimbui722
    @itiamekimbui722 Před rokem +5

    Thank you madam for your experience. My opinion regarding this challenge it is government laxity and poor planning for their youth. In other countries they have established elites loans . A degree certificate is given value like a title deed or a vehicle logbook. Where by after our graduates can produce a degree certificate to a bank and get loan depending on the type of the career and their sponsor should be the institutions they schooled. If someone is a graduate on civil engineering. If they forge a comrades sacco of 5 or 10 engineers each with his loan they open a construction company. They get tender from government. And they provide jobs to the others youths. This is how we can grow our economy instead of these slavery emigration

  • @aliceogeto9325
    @aliceogeto9325 Před rokem +1

    I love that advice from our mheshimiwa. Joyce .pleace educate our people. Our sisters are suffering to death.

  • @shirowdestinys5775
    @shirowdestinys5775 Před rokem +4

    A living testimony..

  • @danmtuli9484
    @danmtuli9484 Před rokem +2

    hope our leaders will change our country economically so we can stay within code 254 n develop it, but I doubt with the level of corruption 254 is in🇰🇪🇹🇿

  • @betsyakoko6810
    @betsyakoko6810 Před rokem +5

    They should look for someone who knows and wants to help kenyans

  • @betsyakoko6810
    @betsyakoko6810 Před rokem +4

    So how can you help the girls and boys working there now God has lifted you

  • @jakee2041
    @jakee2041 Před rokem +9

    Na Kuna mabaya Sasa yametokea ambayo hayakua yamejulikana. Hii siri ni daktari mmoja alitoa akasema ifichwe kabisa akijulikana atauwawa. Kuna maboss wengine wanapea madaktari pesa wanakudunga dawa ya sumu ambayo inamalisa miaka mbili kwa mwili, so an ukifika kenya after contract unakufa ghafla. Halafu watu wanaanza kusema eti amekuja juzi na amekufa wiki iyo iyo. Halafu watu wanasema ni uchawi, so hata ukikua mgonjwa Saudi omba Mungu epukana na maosipitali, waaaaaaah

  • @rebeccagikonyo5648
    @rebeccagikonyo5648 Před rokem +1

    Asante for letting the whole world know what is going on in Saudi.

  • @reginawambui7158
    @reginawambui7158 Před rokem +2

    Well spoken mama 👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼

  • @Susanne-njoroge
    @Susanne-njoroge Před rokem +1

    Ifungwe Ifugwe Kartika njina la yesu, serikari ishugurikie kurundisha watoto wetu Kenya na wale wanatak kuenda huko wakataswe🤙

    • @ummiissaabdulissaabdul8117
      @ummiissaabdulissaabdul8117 Před rokem

      uzur saudia akulazimishwi mtu kuja ni hiari ya mtu na shida zake mana tulikaa kenya tukawa atuna mbele wala nyuma tuko kama chokoraa lakini alhamdulilah kutoka safar zianze gulf kumeinua wengi sana sana kwaiyo ntasema nikuomba mungu tu lakini mkisema kufugww mamilioni ya watu walio gulf mtawapattia kazi.gani kenya na kila kizi ni kujuana au mwataka tuje tuwe wapenzi watazamaji mungu atufungulie tukae saudia mpaka tutimize ndoto zetu inshaallah

  • @emillyzeeh1173
    @emillyzeeh1173 Před rokem

    True be blessed , tell our Girls wasikiea 😘♥️🙏🙏🙏🙏watching from germany

  • @mohamedhozi8110
    @mohamedhozi8110 Před rokem +3

    Mi hata nashangaa ikiwa wanawake mnapigania kuenda saudia..haina haja mtu aseme safari za saudia zifungiwe n wwe mwenyewe na roho yako kataa kuenda saudia kwa maana pale alipouliwa mwenzako haujui n nyumba gani unaenda uko hyo nyumba haina maid unachukuliwa wwe tena nchi zooote...lakn saudia kwa kazi ya house maid mkatae ongeeni na njaa zenu ama muende nchi zengne

  • @marangalydia4049
    @marangalydia4049 Před rokem

    Si wote wanapitia matezo. Some arabs are so good

  • @jakee2041
    @jakee2041 Před rokem +3

    Aki hizo chemicals amesema ni ukweli. Yaani chrolox, flash yenye inaitwa ONE TOUCH, hii inachukua hewa zote kutoka kwa mwili na unashindwa kupumua kabisaaaa. Aki Mungu anawaona tuuuuuu.......

    • @bella6551
      @bella6551 Před rokem

      Usimix flash na anything my da

  • @rosemarynyambura2327
    @rosemarynyambura2327 Před rokem +3

    Huyu mama anasema ukweli

  • @dorrysamson1187
    @dorrysamson1187 Před rokem +2

    Ooh God 😭 😭 may God have mercy upon us,thanks alot fr the encouraging experience

  • @khadijahtumna2016
    @khadijahtumna2016 Před rokem +1

    Finally mheshimiwa amewafikia wanyonge

  • @linarobongo3856
    @linarobongo3856 Před rokem +1

    May God protect our people

  • @alicenyabate8148
    @alicenyabate8148 Před rokem

    Waah nimeshindwa kujitoa huko gaki hata mm natafuta usaidizi

  • @africanworrior1318
    @africanworrior1318 Před rokem +1

    Wafunge all the angencies kwanza mpaka serikali ushughulikie kwanza, motuary za saudi zimenjaa kenyans, hospitals nawenye wamekufa wakatupwa hawa waarabu wa saudi ni moto

  • @kevinmomanyi7996
    @kevinmomanyi7996 Před rokem +1

    They will never stop 🛑🛑🛑🛑 going

  • @elizabethmuia9839
    @elizabethmuia9839 Před rokem +7

    Alafu hizo codract papers wawekee Watu working hours plz na mshahara ya maana, not less than 1300SR coz kasi ni mob na pia kuwe na one day off kama wafanya kazi wengine the whole GULF

    • @marymutavi5446
      @marymutavi5446 Před rokem

      Ukweli tunatuumiwa vibaya,hakuna kupumdika halafu masaa ya kulala machache sana

    • @naomymose1866
      @naomymose1866 Před rokem +1

      Uchumi I naenda juu lakini msahara uongeshwe, pia, philipine wanalibwa 1500sr. Riyals.

    • @natashablessings4354
      @natashablessings4354 Před rokem

      @@naomymose1866 it's the same salary coz 1 riyal is 15 Philippine money

    • @user-cg3vf2bl6b
      @user-cg3vf2bl6b Před rokem +1

      @@naomymose1866 yeah hawa wanalipwa hivo bt kama kuna penye uchumi ni mbaya ni uko,hiyo doo ,yote unaona ikifika kwao ni 19000k imagine my workmate ni Philippine,

    • @user-cg3vf2bl6b
      @user-cg3vf2bl6b Před rokem +1

      @@naomymose1866 yeah hawa wanalipwa hivo bt kama kuna penye uchumi ni mbaya ni uko,hiyo doo ,yote unaona ikifika kwao ni 19000k imagine my workmate ni Philippine,

  • @gacerigitonga6935
    @gacerigitonga6935 Před rokem +1

    Wasaudi hawawezi badilisha ata kuwekwe mikakati ya aina gani .better kufungwa tu

  • @jakee2041
    @jakee2041 Před rokem +1

    Aki umeongea ukweli ukweli ukweliiiiiiii MADAM. Mungu akubariki. Ni NEEMA ya MUNGU imenivunika niko Sawa mimi hapa Saudi. Mutuombee wakenya wen zetu tumalize contract. Maboss wengine ni wazuri.

  • @Irene-cm8gp
    @Irene-cm8gp Před rokem

    Mungu tusaidie hata mmi niko Riyadh saud huyu mama anaongea ukweii atammie napitia2

  • @evancejohn1294
    @evancejohn1294 Před rokem

    Wow! what a good story teller

  • @rehemakazungu6945
    @rehemakazungu6945 Před rokem

    mungu akusaidia mama unaongea ukweli mtupu🙏🙏

  • @christinemulongo9591
    @christinemulongo9591 Před rokem

    Ni kweli madam tuko huko yenye tu napitia ni Mingi mno

  • @cynthiamarube9216
    @cynthiamarube9216 Před rokem

    Aki mungu atusaidie tu juu ckupenda kwetu kwa kukuja uku n shida n kenya akuna kazi unapewa 😭😭😭😭😭uku n mungu tu

    • @jackline016
      @jackline016 Před rokem

      Na anasema warudishwe badala ya kusema waweke mikakati atapea thousands of people in saudia kazi

    • @cynthiamarube9216
      @cynthiamarube9216 Před rokem

      @@jackline016 n mdomo tu sisi atutoki juu wakisema tutolewe uku awatatupea kazi n bado watu kenya wanateseka tu na bado wanakuja wasaidie wenye wako uko ndio wakuje uku n saudi aifungwi juu kenya akuna mapato..kukufa iko kila mahali n mungu wako tu

  • @sarahmauwa3771
    @sarahmauwa3771 Před rokem

    Alafu na imagine na agents wanalipwa pesa mob... Maid analipwa pesa kidogo

  • @omarasman2392
    @omarasman2392 Před rokem

    Nilikua Saudi Arabia mwaka wa 2019 hadi 2021 nilioaona nimakubwa wakenya wanapitiamengi naomba kuokengea na media niaeleze kinanga ubaka kinacho tendeka Saudi Arabia

  • @user-dn2nr2gj7f
    @user-dn2nr2gj7f Před rokem

    Josephine kemunto. True umeongea ukweli watu wanateswa sana

  • @b.3940
    @b.3940 Před rokem

    Mimi nilichimbiwa bunker nyuma ya nyumba na nilikuwa nalala hapo. Imagine usiku shida za kususu na kufanya No.2. Mwarabu ni shetani.

  • @peterkibicho1850
    @peterkibicho1850 Před rokem

    Modern day slavery,This is not acceptable. All these agencies should closed forthwith!!!

  • @florencemuchiri4177
    @florencemuchiri4177 Před rokem

    Hae guy that true muheshimiwa

  • @christinemulongo9591
    @christinemulongo9591 Před rokem

    Tena mshahara ni kidogo Sana

  • @josephkarani9773
    @josephkarani9773 Před rokem

    Tafadhali watoto wetu wasichana sikizeni maneno haya na mjiepushe na kuenda uarabuni. Hawa watu wamewatesa jamii ya waafrica tangu siku za akina Seid said the slave traders huko Zanzibari ni uchungu sana kuona mambo haya yakiendelea hadi sasa.

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 Před rokem

    Mtihani mkubwa huo kuwa watu mtihani mkubwa huo mimi nipo oman nashukuru mungu alhadulilah mateso nipata kulala chini lakini nitoka kwa nyumba hiyo yapili nitoka sikutaka kwa jeur ya tatu nikaumwa nikapelekwa officin ya 4 afadhali

  • @fhhfd8449
    @fhhfd8449 Před rokem +1

    Sitaki saudia kufungwe kila mtu na bahati yake kuna warabu wengine wazuri sana kama wangu

  • @maryjohns7710
    @maryjohns7710 Před rokem

    Sonko apewe kazi na wengine kama huyo madam...plus true all Agent to be closed

  • @faishaogola9938
    @faishaogola9938 Před rokem

    Sonko was a real human being, wacha Hawa watumbo good for nothing leaders, please create jobs for out Kenyans

  • @user-jy6gn3kn9q
    @user-jy6gn3kn9q Před rokem +5

    I prefer Akothe apewe hiyo kazi hawa wengine wanafanya tunateseka juu ya hongo wanapenda pesa sana 😢

    • @sellinahkisienya.1799
      @sellinahkisienya.1799 Před rokem +2

      Your mistaken my dear, she can not.

    • @josphenemutisya232
      @josphenemutisya232 Před rokem +1

      Seriously 😒

    • @jacklinemutie8901
      @jacklinemutie8901 Před rokem

      Kwan akothee hapendi pesa

    • @sellinahkisienya.1799
      @sellinahkisienya.1799 Před rokem +1

      @@jacklinemutie8901 my sister Kuna video Akothe alisema atauza wasichana saudi na wake apekee Europe what did she mean with that, huyo ndio mnasema atawatetea better hata Songo na sarakasi zake.

    • @user-jy6gn3kn9q
      @user-jy6gn3kn9q Před rokem

      @@jacklinemutie8901Namuona ako tough kiac bt ucjal n maoni tu na hata hatujaitishwa oppinions ucjal siz😂😂

  • @ummiissaabdulissaabdul8117

    mama plzz plzz kusifugwe mana sisi wengine ndio maisha yetu tulipokua kenya tulikua kama chokoraa lakini kutoka tuje saudia alhamdulilah nasi kidogo twajiona tuko katika dunia hii acha tushukuru mungu alie anzisha safari za ugaibuni mm binafsi billah kumenisaidia sana sana saudia na sijutii mana ningekuja kutoka niko na miaka kumi basi ningekua mty mwengine zaid acha nizidi kuomba mungu anifanyie wepesi nitafute hii rizki saudia kenya kazi nza kujuana kukifugwa watu watafanya nini

  • @gilbertkitui4084
    @gilbertkitui4084 Před rokem

    Wacha kabisa kuruhusu eti waende no.1 wafunge maajenti wenye wanawapeleka huko. 2. Ruto ahaakikishe wenye walienda huko warutishe pliz

  • @mushken65
    @mushken65 Před rokem

    Tafadhali wakenya hata kama ni taabu. Simuwache kujipeleka kujitia kitanzi na kupoteza maisha yenu Saudi Arabia. Waarabu si watu

  • @mushken65
    @mushken65 Před rokem

    Ruto fungal kabisa mambo ya wasichana wetu kwenda kuteswa na kuuliwa Saudi Arabia. This now has got to be intervened by the government from your level at this point. It is slavery

  • @mamaapolo6898
    @mamaapolo6898 Před rokem

    Sorry madam but you reached your destiny I,m next Najiran the place Abar lthank God I'm okay

  • @emillyajiambo4703
    @emillyajiambo4703 Před rokem

    May God be we others

  • @annmwariri3059
    @annmwariri3059 Před rokem

    They say you can't feel the pain until you become a victim...wengine wanasemanga wanakemboi wakapige umalaya and how iwish they know khai 🙆‍♀️🤦‍♀️ kama hujui kitu heri tu unyamaze

  • @georgeouma1098
    @georgeouma1098 Před rokem

    That house boy who worked 10yrs come here tell us huyu mama alitoa mimba? Agency who support suffering for our brothers and sisters should be in for it

  • @peterkibicho1850
    @peterkibicho1850 Před rokem

    Nobody should go to Saudi Arabia. Period!!!

  • @aminawebo7014
    @aminawebo7014 Před rokem

    Huyu ndio atasaidia wasichana wa KAZI pia vijana wapate KAZI aki Mungu tuhurumie

  • @patriciahkiio9692
    @patriciahkiio9692 Před rokem

    Si wabadilishe Hao agents wa embassy cos Ata wa bahrain ni washenxi sana

  • @naomymose1866
    @naomymose1866 Před rokem +1

    Iyo yakutoa mosi inatwa flash it is acid kali, for 20 minutes u will be call past tense. Nimbaya sana plz anybody who will pass through my comments, na unafanya kazi huku be care with flash, plzzzz plzz, it really kills.

    • @jakee2041
      @jakee2041 Před rokem

      Ukweli kabisaaaaaaaaa. Hii ni ya kuua.

  • @khamisijuma3167
    @khamisijuma3167 Před rokem

    Mama umeongea ukweli mtupuu wasiosikia watakwenda ona kwamacho yao

  • @hidayasaidi7872
    @hidayasaidi7872 Před rokem

    Ndiowawaachewaarananchiyao🙏🙏🙏🙏

  • @ummiissaabdulissaabdul8117

    katika watu wote walio wai kuhojiwa basi uyu mama ameongea point ndio amejua changamoto ya ukweli sana

  • @mercyserem1821
    @mercyserem1821 Před rokem

    Hapo sasa

  • @samwelkirimi5939
    @samwelkirimi5939 Před rokem

    Mwenye maskio asijue huamuzi ni wa mtu binafsi sasa watu wasilaumu sherekali tena

  • @jumakungala2525
    @jumakungala2525 Před rokem

    Ma agent wengine n wasenge alafu juzi wamejitokeza wakita haki upuzi mtupu

  • @phoebemoraa3369
    @phoebemoraa3369 Před rokem

    me i ithank God 🙏🙏 Niko poa Niko save I have a good boss ukweli

  • @josephobel7846
    @josephobel7846 Před rokem

    Hini indirect slave trade hi biasara ikomswe kabisa

  • @doricecyprian7246
    @doricecyprian7246 Před rokem

    Saudi kufungwe jameni

  • @fhhfd8449
    @fhhfd8449 Před rokem

    Mwana wa mary after kutoka prison saudi arebia amekuwa agent

  • @shidashidam.5489
    @shidashidam.5489 Před rokem

    Hawa ma urgents wenye Wana pereka watu watu wavunjwe kabisa

  • @simenyasikhulu
    @simenyasikhulu Před rokem

    Very sad.

  • @atangastephen6670
    @atangastephen6670 Před rokem

    Ni wachache hupitia shida, wengi wako sawa. Story ya Kemboi wengine ukemboi kwa tamaa ya pesa mingi, wengine kwa mateso na wengine kwa sababu ya dryspell. Na hizi shida sana sana hupata wanadada

  • @reginakingola1755
    @reginakingola1755 Před rokem

    Yaani ulipingwa?????

  • @gulfstarladies1577
    @gulfstarladies1577 Před rokem

    serikari itusaidie sisi tumeblokiwa na ma sponser tumesidwa kurudi kenya na embarsy haitusaidii mimi niko 10yrs bila kurudi kenya sponser ukikemboi juu ya masida anakuekelea umeimba na ana block 🚫excit yako naomba serikari yetu itusaidie

  • @rosekadzokadzo1401
    @rosekadzokadzo1401 Před rokem

    Tell all the house maids in Saudi those who are suffering, to be. taken back at home, na wafunge kabisa till further notice

  • @LindanjSue
    @LindanjSue Před rokem

    Ukweli sana mateso

  • @davidgitonga1353
    @davidgitonga1353 Před rokem

    Nikweli wanateswa Pia tuko na masister wako uko wakitaka mahali pajuli kujeni Qatar Kwa campuni ya almisnad cleaner tunaenjoy

  • @VvVv-kf8ho
    @VvVv-kf8ho Před rokem

    Gavernment wanalipwa deni NA hao waschana wanaenda saudi thats why hawawezi funga

  • @sarahmauwa3771
    @sarahmauwa3771 Před rokem

    Ata mimi nimekua najirani

  • @ignaatambo2458
    @ignaatambo2458 Před rokem

    So sad 😢😢

  • @davidgitonga1353
    @davidgitonga1353 Před rokem

    Walundiswe wote

  • @elizabethmuia9839
    @elizabethmuia9839 Před rokem +1

    Mwanawamary kwani amekuwa Agent

    • @fhhfd8449
      @fhhfd8449 Před rokem

      Ata ndiyo nashangaa vile anaongea nikama alisahao alipotoka saudia

    • @naomikelitukamasaku3037
      @naomikelitukamasaku3037 Před rokem

      Mwana wa Mary anyway alinisaidia 2018 nikahome😂😂

  • @margaretwanjiku5973
    @margaretwanjiku5973 Před rokem +1

    Thank you madam but me I think there's something between Kenya&Saudia Government & human trafficking is real no matter what why why surely? President of the Republic of Kenya plz cut this chain

  • @jacklinenoballa8946
    @jacklinenoballa8946 Před rokem

    Niukweli mama kuna mateso sana

  • @mwaserarashid5451
    @mwaserarashid5451 Před rokem

    Warabu sio wote wabaya waacheni wasichana waje wafanye kz bora ustahamilivu na wasiwe wavivu

  • @robypetrice8267
    @robypetrice8267 Před rokem

    Nikuwausa wasijana

  • @zuhuramohamed9132
    @zuhuramohamed9132 Před rokem

    Naitwa Maryam mwambie agent waendelee kutafutia watu KAZI.lakini huyo dada ameongea kinyume.badala aseme embassy ijitahidi kushughulikia KAZI yao.wajitolee kutembelea magereza ya kule arabuni.maake ye ana uwezo wakutembelea gerezani

    • @zuhuramohamed9132
      @zuhuramohamed9132 Před rokem

      Alafu waio watarudi nyuma wakiona sirikali imegundua.kwaini KAZI Yao waembassy nikupokea mshahara tu

    • @linetlinet2804
      @linetlinet2804 Před rokem

      Huyo mam amesema ukweli

  • @bilhaagutu9788
    @bilhaagutu9788 Před rokem

    Amesema ukweli Sana

  • @lilylilian8729
    @lilylilian8729 Před rokem +2

    Ulianza na roho umemaliza na mwili
    Mwanzo ulisema ni kwa ajili ya ukosefu wa ajira mwisho unasema AMBIA MZAZI WAKO AKULIPIE NDEGE KUTOKA KISUMU HADI NAIROBI"i think ni 5-7k mlala hoi atapata wapi hiyo elf 10 kuharibu ya ndege?

    • @ummiissaabdulissaabdul8117
      @ummiissaabdulissaabdul8117 Před rokem +1

      Apo sasa ikiwa sima ya kushinda mzazi ataweza mlipia mtoto ndege uyu pia ameshiba ajui mwenye njaa

  • @betsyakoko6810
    @betsyakoko6810 Před rokem

    Very true 🤣

  • @hidayasaidi7872
    @hidayasaidi7872 Před rokem

    , 🙏🙏🙏👍

  • @paulsiro1775
    @paulsiro1775 Před rokem

    Serekali ya Kenya inashibisha ma ambassador nashanga kazi yao ni nini ?

  • @agneskaranja6650
    @agneskaranja6650 Před rokem

    Stop going to Saudi, period!!

  • @catherinenzau5051
    @catherinenzau5051 Před rokem

    Clorox and flush too dangerous kwa kuosha loo.pls

  • @saxton3904
    @saxton3904 Před rokem +4

    Wakisii ni good story tellers 😂😂

    • @kasyo1997
      @kasyo1997 Před rokem

      But it's true wallaih....exactly pia mm nilipitia hayo n agent akaniblock
      But nikakipchoge

    • @bakaritsuma2190
      @bakaritsuma2190 Před rokem

      Bro apa akuna story teller the lady speaks wats is in the ground so kama huna piece of advice usilete mdomo nenda usome set books our sisters wanaumia huku

  • @ashameyomfatma347
    @ashameyomfatma347 Před rokem +1

    We need Sonko ambassador for Saudi Arabia

  • @morineopana8991
    @morineopana8991 Před rokem

    Chlorox c mchezo

  • @steuerveronicah9416
    @steuerveronicah9416 Před rokem

    Hio ni human trafiking.kae home n a sukuma

  • @lilianmaeba6261
    @lilianmaeba6261 Před rokem

    Na si wewe utetee watu basi

  • @semkiwamganga4405
    @semkiwamganga4405 Před rokem +2

    Human trafficking is illegal