CHEKI MLINZI wa RAIS SAMIA ALIVYORUKA KWENYE GARI - MSAFARA wa RAIS SAMIA UKIINGIA SABASABA...

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • CHEKI MLINZI wa RAIS SAMIA ALIVYORUKA KWENYE GARI - MSAFARA wa RAIS SAMIA UKIINGIA SABASABA...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 69

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před 2 měsíci +1

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @abdallahmdangadachi7030
    @abdallahmdangadachi7030 Před 2 měsíci +13

    Itakua waandishi wenu wamekuja juzi dar hawajawahi kuona makonda wa daladala wanavyoruka kwenye daladala wakati bado zipo kwenye mwendo😅😅😅😅😅

  • @tycoon9540
    @tycoon9540 Před 2 měsíci +8

    Dakika 1.57 mtangazaji anasema Rais wa Msumbiji ni Mr Manyusi
    Hii ni aibu na fedheha kubwa sana kwa hadhi ya chombo hichi mtangazaji kushindwa kujua jina la Rais wa Msumbiji na namna ya kutaja hadhi yake (Title)
    Anaitwa Filipe Nyusi,, na ukitaja jina la Rais usitaje jina kwa kuanza na Mr bali ni Mheshimiwa

    • @nehemia397
      @nehemia397 Před měsícem

      🤣🤣🤣 tunajali basi mkuu

  • @alexmavika5033
    @alexmavika5033 Před 2 měsíci +5

    Ni kweli hujui jina la Rais wa Mozambique?

    • @user-lp4fi7bx9q
      @user-lp4fi7bx9q Před 2 měsíci

      Waandishi hawa wanatudalilisha sanaaa
      Hawajui madhara ya kukosea kutja jina la kiongozi

    • @muhammedyussuf8406
      @muhammedyussuf8406 Před 2 měsíci

      ​@@user-lp4fi7bx9qmheshimiwa manyusi

  • @Rmollelmichael
    @Rmollelmichael Před 3 dny

    Sasa hii inawasaidia nini Watanzania WENZANGU au watanganyika wenye akili timamu???

  • @renatusfbupamba5181
    @renatusfbupamba5181 Před 2 měsíci +1

    Najaribu kuwaza..
    Ujumbe kama huu una manufaa gani kwa watazamaji?

  • @jumannehassan3949
    @jumannehassan3949 Před 2 měsíci

    Safi sana

  • @rajabukipara3008
    @rajabukipara3008 Před 2 měsíci +1

    Jaman HABAR Zenu mbon Hazina Ubora,,
    Yaan Habar na Tukio n vtu tofaut kabsaa,
    Jigunzen kw Wenzenu,
    Mtupe kilicho bora bhana

  • @SALEHSALEH-lk5jr
    @SALEHSALEH-lk5jr Před 2 měsíci +2

    Wavaa suti hawawezi kuruka kutoka kwenye Gari labda ffu wakiwa rear guard

    • @VitusVedasto
      @VitusVedasto Před 2 měsíci

      Na mayoko Yao kibao bure bado wamebana sare zao😂

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Před 2 měsíci +3

    KWAN KARUKA AU KASHUKA😂😂😂😂😊

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo Před 2 měsíci +2

    Hajaruka chochote hapo😂😂😂

  • @innocentshayo9341
    @innocentshayo9341 Před 2 měsíci +1

    Kwani kuruka hivyo si hata wapiga debe wa daladala wanaruka sana..tena kwenye spidi kubwa kabisa...

  • @alexmavika5033
    @alexmavika5033 Před 2 měsíci +1

    Mtangazaji umeshindwa hata kufanya utafiti wa kujua jina la mgeni rasmi?

  • @Basagamp4
    @Basagamp4 Před měsícem

    Karukaje?.....Sijaonaaaaaa

  • @user-ek8jf7qr4i
    @user-ek8jf7qr4i Před 2 měsíci

    Mnakosa habari

  • @yasiniSwedi-qg5oc
    @yasiniSwedi-qg5oc Před 2 měsíci

    HP ulinzi auhtajiki kwakpi haswa mlishindwa kumlinda alie staili ulinzi jpm bc hpo hmn chamaana

    • @usembiphonedar5632
      @usembiphonedar5632 Před 2 měsíci

      Kweli ndugu! JPM jina ambalo halitafutika kwenye mioyo ya Watanzania maskini wengi tunamkumbuka! Mungu ampe pumziko lenye amani na amwangazie mwanga wa uzima wa milele! Ameni.😭😭😭😭😭😭😭!

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k Před měsícem

    Gharama kubwa kwa nchi maskini

  • @FadhilyOthman
    @FadhilyOthman Před 2 měsíci +1

    Wa bongo ndio wenye nchi ss mijicho kuvimba tu

  • @bakarimkulima3034
    @bakarimkulima3034 Před měsícem

    Sjaona kitu mbona😅😅😅😅

  • @bhmulizeanahamawasaf1189
    @bhmulizeanahamawasaf1189 Před měsícem

    Daah nakubli walinzi wetu wana mbwembwe

  • @emanueltesha584
    @emanueltesha584 Před 2 měsíci

    Namuona dada mariamu yupo makini sana

  • @pendomalisa9308
    @pendomalisa9308 Před 2 měsíci

    Kwani mko wapi

  • @user-nt6fb2ky3t
    @user-nt6fb2ky3t Před 2 měsíci +1

    Sasa apo ameruka nini..,Yani wabongo hovyo kabisa 🚮.,

  • @muhsinikoki4060
    @muhsinikoki4060 Před měsícem

    akuna kitu apo

  • @josephdimosopantaleomadegh7599

    Walinzi wote wanaangalia seemu moja

  • @nehemia397
    @nehemia397 Před měsícem

    huyu traffic anaweza kuwa amesimama hapo mpaka leo ...mpeni ruhusa wazee wa hapa ipo

  • @anoldshirima3291
    @anoldshirima3291 Před měsícem

    Unamaliza mb zetu kenge ww

  • @lichstudio2024
    @lichstudio2024 Před měsícem

    Dunia simama nishuke,😂😂😂

  • @msafirimiracle6613
    @msafirimiracle6613 Před 2 měsíci

    Mbona tunaona makondakta wanaruka vizuri zaidi?nchi hii bhana!!

  • @josephdimosopantaleomadegh7599

    Ipo siku ndakuwa raisi

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 Před 2 měsíci

    Mr. manyusi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣, umeharibu jina la kiongozi

  • @NyamtigaIbrahim
    @NyamtigaIbrahim Před 2 měsíci

    Cjaelewa Kittu Hata Huyo. Alieruka Cjamuona

  • @othmanabdallah3146
    @othmanabdallah3146 Před měsícem

    Philip nyussi we mtangazaji ni zero bure

  • @vladimirputn1809
    @vladimirputn1809 Před 2 měsíci +1

    Manyusi😂

  • @amanifue7443
    @amanifue7443 Před 2 měsíci

    Mtangazaji rudi shule, bado una ungaunga sana.

  • @issaHamis-v1y
    @issaHamis-v1y Před měsícem

    Games

  • @silivestatesha9262
    @silivestatesha9262 Před 2 měsíci

    Mimi naeza ruka kwenyeungo

  • @adamhashim3352
    @adamhashim3352 Před 2 měsíci

    Anazidiwa na makondakta

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 Před 2 měsíci

    Inchi Ina amani lakini ulinzi mkubwa ivyo daaa akuna wa kumzuru rais

  • @jonijoogabriel3728
    @jonijoogabriel3728 Před 2 měsíci

    Kwani kunashido

  • @user-hf7dz1zh5v
    @user-hf7dz1zh5v Před 2 měsíci

    habari ya kuokoteza

  • @KingZinho-z2u
    @KingZinho-z2u Před měsícem

    🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @FadhilyOthman
    @FadhilyOthman Před 2 měsíci

    Karuka ukuti

  • @oscernatai7495
    @oscernatai7495 Před měsícem

    Aruke asiruke haituhusu nonsense

  • @ANICETHMUSHI
    @ANICETHMUSHI Před 2 měsíci

    Ufala2

  • @johnsonbubinza4646
    @johnsonbubinza4646 Před 2 měsíci

    kwa mwendo huo ata mtoto anaruka

  • @samuelemmanuel3400
    @samuelemmanuel3400 Před 2 měsíci

    Wanzanzibari hadi usalama wataifa wa bara😂

    • @kanzucentre3468
      @kanzucentre3468 Před 2 měsíci +1

      Mbowe anasema RAIS TUMEWAKOPESHA

    • @joyceshoo9822
      @joyceshoo9822 Před 2 měsíci +1

      Dah! Waandishi wa mchongo

    • @saidkipalo4427
      @saidkipalo4427 Před 2 měsíci

      Na Zanzibar askari na wanajeshi asilimia 70 na wa kutoka huku bara fresh tu

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 Před 2 měsíci

      ​@@joyceshoo9822Joyce na wewe umetokea wapi huku wetukutane Kwa wanachi kesho tunamshusha dube

  • @stonetown578
    @stonetown578 Před 2 měsíci

    Mtangazaji 😂

  • @imanuelimushi1756
    @imanuelimushi1756 Před 2 měsíci

    Mbwembe tu. zausalama.

  • @qasimmafuta
    @qasimmafuta Před 11 dny

    Hhhhhhjj

  • @subralugege7019
    @subralugege7019 Před 2 měsíci +1

    😂😂😂🎉🎉🎉😢

  • @FranckDaniel-cc5rg
    @FranckDaniel-cc5rg Před 2 měsíci

    Asa apo karuka nn cha ajabu?