I am advocating for the Saudi ambassador to be removed from office and all those who are there coz they not only take brides but forcefully beat and mistreat kenyans.watolewee office immediately
Thank you madam for your experience. My opinion regarding this challenge it is government laxity and poor planning for their youth. In other countries they have established elites loans . A degree certificate is given value like a title deed or a vehicle logbook. Where by after our graduates can produce a degree certificate to a bank and get loan depending on the type of the career and their sponsor should be the institutions they schooled. If someone is a graduate on civil engineering. If they forge a comrades sacco of 5 or 10 engineers each with his loan they open a construction company. They get tender from government. And they provide jobs to the others youths. This is how we can grow our economy instead of these slavery emigration
hope our leaders will change our country economically so we can stay within code 254 n develop it, but I doubt with the level of corruption 254 is in🇰🇪🇹🇿
Na Kuna mabaya Sasa yametokea ambayo hayakua yamejulikana. Hii siri ni daktari mmoja alitoa akasema ifichwe kabisa akijulikana atauwawa. Kuna maboss wengine wanapea madaktari pesa wanakudunga dawa ya sumu ambayo inamalisa miaka mbili kwa mwili, so an ukifika kenya after contract unakufa ghafla. Halafu watu wanaanza kusema eti amekuja juzi na amekufa wiki iyo iyo. Halafu watu wanasema ni uchawi, so hata ukikua mgonjwa Saudi omba Mungu epukana na maosipitali, waaaaaaah
uzur saudia akulazimishwi mtu kuja ni hiari ya mtu na shida zake mana tulikaa kenya tukawa atuna mbele wala nyuma tuko kama chokoraa lakini alhamdulilah kutoka safar zianze gulf kumeinua wengi sana sana kwaiyo ntasema nikuomba mungu tu lakini mkisema kufugww mamilioni ya watu walio gulf mtawapattia kazi.gani kenya na kila kizi ni kujuana au mwataka tuje tuwe wapenzi watazamaji mungu atufungulie tukae saudia mpaka tutimize ndoto zetu inshaallah
Mi hata nashangaa ikiwa wanawake mnapigania kuenda saudia..haina haja mtu aseme safari za saudia zifungiwe n wwe mwenyewe na roho yako kataa kuenda saudia kwa maana pale alipouliwa mwenzako haujui n nyumba gani unaenda uko hyo nyumba haina maid unachukuliwa wwe tena nchi zooote...lakn saudia kwa kazi ya house maid mkatae ongeeni na njaa zenu ama muende nchi zengne
Aki hizo chemicals amesema ni ukweli. Yaani chrolox, flash yenye inaitwa ONE TOUCH, hii inachukua hewa zote kutoka kwa mwili na unashindwa kupumua kabisaaaa. Aki Mungu anawaona tuuuuuu.......
Wafunge all the angencies kwanza mpaka serikali ushughulikie kwanza, motuary za saudi zimenjaa kenyans, hospitals nawenye wamekufa wakatupwa hawa waarabu wa saudi ni moto
Alafu hizo codract papers wawekee Watu working hours plz na mshahara ya maana, not less than 1300SR coz kasi ni mob na pia kuwe na one day off kama wafanya kazi wengine the whole GULF
@@naomymose1866 yeah hawa wanalipwa hivo bt kama kuna penye uchumi ni mbaya ni uko,hiyo doo ,yote unaona ikifika kwao ni 19000k imagine my workmate ni Philippine,
@@naomymose1866 yeah hawa wanalipwa hivo bt kama kuna penye uchumi ni mbaya ni uko,hiyo doo ,yote unaona ikifika kwao ni 19000k imagine my workmate ni Philippine,
Aki umeongea ukweli ukweli ukweliiiiiiii MADAM. Mungu akubariki. Ni NEEMA ya MUNGU imenivunika niko Sawa mimi hapa Saudi. Mutuombee wakenya wen zetu tumalize contract. Maboss wengine ni wazuri.
@@jackline016 n mdomo tu sisi atutoki juu wakisema tutolewe uku awatatupea kazi n bado watu kenya wanateseka tu na bado wanakuja wasaidie wenye wako uko ndio wakuje uku n saudi aifungwi juu kenya akuna mapato..kukufa iko kila mahali n mungu wako tu
Nilikua Saudi Arabia mwaka wa 2019 hadi 2021 nilioaona nimakubwa wakenya wanapitiamengi naomba kuokengea na media niaeleze kinanga ubaka kinacho tendeka Saudi Arabia
Tafadhali watoto wetu wasichana sikizeni maneno haya na mjiepushe na kuenda uarabuni. Hawa watu wamewatesa jamii ya waafrica tangu siku za akina Seid said the slave traders huko Zanzibari ni uchungu sana kuona mambo haya yakiendelea hadi sasa.
Mtihani mkubwa huo kuwa watu mtihani mkubwa huo mimi nipo oman nashukuru mungu alhadulilah mateso nipata kulala chini lakini nitoka kwa nyumba hiyo yapili nitoka sikutaka kwa jeur ya tatu nikaumwa nikapelekwa officin ya 4 afadhali
@@jacklinemutie8901 my sister Kuna video Akothe alisema atauza wasichana saudi na wake apekee Europe what did she mean with that, huyo ndio mnasema atawatetea better hata Songo na sarakasi zake.
mama plzz plzz kusifugwe mana sisi wengine ndio maisha yetu tulipokua kenya tulikua kama chokoraa lakini kutoka tuje saudia alhamdulilah nasi kidogo twajiona tuko katika dunia hii acha tushukuru mungu alie anzisha safari za ugaibuni mm binafsi billah kumenisaidia sana sana saudia na sijutii mana ningekuja kutoka niko na miaka kumi basi ningekua mty mwengine zaid acha nizidi kuomba mungu anifanyie wepesi nitafute hii rizki saudia kenya kazi nza kujuana kukifugwa watu watafanya nini
Ruto fungal kabisa mambo ya wasichana wetu kwenda kuteswa na kuuliwa Saudi Arabia. This now has got to be intervened by the government from your level at this point. It is slavery
They say you can't feel the pain until you become a victim...wengine wanasemanga wanakemboi wakapige umalaya and how iwish they know khai 🙆♀️🤦♀️ kama hujui kitu heri tu unyamaze
That house boy who worked 10yrs come here tell us huyu mama alitoa mimba? Agency who support suffering for our brothers and sisters should be in for it
Iyo yakutoa mosi inatwa flash it is acid kali, for 20 minutes u will be call past tense. Nimbaya sana plz anybody who will pass through my comments, na unafanya kazi huku be care with flash, plzzzz plzz, it really kills.
Ni wachache hupitia shida, wengi wako sawa. Story ya Kemboi wengine ukemboi kwa tamaa ya pesa mingi, wengine kwa mateso na wengine kwa sababu ya dryspell. Na hizi shida sana sana hupata wanadada
serikari itusaidie sisi tumeblokiwa na ma sponser tumesidwa kurudi kenya na embarsy haitusaidii mimi niko 10yrs bila kurudi kenya sponser ukikemboi juu ya masida anakuekelea umeimba na ana block 🚫excit yako naomba serikari yetu itusaidie
Thank you madam but me I think there's something between Kenya&Saudia Government & human trafficking is real no matter what why why surely? President of the Republic of Kenya plz cut this chain
Naitwa Maryam mwambie agent waendelee kutafutia watu KAZI.lakini huyo dada ameongea kinyume.badala aseme embassy ijitahidi kushughulikia KAZI yao.wajitolee kutembelea magereza ya kule arabuni.maake ye ana uwezo wakutembelea gerezani
Ulianza na roho umemaliza na mwili Mwanzo ulisema ni kwa ajili ya ukosefu wa ajira mwisho unasema AMBIA MZAZI WAKO AKULIPIE NDEGE KUTOKA KISUMU HADI NAIROBI"i think ni 5-7k mlala hoi atapata wapi hiyo elf 10 kuharibu ya ndege?
Bro apa akuna story teller the lady speaks wats is in the ground so kama huna piece of advice usilete mdomo nenda usome set books our sisters wanaumia huku
Sonko apewe hiyo kazi he is a good man
🤭
Sonko apewe hii kazi
Thank you for telling Kenyans the truth
koo
Huyu mama ameongea ukweli kabisa hata mm nilipitia hayo
I am advocating for the Saudi ambassador to be removed from office and all those who are there coz they not only take brides but forcefully beat and mistreat kenyans.watolewee office immediately
This is the correct person to talk about life y Saudi huyo Mzee wa yesterday alikuwa anaongea upuzi
Thank you madam for your experience. My opinion regarding this challenge it is government laxity and poor planning for their youth. In other countries they have established elites loans . A degree certificate is given value like a title deed or a vehicle logbook. Where by after our graduates can produce a degree certificate to a bank and get loan depending on the type of the career and their sponsor should be the institutions they schooled. If someone is a graduate on civil engineering. If they forge a comrades sacco of 5 or 10 engineers each with his loan they open a construction company. They get tender from government. And they provide jobs to the others youths. This is how we can grow our economy instead of these slavery emigration
I love that advice from our mheshimiwa. Joyce .pleace educate our people. Our sisters are suffering to death.
A living testimony..
hope our leaders will change our country economically so we can stay within code 254 n develop it, but I doubt with the level of corruption 254 is in🇰🇪🇹🇿
They should look for someone who knows and wants to help kenyans
So how can you help the girls and boys working there now God has lifted you
Na Kuna mabaya Sasa yametokea ambayo hayakua yamejulikana. Hii siri ni daktari mmoja alitoa akasema ifichwe kabisa akijulikana atauwawa. Kuna maboss wengine wanapea madaktari pesa wanakudunga dawa ya sumu ambayo inamalisa miaka mbili kwa mwili, so an ukifika kenya after contract unakufa ghafla. Halafu watu wanaanza kusema eti amekuja juzi na amekufa wiki iyo iyo. Halafu watu wanasema ni uchawi, so hata ukikua mgonjwa Saudi omba Mungu epukana na maosipitali, waaaaaaah
Jesus maghty,,, Hao watu ni wajinga sana na mashetani wenyewe
SubhanaAllah
Asante for letting the whole world know what is going on in Saudi.
Well spoken mama 👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼
Ifungwe Ifugwe Kartika njina la yesu, serikari ishugurikie kurundisha watoto wetu Kenya na wale wanatak kuenda huko wakataswe🤙
uzur saudia akulazimishwi mtu kuja ni hiari ya mtu na shida zake mana tulikaa kenya tukawa atuna mbele wala nyuma tuko kama chokoraa lakini alhamdulilah kutoka safar zianze gulf kumeinua wengi sana sana kwaiyo ntasema nikuomba mungu tu lakini mkisema kufugww mamilioni ya watu walio gulf mtawapattia kazi.gani kenya na kila kizi ni kujuana au mwataka tuje tuwe wapenzi watazamaji mungu atufungulie tukae saudia mpaka tutimize ndoto zetu inshaallah
True be blessed , tell our Girls wasikiea 😘♥️🙏🙏🙏🙏watching from germany
Mi hata nashangaa ikiwa wanawake mnapigania kuenda saudia..haina haja mtu aseme safari za saudia zifungiwe n wwe mwenyewe na roho yako kataa kuenda saudia kwa maana pale alipouliwa mwenzako haujui n nyumba gani unaenda uko hyo nyumba haina maid unachukuliwa wwe tena nchi zooote...lakn saudia kwa kazi ya house maid mkatae ongeeni na njaa zenu ama muende nchi zengne
Si wote wanapitia matezo. Some arabs are so good
Aki hizo chemicals amesema ni ukweli. Yaani chrolox, flash yenye inaitwa ONE TOUCH, hii inachukua hewa zote kutoka kwa mwili na unashindwa kupumua kabisaaaa. Aki Mungu anawaona tuuuuuu.......
Usimix flash na anything my da
Huyu mama anasema ukweli
Ooh God 😭 😭 may God have mercy upon us,thanks alot fr the encouraging experience
Finally mheshimiwa amewafikia wanyonge
May God protect our people
Waah nimeshindwa kujitoa huko gaki hata mm natafuta usaidizi
Wafunge all the angencies kwanza mpaka serikali ushughulikie kwanza, motuary za saudi zimenjaa kenyans, hospitals nawenye wamekufa wakatupwa hawa waarabu wa saudi ni moto
They will never stop 🛑🛑🛑🛑 going
Alafu hizo codract papers wawekee Watu working hours plz na mshahara ya maana, not less than 1300SR coz kasi ni mob na pia kuwe na one day off kama wafanya kazi wengine the whole GULF
Ukweli tunatuumiwa vibaya,hakuna kupumdika halafu masaa ya kulala machache sana
Uchumi I naenda juu lakini msahara uongeshwe, pia, philipine wanalibwa 1500sr. Riyals.
@@naomymose1866 it's the same salary coz 1 riyal is 15 Philippine money
@@naomymose1866 yeah hawa wanalipwa hivo bt kama kuna penye uchumi ni mbaya ni uko,hiyo doo ,yote unaona ikifika kwao ni 19000k imagine my workmate ni Philippine,
@@naomymose1866 yeah hawa wanalipwa hivo bt kama kuna penye uchumi ni mbaya ni uko,hiyo doo ,yote unaona ikifika kwao ni 19000k imagine my workmate ni Philippine,
Wasaudi hawawezi badilisha ata kuwekwe mikakati ya aina gani .better kufungwa tu
Aki umeongea ukweli ukweli ukweliiiiiiii MADAM. Mungu akubariki. Ni NEEMA ya MUNGU imenivunika niko Sawa mimi hapa Saudi. Mutuombee wakenya wen zetu tumalize contract. Maboss wengine ni wazuri.
Amen 🙏🙏 me too nimebakisha miezi kumi
Amen mimi nimekaa 5yrs na boss wangu ni wazuri sana
Mungu tusaidie hata mmi niko Riyadh saud huyu mama anaongea ukweii atammie napitia2
Wow! what a good story teller
God is good
mungu akusaidia mama unaongea ukweli mtupu🙏🙏
Ni kweli madam tuko huko yenye tu napitia ni Mingi mno
Aki mungu atusaidie tu juu ckupenda kwetu kwa kukuja uku n shida n kenya akuna kazi unapewa 😭😭😭😭😭uku n mungu tu
Na anasema warudishwe badala ya kusema waweke mikakati atapea thousands of people in saudia kazi
@@jackline016 n mdomo tu sisi atutoki juu wakisema tutolewe uku awatatupea kazi n bado watu kenya wanateseka tu na bado wanakuja wasaidie wenye wako uko ndio wakuje uku n saudi aifungwi juu kenya akuna mapato..kukufa iko kila mahali n mungu wako tu
Alafu na imagine na agents wanalipwa pesa mob... Maid analipwa pesa kidogo
Nilikua Saudi Arabia mwaka wa 2019 hadi 2021 nilioaona nimakubwa wakenya wanapitiamengi naomba kuokengea na media niaeleze kinanga ubaka kinacho tendeka Saudi Arabia
Josephine kemunto. True umeongea ukweli watu wanateswa sana
Mimi nilichimbiwa bunker nyuma ya nyumba na nilikuwa nalala hapo. Imagine usiku shida za kususu na kufanya No.2. Mwarabu ni shetani.
Modern day slavery,This is not acceptable. All these agencies should closed forthwith!!!
Hae guy that true muheshimiwa
Tena mshahara ni kidogo Sana
Tafadhali watoto wetu wasichana sikizeni maneno haya na mjiepushe na kuenda uarabuni. Hawa watu wamewatesa jamii ya waafrica tangu siku za akina Seid said the slave traders huko Zanzibari ni uchungu sana kuona mambo haya yakiendelea hadi sasa.
Mtihani mkubwa huo kuwa watu mtihani mkubwa huo mimi nipo oman nashukuru mungu alhadulilah mateso nipata kulala chini lakini nitoka kwa nyumba hiyo yapili nitoka sikutaka kwa jeur ya tatu nikaumwa nikapelekwa officin ya 4 afadhali
Sitaki saudia kufungwe kila mtu na bahati yake kuna warabu wengine wazuri sana kama wangu
Kabisa
Wale waarabu wanatesa watu ndiyo itafanya hiyo sababu ifungwe
Kabisa pia wangu ni mzuri
Sonko apewe kazi na wengine kama huyo madam...plus true all Agent to be closed
Sonko was a real human being, wacha Hawa watumbo good for nothing leaders, please create jobs for out Kenyans
I prefer Akothe apewe hiyo kazi hawa wengine wanafanya tunateseka juu ya hongo wanapenda pesa sana 😢
Your mistaken my dear, she can not.
Seriously 😒
Kwan akothee hapendi pesa
@@jacklinemutie8901 my sister Kuna video Akothe alisema atauza wasichana saudi na wake apekee Europe what did she mean with that, huyo ndio mnasema atawatetea better hata Songo na sarakasi zake.
@@jacklinemutie8901Namuona ako tough kiac bt ucjal n maoni tu na hata hatujaitishwa oppinions ucjal siz😂😂
mama plzz plzz kusifugwe mana sisi wengine ndio maisha yetu tulipokua kenya tulikua kama chokoraa lakini kutoka tuje saudia alhamdulilah nasi kidogo twajiona tuko katika dunia hii acha tushukuru mungu alie anzisha safari za ugaibuni mm binafsi billah kumenisaidia sana sana saudia na sijutii mana ningekuja kutoka niko na miaka kumi basi ningekua mty mwengine zaid acha nizidi kuomba mungu anifanyie wepesi nitafute hii rizki saudia kenya kazi nza kujuana kukifugwa watu watafanya nini
Wacha kabisa kuruhusu eti waende no.1 wafunge maajenti wenye wanawapeleka huko. 2. Ruto ahaakikishe wenye walienda huko warutishe pliz
Tafadhali wakenya hata kama ni taabu. Simuwache kujipeleka kujitia kitanzi na kupoteza maisha yenu Saudi Arabia. Waarabu si watu
Ruto fungal kabisa mambo ya wasichana wetu kwenda kuteswa na kuuliwa Saudi Arabia. This now has got to be intervened by the government from your level at this point. It is slavery
Sorry madam but you reached your destiny I,m next Najiran the place Abar lthank God I'm okay
May God be we others
They say you can't feel the pain until you become a victim...wengine wanasemanga wanakemboi wakapige umalaya and how iwish they know khai 🙆♀️🤦♀️ kama hujui kitu heri tu unyamaze
That house boy who worked 10yrs come here tell us huyu mama alitoa mimba? Agency who support suffering for our brothers and sisters should be in for it
Nobody should go to Saudi Arabia. Period!!!
Huyu ndio atasaidia wasichana wa KAZI pia vijana wapate KAZI aki Mungu tuhurumie
Si wabadilishe Hao agents wa embassy cos Ata wa bahrain ni washenxi sana
Iyo yakutoa mosi inatwa flash it is acid kali, for 20 minutes u will be call past tense. Nimbaya sana plz anybody who will pass through my comments, na unafanya kazi huku be care with flash, plzzzz plzz, it really kills.
Ukweli kabisaaaaaaaaa. Hii ni ya kuua.
Mama umeongea ukweli mtupuu wasiosikia watakwenda ona kwamacho yao
Ndiowawaachewaarananchiyao🙏🙏🙏🙏
katika watu wote walio wai kuhojiwa basi uyu mama ameongea point ndio amejua changamoto ya ukweli sana
Hapo sasa
Mwenye maskio asijue huamuzi ni wa mtu binafsi sasa watu wasilaumu sherekali tena
Ma agent wengine n wasenge alafu juzi wamejitokeza wakita haki upuzi mtupu
me i ithank God 🙏🙏 Niko poa Niko save I have a good boss ukweli
Hini indirect slave trade hi biasara ikomswe kabisa
Saudi kufungwe jameni
Mwana wa mary after kutoka prison saudi arebia amekuwa agent
Hawa ma urgents wenye Wana pereka watu watu wavunjwe kabisa
Very sad.
Ni wachache hupitia shida, wengi wako sawa. Story ya Kemboi wengine ukemboi kwa tamaa ya pesa mingi, wengine kwa mateso na wengine kwa sababu ya dryspell. Na hizi shida sana sana hupata wanadada
Contact is worst, kukemboi ni better
Yaani ulipingwa?????
serikari itusaidie sisi tumeblokiwa na ma sponser tumesidwa kurudi kenya na embarsy haitusaidii mimi niko 10yrs bila kurudi kenya sponser ukikemboi juu ya masida anakuekelea umeimba na ana block 🚫excit yako naomba serikari yetu itusaidie
Tell all the house maids in Saudi those who are suffering, to be. taken back at home, na wafunge kabisa till further notice
Ukweli sana mateso
Nikweli wanateswa Pia tuko na masister wako uko wakitaka mahali pajuli kujeni Qatar Kwa campuni ya almisnad cleaner tunaenjoy
Gavernment wanalipwa deni NA hao waschana wanaenda saudi thats why hawawezi funga
Ata mimi nimekua najirani
So sad 😢😢
Walundiswe wote
Mwanawamary kwani amekuwa Agent
Ata ndiyo nashangaa vile anaongea nikama alisahao alipotoka saudia
Mwana wa Mary anyway alinisaidia 2018 nikahome😂😂
Thank you madam but me I think there's something between Kenya&Saudia Government & human trafficking is real no matter what why why surely? President of the Republic of Kenya plz cut this chain
Niukweli mama kuna mateso sana
Warabu sio wote wabaya waacheni wasichana waje wafanye kz bora ustahamilivu na wasiwe wavivu
Kwani wewe ni egent
Nikuwausa wasijana
Naitwa Maryam mwambie agent waendelee kutafutia watu KAZI.lakini huyo dada ameongea kinyume.badala aseme embassy ijitahidi kushughulikia KAZI yao.wajitolee kutembelea magereza ya kule arabuni.maake ye ana uwezo wakutembelea gerezani
Alafu waio watarudi nyuma wakiona sirikali imegundua.kwaini KAZI Yao waembassy nikupokea mshahara tu
Huyo mam amesema ukweli
Amesema ukweli Sana
Ulianza na roho umemaliza na mwili
Mwanzo ulisema ni kwa ajili ya ukosefu wa ajira mwisho unasema AMBIA MZAZI WAKO AKULIPIE NDEGE KUTOKA KISUMU HADI NAIROBI"i think ni 5-7k mlala hoi atapata wapi hiyo elf 10 kuharibu ya ndege?
Apo sasa ikiwa sima ya kushinda mzazi ataweza mlipia mtoto ndege uyu pia ameshiba ajui mwenye njaa
Very true 🤣
, 🙏🙏🙏👍
Serekali ya Kenya inashibisha ma ambassador nashanga kazi yao ni nini ?
Stop going to Saudi, period!!
Clorox and flush too dangerous kwa kuosha loo.pls
Wakisii ni good story tellers 😂😂
But it's true wallaih....exactly pia mm nilipitia hayo n agent akaniblock
But nikakipchoge
Bro apa akuna story teller the lady speaks wats is in the ground so kama huna piece of advice usilete mdomo nenda usome set books our sisters wanaumia huku
We need Sonko ambassador for Saudi Arabia
We need sonko ambassador
Chlorox c mchezo
Hio ni human trafiking.kae home n a sukuma
Na si wewe utetee watu basi
Human trafficking is illegal