Kiukweli hakuna interview naipenda kama za babalevo! Yani ni full package, anaelimiasha, anaburudisha, anaonya n.k, Mimi huwa namfurahia sana sana, nawaombea yeye na mama Ruby Mungu awatunze sana sana, mama Ruby Mungu akutunze ukazifurahie baraka zote ulizovumilia na kuzisubiri, maisha mazuri,ndoa na afya njema ukalee watoto wako IJN! Mungu awlindie familia yenu na zaidi sana babalevo Mungu akupe maisha marefu sana!
Huyu Baba Levo Maisha yake ni kitabu … na huwa watu wanapenda kumsikiliza… Aandike story book 📖 ya simulizi atauza sana. Comment ça va from Belgium 🇧🇪 😊
Tanzania yote Nawakubali Hawa wa sanii: 1. DIAMOND PLATINUMZ 2. Baba Levo 3. VVNB Rayvanny 4. Zuchu 5. Jay melody 6. Stamina 7. Diva the boss 8. Lava Lava 9. Mboso kane 10. Jux Hao wengine wote jigalagazeni kwao, mimi sipo
BABA LEVO I CHALLENGE YOU TO WRITE BOOK KUHUSU MAISHA YAKO NA KILA HUSTLE YA MAISHA YA KITAMBO,MAPENZI,MUZIKI,USTAA,KAMARI NA MPAKA MAFANIKIO... YAKO...KITAUZA SANA
Brother Kala Jeremiah Hawezi kuludi tena kwenye Ule uimbaji wake tulouzoeya Because yeye kwasasa ana nafasi Fulani ndani ya CCM kwaiyo hio NI kiziwizi kikubwa Sana Kwa Kala
Kiukweli hakuna interview naipenda kama za babalevo! Yani ni full package, anaelimiasha, anaburudisha, anaonya n.k, Mimi huwa namfurahia sana sana, nawaombea yeye na mama Ruby Mungu awatunze sana sana, mama Ruby Mungu akutunze ukazifurahie baraka zote ulizovumilia na kuzisubiri, maisha mazuri,ndoa na afya njema ukalee watoto wako IJN! Mungu awlindie familia yenu na zaidi sana babalevo Mungu akupe maisha marefu sana!
We are same i like the most to hear baba levo na diamond.
Huyu Baba Levo Maisha yake ni kitabu … na huwa watu wanapenda kumsikiliza…
Aandike story book 📖 ya simulizi atauza sana. Comment ça va from Belgium 🇧🇪 😊
Yaaah m huwa namuelewa sana huyu jamaaa
Mtu peke unaweza kumsikiliza masaha na masaha bila ya kuchoka, Baba Levo🔥❤️
B levo unastory saf Sana kuhusu maisha
Wasafi content zpo ndani Kwa ndan yan😅😅😅🔥🔥🔥
Wasafi wanajua kutengeneza kontent ,wakikosa mtu utashangaaa lily omy anaitwa na diva the bausee😅😅 ,diva naae anaitwa the switches ❤❤
Big up Saaaaana B Levo ba
lil omy please mu invite babalevo piga nae interview moja ya saaanne bhna jamaa is so fun
Ati mmoja kati ya mtu anayenishauri nioe lkn yeye haoi ni Diamond 😂😂.. nimecheka sanaa
Like moja ya fundi majumbaa
Jamaa huwez choka kumsikiliza🙌🏾😂😂bro is motivating in a funny way
Babalevo anamadini sana huyu jamaa 🧨💥🔥❤️
Lil Ommy eeee.. mpe B levo ba intervie ata ya masaa matatu atupe mastory aiseee..😂🙏
B LEVO tafuta mwandishi akuandikie kitabu chako cha maisha bila shaka kitauza na watu watajifunza mashuleni na vyuoni watapata funzo kubwa sana
GOD KEEP BLESSING BABA LEVO IS ALWAYS THE BEST❤
Tanzania yote Nawakubali Hawa wa sanii:
1. DIAMOND PLATINUMZ
2. Baba Levo
3. VVNB Rayvanny
4. Zuchu
5. Jay melody
6. Stamina
7. Diva the boss
8. Lava Lava
9. Mboso kane
10. Jux
Hao wengine wote jigalagazeni kwao, mimi sipo
Hakuna interview ambayo Hua haichoshi n za baba levo Ata aongee kutwa nzima 🎉
GENIUS MAN
Huyu jamaa Huwa napenda kusikiliza stori zake. Amenyooka sana
Uyu dada Amigor nampendaka saaaaaana kbsa❤❤❤
Appreciate punter 🖐️
Kweli maisha yamekunyoosha na kukutengeneza mzeee 😊
😂😂😂😂😂B LEVO Baaaaaa
Baba levo
Be levo baaaa
Hongera sana Baba Levo.....🔥
baba levo wewe ni genius mmoja
Mnampa mtu interview ndo anakuw Kam mtangazaj anaongea yey tu😂😂😂
B levo ba ❤❤❤
Another day aje jmn daah baba levo n hatar sana ahseee
Anajua sana kujieleza uyu jamaa
Baba levo mim nakukubalig Sana yan
Huyu jamaa anaongea
Nafurahia kumsikiliza b levo ba
Oya eleweni wazungu ni tofauti na sisi wao lazima wanapenda akipata mtoto awe na muda nae wa kutosha
Pamoja baba levo
❤❤❤❤
Kiukwel baba levo ndio last born wa hi nchi😅😅
B levo namkubali mnoo mnoo san
Baba levo ni moto sana
Nimuda
Umetisha
Ila hapo kwa kumuamn mwanmk b levo mmmh kuwa Makin wenzetu sio wa kuaamn kivile
ammygirl na Aaliyah toa Jibiii
Mama levo tumtafute anakutombeshaje mtoto wa miaka 17
😂😂😂
Mwamba anachukua mshahara wake anatia Odds ya Nne, anaishi😂😂
BABA LEVO I CHALLENGE YOU TO WRITE BOOK KUHUSU MAISHA YAKO NA KILA HUSTLE YA MAISHA YA KITAMBO,MAPENZI,MUZIKI,USTAA,KAMARI NA MPAKA MAFANIKIO... YAKO...KITAUZA SANA
Hapo kwenye lift umepigwa bob
Ninachompendea b levo ba anaongea uhalisia ila jamaa🤣
Iyo nokia N72
Brother Kala Jeremiah Hawezi kuludi tena kwenye Ule uimbaji wake tulouzoeya Because yeye kwasasa ana nafasi Fulani ndani ya CCM kwaiyo hio NI kiziwizi kikubwa Sana Kwa Kala
Sasa lift ya nini kwa nyumba ya gorofa mbili bana!?
Be levo ba😂😂😂😂😂
ATI MMOJA KATI YA MTU ANAE NISHAULI NIOWE YEYE HAOI NI DIAMOND 😅
Asie faaa kafaaa
B levo baa
Fundi majumba 😂😂😂
Muiteni tena
Heeee utavipata
Baba levo Ghetto watu 17 kwani kiberiti 😂
Linex😂😂😂😂😂😂
Liongo hilo na redio lenu la kumsifia Boss 😅
Kichawi hiki
Kwel hili lichawi😅
Acha wivu
baba levo wewe ni genius mmoja
❤❤❤❤❤
baba levo wewe ni genius mmoja
baba levo wewe ni genius mmoja
baba levo wewe ni genius mmoja
baba levo wewe ni genius mmoja