This is not talk between raila and ruto, its between genz na ruto so I don't know where raila gets in this talk??
Iyo Bado ni kuaribu tu pesa ya wa Kenya akuna chenye ita charge ruto ni mkora
Viongozi wa Bunge pamoja na wabunge wao wanatakiwa waende nyumbani wamewafeli wakenya serikali ni ya kikabila na kampuni watu wamekaa uongozinii miaka yote wameshindwa kuelewa kuendesha nchi wacheni vijana watuletee mageuzi katika Maisha ili Sisi tumezeeka uelewa wetu ni tafauti na ulimwengu wa. Sasa WA vijana wacheni vijana waendeleze nchi Wazee rudini nyumbani mukakae na wamama nyumbani muchunge maboma
Kumbuka raika aki walk wakati baba yake akiutumbia city stadium Sasa imemrudia nilikuwa hapo stadium yakitedeka
NO DIALOGUE, period
hawa wazee wataenda home
Hamukuwa na masilahi ya nchi isipojuwa mahitali yenu.Tulienda juu yajaa. Dialogue wil never turn this country because it has been done without success.ACTION AND ACTION ALONE AS THEY'RE HI
please please RAILA KENYA DONT NEED DIALOGUE ITS ENOUGH. WE WANT OUR KENYA BACK THE KENYA MANY HAS DIED FOR.
WE ONLY WANT DIALOGUE WITH THOSE WHO WERE MURDERD FIGHTING FOR THIS NATION.JACOB JUMA ,TOM MBOYA,DEDAN KIMATHI AND THE REST.
WE DONT WANT DIALOGUE WITH ANY OF YOU.
WE WANT OUR FREEDOM.
GO HOME AND RELAX KENYA IS BIGGER THAN 150 PEOPLE YOU WANT TO BRIBE AND BURN THIS NATION.
Nani alikwambia Wanataka hiyo hamsini kaa nayo,matumbo yenyu tatapasuka kwenyu na vizazu vijavyi
Enzi za baba amesema zilipitwa na wakati, guys get to sense, raila is 80 years now, in the next 20 years who said raila wil b there and if wil be, age can't allow him to negotiate for the tomorrow generation. Let the generation take the mantle coz they are the leaders of tomorrow...
Bona tu watu wa odm dio wameada
This strategy is so boring ad nonsensical it pains
He is very fool what does he want mwambieni yake yameisha
Mambo Ya Raila na Genz inaingilia aje? Genz wapambane na Ruto sio Raila, Raila sio president, na mjue ndio serikali kusonga mbele laxima Raila aingie kwa serikali, Na Raila haendi huko kuharibu, ni vile Ruto ameshindwa na kazi, so its for the peace of this country muwachane na Raila kabisa.
Eeeh KTN ati dayologia ?
Rubbish 🗑 !
Wewe Oparanya ni mwizi hstari!
Raila is very shameless how can he want to sanitise Ruto stupidless of the highest order ujinga tu talk about what?
It makes alot of sense if ur wise, the only problem is that Ruto is full of himself but all that said is a wait and see
Mzee wa 80 years n nn anataka kwa siasa. Kwan raila hana watu wa karibu wa kumpea advise ?? Wakati wako kwa siasa umeisha eda nyumbani mungu akikujalia another 20years well en good. Pumzika, siasa ya kenya imeshift, imepinga u turn hautawezana nayo baba eda ukapumzike
Mzee wa 80 years n nn anataka kwa siasa. Kwan raila hana watu wa karibu wa kumpea advise ?? Wakati wako kwa siasa umeisha eda nyumbani mungu akikujalia another 20years well en good. Pumzika, siasa ya kenya imeshift, imepinga u turn hautawezana nayo baba eda ukapumzike